Nitakuwa na furaha pale nitakapo muona hajji manara kurudi yanga! Yaliyo pita si ndwele na tugange yanayo kuja, na mwomba rais wa TFF wafute adhabu ya manara na tuna mtaka arudi mzigoni na siku ya mwananchi tu mwone
Kuna makombe mengi TU Yanga na Simba SC zimeshinda. Mfano Kombe la Mayor wa Kampala Yanga ilitwaa 1978 Kombe la Jengo Kombe la Mayor wa Dar es salaam mwanzoni mwa miaka ya 1970s(Hayati mstahiki Omar Londo,nk) Kwa kifupi ni kwamba Yanga ni Bingwa wa nchi yetu Kwa maana zote(Bara, Muungano) Mara 29, Pia ni Bingwa Afrika Mashariki na Kati mara 5(Siku hizi kagame Cup) Simba SC ni bingwa wa Soccer nchi yetu (Kwa maana zote)mara 22 Bingwa Afrika Mashariki na Kati mara 6. Hapo kwenye Mataji ya ubingwa jumla ya Yanga ni 29+5=34 Simba SC ni 22+6=28 Makombe ya FA (yamepitia majina kama Nyerere Cup nk) Takwimu zake mnazo. Woote wawili wamefanikiwa ingawa Yanga inayo mengi zaidi.
Nimeamini ww manala nimunjwa wahakili je wakati unawambia wa Tanzania kua simba ndoyo timu yenye makombe mengi kuliko timu yeyote Tanzania ulikua umekatwa kichwa au ulikuwa umevuta bangi kwa ilo inatosha kukutambua kwamba ww ni mwehu ulie vaa nguo munafiki mkubwa una hata aibu nazambi zako