Sawa mtu anaweza asiwe mwaminifu, lkn lazima ujue nmisingi ya kila watu kwenye mahusiano Yao. Huenda mmoja wao anaweza kuwa anafanya Ivo lkn usijue Kesho akajirudi. Acha upumbavu bhn hakuna aliyekamilika, msilete Tabia za ulaya uku, hao unaowafanyia Ivo Wana ndugu Zao, wanatokea katika jamii pia. Halafu unaenda eti hautaki Amani, Una akili kweli?
Wanaume weusii jipe moyo dada wa oman mwanaume hawezi kukuvumilia mwaka mzima sameheaneni tuu na frenk umeshindwa kusaidia familia unasaidia mwanaume mhhhh pole Dada