Тёмный
No video :(

GETO ANALOISHI HAMIS WA BSS UTALIPENDA/AFUNGUKA KUACHWA NA MZUNGU 

ZamaradiTV
Подписаться 246 тыс.
Просмотров 151 тыс.
50% 1

Usisahau ku"SUBSCRIBE" RU-vid channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 613   
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 8 месяцев назад
Yaani hii interview, muonekano wa geto na anavyoongea inanikumbusha mbali sana. Kiufupi vijana wengi wanaojielewa na wanatoka familia za kimaskini lazima upitie maisha haya. Safi sana Hamusi utadhani geto langu ila sasa naishi kwangu na mke na watoto 3. Nakuombea kwa Mungu akufungulue mlango.
@gazzatz9564
@gazzatz9564 8 месяцев назад
Mim mwana na mwelewa!!! sio kwamba anaigiza watu kazi!! Mungu akusimamie mwanang!! sanaa ina mambo mengiii sema Panga getto vizur,kak hata hauna ela lakin kuwa SMART MY BROTHER!
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 месяцев назад
Sasa pesa anaitoa wapi yakuapanga geto nakuwa smati
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 8 месяцев назад
Nimependa hamisi anasema ukwer hafeki safi,,mungu atakubaliki kaka usikate tamaa
@bwakahamisi9607
@bwakahamisi9607 8 месяцев назад
Ahsante ubarikiwe sana ndugu yangu
@nurukiwia93
@nurukiwia93 8 месяцев назад
Allah azidi kumpigania. Ni mkweli kabisa
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 8 месяцев назад
@@bwakahamisi9607 Amin kaka,,utafika mbali sana Kwa uwezo wa mungu ila kikubwa tu usifek life be really mtumainie mungu na pambana Sana utatoboa innshaala kaka
@matridasambali6432
@matridasambali6432 8 месяцев назад
Yeah hata Mimi nimependa sana napenda sana mtu anaeishi katika ukweli na penda sana
@matridasambali6432
@matridasambali6432 8 месяцев назад
Yeah hata Mimi nimependa sana napenda sana mtu anaeishi katika ukweli na penda sana
@ChristianJustin-jn9pt
@ChristianJustin-jn9pt 8 месяцев назад
Hamis ana heshima sanaa anakukarubisha ingia tuu na viatu mi si nitafagiaa 😭😭😭 jamanii
@noelajulius7726
@noelajulius7726 8 месяцев назад
NAOMBA MNISAIDIE NATAKA KUMNUNULIA GESI HAMISI
@NaigagaUganda-hl6xx
@NaigagaUganda-hl6xx 8 месяцев назад
You don't show fake life like other people big up may Almighty Allah bless you all
@emmanuelibrahim4556
@emmanuelibrahim4556 8 месяцев назад
Usanii ni kazi ngum sana,,, unaanza kupata umaaru afu maisha bado
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 8 месяцев назад
😂😂
@Mimy_keys
@Mimy_keys 8 месяцев назад
Jina kubwaaa 😂😂😂😂😂
@farijalanyoni5685
@farijalanyoni5685 8 месяцев назад
BSS alipata mzigo au alikuwa mshiriki tu?
@johnraphaelbocco2260
@johnraphaelbocco2260 8 месяцев назад
Nilikuwa namchkulia poa sana huyu mshkaji ila kupitia hii interview ameniprove wrong, jamaa ni fighter na bado inaonekana anajitafuta na anahitaji support za watanzania kumfkisha pale anapotaka, naanza kukusaport, Na kuanzia sasaa mimi ni shabiki yako mpya, sitaacha kuangalia kudownload na kustream platform zako zotee Big Up Brother Keep It On And Never Ever Give Up
@bwakahamisi9607
@bwakahamisi9607 8 месяцев назад
Ahsante kaka ubarikiwe
@deeruta9894
@deeruta9894 8 месяцев назад
Tulipia hapo hata ss wengine infact tuliaza kwa box la fridge kulalia but mungu mkubwa sana 🙏🏽, sahii tunamiliki majumba na magari but tumetoka mbali sana. Keep your dreams alive faith siku moja utafanikiwa
@user-fj2ob2ey7j
@user-fj2ob2ey7j 8 месяцев назад
Kaka nimekuelewa kikubwa pambana na ukweli umuweka mtu hulu kuliko udanganye afu uje ufeli kabisa maisha afuukakosa musada
@_Prince2023
@_Prince2023 8 месяцев назад
Mwenyez mungu ndo anaejua uhalisia we2 kiukweli mungu akujalie my friend maana sote bado tupo kwenye utaftaji😢
@MrSamaki
@MrSamaki 8 месяцев назад
Ananikumbusha room yangu ya kwaza kupanga kwa mwezi elf 20 Kuna siku inapita bila Kula ila adi sasa nilipofikia nimejipata kidogo, Mungu atufanyie wepesi vijana watafutaji
@abdallahsimba3516
@abdallahsimba3516 8 месяцев назад
Acha tu mwanangu hayo yalikuwa maisha yanguu
@kimmaayah303
@kimmaayah303 8 месяцев назад
Kumchangia sio dhambi kutoa ni moyo pia na MUNGU anakupa zaidi unapoamua kujitoa.. Sio vibaya tukamchangia hata apate gase jaman .. Tunampenda ndomn tunamfuatilia hapa.
@jacklinegorden2897
@jacklinegorden2897 8 месяцев назад
Nikwel tupate hta namb yake ili mweny chochote kitu ambarik jmn nimeumia japokuwa wote maisha magumu ila tunazidiana
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 8 месяцев назад
Ila anapambana pambana mungu atakubaliki usikate tamaa maisha sio Lele mama
@JescaMuyabi-ix8ly
@JescaMuyabi-ix8ly 8 месяцев назад
Hongera kwakuishi maisha yk harisi amini IPO siku utafanikiwa
@user-cl9hg3uc8e
@user-cl9hg3uc8e 8 месяцев назад
Wasanii wote wangekua kama hamisi bac wangefika mbali maana n rahis kusaidiwa Ila waliowengi uwongo2 nakupenda Mali zawa2 kufanya zao hongera hamis taratibu ndo mwendo utafika unapohitaji mungu yupo nawewe ❤❤
@Jerryatz
@Jerryatz 8 месяцев назад
Wabongo mnapend sana mtu awe chini but uyu hapa siyo kwake ila kajitahidi sana kuigiza yuko vzr big up
@imanimakishe8632
@imanimakishe8632 3 месяца назад
Ata mimi nazani
@norahprotas1769
@norahprotas1769 8 месяцев назад
Safi sana Bro umekuwa real Mungu aendelee kukusogeza sote tunatokeaga huko ayo ndo maisha yetu
@user-xu6fg7sg6s
@user-xu6fg7sg6s 8 месяцев назад
Bless dogo hsmiss ndio maisha yetu
@user-bv4dk8bj6x
@user-bv4dk8bj6x 8 месяцев назад
Hakuna kitu gharama duniani kama uhuru na amani ata ukilala chini,
@dayana5513story
@dayana5513story 8 месяцев назад
👏👏👏🙌
@queendollie8792
@queendollie8792 8 месяцев назад
Jamani tumchangie hamis nime mpenda he is honest with his life
@nurukiwia93
@nurukiwia93 8 месяцев назад
Sana. Nimkweli
@geoffreykayombo6524
@geoffreykayombo6524 8 месяцев назад
Angeweka namba
@sugashTv
@sugashTv 8 месяцев назад
Nani atatuwekea number jamani? Number yake direct tuweke ata kidogo.....
@youngjamaica5099
@youngjamaica5099 8 месяцев назад
Nichangie me ,nipo vibaya zaidi yake Hamisi
@user-ji4gj8zf7n
@user-ji4gj8zf7n 8 месяцев назад
​p
@Issa_negro
@Issa_negro 8 месяцев назад
Mashaallah 🙏🏽 one beautiful life🎉💯
@mercykamau4360
@mercykamau4360 8 месяцев назад
Mimi kama mkenya I propose tutafute paybill tuchangie Hamisi❤❤
@raymondmallosa-df9hm
@raymondmallosa-df9hm 8 месяцев назад
Mungu akubariki Hamis hufek maisha,mdogomdogo maisha taratibu
@estomiailomo7844
@estomiailomo7844 8 месяцев назад
Naomba watanzania mlio ona interview hii tuanze kumsaport huyu kijana kwanza anaeleza uhalisia wa maisha yake anahitaji saport pili ana hekima
@Atb300
@Atb300 8 месяцев назад
❤❤❤Nimempenda mkweli sana hafeki life big up mdogo wngu
@shagarbycash9549
@shagarbycash9549 8 месяцев назад
Real and gud ...salute bro
@salma_6j975
@salma_6j975 8 месяцев назад
Mtangazaji yupo vizur sana...creativity
@Issa_negro
@Issa_negro 8 месяцев назад
Mashaallah 🙏🏽 one beautiful life🎉 💯 Kaka mshukuru mungu kwa hayo maisha uliyo nayo kwani wengine tunatamani sana ila tunaishia kuishi kwa wazazi. Sio kwamba hatuwezi kupanga ila HALI SIO HALI😢
@abdibilali4186
@abdibilali4186 8 месяцев назад
Kweli
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 8 месяцев назад
Huyu jamaa anajua kushukuru sana Mungu akujalie ufanikiwe
@AfricaQueen
@AfricaQueen 8 месяцев назад
Kwa kweli Hamisi wewe ni mtu wa ukweli mungu atakusimamia ndugu yangu zidi kusali nasi tunakuombea utakuja kuishi pazuri hayo ni maisha ya kupita usiwache kuomba mungu🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@bwakahamisi9607
@bwakahamisi9607 8 месяцев назад
Ahsante sana
@ruu6592
@ruu6592 8 месяцев назад
Kuna watu ata ayo maisha ya hamisi hana
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 8 месяцев назад
Ana hekma sana na ukarimu pia, Allah akupe hitaji la moyo wako inshaAllah ❤🙏🙏
@allydugovisima3120
@allydugovisima3120 8 месяцев назад
Inshallah
@jalinachilala8465
@jalinachilala8465 8 месяцев назад
Leo umekutana na chuma cha afrika 😂😂Safi saana khamis wengi wetu tunaanzia huko
@bwakahamisi9607
@bwakahamisi9607 8 месяцев назад
Ahsante ndugu yangu Kwa baraka zako
@judnesstemba7252
@judnesstemba7252 8 месяцев назад
Nimependa sana khamis ubarikiwe
@jalinachilala8465
@jalinachilala8465 8 месяцев назад
@@bwakahamisi9607 usijali tuko pamoja
@majigeelieza5180
@majigeelieza5180 8 месяцев назад
Daaaah mwanangu ayoo ndoo maisha pambana
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 8 месяцев назад
Mi nakuombea Mungu akutoe hapo na ukipata riziki usiache kumshukuru Mungu!nakuombea
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 8 месяцев назад
Diamond platinumz mpe show uyo kaka ,,ikiwezekana achangiwe au apewe show Bado anajitafuta atajipata tu
@LucyKulaya-bj5ow
@LucyKulaya-bj5ow 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@bwakahamisi9607
@bwakahamisi9607 8 месяцев назад
Nakushukuru sana endelea kunisapot mdogo wako Hamis Bss ubarikiwe sana
@BerthaModest
@BerthaModest 8 месяцев назад
Dah uyo diamond tena😂😂😂jmn mtu yyt atae wez amsaidie sio mpk diamond
@KimbilimaSocial-dy9cl
@KimbilimaSocial-dy9cl 8 месяцев назад
HAMISI FANYA MOVIE MZIKI HAUKUTAKI PIA AUNA MUONEKANO WA MUSIC MZEE MAANA DUH UMEKUWA KAMA MTU WA BONGO MOVIE DOGO FANYA MOVIE Mzee kwa uwezo wa allah UNAWEZA KUPITA KABISA UKAPATA MAFANIKIO
@musason1680
@musason1680 8 месяцев назад
Haya maishaa wanaishi watu wengi tu tnaotamani kua kama wao lakn n vile hatujui undani wa maisha yao
@mwanakitenge
@mwanakitenge 8 месяцев назад
Kitendo tu cha kumiliki funguo ya chumba chako umeshajipata hongera sana mdogo wangu
@MashaSaidy-bs8xb
@MashaSaidy-bs8xb 8 месяцев назад
Nimependa comment yako
@BenMugaka
@BenMugaka 7 месяцев назад
The guy is so honest with his life
@MultiKenyana
@MultiKenyana 8 месяцев назад
Humble guy and realest I’ve ever seen ✊🏽✊🏽
@baloz8974
@baloz8974 8 месяцев назад
Most of the hamisi names are humbles
@nuubaby
@nuubaby 8 месяцев назад
Mtanganzaj alijua anakaa nyumba hyo yenye mlango mzuri😂😂😂🙌
@KimbilimaSocial-dy9cl
@KimbilimaSocial-dy9cl 8 месяцев назад
Ungeliweka namba ya sim Tungelikuchangia ununue gas Na kitanda kabisa pmj Na tv na king'amuz
@issamanyota
@issamanyota 7 месяцев назад
DAH THIS LIFE IS NOT FEAR , NATAMANI WASANII WENZAKO AU WALIOFANIKIWA WAKUPE HATA SHOW ZA WEEKEND UPATE KIASI FLANI BRO CHA KUJIKIMU 😢 ILA BIG UP 🆙 HAMISI WA BSS TUPO PAMOJA NAWE
@omarysaid8725
@omarysaid8725 8 месяцев назад
Wazungu ni watu wa kujiachia sana na ni wa janja wakija nchi kama zetu za Africa huwa wanatafutaga marafiki hata kuwafanya wawe wapenzi wao ili tu waweze kujua na kufahamu zaidi tamaduni na kuto sumbuliwa katika vibali na katika harakati zao
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 8 месяцев назад
Kabisa Yan💯💯
@strong8534
@strong8534 8 месяцев назад
Fame before success, it's very hard. Usani ni mtihani
@GiftAbduly
@GiftAbduly 8 месяцев назад
Wanaume pia wanadanga😂 daah haya hongera Hamis unapambn sema mdogo mdogo ndio mwendo utatoboa tu
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 8 месяцев назад
Mzungu aliyachoka hayo maisha!! Na alicho kiona kwa Hamisi hana muelkeo mwengine Badala ya mziki na kagunduwa kuwa mziki kwa bongo ni mgumu!!lakini pambana na uwache kufuru aliongea vitu vingi vya ovyo
@bakaromar8135
@bakaromar8135 8 месяцев назад
Kweli umesema kweli huyu dogo alikuwa amesha anza kufuru fla sana alikuwa amesha anza ushetan
@sidikassim6759
@sidikassim6759 8 месяцев назад
Ndgu yngu umechzea snaa maisha alfu tatzo ulianza kujitapa snaaa wenzio hawanzi hvyo
@gazzatz9564
@gazzatz9564 8 месяцев назад
Uyu mtangazaji nae.miyeyusho etii wash room...unaleta mambo ya kishua uswahilin😂😂😂
@dayana5513story
@dayana5513story 8 месяцев назад
Wow nimependa alivyo sema code inaisha Mungu akufanyie wepesi
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 8 месяцев назад
Huyu jamaa na Dotto magari WANAISHI maisha ya Ukweli
@zainabzwena3156
@zainabzwena3156 8 месяцев назад
Hakika
@aaa64sa13
@aaa64sa13 8 месяцев назад
😂😂😂 mitihani
@farijalanyoni5685
@farijalanyoni5685 8 месяцев назад
Dotto ni Fake, huyu chalii ni real Dude
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 8 месяцев назад
@@farijalanyoni5685 Ahsee Doto nae LYFE yake sio poa 🤣
@asnatabdallah
@asnatabdallah 8 месяцев назад
Dah inasikitisha sana jamani msaidieni uyu kija sio kuojiwa tu dada zamaradi msaidie uyu kijana walau kwa kazi iweze kumpatia kipato jamani mimi namfatilia sana salehe na nina mpenda sana na mara ya mwisho nilikuatana nae pale kwa Jessica salon magomeni please naombeni mumsaiidie jamani uyu kijana naangaliaga watu wengi anaowatembelea salehe lakini uyu kanigusa sana
@Chembika
@Chembika 8 месяцев назад
Huyu dogo mkweli sana wekeni utaratibu hata wakuchangiwa asaidiwe ila huyu ndio kielelezo cha wasanii wengi unadhifu unawafichia mengi ila hawana maisha
@nyembomajid1262
@nyembomajid1262 8 месяцев назад
mi sikubali sio kweli hiyo kiki
@dottomsuya6597
@dottomsuya6597 8 месяцев назад
Afanye kazi bhana
@hamischilinga6706
@hamischilinga6706 8 месяцев назад
Ujue hayo ni mambo ya muda sio mpaka unataka kubadili dini kwa sababu ya mwanamke
@achalamila
@achalamila 8 месяцев назад
Mtu safi kabisa huyu , vizuri sana. Lakini kuonyesha unacho au huna vyote ni makosa.
@giztony2009
@giztony2009 8 месяцев назад
Aje kahama huku aimbe live band atapata hela sana kupitia live performances kwa kuimba cover za wasanii
@bwakahamisi9607
@bwakahamisi9607 8 месяцев назад
Ahsante kaka yangu ubarikiwe sana
@masoudmasasi1801
@masoudmasasi1801 8 месяцев назад
@@bwakahamisi9607 yes
@HarunaJuma-cg9ie
@HarunaJuma-cg9ie 8 месяцев назад
Big up hamisi, Allah akufanyie wepesi
@saidkamwana1195
@saidkamwana1195 8 месяцев назад
Hamisi....kama utasoma comment hii...ni hivi wewe si mtu wa muziki kabisa..japo unapenda..ila nahisi rudi kwa Allah...ninauhakika atakupa rizki bila ya hesabu..!! Inshaallah kama umepita chuo, basi elimu hiyo ndio itakayokupa Rizki ya uhakika..may Allah guide you bro.
@maulidipazi6770
@maulidipazi6770 8 месяцев назад
Umeonaee
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 8 месяцев назад
​@@maulidipazi6770huyo Allah mwenyewe anaimba taarabu
@thamani5842
@thamani5842 8 месяцев назад
Nimependa sana comment yako. ALLAH akubarik
@mikamwamba3554
@mikamwamba3554 8 месяцев назад
Mungu amuongezee kijana uyu
@user-ll7np8td7x
@user-ll7np8td7x 4 дня назад
Mungu atakuvusha kaka hamids
@aminamohammed-rq7ew
@aminamohammed-rq7ew 6 месяцев назад
Ila nyie nimempenda huyu kaka anaishi kwenye uhalisia yaan nafurahia sana kuona maanii anaishi kiuhalisia 😊keep going bro
@user-vf6on5dk4t
@user-vf6on5dk4t 8 месяцев назад
Hamisi nimkweri hamisi mungu anakuona ipo ridhiki yako Walausikate tamaaa mungu anaona
@alhajiFashions7563
@alhajiFashions7563 5 месяцев назад
Juzi kati December nimekua mitaa hio daaaaah sema wewe ni Fighter brother!!!
@cdeleo9336
@cdeleo9336 8 месяцев назад
Bora umeonesha ukweli na watu i hope watakusaidia
@aminamwivita7690
@aminamwivita7690 8 месяцев назад
congratulations keep it up good job 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 8 месяцев назад
Pole mdogo next time tafuta mzungu mkubwa sio hicho kitoto hanakuwa account zao hazina pesa ya kutosha wajerumani wabaili mno
@raymondclaud6026
@raymondclaud6026 8 месяцев назад
Kabisa ila sio wabahili Sema wana nidhamu ya kutumia pesa😅
@user-iq3qs2fl3c
@user-iq3qs2fl3c 8 месяцев назад
😅😅😅 nyie wajerumani waacheni😂😂🙌🙌
@PanduOfficialTz
@PanduOfficialTz 3 месяца назад
Kaka Nakubali, Mwanzo mgumu ila naimani mda unakuja Utabarikiwa Sana 🙏
@user-ud3jt6hx5y
@user-ud3jt6hx5y 8 месяцев назад
Daah hamisi we ni wakipekee sana pamba mdogo angu ukija iringa nione
@bwakahamisi9607
@bwakahamisi9607 8 месяцев назад
Sawa kaka
@raheemkhalfani7209
@raheemkhalfani7209 8 месяцев назад
unajua kitu,, Khamis upo true sana,, halafu pambana sana mungu atafungua milango,, . .
@aminamohammed-rq7ew
@aminamohammed-rq7ew 6 месяцев назад
Ukweli ni kwamba huy hafeck maisha yupo really….Masha Allah Allah akusimamie
@rehemamsengo2805
@rehemamsengo2805 5 месяцев назад
Aliweza atq kuomba ghetto Kwa washkaji wake ila kaonesha ualisia wake Allah akujaalie hamis ❤❤
@MahraMansoor5969
@MahraMansoor5969 7 месяцев назад
Nampenda hamis from uk 🇬🇧 anaitaji msaada
@user-wv9zr2zm2h
@user-wv9zr2zm2h 8 месяцев назад
Sawa mi sijaona baya... maisha yetu n aya aya..lkn dogo usafi n muimu...upangilie room yako vzr.. mbona fresh sana
@Its_Goodluck
@Its_Goodluck 8 месяцев назад
wazungu kuishi nao kwa akili na kama akuwezeshi kufikia malengo achana naye
@boazkingdaffer5330
@boazkingdaffer5330 8 месяцев назад
Asee akijalibu kufake life atateseka pongezi kwake mana anaishi maisha yake halisi
@bdreams2793
@bdreams2793 8 месяцев назад
Kaka u still young and u got talent please tzt people u Cnt not support this young guy bss mnafanya nn
@sugashTv
@sugashTv 8 месяцев назад
Huyu jamaa nimependa sana. Tumchangie isee...
@nmasare9364
@nmasare9364 8 месяцев назад
Hayo ndo maisha ya vijana wengi hapa dar nashangaa sana mnavyoshangaa alaf wasanii kibao sana wanaish hayo maisha sema tu wakiambiwaga interview wanatafuta nyumba wanampooza kidogo mwenye nyumba wanaiweka vtu vyao viwili vitatu wanakuja kufanyiwa interview ni kama vile tu waigizaji wanavyoazimaga nyumba za kushootia hata interview nyingi za wasanii nyumba wanaomba
@user-nn3is3hr8u
@user-nn3is3hr8u 8 месяцев назад
hahahahahahaaa
@MskMtm
@MskMtm 8 месяцев назад
Swaleh kila kitu anauliza 😂😂😂😂 et ule mfuko wanini had nimetamani kujua maisha yake so kwa maswali hayo😂😂😂
@user-rf6ie5fx9o
@user-rf6ie5fx9o 8 месяцев назад
😂😂😂 hadi feni anauliza km zinafanya kazi
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 8 месяцев назад
Eti mzungu hajanipa hela😂😂😂 pambana kaka fungu lako lipo tu mazal upo duniani riski yako hukosi
@dottomsuya6597
@dottomsuya6597 8 месяцев назад
Apige kazi aaache Uboya hapoa anazingua sanaa
@ValessKenny
@ValessKenny 8 месяцев назад
We kumaunann unamkejer kijana mwenzio
@jumakhamis226
@jumakhamis226 5 месяцев назад
😂😂😂😂Amisi bhnaaa
@user-yo7sj8fs4h
@user-yo7sj8fs4h 8 месяцев назад
Ndio mwanzo. Mungu atakuinua. Hata mimi nilianza na godoro kukuu ambalo nilipewa na kaka angu. Kaza utafanikiwa.
@azizayassin3623
@azizayassin3623 8 месяцев назад
Hyu ni mimi kabsa 😂😂😂😂 yni kama sna naomba adi watu wnashanga safi tu
@user-ne5pw7pp9g
@user-ne5pw7pp9g 8 месяцев назад
Pole njoo ZANZIBAR Wapo kibao huku
@ellyphysique4068
@ellyphysique4068 8 месяцев назад
He is straight I like him
@alexchungu6263
@alexchungu6263 8 месяцев назад
Hahaha tulio soma cuba, huyu anatudanganya
@MomadeMohammed
@MomadeMohammed 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂👏👏👏☝☝☝
@user-yo4cc3uq1n
@user-yo4cc3uq1n 8 месяцев назад
Big up sana mzee tunaishi hatuigizi
@Gab217
@Gab217 8 месяцев назад
Huyu jamaa ni comedy😂😂
@Bombom-ze1sj
@Bombom-ze1sj 8 месяцев назад
Inshaalah Soon You will win this Gme 💥💥💥 Ongera Sana ….
@furahaseth1215
@furahaseth1215 8 месяцев назад
I LOVE THAT HAKUNA MTU ANAEPENDA MAISHA MAGUMU NI MAISHA TUU!
@junioremmanuel1695
@junioremmanuel1695 8 месяцев назад
Mungu ni mwema utatusua
@khamismasms6095
@khamismasms6095 8 месяцев назад
Umeachiwa kiblauz 😂😂 umetufelisha beach boy😂😂😂
@imanimakishe8632
@imanimakishe8632 3 месяца назад
Kumbe mimi nimetoboa, asante Mungu
@furahaseth1215
@furahaseth1215 8 месяцев назад
Umenimeki Happy,kwamba Ukiona Wingu fasta Home daaa!
@NaseebMgono-wl3bu
@NaseebMgono-wl3bu 8 месяцев назад
Mi naona kma anatembelea upepo hata kma kma unafanya kaz kijana mpambanaji ushindwi vitu vidogovidogo kama gas na kadhalika huyu toka yupo bss ni mtu anaependa kuonewa huruma sana
@user-nn3is3hr8u
@user-nn3is3hr8u 8 месяцев назад
true
@Dogochao
@Dogochao 8 месяцев назад
Apambane ndio maisha. Kizuri yupo real.
@hassanamtunzitv2368
@hassanamtunzitv2368 8 месяцев назад
Da! Imeniuma anavyoishi. Ila nampongeza kwa kutofeki maisha. Japo anahitaji kusaidiwa si kupatiwa ela bali apate kibarua sehemu ili akajitafutie maisha yenye unafuu.
Далее
Hamis Bss Ft Jona - Waambie (Official Subtitles)
2:34
NATOKAJE
25:32
Просмотров 45 тыс.