Nampenda sana Nyoshi 😂😂😂 Raha ya wakongo hata kama anaishi mazingira mabovu vipi nenda kaangalie nguo zake,viatu,bakora,Kiko,kofia utanyoosha mikono.Wengine wanajiita Sapee kama sikosei.
Napenda kipindi chenu mnafanya vzr sana .. ila ndugu mtangazaji nafatilia sana vipindi vyako ikifika swala la kukaribiswa kinjwaji au kilaji macho yanakutoka unakuwa muoga kweli kweli si useme umefunga tuh
Wacongo kawaida sana wanapenda sana urembo wame kwa wake wanaume wa kikongo ad wanja chini ya macho wanapaka na lipshine na hawanaga story sana za ushoga ....wapo smart
Bongo bana yaani bado mtu anagonga geti kwa mikono kwani wireless bell bado hazijafika bongo?badilikeni walau kiasi nyumba na geti vinaumbali wa mita kazaa halafu unasikia mtu eti hodiii ngongongongo,sio poa,eti bongo Newyork!!newyork haina hata kengele milangoni.