Nimesikuliza sana Hotuba ya Ruto lakini binafsi nimeona mambo mengi. 1. Ruto amepoteza kujiamini na anajaribu kutafuta huruma ya wananchi wake. 2. Amethibitisha kwamba Serikali yake haijui nini inataka kufanya na kusimamia mpaka wakumbushwe majukumu. 3. Ameshakumbuka alichokuwa amesahau kwamba nchi ni mali ya wananchi. 4. Ruto hajui Kusoma nyakati. Finally, alipaswa kuvunja Serikali Kisha ajiuzuru kwa kuwa tayari ameshaonesha udhaifu katika kusimamia masrahi ya Taifa.
Na hapo kwenye wapinzani ku take advantage ndio unamkumbuka sun tzu kwenye art of war " when things mess around take the advantage" yani kufa kufaana.. dj sma anaelewa hii❤❤
Kwanza kabisa niwashukuru SNS kwa kuanzisha kipindi cha GPS na kuanza kuchambua mambo kadha wa kadha. Mliyokuwa mkiyaongea/kuyachambua siku chache nyuma yametokea. Big up sana !!
We need ruto to gasp for air,aongoze akijua anaongoza raia siyo Bibi,mamake,watoto,mpango wa kando,ruto akifaulu kuongoza hii Kenya miaka mitano basi atakua amechoka sana na kuzeeka,awe pia mwangalifu asije pigwa lisasi na security wake
PIYA TANZANIA YENU IZUNGUMZIENI LISU ANAANDAMANA PIYA AU AMONI? AU MPAKA WATU WAFE NDO YATAITWA MAANDAMANO? AU KUMUOGOPA SAANA SAMIA? MBONA MUNAMPAMBA SAANA UYO MAMA WENU AU MNASAAU KM NILAZIMA AWASAIDIE RAIYA YEYE KM RAHISI? TANZANIA MDOMO SANA NA YAKWENU YANAWASHINDA TUACHENI NA KENYA YETU😭😭
Kuna mke wa zakayo naye anasumbua sana kwenye taifa la ughaibun naye amekuwa kero tena shidaa hajui nini maana ya maisha ya mnyonge. Ipo siku mnyonge mnyongen lakin hakiyake mtatoa.
Ruto hutuba yake sikuitegemea ilivyosema.... vile nilidhani atajiuzuru....Kenya stand up All the best mpka mpate haki zenu maraisi wa Africa iwe fundishoo kutoka Kenya
Sns tukumbushane ,,chanzo cha yote hayo ,ni kutokea kwa Muigizaji ERICK OMOND Ndie mtu wa kwanza kuibua hizi mambo na kutia nguvu ,na erick omond amekuwa mstari wa mbele sana kwa hii ishu ya maandamano ya kupinga mswada
KWELI KBX KAKA TZ WASAANI WANAMPAMBA SAANA UYO MAMA SAMIA WANASAAU KM NIMAJUKUMU YAKE ANALAZIMIKA AFANYE NA YAKIMXHINDA ATOKE KILA SIKU MAMA MAMA MNASAAU KM KIJIJINI WATU TUNA ANGAIKA YAANI KAWA WEKEYA MADARAJA DAR 2 BS MNAONA TZ IMEFANA DAH😭😭
@@husseinhemedi9314 Katiba mpya ndio itaondoa uvivu wa akili kwa vijana? Tuwe wa kweli vijana walio wengi wa Bongo wako bize na upuuzi, kubeti, ushoga, kumfuatilia Mwijaku na Mama Levo, vita vya Dai na Kiba. Mtu anashinda mtandaoni akiomba like kuliko kuomba kazi nadhani tunahitaji kubadili tabia zetu.
Haja withdraw. Amekataa kusign tuu ila after 14 days mswada utakuwa sheria automatically. Bunge linaenda mapumziko mpaka 24 july, siku 14 zitakuwa zimeisha.
Hasira ya mwanadamu haijawahi kutenda haki na kenya wajue Ruto Hana cha kupoteza anaweza kuondoka akawaachia nchi yao iliyoharibika kwa vita na umaskini...Mungu awape utulivu ili maamuzi ya hao vijana wa 2000 wasio na akili wajue mihemko haisaidii lolote...zaidi sana ni kumwaga damu na kuiweka nchi rehani
Eti hasira ya mwanadamu haijawahi kutenda haki: Wewe ni mjinga kweli kweli, ya Dini unatuletea hapa? Ya Mungu mpe Mungu na kaisari mpe yake. Sasa kaisari amepata haki yake na amebadilisha mswada sasa kwa kuwa ameua raia wake, lazima Ruto aondoke.
Kw mujibu wa Hali ya watu wa nchini Kenya kuandamana,Muswada ulikuwa km busty lkn kuna kitu nyuma ya pazia lkn sababu kuu ni Ruto kuna kosa kubwa kalifanya la kimkakati la kimataifa kw wazo. Langu k w kiasi flani km. Alivosema Henry mwinuka kuna generation mbili 2 X na z hii Maana yake kuna mfanano wa ideology ktk vizaazi vi2 hivi vipo tofauti na mawazo na vipindi vya nyuma.lkn ndani ya waandamannaji kuna watu Wana target au shabaha ambayo ni mbali na Muswada. Lkn. Kw nini baada ya. Kauli ya Ruto tunaona bado maandamano hayakusita?
Usalama wa Taifa kenya umempotosha Rais kwani walipaswa kulitambua hili na kumshauri Rais kwani Gen z walihasishana kwenye mitandao siku kadhaa baada ya mswada kuandaliwa hivyo interejensia hawakumshauri vizuri au walifanya kazi kwa mazoea...
#SNS Naomba kujibiwa kama usalama wa taifa wanasimamia usalama kwani pesa zinavyopigwa na viongozi hawaoni kama raia ambao wanaona pesa zinapigwa kila siku amani inazidi kuwa ndogo na wao wazuie au ndo na usalama wa taifa ni miyayusho pia
Tatizo jamaa anajifanya so smart,but vijana wa saivi ten steps ahead of him,we cant trust him anymore. hata kama amekataa kusign,after 14days inakuwa sheria
Tatizo hili haliko Kenya tu, bali ni la Afrika mashariki kwa ujumla wake, viongozi wetu wanalipina posho, wabunge wanaoptisha Sheria kandamizi wanalipwa mishahara mikubwa, kazi wanazofanya hakuna, wananunua magari ya kifahari, badala ya kupunguza matumizi ya Serikali kipau mbele chao ni kuwabebesha mzigo wa Kodi, hili la Kenya liwe fundusho kwa nchi zetu za Afrika mashariki.
Mm binafsi kwa Maoni yangu Naona kama Wakenya wamewekwa kwenye mtego Kwa sababu Bunge limefungwa kwa Likizo mpk July inamaana kwa katiba yao hata kama Ruto Hatasaini Siku 14 zikipita bila Bunge kwepo Kazini huu Mswada itakuwa Sheria kwa hiyo Kuna mtego kati Rais Bunge thidi ya Wakenya
This is East African spring. Viingozi wa Africa Mjitasmini zakayo omba Mungu lasivo hiyo Matako hutaweka tena kwa kiti Raiyaa wameshakushtukia wewe ni Kibaraka wa Western
Ukiingia mkataba na Marekani hakuna kujiuzuru mpaka utimize malengo yao yani hakuna tofauti na kuchukua mkopo kwenye app ya simu hakuna kutoka mpaka umalize deni Ruto kayavagaa
Sma em ongelea KENYA, acha kuongelea RUTO. Maana inaonekana uko against RUTO tangu atoke kutafuta msaada America. Umeulizwa swali......Je suala hili litasambaa AFRICA?.....Jibu hilo, acha kum attack Ruto!
Hawa vijana kuingiya state house siyo tatizo maana naona kama bunge walingiya na kuchoma na wabunge kuingiya mitini basi state house wanaweza ingia, Rais wao asijipige kifuwa lazima asikize wananchi maana wee kenya nawapa heko
Shida ya ruto ni utumiaji wa pesa kwa wambunge kama sudi, ichungwa,ndindi nyoro wanazunguka na pesa kaa miungu ndo wanavyo chomewa manyumba na maafisi kisha tulipe kodi wakule mbure manyangao😭😭😭
Zakayo kiburi yake ndio imefanya afikishue hapa jamaa amepata mamlaka akawapotezea wanchii atajua hajuii marahii atarefuka n hio ufupii kavule bakuli ymboga mwizii mkubwa n kibaraka w mashoga U.S mtu pumbavuu kabisa
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Mimi kama Mtanzania nasisitiza tuachane na mikopo Hasa ya IMF na IMF ni vyombo vya kutunyonya tubaki masikini.Ni mashirika ya nchi za Magharibi ni pesa zao wanaprint tu.
Kakonda Ruto katoka shingo iyo 😂😂famasihara😂na nguvu ya umma Tanzania 🇹🇿 pekee ndo tutakaochelewa kujipigania wasanii wetu hawapo pamoja na wananchi wapo na serikali bega kwa bega kwa maslahi yao kenya wasanii wao wameungana na wananchi kuipinga serikali bongo wafanya biashara wamegoma hakuna sauti ilopazwa kuwapigania
Kaka smaa we ujuwi kumbe unasema wangeweza kukubali mapema kabla ya maafa...shida walikuwa wanapima upepo wa wananchi...viongozi bwana wanakopa mipesa mingii alafu wanafanya ufisadi alafu maden yote wanatutupia sisi wananchi wakawaida..
Najuwa walikuwa wnapima, na ndio mana nikasema wangeweza kukubali mapema, ukipima ni 50,50 inaweza kukubali au kubuma, so r u ready to take the risk? Narudia tena wangeweza kukubali mapema, niliongea haya kabla ya mandamano nawajuwa wakenya
@@djsma255 Mimi nipo pamoja Sana na ninyi kaka smaa .Yan aya mambo yamakato bila sababu nikwer yanaumiza Sana wananchi Yan ..maisha magumu no ajira mikod mikubwa watu hawana furaha ya maisha kabisa..ila ndo ivyo inabidi ukae tu kimya..maufisadi..
Sifa ya kiongozi bora ni awe hatua tatu zaidi mbele kabla ya kuamua jambo hususani kwa wananchi wenye misimamo mikali ka wakenya..ile bills aisee ilibidi ajue kinachofuata ni kipi, ilibidi mapemaaaa aitie kibiritii😅
@@husseinmassawa7186 tatizo walijizima data walijisahau wakazania wakenya wamepowa kumbe Bado wapo active Zaid na washachoka na maisha mda tu ivyo kujiripua kwao sio tatizo..safi ila maandamano yawe ya amani tu Kila la heri kwao wakenya
Tusisahau kuwa kabla ya south africa nigeria waliteta demonstration ya wafanya kazi na kufata Kenya na Tanzania Wana demonstration ya wafanya biashara hii ni wimbi la vijana ambalo mmojanya wasemaji marekani alisema Kuna nguvu ya umma ambayo Ina nguvu Sana la kufanya ninkukaa mbali na kuwapa njia na kuwasikiza
Hii ilyotokea Kenya ni UHAMSHO wa nchi nyingine.za.Afrika, hasa hasa nchi majirani zenye tabia km ya Kenya, Rushwa, Wizi wa fedha za UMA, serikali nguli km mnavyojiita .
🫵🏿👊🏿🇰🇪🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇷🇼👊🏿🫵🏿Kweli Kaka matatizo Africa yana fanana sana! Viongozi awajali watu wa Africa's 😢 Africa ali ningumu sana sana😢 Africa watu wana kufa kila siku😢 wa Africa shida nikila siku 😢 Africa viozozi wana iba sana😢 Africa akuna madawa hospital 🏥 😢 Africa kila siku ni vita😢 lazima tukataye sasa😢 Africa President's they don't care about Africa's people's 😢 Africa's President's they keep make us Africa's people's be more poor every day 😢 Africa is very poverty every day! Kwa kweli sisi wa Africa tuna shoka na viogozi wa Africa's😢 Kila mwaka wa Africa tuna kimbiya Africa kuja Europe 🇪🇺 sio kwetu 😢America 🇺🇸 sio kwetu😢 UK 🇬🇧 sio kwetu😢 Australia 🇦🇺 sio kwetu 😢 Canada 🇨🇦 sio kwetu 😢 lazima tutegeneze Africa yetu sasa hivi😢 our Africa's President's they keeps send our money 💰 Africa's people's to Europe and America 🇺🇸 how many Africa's people's died every day in Africa 😢 we need change now all Africa 😢 power to all people's of Kenya now 🇰🇪🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇷🇼🫵🏿👊🏿