Please subscribe now on Our RU-vid channel To be the first to hear about the latest news and updates on Time. #middlesimba #WeAreEverywhere #hamisi #Bongostarsearch
Na dully amempa heshima hamis maana hajamuita pamoja na wale waliotoka ..big up hamis 🤝umevunja record ya bbs toka ianze ....ww ndo mshiriki uliependwa zaidi
Nampenda hamisi ila alivyotoka nimefurahi mana chuki ni mwanzo wa mikosi m2 unamchukia mtt wa mwenzio kama nn na ungeimba ndombolo kabisaaa ili akutoe kwa kujigamba
Middle Simba ni wasanii gani wanaoelekea kigoma coz naskia list imekuwa kubwa. We sasa macho na maskio Kigoma tu...Ni siku zilo bakia. 🔥Tukutane Kigoma🚄🚉🛳🚣♂️🚘✈🚁🚙🛵🛴 Utaangalia ss vile utafika. 31 12 19 🔥🔥🔥#10yrs #Wcb 4life✌❤❤
Umeliza hamis mungu atakupigania inshaallah Master J mungu anakuona wallah maneno mazito mno mtoe tu lakin daa nimemumia sana duu inauma mno jamn maneno gani haya jamn eee mungu wangu
Mimi nilidhani mna saka vipaji,, kumbe mnataguta mastaa!!! Sasa kama ni hivyo kwanini msiwachukue wakina,, Simba,, Kiba,, Konde,, Asley na wengine wengi maana hao ndio mastaa
Ainsi hapo sasa wawo wanatafta watu wenye cimahi va kweli hamisi anskipaj kuwazid wote mule nasha ngaa sana kilasku wanamkashif kisa hali yake duni ila mungu yupo mtu anafikia kusema mtu katoka tu huko kune family masikin aje apewe ushindi yaani hii kaur ineniuma sana
hamisi nilikupenda lakini kusema ukweli hii mashidano ni kali sana kuna meshack, na wengine hapa wakali kukuliko so all the best dont give up. team kenyan in doha
Hamisi nakukubali sana dogo langu hata mm nimependa ulivyo toka maana naamin mwakani usijali mkali wangu ukijipanga vizury unapenya bila kibinganishi chochote asante
Master j punguza iyo roho jaman em vaa via2 vya wazaz wa hamisi imagine ndo wewe uone mwanao anasakamwa ivyo looh ata kama ajui kuimba m2 usijivunie cheo ulicho nacho maisha yanabadilika sana usimdharau m2 kwa hali yake ya maisha iko siku hamisi anawez kua msanii mkubwa aibu ikakurudia na iyo roho yako chafu
Master J hipo siku utajutia ulichomfanyia Hamisi ...hauna utu kabsa jibaba wewe nmekuchukia maishani ata nakuombea mabaya ...Dunia Duara lazma hapa hapa Duniani either mtoto wako ama mjukuu atajalizwa hivihivi
jereh Tifuh kabisa hata Mimi nimemchukia masta j lakini amini hamisi anakipaji wana tafuta wauza sura lakini kama wange kuwa wanatafuta kipaji kipo kwa hamisi watake wasitake
Wapo kibao wenye vipaji vya kuimba ila hamis ananyota Kali sana ....wapo washindi kibao waliokuwa washindi wa Kwanza na mbaka leo hawana maajabu .yoyote ..ila harmonize now star .na pili dully saksi.ameongea point mbaka nimelia 😭😭😭😭...daah hamisi machozi yametutoka karibu watu 10 ipo siku Allah atakufanyia wepesi ila ungeenda kusoma quraan. Maana unasauti nzuri sana .nakuombea Dua uachane na mziki wa dunia insha Allah 🙏
@@nuranzubail8134 kabisa my hamis ananyota ndo kitu kinachomfanya azidi kuwaka .ila pia hamis alikuwa tayar kutolewa coz tayar anabonge donge nono maana tayar Kuna watu wazito nyuma yake ..baada yakugundua kuwa hamis ananyota .......yaani yajayo yanafurahisha hujamuona hamis alivyotolewa hajalia ...maana kashapangwa hapana chezea nyotaaaaaaa😘
Master master tu..... Mwenye huruma naye hamfanyie donea aende chuo cha Muziki kwanza, dogo kimuziki bado....! MasterJ upo hapo kikazi zaidi, big up broo.....
Mbona anaweza kuimba Ila master j alianza kumponda toka mwanzo Ila hamsi uskate tamaa nawala usikubali kukatishwa tamaa maisha ndivyo yalivyo sio wote watakao kukubali hapa dunian kikubwa jikubali mwenye. Pambana inshaallaha utatoka hata kupitia njia nyingine . Nakutakia good luck .
Jaman,mnavyomlaumu master J si vyema,kumbukeni haya ni mashindano na ushindani ni mkubwa sana na wako watu wanavipaji ,je hamuoni kama mtakuwa mnawadhurumu watu wengine kwa kumng'ang'ania hamisi tu,hebu tuwe wavumilivu tuwaache majaji wafanye kazi yao kwa amani tusiwatusi hiyo si hekima ndg zang
Hatumlaum Ila Hana kauli nzur zakumkata mtu anamaneno yakuumza yaan kukatisha taama mazma hata kama mtu hawez bas nvzur kutumia kauli nzur yamaneno itakaomfanya mtu asiumie hata akitoka Kwan yeye hams hajui kama alikua kwenye mashindano ama ajue kumkataa mtu anakauli sio nzur .
@@ajuu00sule79 sindio..mwanzo hamisi ana moyo Sana..mmi wali wa kusimagwa.. Bora nile ugali wangu na papa . ingekuwa nishajitoa kitambo...walimtumia hamsi ili wafike final ndio wamtoe