Sheih wald mungu akujalie na Azid kukupa elimu bora na yenye ikima ndan yake.Ukweli kwamba tunafata kitabu cha allah subhanahu wataal na mungozo wa mtume wetu muhammad .hata kama engekua Ameenda chiz ijjah ndo ametua wamoto na tukajua dua yake ni muimu kwetu( muxi comment vitu ambavyo amuna elimu navyo iyo pia ni Elimu nyingine)msema kweli dk 90
Shekhe ckasema kama kaifanya hija ipasavo na kuacha yale yaliokatazwa akifa mda huo yy n peponi hamjaelewa nn sasa angesema shehe wenu mngepongeza sielewi mnamatatizo gn ndugu zetu
@@aliabdalla9297 nyny na akina upepo ndo wenye ilm ya upotoshaji ila shida yenu Moja kutoelewa but mtaelewa tu siku yake ikifika na mchunge isifike mkiwa kwenye sakarat
Muogope Mungu kusingizi watu ubaya utakwenda kujibu siku ya hukumu kwanza kama ingekuwa kujitakasa angejitakasa mwenyewe alichosema ni sahihi lakini tatizo lako huna elimu