Тёмный
No video :(

FULL VIDEO: MAKONDA "NIMEONDOKA OFISINI NIKIWA NAFURAHA, MNISAMEHE, NITAWAKUMBUKA WANA DSM" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 14 тыс.
50% 1

#millardayoUPDATES

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 101   
@faizaahamd2052
@faizaahamd2052 4 года назад
RC makonda. Huyo ndio mkuu wa mkoa tunakulilia sana dua😭😭😭😭 ishaalah Mungu atakufanyia wepes huko uendako❤💕❤❤ love makonda💕❤
@geofreymlingwa2914
@geofreymlingwa2914 4 года назад
Nakukubali sana Mh. Paul Makonda hakika ww n kiongoz mahiri kabsa
@rmaryp6269
@rmaryp6269 4 года назад
Mungu akubariki kwa kz njema uloifanya Dar.
@hapakazitu7364
@hapakazitu7364 4 года назад
To me, your the best
@juliusjohn9453
@juliusjohn9453 4 года назад
Hongera, you are really a Leader kuna usemi unasema "Sheikh Hakosi Msikiti" Iko siku mtaniambia Ulisema!
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 года назад
Makonda is very good! he is truly a gift particularly in this post for sure..ooh goodness what a gem. he will be immensely missed. Dar es salaam has lost an icon for sure. our prayer now is the current RC to work with due diligence, effectiveness, quick deliverables and an outstanding outcome..may God crown him with efforts and make it easy for him in Jesus Mighty Name Amin!
@editorfrank7471
@editorfrank7471 4 года назад
We nae kwan kafukuzw au kaacha mwenywe
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 года назад
@@editorfrank7471 hayo ndomaumivu..kaacha mwenyewe kakaangu..dah jmni angekaa kaa kidogo walau
@rehemakaijage1364
@rehemakaijage1364 4 года назад
Mungu azidi kukuonekania katika yote. Nakuombea, natamani uwe waziri
@madundolucas4420
@madundolucas4420 4 года назад
Mungu akubarik
@hajerjasem7981
@hajerjasem7981 4 года назад
Daah nimeumia kwel ila M/MUNGU hamtup mja wake Kwan ulifanya kazi bila kinyongo dua njema nakuombea Allah akulinde kila hatua kuna neema zaidi yahapo ulipotoka nitakupenda daima
@zainabtanzania6950
@zainabtanzania6950 4 года назад
Safi sana makonda😍😍umeongea ukweli
@auntdorah9141
@auntdorah9141 4 года назад
Mungu akutangulie ...nakupendaga kwa kuwa unajiaminigi sana... Huo sio mwisho wala usituage!! Umefanya mengi ila mimi lile la utetezi kwa wanawake na watoto ulinibariki sana...!!! Naamini ukikaa shm sahihi mimba za utotoni zingepungua kama c kutokomea! Wanafunzi wa kike wangekua salama kiasi fulani ..mfn ww waziri Jokate Mwegelo naibu...!! Wizara ya Wanawake jinsi na watoto!! Nina sababu kubwa sana ya kuwachukia wanaume wanaowapa wanafunzi mimba!! Hata wanaowazalisha wanawake na kuwatelekeza watoto!! Hawa mtawakomesha na pia ndoa zitapata amani...watoto wa mtaani watapungua.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 года назад
Thanks Millard Ayo!
@mohamedkagoma7066
@mohamedkagoma7066 4 года назад
Dah siamini kama utaacha ofisi jamani alie ingia hatoweza kuvaa viatu vyako usihuzunike kumbuka mti wenye matuna mazuri ndio unaopigwa mawe kumbuka wewe ulikua MTU pekee ila mungu atakusimamia kwa ulichokifanya
@danielbugwema6969
@danielbugwema6969 4 года назад
Tumwombee aliyebaki aweze Makonda bado anahitajika
@mmwaupete6265
@mmwaupete6265 4 года назад
Makonda ni kijana shupavu na mwenye uthubutu, mchapakazi, mtu wa watu na msimamia haki. Kwa vijana ni mfano wa kuigwa, mcha mungu na hakika ni kijana ambaye Taifa bado linamhitaji. Well done Makonda, Taifa linahitaji vijana kama wewe.
@rosemarychuwa8696
@rosemarychuwa8696 4 года назад
Hakika Mungu ni mwema atakusimamia kwa kila jambo
@enocknaftar2202
@enocknaftar2202 4 года назад
Mungu akubariki brother
@geofreynoah9458
@geofreynoah9458 4 года назад
Ulipewa nafasi ya ukuu wa wilaya ukatumikia nafasi yako vizuri ,mh. JPM akakupa mkoa wa Dar ukatumika kwa nguvu zote na ubunifu. MUNGU akupe nafasi nyingine ya juu zaidi. Tutakukumbuka kwa mengi mazuri .
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 4 года назад
Safi sana Makonda ulijitahidi sana kupambana kwajili ya wananchi wa Dar na Mungu atakujalia sana katika Safari yako ya kimaisha Usikatetamaa isivunjike Moyo safari nyepesi ila nakuomba usichoke kugombea ipo siku utafanikisha Ndoto zako maana Nikitazama utendaji wako wakazi mamuona Magufuli ajae Bado wananchi tunahitaji uwepo wako katika tawala zetu Mungu akulinde kila sekunde (Amin)
@upendoamani8164
@upendoamani8164 4 года назад
Mungu ana kusudi kukutoa hapo,, zidi kumtazama yeye kwenye maombi tu. Amekuandalia meza mbele ya watesi wako na kikombe chako kitafurika,.. Nakuombea Mungu akukumbuke wakati wa ari, sadaka yako ikapige kelele mbele ya Jehovah.
@ramarite4841
@ramarite4841 4 года назад
Munguakulinde sana Makonda
@joycejoel2493
@joycejoel2493 4 года назад
Makonda.upo.juu.ni.watu.uwa.awathamini.miatano.ya.njaa.wanaeshimu.elfu.moja.ya.shibe.wewe.ulitugaia.mia.tano.ya.njaa.mkuu
@rehemaomary3267
@rehemaomary3267 4 года назад
Nakuombea kila la kheri
@taifaonlinetv.3670
@taifaonlinetv.3670 4 года назад
I salute my brother Makonda, wewe ni alama baba atakusamehe, na utakuwa pazuri tu
@shalomizrael667
@shalomizrael667 4 года назад
Inawezekana unaondoka kwenye ukuu wa mkoa, Mungu akakupa nafasi nyingine nzuri na kubwa kuliko hiyo. Nakupenda bure kiongozi.
@abbakariramadhani3705
@abbakariramadhani3705 4 года назад
We in kiongizi jasiri sana
@waheedahtanzania5884
@waheedahtanzania5884 4 года назад
MashAllaah Allah akuongoze kwa hatua nyingine ilobaro zaidi,Mungu ndo huwapenda watu KamA ninyi msosahau ihsani na neno shukrani ndomaana mlielewana na MAGUFULI kumbe wote mlikutana wenye Imani na huruma anazopenda Mungu,by the way usikate tamaa kwa maneno ya mitaani na mitandaoni sisi binaadam ndivo tulivyo wanapenda sana mambo yasomfurahisha Mungu kwao ndo sahihi naulokuwa ukiyafanya sahihi aloamrisha Mungu wenye hukuchukia hao ndiyo wanaadam ni viumbe wazito sana na hawana shukrani zaidi yakukupiga mateke nakukuombea mabaya,Na Tatizo mwisho wa siku wanajikuta wanaumia wenyewe kwa kuto wa jibu Maana kukaa kimya kwako ndo jibu Lao mtu mpumbavu usimpe cheo cha kumjibu,Na sina mengi yakuandika kikubwa nakutakia kila la kheri na Mungu akuongoze kwenye sehemu ya kheri zaidi na tunashkuru kwa utendaji wako mzuri wa Dar
@waheedahtanzania5884
@waheedahtanzania5884 4 года назад
Tunamuombea dua na huyo ajaye awe jasiri kama wewe Dar es ssalamu ndo ataiweza Inshaallah Mungu awatangulie na awaepushie na Hasadi za watu wasokuwa na kheri nanyinyi
@geofreynoah9458
@geofreynoah9458 4 года назад
Mengi ulitenda
@kassidpandu9806
@kassidpandu9806 4 года назад
Makonda safi sana kumbuka fadhila wewe ni binaadamu hasa
@samsonmkengi6972
@samsonmkengi6972 4 года назад
Mungu Azidi kukubariki ulikua kiongozi mwaminifu.
@rehemamost444
@rehemamost444 4 года назад
Yanatosha mwanangu, sijapenda uondoke niliumia sana,
@waheedahtanzania5884
@waheedahtanzania5884 4 года назад
@@rehemamost444 unishindi Mimi kwa kuumia basi haina jinsi Maana kafanya kazi kubwa sana juu ya kupambana na maadui wa DAR ES SSALAM Dhidi ya madawa yakulevya hatimaye akashinda vita hiyo japo walimchukia kwa kutokufikiria khatari ya biashara haramu hiyo,Lakini alivaa joho la ujasiri na kukwepa risasi za mahasidi kwa yote Allah atakulipa kwa kudra zake Inshaallah tunakuombea sana sisi wenye kheri nawewe Mungu azidi kukupigania Maana wewe zaidi ya jasiri Maana hakuna mji mtata kwa Tz kama jiji la Dar limejaa la wama sana sasa usipo kuwa ngangali wanakudondosha kwa mimacho Yao ilo jaa hasad na roho za kutu
@stanleyjohn9992
@stanleyjohn9992 4 года назад
Wewe ni mkuu wa mkoa pekee uliyefanya mengi mazuri hakuna asiyejua Mungu akutie nguvu ktk kipindi hiki ambacho watu wanakusema vibaya usikate tamaa kwa sababu maneno noooo utapata chance nyingine broo
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 года назад
eti eh Stanley? dah jamaa ni poa sana sanaa...DSM watamiss mno kijana huyu
@guloanjela2327
@guloanjela2327 4 года назад
Hogera Nakupenda
@johnnynasrynaa7670
@johnnynasrynaa7670 4 года назад
Mmmh hy bhna
@johndieme6402
@johndieme6402 4 года назад
Inauma kamaumetoka munguakupe kaziyegine
@ilonjemgogo115
@ilonjemgogo115 4 года назад
mungu awe nawe
@sameraafreqe7964
@sameraafreqe7964 4 года назад
Mimi huyu mkoa mpya cna iman nae nahs mkoa utamshinda,,
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 года назад
tumuombee tuu..nimapema kutoa maoni..maombi tuu Mungu Amtunuku na hekma..ila dah Makonda anaiweza DSM...angalia vile anavoongea jmni...mtu anaijua sana jiji hili
@hilmialjahdhami9787
@hilmialjahdhami9787 4 года назад
Unataka kazi zake afanye kwa kutumia tv ndio uone anafanya kazi kitendo cha Raisi magufuli kumchagua tu juwa huyu jamaa ni mchapa kazi
@allymngwaya1369
@allymngwaya1369 4 года назад
Tatizo tumezoea watu wanaoongea sana. Huyu siyo mwanasiasa alikuwa RAS kwa hiyo ni mtaalam hawez kuwa muongeaji kama alivyo Makonda.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 года назад
@@allymngwaya1369 yeah ila kweli umesema...tena yamkini akafanya mambo mazuri sana tuu baada ya kuchukua kijiti toka kwa Makonda wetu....safi sana
@deusdeditswebe8930
@deusdeditswebe8930 4 года назад
Awali ni awali... Hakuna awali mbovu... 🙄🙄
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 4 года назад
Unaelekea Kuwa waziri wa wizara fulani nyeti
@bjzee1981
@bjzee1981 4 года назад
Sema tu unajuta. Sasa mkabisanie mtaani na gwajima
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 4 года назад
🤣🤣🤣🤣umeweza💯🎤
@saimonmanyerezi7169
@saimonmanyerezi7169 4 года назад
We mbeze tu lakini Makonda ni kiongozi shupavu sana.Cjapata kuona kiongozi katika awamu zote wakiopita Dar es salaam ni imara kuliko Makonda.
@prettynesspastory3111
@prettynesspastory3111 4 года назад
Ubarikiwe Br! Tunashukuru kwa uwepo wako kipindi cha miaka mitano ilopita
@danielbugwema6969
@danielbugwema6969 4 года назад
Nakupenda Sana unajiamini unazungumza toka moyoni
@malegesinyeura6897
@malegesinyeura6897 4 года назад
Ulikuwa poa sana mkuu hatuta kusahau mkuu
@aishasmoni5881
@aishasmoni5881 4 года назад
Polesana kaka ilausijar mungu atakupa pengine zaidi insha Allah kuwanasubira MUNGU yupo pamojanawe penda sana
@williamjulius8648
@williamjulius8648 4 года назад
We nenda kwenu koromije ukalime mtama
@jacobmakono389
@jacobmakono389 4 года назад
...Mag atakuchomeka mahali!
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 года назад
eti eh jmni
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 4 года назад
ata ww anaweza kukuchomeka
@jacobmakono389
@jacobmakono389 4 года назад
@@bennymochiwa4800 hata we we!
@rechrontv2453
@rechrontv2453 4 года назад
TAMKO KUTOKA KISUTU DAR ES SALAAM JUU YA KESI ZA TUNDU LISSU (gusa link 👇👇 kutazama) ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-pTocbOMtn_Q.html
@pendomushi5895
@pendomushi5895 4 года назад
Dah unajua nishakumisi makonda
@GadiEdiomwakanyamale
@GadiEdiomwakanyamale 4 года назад
Makonda Umeongea Vizuri Sana . ▁ ▂ ▄ ▅ ▆ ▇ █ TANZANIA Gospel songs Welcome👇 █ ▇ ▆ ▅ ▄ ▂ ▁👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-awL4vT7pSTc.html
@franciscoivo1591
@franciscoivo1591 4 года назад
Umlinde wewe Nani,acha hayo
@danielbugwema6969
@danielbugwema6969 4 года назад
Imekutachi siyo Makonda anajielewa kuliko familia yako
@livingstoned3890
@livingstoned3890 4 года назад
@@danielbugwema6969 dah... makonda unajua kujipendekeza
@aminaabdallah7702
@aminaabdallah7702 4 года назад
Nenda kammombe msamaha MH rais manake yumekosea naumefanya kazi n'zuri dsm kwahio yusiharibu. bahati Yako nabado kijana
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 4 года назад
Sasa brother unaondoka tuombe mkuu aone pa kukuweka uendelee kuchapa kazi ila kimyakimya bila kupambana na Magwajima
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 года назад
dah huyu mtu ni wapekee kwa kweli..zawadi kutoka kwa Mungu Mkuu jmni
@eliahmwakasendeka8100
@eliahmwakasendeka8100 4 года назад
Kanajisafisha kwa babaake
@yohanaadam620
@yohanaadam620 4 года назад
Nenda huko
@danielbugwema6969
@danielbugwema6969 4 года назад
Wivu tu Makonda nizaidi ya wewe
@shabanmedda6059
@shabanmedda6059 4 года назад
Aje kwako au nyau wewe
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 4 года назад
Ck moja utafumba macho ukimuona akiwa waziri.
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv 4 года назад
Ah makonda nna huzuni kubwa kwa kuondoka ujaliwe upate nafasi nyingine
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 года назад
amina kwa kweli!
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 4 года назад
wasiojulikana, nenda bwana weee
@shosemanjira9015
@shosemanjira9015 4 года назад
Mungu akutangulie
@livingstoned3890
@livingstoned3890 4 года назад
Unazingua..Ila kaka unajua kujipendekeza xx mkuu alitoa mfano wa mkuu wa mkoa was tabora najua unakumbuka Sasa yatakukuta kaka nae alikuwa Kama wewe na uroho wa madalaka
@auntdorah9141
@auntdorah9141 4 года назад
Kujaribu ni ujasiri.
@ramadhankayaya5484
@ramadhankayaya5484 4 года назад
Kazi umeifanya makonda ugumu upo kwa huyo anaekupokea kiatu kitamtosha?
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 года назад
maombi tuu kaka yangu..tumuombee kijana wa wenyewe...from ur sister
@jumaomary9087
@jumaomary9087 4 года назад
Wewe unaesema mkuu was mkoa mpya utamshinda kwanini kwani wameshindwa wangapi yeye akishindwa ananinj
@mdl6463
@mdl6463 4 года назад
Daaaah ila kwa ujumla ulipiga kazi kabisa olegosha sana
@hamidmohamed7806
@hamidmohamed7806 4 года назад
Hana ishu ndo maana katumbuliwa na angekuwa na ishu angekuwa na ishu nzuri angeendelea kuwepo . Jikate zako unazingua wapishe wengine haupo peke yako we mda wako umeisha.
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 4 года назад
wasiojulikana
@ombennassary7438
@ombennassary7438 4 года назад
Makonda umeacha alama utakumbukwa sanaaaa
@ernestsinje8693
@ernestsinje8693 4 года назад
Leo umeongea busara safi sana ,umekomaa kisiasa mh Mkuu wa mkoa
@eliahmwakasendeka8100
@eliahmwakasendeka8100 4 года назад
Anajisafisha
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 года назад
huyu Makonda ni madini makali sana kwa DSM...tutamkumbuka mno..tuendelee kumuombea RC huyu mpya
@wardamasoud4061
@wardamasoud4061 4 года назад
Bado tunakuhitaji baba
@barakatibendelana2413
@barakatibendelana2413 4 года назад
Duuuh!! Makonda noma'bado anapangia viongozi majukumu.makonda oyeeeeeeee
@jumaomary9087
@jumaomary9087 4 года назад
Mwanakulizua kaaa pembeni
@rechronsebisebi5043
@rechronsebisebi5043 4 года назад
WANACHUO KUHAMA CHUO NA KUBADILI MASOMO GHAFRA (gusa link👇👇 kutazama) ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-_ORg1QTQRgk.html
@pastorgodsonjohn8562
@pastorgodsonjohn8562 4 года назад
Viatu vya makonda sidhani kama huyu jamaa atavivaa ni vikubwa sana
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 года назад
kweli wafikiri hivyo? tuendelee kumuombea..DSM ni kubwa sana Mungu Amkumbuke kijana wake
@jmnafaka9451
@jmnafaka9451 4 года назад
PETITMAN AFUNGUKA KUHUSU ESMA KUOLEWA TENA 💥🔥💥 LINK HII HAPA 👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-m915JRu4XCs.html
@edwinsima260
@edwinsima260 4 года назад
Ww ni kiongozi wakuigwa tunaomba mh.rais wetu akuangalie kwa jicho la huruma umeibadilisha sana jiji la dar es salam ikibidi akurudishe madarakani sisi bado tunakuhitaji sana makonda.
@jamesmkoda1914
@jamesmkoda1914 4 года назад
Mungu akilinde kiukweli hata Mimi nimeumia sana kwa kuondoka madarakani naomba Mungu raisi wetu akusamehe na akupe sehem nyingine tunakuombea jamani Rais wetu tunaomba utusikie bado tunamwitaji makonda hata sekta nyingine umweke tunashuru maana wewe ni msikivu asante
@ezekiambwambo3163
@ezekiambwambo3163 4 года назад
Nimependa kauli ya YESU ndie kila kitu saf san makonda kwa kauli hiyo unaenda viwango vingine vya hal juu
Далее
Friends
00:32
Просмотров 177 тыс.
A Minecraft Movie | Teaser
01:20
Просмотров 20 млн
How to win a argument
9:28
Просмотров 506 тыс.
Friends
00:32
Просмотров 177 тыс.