Naomba kujibiwa swali lagu mm malisagu sija tirasivaa kila nilinunua nandikisha kwa mama je kwani tukiachana kunanini kitakua kinaonyesha kwamba nime trirasifaa
Millard huyu Akimi kafanya hivyo kabla ya kuoa kutokana na kushughulikia alipokuwa mdogo hata kupewa kipaumbele yeye mpaka kutoboa. Hiyo ipo sana kwa familia za kiarabu.
Nivibaya kumpenda mtu kisa chake sio vzr kabisa sio tu kwa wanamme hata kwa wanawake iyo ndio komesha ya wanaokuja kwa kipesa zaidi kibongo kibongo utaacha watoto masikini babamdg na aunt watafaidi
@@joesimba kwanini hakuna wanawake wanyepesa kuliko wanamme wapo kunamuda usijue kama mwanamke ndio anapesa kuliko mumewe kama anaheshima mf hakuna mwalimu wa msingi kamuoa mwalimu wa sec au nurse mwanamme ka muoa doctor tena sio kwa mapenzi ni kipata na cord ya benk Mme ndio mmiliki , kunawafanya biashar wanawake wakubwa tu wametapeliwa na mapenzi mbona maganda ya ndizi madume mengi tu usipokuwa makini iyo ni tabia sio jinsia
@@edinakyaruzi9226 Yaah upo sahihi, ila ni nadra sana kukuta mwanamke anamzidi mwanaume wake kipato, kwasababu sio asili ya mwanamke kuvutiwa na mwanaume ambae ana kipato cha chini kuliko yeye, ndo mmeumbwa hivyo and it's okay.
Yeye huyo jamaa kajitoa kwajili ya familia yake hao mliowataja wadogo zake na kaka zake na mama yake warabu hao hawana roho za kiswahili wapo kifamilia zaidi na huwambi kitu
Wanaume wa sasa utajiongelesha wewe na hakuelewi anakuacha na maneno yako nachangamoto zako😢😢😢😢humuombi hela na hakupi ukiwa na shida duh hatari sana😂😂😂😂😂
Kabla ya kuandika vyote hivyo Wali vitizama , ninavyo fikiri ni kwamba watakua Wali maliza pointi hiyo mapema Akifa mama Mali itarudi kwa kijana mtafutaji😅😅😊
Nataka unijibu Millard sasa akipata mali zake akazipeleka kwa majina y’a watoto wake akhim kuna shida ama ?talaka ikikuja mali zipo kwa watoto hapo shelia inasemaje?
Kwanini mali za wanawake haziwekwi kwenye meza wagawane? Sheria ikiwa mbovu kwao wanalalamika zikiwa sawa kwao na zina wakandamiza wengine wanasema hawatendewi haki.
Mie sikubaliani na huyo alotoa ufafanunuzi manake kwenye mara nyingi mtu unaekua nakua kwa ajili ya maslahi so lazma mjua huyo mtu na pia utafute usalama wa Mali yako kwa ajili ya familia kiujumla
Pre-nap ni mali zote kabla ya Ndoa…. Kila kitu ndani ya Ndoa ni game… pre-nap hata bongo ipo tatizo watangazaji shule ndogo… bongo tunafanyaga sana kama alivyofanya Hakimi lakini kwa kampuni au watoto… hio ipo saaaana… pre-nap hainaga mashiko kihivyo na mwenza kama ana mwanasheria mzuri anaipangua… jueni kisheria mikataba inavunjika kama inapunja haki za msingi za mwenzako…
Mama mkwe mkifa ahera panawasubiri, Sasa mwanamke anaharibu mwili wake kwa kubeba mimba jee malipo ya uharibifu wa mwili haustahili nusu kwa nusu ya Mali? Mama mkwe umemmaliza mwanamke mwenzako