Тёмный

HAKIMI ANGEKUWA BONGO ANGETOBOA? RONALDO NDIO MASTA? SHERIA? SIKILIZA KESI ILIYOWAHI KUTOKEA BONGO 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 42 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

15 апр 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 106   
@AlodiaCharles-23
@AlodiaCharles-23 Год назад
Tuliopenda uamuzi wa hakimi tujuane kwa like
@aloneboy12803
@aloneboy12803 Год назад
Nipo hapa Babu harusi comedy12 SEMA na mm
@mohamedaden8483
@mohamedaden8483 Год назад
Mimi apa
@awadhally1052
@awadhally1052 Год назад
😄👍
@jacklinezebedayo2923
@jacklinezebedayo2923 Год назад
Mimi pia
@zuhmas2
@zuhmas2 Год назад
Hakimi for life
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 Год назад
😂😂❤ nimejifunza sana kwa huyu mwamba
@paschalpeter4540
@paschalpeter4540 Год назад
Hilo noma sana aysee kuomba omba mara kwa mara hataa kama Ni buku kwa men ni usumbufu
@ashuramhandoashuramhando6798
Nimependa sana big up kipindi kizuri kijana kajua kuelezea sana nimempenda sana milard utuletee tena huyo msomi tujue mengi❤️❤️🔥🔥🙏🙏🙏
@angelelisante8852
@angelelisante8852 Год назад
Iko vizuri hakimi ameweza maana kunawatu wapo kimaslahi zaidi
@chrisbertludovick8908
@chrisbertludovick8908 Год назад
Frida Amani unazingua mapenzi ni wote wainjoy sasa unavyosema umetumikiq yaani nyie ni wale wale amna lolote tunawonq kama masextoy
@jameschumbula7351
@jameschumbula7351 Год назад
Bora tugawane na Familia kuliko mpiga diri😂✌️🤗
@singidaone5628
@singidaone5628 Год назад
Hiyo nimeipenda sana jamaa yupo sawa
@issazalala4907
@issazalala4907 Год назад
Hakim katisha sikuizi madem Wanafata mari tu😂 hatamimi kanifungua akiri pumbavu zao
@jcrackcrack1669
@jcrackcrack1669 Год назад
hakimi amefungua akili wengi Sana,,, but wanawake wafanye kazi sio kupigia hesabu pesa ya mume
@queenmilan2024
@queenmilan2024 Год назад
Watoto 3 Alipandikiza. Siku hizi ni kawaida una chukua msichana anakubebea mimba na unamlipa kwa mkataba. Unapandikizwa wala hawajafanya tendo la ndoa
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 Год назад
Aaha diamond ndiomaana aoi
@deusmallya3384
@deusmallya3384 Год назад
Ametisha
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 Год назад
Zari alitukosakosa kutupiga mzigo kwa Diamond, tumshukuru Mama Dangote alituokoa, tungepigwa hatari😂😂
@muthekimutheki
@muthekimutheki Год назад
Diamodi amshukuru @mangekimabi na followers wake coz walikiwasha mpaka Zari akahama...Hiyo vita haikuwa ndogo.😂
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 Год назад
@@muthekimutheki 😂😂Zari Hana hamu na Mange
@deusmallya3384
@deusmallya3384 Год назад
Mwanamidindo usagau
@thierrytiti886
@thierrytiti886 Год назад
Izo habari za ronaldo sio za kweli
@ramakadege7448
@ramakadege7448 Год назад
kwer milla mm mwenyew napenda km hiv c mda wote wakat mm naon stushion yake
@balljmushi9599
@balljmushi9599 Год назад
Mimi nmeipendaa xhannaa,,huo uamuzi wa --Hakimi,,,,mpka naumwaa!!!.
@gb-one6435
@gb-one6435 Год назад
Hii inaonyesha ni namna gani nirahisi kupindisha Sheria ya Tanzania ila sio ya nchi nyingine
@slayseyfer7749
@slayseyfer7749 Год назад
Mama kaandika urithi ni wa hakimi
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 Год назад
Naomba kujibiwa swali lagu mm malisagu sija tirasivaa kila nilinunua nandikisha kwa mama je kwani tukiachana kunanini kitakua kinaonyesha kwamba nime trirasifaa
@user-di1yp4vf6t
@user-di1yp4vf6t Год назад
Eti angetoboa. Yani hakimi hakutoboa bado.
@pendomarco8928
@pendomarco8928 Год назад
Kwa nini asiwe baba kumwandika swali nahitaji kujibiwa
@davidmbogo7503
@davidmbogo7503 Год назад
Kibongo bongo hii bimkubwa anapoteza mwana
@fuled6358
@fuled6358 Год назад
Eti anatumikia hahaha! akili zao zile zile tuu..
@suleimansaid2633
@suleimansaid2633 Год назад
Millard huyu Akimi kafanya hivyo kabla ya kuoa kutokana na kushughulikia alipokuwa mdogo hata kupewa kipaumbele yeye mpaka kutoboa. Hiyo ipo sana kwa familia za kiarabu.
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 Год назад
Safi sana
@rashidomar1558
@rashidomar1558 Год назад
Mwanasheria ameongea fact na huo ndo ukweli.....sheria za mirathi zipo ivo
@drnasirmjuma15
@drnasirmjuma15 Год назад
Huyu mwamba namkubali kinyama, hasa akimuongelea cr7
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 Год назад
Nivibaya kumpenda mtu kisa chake sio vzr kabisa sio tu kwa wanamme hata kwa wanawake iyo ndio komesha ya wanaokuja kwa kipesa zaidi kibongo kibongo utaacha watoto masikini babamdg na aunt watafaidi
@joesimba
@joesimba Год назад
Hilo swala ni la wanawake wenzako sio wanaume
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 Год назад
@@joesimba kwanini hakuna wanawake wanyepesa kuliko wanamme wapo kunamuda usijue kama mwanamke ndio anapesa kuliko mumewe kama anaheshima mf hakuna mwalimu wa msingi kamuoa mwalimu wa sec au nurse mwanamme ka muoa doctor tena sio kwa mapenzi ni kipata na cord ya benk Mme ndio mmiliki , kunawafanya biashar wanawake wakubwa tu wametapeliwa na mapenzi mbona maganda ya ndizi madume mengi tu usipokuwa makini iyo ni tabia sio jinsia
@joesimba
@joesimba Год назад
@@edinakyaruzi9226 Yaah upo sahihi, ila ni nadra sana kukuta mwanamke anamzidi mwanaume wake kipato, kwasababu sio asili ya mwanamke kuvutiwa na mwanaume ambae ana kipato cha chini kuliko yeye, ndo mmeumbwa hivyo and it's okay.
@gangmore9091
@gangmore9091 Год назад
Hizo sheria za Tanganyika sio z sheria z Hakim😅😅😅
@mariamabass5621
@mariamabass5621 Год назад
Milard huyo frida mchaga pesa mbele
@handasonshaban8248
@handasonshaban8248 Год назад
🎉
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Год назад
Huyu jamaa ana madini mwambie atupe vitu anaonekana anavyo vitu vingi
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Год назад
ALISHAJUA MKEWE YUPO KIMASLAHI.
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 Год назад
Ndoa ni biashara kubwa sana huko ulaya hili limemkuta pia bill gates
@mcultureculture3790
@mcultureculture3790 Год назад
Aisee basi ndomana hata diamond platinum hataki kuoa
@Mpakauseme
@Mpakauseme Год назад
Yeye huyo jamaa kajitoa kwajili ya familia yake hao mliowataja wadogo zake na kaka zake na mama yake warabu hao hawana roho za kiswahili wapo kifamilia zaidi na huwambi kitu
@dianajoseph6673
@dianajoseph6673 Год назад
Wanaume wa sasa utajiongelesha wewe na hakuelewi anakuacha na maneno yako nachangamoto zako😢😢😢😢humuombi hela na hakupi ukiwa na shida duh hatari sana😂😂😂😂😂
@ahmedelalawy639
@ahmedelalawy639 Год назад
Huyo mwanamke umemtoa wap milard hebu mtowe hajui hata kuongea
@ngeleloembete2956
@ngeleloembete2956 Год назад
Kabla ya kuandika vyote hivyo Wali vitizama , ninavyo fikiri ni kwamba watakua Wali maliza pointi hiyo mapema Akifa mama Mali itarudi kwa kijana mtafutaji😅😅😊
@SultanBakali
@SultanBakali 2 месяца назад
Munajuwa sana
@akimanaarlene851
@akimanaarlene851 Год назад
Nataka unijibu Millard sasa akipata mali zake akazipeleka kwa majina y’a watoto wake akhim kuna shida ama ?talaka ikikuja mali zipo kwa watoto hapo shelia inasemaje?
@albertkatuga2434
@albertkatuga2434 Год назад
Ukiweka kwa watoto kwa wezetu watoto uwa ni wamama kwaiyo nisawa umempa mama zote ndio maana hawaaandiki watoto,
@akimanaarlene851
@akimanaarlene851 Год назад
@@albertkatuga2434 oooh 😯
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 10 месяцев назад
Nikweli bisa
@jumazahoro
@jumazahoro Год назад
Wez2 hakuna njia tafaut
@David-zb6kk
@David-zb6kk Год назад
Bongo Hakimi angerogwa
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Год назад
Hao woote wanamwiga Michael Jackson marehemu.
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 Год назад
kuna sisi nyie uombi pesa na upewi pesa nyie acha tu
@PesaMadafu
@PesaMadafu Год назад
8:40 prenups
@raphaelonyango5690
@raphaelonyango5690 Год назад
Walianza mahusiano 2018 ila walioana 2020, fanya utafuti vzuri
@therealkingo
@therealkingo Год назад
Sawa kaka Millard Ayo
@musamr.tomorrow8515
@musamr.tomorrow8515 Год назад
Powa tuu Kwani sote sindugu 🤞🏻🤞🏻🤞🏻
@chuseboy
@chuseboy Год назад
WAache Sasa kutuomba omba😅😅
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 10 месяцев назад
Nikweli kabisa wanaume.tuwe.makini
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k Год назад
Wanawake tutafute hera😂😂
@popiya2368
@popiya2368 Год назад
Prenup
@navukalunavatanzi6227
@navukalunavatanzi6227 Год назад
Sielewi sisi wanawake tuna shida. Mali inayotakiwa kugawana ni kuanzia hiyo 2020 yaani mtu umkute mtu na mali yake halafu unataka nusu nusu shida
@stellah3844
@stellah3844 Год назад
Hata kwenye miaka kakosea Hakimi ana 24 yeye kasema ana 23
@enoszaka-tx8qw
@enoszaka-tx8qw Год назад
Ashraf hakimi umejua kutufundisha jinsi ya kuishi na wanawake
@nuruworldinsight2957
@nuruworldinsight2957 Год назад
Kwani Kutoboa Kumeanzia BoNGo. We vipi
@zenyewe
@zenyewe Год назад
hiyo pre nap kama ukiwa na mpunga mrefu mkifika mahakamani inapigwa mafekeche jaji anapindua meza 😂😂
@AMBINHED
@AMBINHED Год назад
Millard Ayo umeongea fact 👌
@deofanta541
@deofanta541 Год назад
Habari milad naweza kupata mawasiliano ya wakili
@joharimanyanda3358
@joharimanyanda3358 Год назад
😂😂
@godlovemasamakibatandu2092
@godlovemasamakibatandu2092 Год назад
Kwanini mali za wanawake haziwekwi kwenye meza wagawane? Sheria ikiwa mbovu kwao wanalalamika zikiwa sawa kwao na zina wakandamiza wengine wanasema hawatendewi haki.
@joesimba
@joesimba Год назад
Mali zote zinawekwa mezani mnagawana pasu kwa pasu, ila wanawake ni wajanja huwa hawafanyi kosa kuingia kwenye ndoa na mwanaume ambae wamemzidi kipato
@abdulhakimsaleh6899
@abdulhakimsaleh6899 Год назад
Mie sikubaliani na huyo alotoa ufafanunuzi manake kwenye mara nyingi mtu unaekua nakua kwa ajili ya maslahi so lazma mjua huyo mtu na pia utafute usalama wa Mali yako kwa ajili ya familia kiujumla
@qwueenalimoja9071
@qwueenalimoja9071 Год назад
wanaumewengine awajiongezi kaka wanapenda kupiga mzigo2
@sautiyangu1
@sautiyangu1 Год назад
Unyama sana...
@anthonykavishe
@anthonykavishe Год назад
Sio unyama,wezi wamezidi
@sautiyangu1
@sautiyangu1 Год назад
@@anthonykavishe unyama aloufanya hakimi😁
@MizeKombeSuleiman-id1rp
@MizeKombeSuleiman-id1rp Год назад
Inaitwa preanup
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 Год назад
Lakin atakuwa kaachiaa hta paso za wenzetu huko na hta room mbili za master ndan na kifensi mchwara. Naamin hvo
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 10 месяцев назад
Sasa ivi tunawaongopa sana.
@yasintakahamba1320
@yasintakahamba1320 Год назад
Hapa tujifunze wanawake kutafuta wenyewe pesa
@qwueenalimoja9071
@qwueenalimoja9071 Год назад
Uleno kunaaki sana zawanawake
@lovsply
@lovsply Год назад
Pre-nap ni mali zote kabla ya Ndoa…. Kila kitu ndani ya Ndoa ni game… pre-nap hata bongo ipo tatizo watangazaji shule ndogo… bongo tunafanyaga sana kama alivyofanya Hakimi lakini kwa kampuni au watoto… hio ipo saaaana… pre-nap hainaga mashiko kihivyo na mwenza kama ana mwanasheria mzuri anaipangua… jueni kisheria mikataba inavunjika kama inapunja haki za msingi za mwenzako…
@gloryprotas1043
@gloryprotas1043 3 месяца назад
Hii nikiboko aisee😂
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Год назад
Demu akiomba ela anaboa sn
@ridhiwanishafii813
@ridhiwanishafii813 Год назад
KAMA TULIVYOKUBALIANA MZIGO UPO KWA MOTHER 😂😂😂😂
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 Год назад
Mama mkwe mkifa ahera panawasubiri, Sasa mwanamke anaharibu mwili wake kwa kubeba mimba jee malipo ya uharibifu wa mwili haustahili nusu kwa nusu ya Mali? Mama mkwe umemmaliza mwanamke mwenzako
@gilmangeorge366
@gilmangeorge366 Год назад
Mwili hauribiki mungu ndo alisema mwanamke atazaa tyuuuu
@rebeccampeta6650
@rebeccampeta6650 Год назад
Huyo dada ana pesa kuliko Hakimi acheni manenomaneno
@jeffyasin2977
@jeffyasin2977 Год назад
sasa Mali anataka za nn
@gidionkadaraja1403
@gidionkadaraja1403 Год назад
Hahaha et mwanamkee ana pesaa wew rebecca matakoo nn
@rebeccampeta6650
@rebeccampeta6650 Год назад
@@jeffyasin2977 mahakamani kwanza mkitaka kutalakiana lazima muorodheshe mlivyo navyo mahakama ndiyo huwa inawauliza wahusika
@rebeccampeta6650
@rebeccampeta6650 Год назад
@@gidionkadaraja1403 asante
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Год назад
TULIO UPANDE WA MWANAMAMA KWAMBA AMEONEWA TUJE HAPA
@mustaphasuleiman2055
@mustaphasuleiman2055 Год назад
Uko peke yako,hajaonewa she was a gold deager
@rebeccampeta6650
@rebeccampeta6650 Год назад
Tupo pamoja ukifuatilia dada kumbe ana pesa kuliko kaka
@gidionkadaraja1403
@gidionkadaraja1403 Год назад
@@rebeccampeta6650 hahah ww ni Msengeee
@rebeccampeta6650
@rebeccampeta6650 Год назад
@@gidionkadaraja1403 upo sahihi kuniita hvo
@chamandaayolaiza1535
@chamandaayolaiza1535 Год назад
WANAWAK NDIO WAGOMVI XIKU ZOTE ATAXIJUI KWA NNI
@aleyidukury8333
@aleyidukury8333 Год назад
Hii sheria ibadilishwe ili watu tuowe lasivo tutawazini tu
Далее
How to Measure ANY Cliffs Height with a Rock
00:46
АРЕХ ПОЙМАЛ БЕЛКУ ОТ ИГРЫ ВП
15:01
КРЫЛЬЯ - ЗЕНИТ: все голы
01:00
Просмотров 72 тыс.
KUTOKA PSG HADI JANGWANI ANAITWA ACHRAF HAKIMI
1:06
Просмотров 1,6 тыс.
How to Measure ANY Cliffs Height with a Rock
00:46