Тёмный
No video :(

FRIDA ASIMULIA KUACHWA NA NDEGE MAREKANI, MILLARD ASIMULIA HOTEL ZA NEWYORK, MONI KUACHA MUZIKI 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 14 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 33   
@bettykessy3728
@bettykessy3728 7 месяцев назад
Natamani sana kufanya kazi na nyie.... Millard si hata unione huku na mimi❤
@user-fk7rt6rz4i
@user-fk7rt6rz4i 7 месяцев назад
Ila mimi nalipa $1500 kwa mweli ila huku kazi ni nyingi saaana kuliko bongo acheni kuwakatisha tamaa vijana , kwa sasa naweza kujenga nyumba nyingi hapo Tanzania, huku unafanya kazi unalipwa kila saa inayoenda kwa Mungu, fanyeni connection na watu wanaoishi huku hutoumia
@kdloon2030
@kdloon2030 7 месяцев назад
Malimbukeni utawajua tuu.Acha ushamba
@EvanRand
@EvanRand 7 месяцев назад
Vp kaka
@user-fk7rt6rz4i
@user-fk7rt6rz4i 7 месяцев назад
@@EvanRand poa ndugu yangu
@user-fk7rt6rz4i
@user-fk7rt6rz4i 7 месяцев назад
@@kdloon2030 huna chakula nyie ndo wale mnaotukana watu mtandaoni wakati huwafikii hata theluthi ya maisha Yao , kuwa mpole siku zote mtu hufanikiwa palipo watu , acha makasiriko ishi vizuri na watu utaona matunda yake, ndio niliondoka hapo airport kama mshamba ila kila nikirudi napokelewa kama mfalme majumba ninayo na magari pia 🙏🙏🙏
@user-fk7rt6rz4i
@user-fk7rt6rz4i 7 месяцев назад
@@kdloon2030 ukiacha makasiriko, na wivu utakuwa mtu wa maendeleo maana hivyo ni vyanzo vya mtu kuwa mchawi pia , fanya kazi, ishi vizuri na watu, maana mafanikio ya mtu yanatoka kwa watu , naamini utakuwa umenielewa sitaki matusi ila kama nimesema vibaya nisamehe pia 🙏🙏🙏
@timothnakiz-zb4rz
@timothnakiz-zb4rz 7 месяцев назад
Woooooooow beautiful frida
@marawatv5871
@marawatv5871 7 месяцев назад
Ilaaa Frida your so beautiful mommy
@murtanseif3539
@murtanseif3539 7 месяцев назад
Bora mumelisema hili watu wengi hawajui wanadhani ukiishi nchi za nje ni rahisi sana kodi ya nyumba ya mwezi mmoja tu tena nyumba ya kawaida ni sawa na kodi ya nyumba ya tz ya mwaka ama miezi 6
@husseinhussein9971
@husseinhussein9971 7 месяцев назад
Sema Frida mzuri sana.
@energeticmbn4596
@energeticmbn4596 7 месяцев назад
Akiwa hama make up hivo anakuwaga powa sana
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 7 месяцев назад
I like hiyo background ya migos bad bouch
@alikhamis4550
@alikhamis4550 7 месяцев назад
Kwa mwanya wa Frida Amani Mimi naweza kuipia mahari hata kama milioni10. Nakupenda sana Frida
@MashakaEmanuel-eo8vg
@MashakaEmanuel-eo8vg 7 месяцев назад
Kwan Frida na Milad ni ndugu maan wnafanan sana
@mustafajaku9772
@mustafajaku9772 7 месяцев назад
Hey Milard umeongelea kitu khs NMB kuwa huna haja ya kuchange pesa ukiwa nje mm nipo nje napata tabu Sana kwenye makato
@IbrahimCharles-sc9vq
@IbrahimCharles-sc9vq 7 месяцев назад
Wa kwanza leo naombeni like za kutosha
@dianerditto
@dianerditto 7 месяцев назад
Chukua
@deusntobi6682
@deusntobi6682 7 месяцев назад
Kenya wanashida hiyo upigaji kwenye kubadilisha pesa. Ila kuna maduka ya wasomali hayo uhakika
@funnyboy369
@funnyboy369 7 месяцев назад
Jaman nataman pia frida awe mmoja wa watangazaji wenu yuko pw Haboi kiukwel na anavocal baraaa...
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 7 месяцев назад
Mbwembwe nyingiii sasa tufanyaje sasa
@djtomtz5025
@djtomtz5025 7 месяцев назад
dodoma tupo
@freakboy1804
@freakboy1804 7 месяцев назад
Kadada kazur sanaa
@Eliabennet
@Eliabennet 7 месяцев назад
Angepanda Train Wala asingepata shida😂
@EvanRand
@EvanRand 7 месяцев назад
Unazngua
@MashakaEmanuel-eo8vg
@MashakaEmanuel-eo8vg 7 месяцев назад
Kwan Frida na Milad ni ndugu maan wnafanan sana
@Blessingsoverme
@Blessingsoverme 7 месяцев назад
Hawa wanapendezeanaaaa sanaaa💕
Далее
لدي بط عالق في أذني😰🐤👂
00:17
Просмотров 3,2 млн
Mkasi - SO6E03 With Millard Ayo
27:23
Просмотров 481 тыс.
لدي بط عالق في أذني😰🐤👂
00:17
Просмотров 3,2 млн