Тёмный

MANARA ajibu KUHUSU rais KARIA "MIMI SIWEZI KUACHA MPIRA, MPIRA NI WANGU MIMI NTAMUACHIA NANI?" 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 94 тыс.
50% 1

MANARA AJIBU KUHUSU RAIS KARIA "MIMI SIWEZI KUACHA MPIRA, MPIRA NI WANGU MIMI NTAMUACHIA NANI?"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

28 ноя 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 120   
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 7 месяцев назад
Tunakupenda wananchii na watu wa soka kwa wingi
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂nakukubali sanaaa haji❤
@albertmwinde487
@albertmwinde487 7 месяцев назад
Huyu mwamba anaakili sana yaaani aiseeee
@ricklandennis
@ricklandennis 7 месяцев назад
Una uhakika gani km Mpira ndio unakutaka, mbona hakuna kinachomiss? Au ulikuwa namba ngapi unacheza. Ali Kamwe, Ahmed Ally, Hashim Ibwe. wamefit km wasemaji na tunaenjoy ww chuki nyingi
@kibedikamba7616
@kibedikamba7616 7 месяцев назад
Wewe ujui umuhimu wa haji
@user-lo9pb1po8l
@user-lo9pb1po8l 7 месяцев назад
Hao wote uliowataja hapo hakuna anayemfikia haji
@babawatotobabu7229
@babawatotobabu7229 7 месяцев назад
KAZI YA MWANA F A IYO NDIO MWAKINYO AKO UHURU 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 7 месяцев назад
Kalia anawafanya watu watoto wadogo.
@bavonichristopha1693
@bavonichristopha1693 7 месяцев назад
Mmmh sio kweli my brother why useme wewe ndo unakuitaji mpira kuliko wewe unavyouitaji mpira kwani wewe unacheza namba ngapi hacha hizo mambo za kujikweza bro
@kamalissabig4631
@kamalissabig4631 7 месяцев назад
Nakuchukia sana we Kuma ila Leo umeongea Point nyingi sana
@WaziriRamadhan-ML
@WaziriRamadhan-ML 7 месяцев назад
Msenge kaongea fact sn leo😂😂
@sebastianphineas1593
@sebastianphineas1593 7 месяцев назад
Huyu jamaa msahaulifu sana maana kauli zake kuhusu hili zipo nyingi tofaut tofaut
@khmissalum3881
@khmissalum3881 7 месяцев назад
Kaka Haji manara uko vizuri sana wambie hao viongozi wasojua wanacho kisema,wanajizongazonga ktk kauli zao
@gilbertmwaikusa-kt2ze
@gilbertmwaikusa-kt2ze 7 месяцев назад
Karia hakusema kwamba yy kasema alisema alikuta rufaa yako na kasema ishughulikieni na ninyi watangazaji kumbukumbu hamnazo
@cettyamandus2929
@cettyamandus2929 6 месяцев назад
Ezidi uyooo mbwaaa
@rogersiddy
@rogersiddy 7 месяцев назад
Kifupi Karia anachuki anaona TFF mali yake ila muda utaongea tu atakuwa nje ya mamlaka muda wake utaisha tu hakai milele pale
@saidmansoor8528
@saidmansoor8528 7 месяцев назад
Yaaaaaaani amwachie Ahmed ally noooo😂😂😂
@rogersiddy
@rogersiddy 7 месяцев назад
Haji usitumie nguvu nyiiingi kujielezea kuhusu Karia tuliona Karia aliongea yauwongo mtupu tunafuatilia mipila miaka yote hatujaskia umefungiwa miaka7 alijitapa tu sikuile Karia
@user-hq3yn4uj1f
@user-hq3yn4uj1f 6 месяцев назад
Kaka haji nimekuelewa sana kumbe ulikua huna Nia mbaya na kijana.ahsante kaka.sasa turudi kwa mwakinyo mwakinyo tulio wengi Tanzania tunakupenda.nikweli kabosa achana na midia.ishi na maneno yaji manala,❤😂
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 7 месяцев назад
Haji upo vizuri ktk michezo tatizo lako ni kujiamini kupitiliza hata kupita utaratibu kanuni na sheria hivyo ndiyo vinasababisha ufungiwe
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 7 месяцев назад
Kalia mjinga tu
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 7 месяцев назад
Eti ,"mheshimiwa rais (lahisi")! Yaani tunapofikia kila mwenye dhamana fulani tunamuita "mheshimiwa" jamii itatengeneza maisha ya unyonge. Karia ni rais wa TFF, lakini uheshimiwa aaaah, kwa vipi? Hapo hapana!
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 7 месяцев назад
SIMBA NGUVU MOJA 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖 mashabiki bora barani Africa 🇹🇿
@ashaomary5558
@ashaomary5558 7 месяцев назад
Hongera kaka😂😂😂😂haji
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 7 месяцев назад
Hili jamaa noma sana 😂😂😂😂
@user-lr1zg4lz7z
@user-lr1zg4lz7z 7 месяцев назад
Sana manara
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 7 месяцев назад
Wewe siyo kweli kitu unachokipenda ukikikosa huwezi kuwa poa
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 6 месяцев назад
Manara mtoto wa kariakoo
@ganzos-the-don6567
@ganzos-the-don6567 7 месяцев назад
Et mpira wangu 😂😂😂
@msabahaali758
@msabahaali758 7 месяцев назад
haji tunakukubali sana tunakumis sana bugatti
@ngoyaboy1590
@ngoyaboy1590 7 месяцев назад
Basi karia atuambie Hajii ilikuwaje kuwaje had akatukanwa
@MS.independent8934
@MS.independent8934 7 месяцев назад
Kweli rudi tu kwenye mpira maana mpira ume ku' miss sn 😂😂😂😂 aisee wakuachee
@sebastianphineas1593
@sebastianphineas1593 7 месяцев назад
Rudini kweny speech ya karia
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 7 месяцев назад
Marijuana inasumbua mno. Ukikosa kuchagua maneno ya kuxungunza utakuwa unapiga kelele tu. Ujuaji siku zote mwisho wake ni kuumbuka
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 7 месяцев назад
Nimependa haji alivyongelea mwakinyo huo ndiyo uwanamichezo
@rogersiddy
@rogersiddy 7 месяцев назад
😂😂hapo sasa yeye ndo alisema kamati ya maadili ndo imemfungia sio yeye imekuaje kifungo chako alichodai ulifungwa miaka 7 amekufungulia yeye?vp kamati ilimpa luksa yakukufungulia?yaan muongoooo aliongea uongo adi anajistukia 😂😂😂😂
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 7 месяцев назад
Zeee uo.sijui toa wapi nguvu mamaee ww 😂😂😂😂
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 9 дней назад
We kiboko wananchiiiii tunakupenda
@KhasondeJnr
@KhasondeJnr 7 месяцев назад
Yaan Hapo Badoo Mmmh.
@musamusa6213
@musamusa6213 7 месяцев назад
Karia ajifunze kwa rais wa yanga yeye cheo chake anaona kawaida tu yeye karia badara ya kudiri na mpila anadiri na wasemaji!!karia bora hata mungu akuchukue utuachie tz yetu mpila utafika mbali
@NasibHasan-eq5pf
@NasibHasan-eq5pf 11 дней назад
karia kiazi
@user-gq9if4dx6f
@user-gq9if4dx6f 7 месяцев назад
Siulisema unaacha mpira leo vip
@athanasvahaye7725
@athanasvahaye7725 7 месяцев назад
Huyu naye,hata simuelewi ki ukweli.
@Kanyawela
@Kanyawela 7 месяцев назад
Uyu karia alimtafuta sana Ajii na Ajii akaingia 18 zake
@MeckMsea-cx1ct
@MeckMsea-cx1ct 19 минут назад
Ww una mdomo sasa kujisifia v
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 7 месяцев назад
Karia ananafasi ya kukutetea shida kujiona unajua siyo kweli
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 7 месяцев назад
Wewe Baki huko huko utopoloni
@davidmwambije3713
@davidmwambije3713 7 месяцев назад
Kaka MWAKINYO, niwe mkweli nakupenda! Kaka ni kwamba MWAKINYO alikuwa na wakati mgumu sana kipindi kile cha kiatu, sasa inapotokea mtu kama ww mwenye USHAWISHI ktk society ukasema vile hakika anakuwa demoralized, plz if true ulizungumza vile ktk kuumia kupoteza pambano bac zungumzeni private! Ahsante.
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 7 месяцев назад
😂😂😂Huo ni uongo bhana
@studio..07
@studio..07 7 месяцев назад
Mnaomsikiliza nanyinyi Ni mapimbi tu
@ghulamhaji7856
@ghulamhaji7856 6 месяцев назад
Karia acha kushughulikia mashabiki wa mpira deal na mpira simamia academy tupate wachezaji wa kitanzania punguza wachezaji wa kigeni ili tupate maendeleo na rank ya fifa ndio inaakisi mpira wa nchi husika na rank ya caf haiakisi mpira wa nchi husika
@robertedward1992
@robertedward1992 7 месяцев назад
Wewe kichaaa,kwani mpira unasema?
@osumsafi2095
@osumsafi2095 7 месяцев назад
Bugati wewe una kosa sawa karia yuko nachuki zake tu!
@msabahaali758
@msabahaali758 Месяц назад
bugati tunakumis sana kwenye football
@Endujoji
@Endujoji Месяц назад
Wanakuonea mafisadi
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 7 месяцев назад
Haji zee la kufila mpaka mavi mamaeee
@jumamiraji3081
@jumamiraji3081 7 месяцев назад
Hakuna MTU mshezi na mwongo kama yy wake zake tu Kila siku wanamshinda
@maikosamila7187
@maikosamila7187 7 месяцев назад
Madaraka Yana mwisho
@user-sc7ip6kg9v
@user-sc7ip6kg9v 7 месяцев назад
Mbona silewi hawa tangulini na mpira mpaka juma mkundu naye anadisikasi mpira wewe haji manara kuma kibuyu hujuwi mpira
@GodfreyMagagi-yh2fr
@GodfreyMagagi-yh2fr 7 месяцев назад
Mara naaacha mpra Mara siachi mpra
@jimmydizonga1335
@jimmydizonga1335 7 месяцев назад
Ukimsikiliza vzr uyu jamaa bila kuweka ushabiki wa usimba na uyanga utagundua Kuna siku atasema bila yy simba na yanga zisinge piga atua. Natujipe muda kidogo atakuja kusema bila yy yanga isingechukua ubingwa tuombeane uzima tu.
@songombingo108
@songombingo108 7 месяцев назад
Yana mwisho. Utakuwa HURU tu Bugaaa
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 7 месяцев назад
Huyu Babu anejiona kaka si atulie
@maulidi8479
@maulidi8479 7 месяцев назад
Wewe si unakipaji cha kunyonya mzee Buggati 😅😅😅😅😅
@DottoWence
@DottoWence Месяц назад
Yeeeeeees....Wakati fulani kulitokea utata kati ya Serikali ya Amerika(USA) na Italia,kulitokea ajali ya anga, Pilot wa Jet Fighter wa USA alisababisha ajali na kusababisha vifo.Baada ya mizozo ya muda mrefu... SERIKALI ya USA iliiomba radhi Serikali ya Italia..Na USA ilitamka kuwa kuzozana sana huenda kukazalisha hatari na hasara za binadamu wasio na hatia
@kibedikamba7616
@kibedikamba7616 7 месяцев назад
😂😂 haji jeuri eti machi zetu za kimpataepatae nishazuiwa
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 19 дней назад
Hivi ww na wengine nani mtatata manara ,ww n mtata sana watu wangapi umegombana nao??
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 7 месяцев назад
BUGHATI 😢😢😢😢
@mr.lawimagupa3914
@mr.lawimagupa3914 7 месяцев назад
Kanajikuta kamalaika hako😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 7 месяцев назад
Karia kasema Manara mpaka leo hajatimiza masharti,kwa hiyo subiri tu, tafuta kazi nyingine, uingie usanii au kupiga muziki.
@suleimanjuma1872
@suleimanjuma1872 7 месяцев назад
Ebugatiiiiiii
@ChiwalangaWilliam
@ChiwalangaWilliam 25 дней назад
Haji jiandae kuwatangaza wachezaji bot.
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 7 месяцев назад
Ujanja mwingi mbele giza
@victornyese9009
@victornyese9009 Месяц назад
Hilo nilisomali lakini mungu yupo haukua na kosa lolote shida ulivoondoka simba aliogopa vijembe vyoko na nihisi ungekuepo kwenye nafasi yako ungeua bila kukusudia lingekufa presha
@robertedward1992
@robertedward1992 7 месяцев назад
Inatakiwa ufungiwe maisha
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 7 месяцев назад
Akifungiwa maisha wewe utapata nini? Utarithi mali zake?au roho mbaya na chuki binafsi?kama CV za uandishi wa habari peleka maombi akuajri kwenye media take achana na gubu
@jumamiraji3081
@jumamiraji3081 7 месяцев назад
Ww mdau uliepiga kelele nae fala
@elinihakimsuya1673
@elinihakimsuya1673 7 месяцев назад
Ingekuwa mimi ningekufungia maisha
@user-lo9pb1po8l
@user-lo9pb1po8l 7 месяцев назад
Ungekuwa ww au sio
@AjiaMohamed-rt5pb
@AjiaMohamed-rt5pb 7 месяцев назад
Wasenge pekee ndio wenye roho mbaya
@jumaseif2452
@jumaseif2452 7 месяцев назад
​@@AjiaMohamed-rt5pb NA SIO TU WASENGE HUYO JAMAA ATAKUWA ANATABIA ZA KIKE
@zeddymourice4249
@zeddymourice4249 7 месяцев назад
Hapungukiwi na kitu hata afungiwe maisha,ana madili kibao hategemei usemaji wa timu.
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 7 месяцев назад
Mimi Ningekuwa Daima.
@yohanamabula7088
@yohanamabula7088 7 месяцев назад
Acha marnara we nani unajua wandishi wanakuvimbisha kichwa na kutaka kurudisha soka nyuma nani alikuwa kipendwa kama rais nyerere
@simoncmatanda5135
@simoncmatanda5135 7 месяцев назад
Acha uongo we jamaaa watu wamekuchoka
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 7 месяцев назад
Hatujamchoka tunampenda hayo mambo ya mpira uhamasishaji hajafikiwa adhabu itaisha na viongozi wetu Yanga watampatia hukumu atumike
@ganzos-the-don6567
@ganzos-the-don6567 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 Месяц назад
Karia hafai kuwa Rais wa Tff sura yake inaonyesha ni mtu wa kisasi tu, Hovyo kabisa
@raymondmtecko9197
@raymondmtecko9197 7 месяцев назад
Bugaaa
@omarymwigula9826
@omarymwigula9826 7 месяцев назад
Muongo huyu tokea afungiwe mpira wa tanzania umepaa Sana kuanzia vilabu hadi timu za taifa
@adorchmassimba4413
@adorchmassimba4413 7 месяцев назад
Manara unaonekana unachuki binafsi na kalia sio bule ufanye makosa ya makusudi kupewa adhabu kosa nakuanza kumshambulia kalia nakuona kama anakuonea elewa hao unaojivunia nakukupa kibuli kwasababu wanamamlaka makubwa ktk nchi ipo siku watatoweka watakuja wengine ambao hawamjuwi yusufu nasimba na yanga itakua palepale
@alijumaabdallah6313
@alijumaabdallah6313 7 месяцев назад
nenda ww
@user-mp4ct5iw1i
@user-mp4ct5iw1i Месяц назад
Karb san chuma
@eliamwaisoba6537
@eliamwaisoba6537 7 месяцев назад
Shida poropaganda nyingi
@KarokiaNdirango-lj3wf
@KarokiaNdirango-lj3wf 6 месяцев назад
Mpaka hapo huna kosa wewe haji mwenyeshida ni karia, kama vipi asepe
@stevenclaud6648
@stevenclaud6648 7 месяцев назад
Ujuaji wako wewe bwege unajikuta mjuaji sana mtoto wa mjini Acha ujuaji Fala wewe kuwafanya wengne hawajielewi umeifanyia nini Tanzania katika mafanikio ya mpira Acha kujimwambafai
@IddiRajabu-m4m
@IddiRajabu-m4m 12 дней назад
Aji ludi Simba tume kumisi
@RaymondMshote-yd2os
@RaymondMshote-yd2os 7 месяцев назад
Labda tu niseme waandishi pia mnacgangia mpira kuifnya kama taarabu
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 7 месяцев назад
Tff siyo karia wewe unaendelea kufanya makosa sasa wanakuachaje
@charlesjoseph1081
@charlesjoseph1081 7 месяцев назад
Haji ni senge hafai kwenye mpira wa Tz rudi kwenu Burundi au karemi kwenye asili yenu matako weye
@owenmutale8686
@owenmutale8686 7 месяцев назад
Na ww rudi kwenu sudan kusini shoga mzoefu
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm 7 месяцев назад
sio hafai munamuogopa tu
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 7 месяцев назад
Haji ni tunu ya taifa kwenye masuala ya mpira. Amesababisha timu ya Taifa kufuatiliwa na watanzania wengi. Huwezi kumfungia mtu kupata maslahi yake ni sawa na kumwambia afe. Kama maraisi wa nchi wanatukanwa, iwe raisi wa TFF ambaye analipwa na kodi ya wananchi? Kwani TFF inazalisha nini? Je inaendeleza vipaji?
@nathankihiyo6194
@nathankihiyo6194 7 месяцев назад
Embu tupe mfano wa Rais wa chsma cha mpira ambae alitukanwa na kiongozi wa timu flan bila kuchukuliwa hatua. Sheria za mpira zinatakiwa zifutwe na kila kiongozi haijalish una umaarufu kias gani bali ni Sheria inayomtafuna kiongozi yeyote yule atakaeenda kinyume.
@user-nn5sq8ol4g
@user-nn5sq8ol4g 7 месяцев назад
Bugatt
@user-nm5tp6kw1v
@user-nm5tp6kw1v 7 месяцев назад
wewe ni mnafiki2 huna lolote, karia hajasema kama yeye ndo kakufungulia ila yeye alisema watu wanasema kwamba yeye ndo kakufungulia,
@joojombi2341
@joojombi2341 7 месяцев назад
Karia ni mtu wa chuki binafsi hizo na fatani mkubwa mbali ya muongo mkubwa huyo. Ni fatani mkubwa sana huyo
@alimohd5307
@alimohd5307 7 месяцев назад
Wakati wako umepita wewe pimbi subiri utangaze magodoro ya G S M
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 7 месяцев назад
Huyo karia mpumbavu sana simkubali ana jikuta yeye Mungu
@pancrasluoga4584
@pancrasluoga4584 7 месяцев назад
Mimi SIMBA lakini uyu jamaa namkubali mnoo
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 7 месяцев назад
Basi na tufanye kwamba ni kweli Haji manara kamtukana karia,je karia alimfanya nn haji manara hadi akamtukana???? Tuanzie hapo
@Whitegold7555
@Whitegold7555 7 месяцев назад
@hassanmwakinyo
@mohamedkisenga6654
@mohamedkisenga6654 7 месяцев назад
Mnafiki tuuu huyoo Kuna watu wanajua kulikon huyo fala tuu
Далее
Must watch new special comedy wait for end 😆🤣
0:49
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
0:29