Тёмный

#Harmonize 

GeorDavie TV
Подписаться 246 тыс.
Просмотров 1,5 млн
50% 1

Опубликовано:

 

20 фев 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии    
@buhendwagrace6801
@buhendwagrace6801 2 года назад
Wimbo mzuri una maneno mazuri sana.barikiwa sana harmonize
@mymunamymuna4807
@mymunamymuna4807 2 года назад
Jeshii ni kama maji usipoyanywa utaoga
@zainabmuhammed6294
@zainabmuhammed6294 Год назад
Nasema mimi zainab naomba namba zako nabii pleas naumia nalia hapa nilipo nalia
@gracenduku
@gracenduku Год назад
Wooow very amazing
@madameirene5632
@madameirene5632 8 месяцев назад
Let us not judge a person that song is good and the massage is also good to the community ....
@enockkagine1175
@enockkagine1175 7 месяцев назад
😂😂
@EmmanuelTsuma-u3i
@EmmanuelTsuma-u3i Год назад
Sijapenda kabisa,giza na nuru vinaushirika ganiii????? I'm in Mombasa Kenya.🇰🇪🇰🇪
@innocentmundekesye5617
@innocentmundekesye5617 2 года назад
Mungu hadhiakiwi jamani hata kidogo . Yesu wasamehe hawajuwi watendalo.
@SalahjemsMagogwa-j1c
@SalahjemsMagogwa-j1c Месяц назад
Vitu vingne vya kijinga kweli Sasa kosa la huu wimbo ni nini
@edwardnamakonde156
@edwardnamakonde156 Год назад
Wewe unaejifanya nabii mkuu, angalia Sana unawaelekeza watu jehanam, MUNGU akusamehe na akufungue toka vifungo vya ibilisi.
@smilejojo6824
@smilejojo6824 2 года назад
Huu wimbo unatupa nguvu na wengine tupambane ili huu mwaka Mungu atende muujiza uwe na baraka 💪🙏🏾
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 2 года назад
Kweli my
@willemkaraita7824
@willemkaraita7824 2 года назад
Mchungaj unalikat
@sharesombwana4343
@sharesombwana4343 2 года назад
Ssss
@Eliza952
@Eliza952 Год назад
Mungu awasamehe nyote akika 😭mumefanya nyumba ya Mungu kuwa ya uchinga wenu kisha wewe pastor kipofu ole wako Mungu atakuazibu makosa sana 😭
@lelochuwa-fn6tc
@lelochuwa-fn6tc 10 месяцев назад
Hivi kweli hii picha unaitazamaje mtu wangu kweli hapo kuna roho mtakatifu kweli hizi ni nyakat za mwisho
@ellyiss1559
@ellyiss1559 10 месяцев назад
Wewe ni nani
@lelochuwa-fn6tc
@lelochuwa-fn6tc 10 месяцев назад
@@ellyiss1559 sisi ni wana wa Mungu na tunaongozwa na roho mtakatifu hiv ukiangalia hii clipu ni tendo la kiMungu hapa linafanyika aua umelitazama kidunia iyo moja mbili wapi kwenye bibilia kuna nabii mkuu au nabii mkubwa au mdogo Mungu hatazami kama ss wanadam njia zake si kama zetu natamani unielewe bila kukukwaza mana nia yangu uwelewe utoke kwenye huu mkondo
@RdCongoforlife
@RdCongoforlife 6 месяцев назад
Iyi siyo kanisa ila ni Tv show wana fanya
@WinnieResian
@WinnieResian Месяц назад
😢😢😢
@esthernafula3415
@esthernafula3415 2 года назад
Wimbo mtamu kweli 💕💕💕💕💕💕 mtumishi kacheza vizuri🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
@mchinadizainabushi8905
@mchinadizainabushi8905 2 года назад
Good
@khalfanikishki7465
@khalfanikishki7465 2 года назад
Bibilia na Uislamû nyimbo haramu. Soma Ezekiel 26:13) Amosi 5:23) Amosi 8:3)
@bitricemunice1520
@bitricemunice1520 2 года назад
Natamani tu kumuona baba nabii Mkuu aseme neno juu ya maisha yangu nimechoka natamani hata kufa maisha yamenilemea sn namwamini baba aseme.tu neno nipone mimi
@EmmanuelZacharia-kb3om
@EmmanuelZacharia-kb3om 9 месяцев назад
Mungu hadhiakiwi na Kila unachopanda mavuno tegemea kwenye nyumban ya ibaada du makubwa kanisan pastor kabsa
@boazsanga6890
@boazsanga6890 2 года назад
Barikiwa sana harmonize wimbo ni mzuri sana na una ujumbe mzuri sana
@naomindulu2306
@naomindulu2306 7 месяцев назад
Twashukuru Mungu Kwa yote.
@richy8591
@richy8591 2 года назад
That pastor's dance moves are on another level😂
@didashmessi2528
@didashmessi2528 2 года назад
Umeonaeee 🧐😄😄😄😄😄
@BrantonBwire-mc1kz
@BrantonBwire-mc1kz 10 месяцев назад
And he is just confident
@MonicahAkware
@MonicahAkware Месяц назад
God be with us amen 🙏🙏🙏♥️
@maryamsylivester8662
@maryamsylivester8662 2 года назад
I said this kuwa Harmonize 🐘🐘 sio wa kawada leo inazindi kujidhihirisha Atafika mbali sana kwa uwezo wa Mungu 🙏🙏🙏
@maryamsylivester8662
@maryamsylivester8662 2 года назад
@Rukia Ali yeah Fact 🤝
@FadhiliMgalla-ds9fx
@FadhiliMgalla-ds9fx 10 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤tuombeana tupendane wote baba mumoja mazeebu yote baba nimumoja wewe ulie okoka usimucheka anaye tena maovu bali muombeee awe kama weweeee nabi mimi nimefulahisana hasa nilipo ona anaweza kabisa kucheza
@lachiman6609
@lachiman6609 2 года назад
Asante harmonize kwa kumkumbuka mwenyezi mungu. Mwaka huu ni wangu kwa Baraka za mungu wangu.❤️❤️❤️❤️
@silvadebaba9769
@silvadebaba9769 День назад
Kivyangu mimi Mungu amupe maisha marefu Kwakuwa ni mtu wa watu Papa pasteur Usichoke kusaidia mataifa kimwili na kiroho
@gulyembehamka515
@gulyembehamka515 2 года назад
Good song from harmonize have influence people to struggle in this year, big up ✊✊✊
@emmanuelshukrani4158
@emmanuelshukrani4158 2 года назад
To be honest Harmonize has a lot of life influencing songs that give people hope... Mwaka huu, mama, matatizo, atarudi, such songs are just great and motivating
@ZumaZuma-k5c
@ZumaZuma-k5c Год назад
Nimependa harmonize Thomas Zuma from kenya,,,soo have my gift🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 2 года назад
Asante BABA kwa kumpa barara harmonize mana maadui wamemzunguka wengi sana🙏🙏🙏🙏tunapokea baraka kupitia wimbo huu
@mackrinaerenesto8237
@mackrinaerenesto8237 2 года назад
Wimbo unaujumbe San Tena wakubarki yule aliye na Iman na mung wake aminaaaa
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 года назад
Nimefurahi sana harmonize ni mtoto mzuri sana anaweza kuishi na dini zote mungu atamfungulia sana milango ya ridhiki mantashalla
@marthakiwale1609
@marthakiwale1609 2 года назад
This man sees things different from most of normal people ..he is really blessed prophet.Realy God works in his ways.Harmonize ni vyema kwako pia kuzidi kumtafuta Mungu
@nashipaikoima682
@nashipaikoima682 2 года назад
Noma 👏👏
@michaelowino410
@michaelowino410 2 года назад
This is how amind colonised by God's Word thinks
@fleshtvonline3137
@fleshtvonline3137 2 года назад
@@michaelowino410 su
@marianjeru2522
@marianjeru2522 2 года назад
@@nashipaikoima682 4 AED s111121,1e,3s3ze
@tresorkinyeshe6965
@tresorkinyeshe6965 8 месяцев назад
Harmonize kweli huu nyimbo ni kali sana
@stanleymatasa9955
@stanleymatasa9955 2 года назад
Ameimba vizuri Kwa kweli acha Mungu aitwe Mungu
@mpendwacravery1665
@mpendwacravery1665 2 года назад
Yesu alisema ole ni wa Ulimwengu! Ndipo watakuja na kusema...Bwana...tulihubiri na kutenda miujiza KWA jina lako...nami nitawaambia...ondokeni sikuwajua ninyi nyote mtendao uovu....kasema...KWA matunda yao mtawajua....
@danielladavid2251
@danielladavid2251 2 года назад
Nabii mkuu anamchezea Mungu kweli hakuna kama wewe Baba
@alphonceamony1585
@alphonceamony1585 2 года назад
Mpokee YESU yeye ni mpole na mnyenyevu wew xi nabii kalibu kwa YESU Baba angu BWANA WA MABWANA ANAKUITA
@danielnyantory5132
@danielnyantory5132 2 года назад
Ni wimbo mzuri sana kwan una ushuhuda mzuri hata mm nimeupenda
@AmaniBonheur
@AmaniBonheur 4 месяца назад
Harmonaize mungu akuguse mahaliupo
@davidkuloba2970
@davidkuloba2970 Год назад
Harmonize is a talented artist much love from kenya
@donatienniyigena9081
@donatienniyigena9081 9 месяцев назад
Arusha tunawafalikiwa sana love from thousands hills
@rosemaryikamba5288
@rosemaryikamba5288 2 года назад
That's my daddy Yaani anakwenda na wakati Ngurumo ya Upako raha Bwana asikwambie mtu na Sasa imekuwa MPYA SIPATI PICHA 🔥🔥🔥🔥🔥!!!
@naomindulu2306
@naomindulu2306 7 месяцев назад
Wow,,,Gor is faithful
@saidyfikirini9679
@saidyfikirini9679 2 года назад
Nabii umeukosha Moyo wangu asubuhi ya leo🙏🙏🙏🙏😘😘
@kitengeayoub2649
@kitengeayoub2649 Год назад
Mh nabii anacheza muziki Allah atuokoe huu ni ukafir kabsa bila shaka
@dvjbruno5559
@dvjbruno5559 2 года назад
Umefikili sana pasta uko Safi sana Mungu bariki kazi za mikono yetu .
@aminamikidadi7754
@aminamikidadi7754 2 года назад
Washindwe na walegee mtumishi tena wamesha shindwa na kulegea hasa mtumishi ... Ameen .......
@alicembaga6350
@alicembaga6350 2 года назад
Uko vizuri hamoo pokea unabii wa nabii mkubwa🌹🌹
@wamalwabonface8477
@wamalwabonface8477 Год назад
Nabii mkuu nko kenya nakuvatilia sana natamani sana kukutana na wewe lakini sina uweso wakuvika naamini nikivika maisha yangu ena patiliaka ungesaliwa Kenya nateseka sana natamani nkuje tansania kwa mkuu ubitamkie neno moja tu maisha yangu ebatilike
@hajimaster7624
@hajimaster7624 2 года назад
Ama kweli konde boy kiboko duuh🙌
@MageseWilliamKafiti
@MageseWilliamKafiti 6 месяцев назад
Lazima ujue anachofanya hapa, ni kumtunza Harmonize, ambaye ni mwimbaji wa nyimbo za kuhamasisha mapenzi ya dunia...
@dutchsafari7562
@dutchsafari7562 2 года назад
Huu wimbo upo clean kweli hauna tofauti na nyimbo zingine za gospel tofauti ipo Kwa aliyeimba tu so wenye makasiriko acheni negativity mtakufa mapema bure😁
@missmwayway4704
@missmwayway4704 2 года назад
😆😆😆😆😆😆😆taarifa zimewafikia wenye chuki zao
@yuzotv458
@yuzotv458 2 года назад
Wengine vichwa panzi
@dutchsafari7562
@dutchsafari7562 2 года назад
@@missmwayway4704 😁😁😁
@esthermutindi4420
@esthermutindi4420 2 года назад
Waaoh nice one!!aki harmo utaenda mbali
@VinsunKenya
@VinsunKenya 2 года назад
Love this 💯 🇰🇪... medicine is ONLY for the sick and Christ Jesus came for sinners ...by doing this you've shown Love ,the greatest commandment...May God continue expanding your Territories 💓
@emmaculatekazungu9451
@emmaculatekazungu9451 2 года назад
Amen 🙏 very true brother
@benjaminmbagaja7893
@benjaminmbagaja7893 2 года назад
Good songs i love it
@nixonshoka1097
@nixonshoka1097 2 года назад
Sawa
@hassowmontana3524
@hassowmontana3524 2 года назад
@@emmaculatekazungu9451 qqqqqq
@laviebandu8034
@laviebandu8034 2 года назад
@@emmaculatekazungu9451 *
@josephitangishaka960
@josephitangishaka960 Год назад
Amen Amen. Ndio Baba Nabii Mkuu GeorDavie
@JosephLeonardMatemba
@JosephLeonardMatemba 2 года назад
Wooowoooh harmonize karibu kweny uwokovu
@SefuSefuDjumaSelemani
@SefuSefuDjumaSelemani 9 месяцев назад
Good song, mwaka iyi ni yangu.
@florencemuasya2629
@florencemuasya2629 2 года назад
Mchunganji amenichekesha mno amedance mno mwenyezi mungu ni mwaminifu 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@silvadebaba9769
@silvadebaba9769 День назад
Ndiye pasteur Dunia tunaitaji
@gabylove4602
@gabylove4602 2 года назад
Mungu mkubwa saaana yaani nimefurahiii saana aasante mcungaji
@vertucypangani1323
@vertucypangani1323 2 года назад
Na mimi namtamkia huyu kijana,maadui zake wote wazidi kushindwa 🙋‍♂️
@mjhosea766
@mjhosea766 2 года назад
Warumi 12:1-2 wimbo mzuri sana tena unamtukuza bwana WARUMI 16:18
@renedecarte-oo7tv
@renedecarte-oo7tv Год назад
Mungu akusame ukunasikiya nyimbo ya harmonize mu kanisa
@glomiegloriouz5996
@glomiegloriouz5996 2 года назад
My Spiritual Father sees the good in evrythng and evry soul ni kwl kbs Mungu ananjia zake za kuvuna watu wake na kurudisha walio wake kwake but due to most ppl naive minds and luck of God wisdom n knowledge wanaona kuwa watu wamataifa hawawezi kuwa wa Mungu na kusahau Mungu haitaji walio wema tyr anahitaji waliopotea na wenye haja naye haijalishi wapoje, wawapi wala wanafanya nn His key point is for them to blv and trust in Him and be His ppl, Nabii Mkuu anatambua hilo na ninajivunia kuwa mwanae wa Kiroho i love u Daddy😊😘
@MsafiliPascal
@MsafiliPascal 8 месяцев назад
Hata wewe umepotea kwakipi Nabi anacho kifanya kuhusu Injiri kuwasifia iri azidi kuwapata wafuasi bira Mbingu niasala
@ibenembassy
@ibenembassy 2 года назад
my friend huwezi juwa ni mungu yupi anaeimbia huu wimbo, juweni watumishi wa Kweli na waliotumwa na shetani
@nickdenis7268
@nickdenis7268 2 года назад
Great musician from tanzania God bless u..mjeshi
@Beloved-E-l-h
@Beloved-E-l-h 3 месяца назад
Mimi nimzaliwa wa burundi 🇧🇮 nikaa nairobi kenya natamani kuonana nahuyo mtumishi kirawakati namutizama mahubili yake yanani mbamba sana
@impactoelectrical5814
@impactoelectrical5814 2 года назад
This is Konde boy for everybody 🔥🔥🔥🔥🔥
@zennahmtoto1867
@zennahmtoto1867 2 года назад
Yes
@enesymbila8842
@enesymbila8842 2 года назад
Safi sana Harmonise Mungu azidi kukuinua
@TRAPKIDMUSIQ
@TRAPKIDMUSIQ 2 года назад
I always love it when notification says someone liked your comment and you have received a subscriber this motivates me and make me work tirelessly. God bless you for subscribing.
@kentlubinda729
@kentlubinda729 Год назад
Mgeukia mungu acha usanii yesu anakuja achia watu wamungu wajue njia ya kweli
@youngmeekmilly3511
@youngmeekmilly3511 2 года назад
KondeBoy go go go to the World 🌎💪🏻💪🏻 Kondegang4Life 🔥💪🏻
@ALLANWANJALA-qm4ox
@ALLANWANJALA-qm4ox 6 месяцев назад
Harmonize twakupenda sana❤❤❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪
@gorretagatha6267
@gorretagatha6267 2 года назад
God bless konde jeshi, it's our year
@DieudonneFredy
@DieudonneFredy 11 дней назад
Harmonize ubarikiwe🎉🎉🎉🎉
@wambuievelynwaithira
@wambuievelynwaithira 2 года назад
Hallelujah glory be to God. God no one like you my father 🙏kenya 🙏
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 2 года назад
Kwanzia leo naokoka bravo Harmonize jeshii CEO of Konde gang
@josephkyalo2626
@josephkyalo2626 2 года назад
God has to bless Harmonize in abundance
@richardmollely2933
@richardmollely2933 2 года назад
Shallom baba kMimi mchungaji richard Abraham Mollel nabarikiwa sana baba naomba macho yako yanione nasema kiuduma baba baraka zako kwangu mimi naamini zinifusha kwa haya
@phylisshigoli78
@phylisshigoli78 2 года назад
Ameeen Ameeen Hallelujah Glory Glory to Almighty father let it happen thise yr
@hortensekasoki553
@hortensekasoki553 2 года назад
habari nabii wa mungu napenda sana mahubiri Yako yameniweka nisongee karibu n'a Mungu wangu île n'a muomba mungu animé Siku n'a muda ilisiku moja nifike kanisani hapa ulipo niombi langu kila Léo asante naishi kongo DRC
@christaoman8890
@christaoman8890 2 года назад
Mungu atatenda kwa jina la Yesu utabarikiwa zaidi na zaid hamoniz baraka umeshushiw na Mwenyewz Mungu amina
@ellybry5194
@ellybry5194 2 года назад
Harmonize kachukue Gali 🔑
@mrgasper4045
@mrgasper4045 2 года назад
Baba Nabii mpe harmonize Gari kali maana una moyo wa pekee sana.
@kazushkmilly3635
@kazushkmilly3635 2 года назад
Mungu atampa si lazima baba nabii, ampe jameni
@NadiaHabonimana
@NadiaHabonimana 8 месяцев назад
Tena nabii mzima et mzikikanisani subhanallah
@ev.rugwizajeanpierreiraduk2333
@ev.rugwizajeanpierreiraduk2333 2 года назад
Mwaka wangu by Harmonize that's Song from Heaven. God Bless you Konde and Our Pastor
@gaspershine1840
@gaspershine1840 Год назад
Mtumishi wa Mungu natamani sana nikkutane nawe ila nashindwa. Naomba maelekezo
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 2 года назад
Amen sikuwa napenda nyimbo zako ila huu nimupenda sana Mungu akubariki sana
@MariamPaulo-d7x
@MariamPaulo-d7x 7 месяцев назад
Mungu baba nibariki mimi😊🎉
@esthermshanga6746
@esthermshanga6746 2 года назад
Very nice harmonize keep it up this is your year to do wonders❤️🙏💯
@bennyjohn1412
@bennyjohn1412 2 года назад
Jamani waumini wako wanacheza kiduku Yesu Bora urudi Ni kweli Nabii anacheza nyimbo za Duniani
@MariaJacob-w5v
@MariaJacob-w5v 10 месяцев назад
Naye ni binadamu!
@irenegilbert62
@irenegilbert62 2 года назад
I agree with you prophet....he should get saved n be singing like this👏👏👏👏👏💓💓
@manosanto5726
@manosanto5726 2 года назад
tas de parabens
@MariaKitundu-l1m
@MariaKitundu-l1m 6 месяцев назад
harmoniz mungu akupeleke peponi sala ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@angejeanboscohakizimana2402
@angejeanboscohakizimana2402 2 года назад
Asante Pastor
@OnesimoMapniduzi
@OnesimoMapniduzi Год назад
Nabii mukuu mungu akutie nvguvu
@Cyper255
@Cyper255 2 года назад
Amen. Barikiwa sana Harmonize
@StephenKaaya-w6q
@StephenKaaya-w6q 8 месяцев назад
Mungu anao watu wake wa Ajabu Nabii mkuu anayo ekima kubwa ya utumishi. Namkubali na nampenda.
@felixkato6283
@felixkato6283 2 года назад
Harmonize Ubarikiwe.Hadi wimbo wako umegongwa madhabahuni...Nyimbo za Mondi hakuna isiyokua na verse ya Chomoaa Chomekaaa. ..😅😅
@Filopolazalo
@Filopolazalo Год назад
Acheni kuunganisha Mungu na dunia
@abelachwata9172
@abelachwata9172 2 года назад
Excellent prophet ❤️❤️❤️❤️Kondegang for life
@DennisNdiema
@DennisNdiema 5 месяцев назад
Wimbo freshy kabisaaa 💯✅
@kenstarmusic0012
@kenstarmusic0012 2 года назад
God Bless Harmonize.
@AL-hm2nv
@AL-hm2nv 2 года назад
Maaduyi Wake wote wazidi kushinda.
@winniealbert5530
@winniealbert5530 2 года назад
Halleluja Halleluja Halleluja dear DADDY. 🙏🏼💕. Miss you. Lots of LOVE from Sweden, hope to come to see you this year🙏🏼. By his Grace 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@anicethswagara3880
@anicethswagara3880 2 года назад
Duh mungu ameshaa anza kutaniwa bongo freva inapigwa kanisan
@antonybella3778
@antonybella3778 2 года назад
Huu Ni mwaka wangu naamini kabisa ngoma nzuri
@veronicanakhungu8712
@veronicanakhungu8712 2 года назад
🔥🔥🔥
@qwqw1665
@qwqw1665 2 года назад
Hongera mabii mkuu ubarkiwe
@michaelmenja4251
@michaelmenja4251 2 года назад
Mungu ndiye ajuaye moyo wa binadamu
@sylviakwezi3827
@sylviakwezi3827 Год назад
Wimbo nzuri Sana barikiwa
@skolayusta7655
@skolayusta7655 2 года назад
Mungu mkubwa harmonize wakati wako huu
Далее
小丑调戏黑天使的后果#short #angel #clown
00:16
KANGUKA DE MARDI 15 10 2024@ chris ndikumana
1:22:14
NAKUPENDA MWALIMU NIKUVALISHE PETE  STEVE MWEUSI
14:04