Mashallah mashallah mashallah ramadhan kuria bin kaguo,,unaeleweka sana,,snaa sana,,yaan nakuelew vzr snaa,,piaa nakuftria kila mahr ,,,yanii ayaa zimekaaa kuchwanii,,,,, Allah aendeleee kukujaza kher,,na akupe umri mrefu, piaaa akuepushe na dua mbaya zaa,,wanafki,, Allah akupe afya njema kwa kaz nzuri unayoifnya,,,,tukoo pmja snaa,, mataalm wetuu katika dini
@@yusufmwangichannel6692 mada itakuwa ndefu, coz itabidi tuanzie na nn maana ya neno dinni na ni lugha gani, afafu tujevkwa swahili ...then tuingie ktk maandiko, ....
You cannot have a conversation with a LYING Pastor! He has been asked 6 TIMES, towa anidiko "UKRISTO ni Dini"! Ame TOWA? Instead, ame sema UWONGOOOOO na POROJOOOO Nyingi ya SHAKAHOLA! Mzee Kafiri kweli!
@@andallaathman3856 Ustad wetu ni Mtu mpole sana. Ndio una ona huyo Pasta Mnafik, ana take advantage ya Upole! Huyu Pastor ni a very experienced Conman! Ame somea UDANGANYAJI!
Shehe ramadhani hongera kwa kazi nzuri ila hii dawaa mtaani ukikutana na hawa wachungaji bora uwachane nao maana hupoteza mda na huwa hawakubali kushidwa
@@andallaathman3856 kweli yaani mtu yuakupotezea mda huo wote Kuusikiliza upuuzi maskioni mwako nakupoteza wengine. Hawa hua washaajipanga kuja kuharibu muhadhara coz mwawahiribia biashara zao
Sheikh Ramadhani Uyu Pasta Analeta Ujanja Ujanja Kuaribu mandiko na watu Niwengi kilamoja Akona Hojayake but Sheikh Ramdhani Allahy Akupatie ngvu mana twafaidika Sn
Sheikh anawasumbua watu ambao hawajui kabisa UISLAMU..na wanaojua kidogo sana UKRISTO.... EBU SIKU FANYA ONLINE DEBATE NDIO UTATUPATA TUNOJUA.. NA SIO KUWARUBUNI hao wasio na elimu
Ai, huyu Pastor mzee ni a very experienced KAFIR, ambaye anjua kupoteza Watu kwa ku twist Maandiko! Huyu mzee ni Mu Sabato, na ni very dangerous kwa sababu ana weza ku anzisha CULT kama ya SHAKAHOLA! USTAD, kuwa very serious na huyu MZEE, na mu ambiye WAZI ya kwamba ana sema UWONGO mwingi! Na mbona huyu Mzee haku ambiwa ya kwamba YESU SIO mtume wa WaFrika!
Mm nina swali kwa mchungaji ambalo ninajiiuliza.Kwa hivyo mkusanyiko wa watu kwa ajili ya mwenyezi mungu ndio kanisa na wala sio ile sinagog aliyeingia nabi issa.inafafanuliwa kwamba sinagog sio kanisa ila kanisa ni mkusanyiko wa watu kwa kuskiza maneno ya mungu, alfu iweje wamsingizie nabii issa a.s kuwa aliingia kanisani ila alingia sinagog.hilo ni thibitisho tosha kuwa hawafuati hata huyo wanomwita yesu kwa kuuingia sinagog
After all kuna kitu nimenotice ustadh hapa muislamu na Jehova witness same whataap group😂😂😂hampendangi ufafanuzi mnaforce points especially ikiwa open...nyote mpo Sawa ila muislamu lazma aforce issue just like Jehova witness
Uwongo mtupu akuna kitu kama WATU WOTE walikua dini moja neno ambalo limetumika ni UMMMA na umma sio dini kabisa muliongeza . Toeni haya kwa vitabu vingine vya manabii vidhibitishe hayio kunyeshe mvua ya makunguru