Yani mapenzi ya sikuizi ukipata mtu anae kupenda na ni muaminifu mshikilie sana na kama sio ivyo ukipata nafasi ya kuwa single usiichezee wallah khaaaa 😂😂😂😂🙌🏻
Sikuwahi kuona prank kali kama hii bongo mzee umeuwa sana ipo na true story kaka hii hata view milion itafika kazi nzuri na bora nilizowah kiziona achia part two mtaalamu kiredio
Daaah....!! Yani wanaume tuna Tamaa sana maana huyo binti aliyevaa jezi ni mzuri sana,Alafu huyo mwenye jezi pia kashaanza kupaniki anajiamini kwa hofu
Bwana eee weka part 2 msela wangu maana mi nacheka heka heka za chaka tu chaka mwamba alifuata nini usiku huo kama sio kichupa kujaaa mchuzi wa pweza 😂😂😂😂😂 nataka niangalie mateke ma magumi puuuuu😅😅😅😅😅
Ayo Mambo Ya Kenya Mnaleta Bongo Mtakuja Kuumia Nyinyi Akuna Mtu Mwenye Uwezo Wa Kutimiza Vitu Vyote Kwa Binadamu Mwenzie Kamwe Akiwa Na Pesa Nguvu Za Kiume Zilo Ukiwa Na Nguvu Za Kiume Matumizi Zilo
Tatizo Wanawake Wengine Inje Kwa Watu Upendo Lakini Chumbani Sasa Tendo Unapewa Kwa Bajeti Mpaka Atake Yeye Unalala Msumali Juu Sasa Utaacha Kuchepuka Apo
Hata mkiwa nao ao wazuri amutosheki waweza kuwa nae mzuri ukenda tafuta goti lakini mi siwalaumu ndivyo mlivyo umbwa na tamaa ya wanawake ndio mkaambiwa muowe wa 4