Тёмный

HATUMTAKI HUYO MKULIMA, KAZI YAKE TU SITAIWEZA, ILA NIMEMPENDA - HELLO MR. RIGHT 

ST BONGO TV
Подписаться 172 тыс.
Просмотров 102 тыс.
50% 1

►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 196   
@faizaahamd2052
@faizaahamd2052 9 месяцев назад
Huyu mkaka siyo mkulima. No mtu kazi yake mzuri sana kila amekuja kupima je kuna wenye mapenzi ya Kweli. CONGRATULATIONS MY BROTHER. Kwa kupima watu.
@esterpaschal6080
@esterpaschal6080 9 месяцев назад
Kwan mkulima anashida gan
@theprincejr1417
@theprincejr1417 9 месяцев назад
​@@esterpaschal6080mi mwenyw nalima huko 😂😅 kwa hyo tunashida gani
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 9 месяцев назад
@@esterpaschal6080 tena ukulima ukikubali una pesa
@jeromeshirima2053
@jeromeshirima2053 9 месяцев назад
@@esterpaschal6080ni wewe hiyo dp
@JonathanNelson-l8h
@JonathanNelson-l8h 9 месяцев назад
Watu wengi hamjui kama kilimo ni bonge la mchongo....kilimo ni pesaaaaaa
@EmiliaNuru
@EmiliaNuru 9 месяцев назад
Am proud of you brother and I love that
@williammussa5621
@williammussa5621 9 месяцев назад
Hiki kipindii wapo serious kweli au ni comed 😂😂
@anthonykihanga2881
@anthonykihanga2881 9 часов назад
Sio vizuri kabisa hizo lugha wanazo tumia hao wadada waelewe kilicho wapeleka na si kudhihaki watu kama hujampenda kausha tu
@ammydaniel8947
@ammydaniel8947 9 месяцев назад
Ila kumjudge mtu kimaumbile ni kumvunjia heshima na udhalilishaji Sijapenda hao wadada walichofanya. Please weken sheria kama mtu hajampendae mr right ni bora akatae! Kwa No bas!
@theprincejr1417
@theprincejr1417 9 месяцев назад
Yani nawaskiliza naona wenyewe ni Mungu asee wana judge had uumbaji 😂,
@ammydaniel8947
@ammydaniel8947 9 месяцев назад
@@theprincejr1417 na hao sijui madaktar wanaona kawaida tu , ila akifanyiwa hivyo bint yoyote ndio wanajifanyaga wanahasira na mr right , then wanamfukuza. Hakuna binadamu yoyote mwenye haki ya kukosoa! Yan hili limeniuma kama nimefanyiwa mm.
@EsterMajaliwa-u3b
@EsterMajaliwa-u3b 9 месяцев назад
Ni kweli,,hawana adabu kabisa waweke sheria jamank
@NiceWatson-y7e
@NiceWatson-y7e 9 месяцев назад
Kwanza mwanaume mwenye akili zake timamu hawez kwenda hapo na ndio maana hao wanaume wanaowahitaj hawawez kufika hapo
@chulelubella2819
@chulelubella2819 9 месяцев назад
Kiufupi hamna wanawake wa kuoa hapo wengi wanaangalia vitu vya kimwili
@Angelkilawe
@Angelkilawe 9 месяцев назад
Huyu kaka nimtu mkubwa kadanganya wanawake hamna bahati😂😂😂
@ellymwampashe8927
@ellymwampashe8927 9 месяцев назад
Braza katudanganya hakuna mkulima hapa. Ila chaguo alilochagua wala hata hawaendani. Anitha anahitaji mubaba😢 by the way hakukuwa na haja ya kuingiza ufupi, just say No inatosha. Kila mtu kajikuta ameumbwa
@BlessingsJosephMsofe
@BlessingsJosephMsofe 8 месяцев назад
Sasa na hao wamalaya wamekuja kuninadi nao wanachagua pumbavu kabisa nyie😂😂
@SalmaMnalidi
@SalmaMnalidi 8 месяцев назад
Conglatration
@PatsonSimpito
@PatsonSimpito 9 месяцев назад
Johar afukuzwe kabisa mbwa huyuu
@GeorgeCharo-b3k
@GeorgeCharo-b3k 9 месяцев назад
Ywaudhiii haswaaaa
@JdnjdjdjEjjeejeie
@JdnjdjdjEjjeejeie 9 месяцев назад
Kabx afukuzw
@zainaburashid1578
@zainaburashid1578 9 месяцев назад
Afu sio mzuri 😂
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 9 месяцев назад
Hawa wanawake woote siwo, wanataka wanaume waongo, mana mwanamme akiwa mkweli hawataki wanataka wanaume weny majumba na magari, kaz nzuri lkn wanaume weny kuhangaika na maisha hawataki
@magreciousthomas3527
@magreciousthomas3527 9 месяцев назад
Duh hata hawaendani😂😂uyu dada mwili mkubwa
@flm1530
@flm1530 9 месяцев назад
Hao ni Malaya wapo hapo
@paulmuhia7781
@paulmuhia7781 9 месяцев назад
Makosa kuwaita hivo.
@JdnjdjdjEjjeejeie
@JdnjdjdjEjjeejeie 9 месяцев назад
Makos gani?​ wamalay awo@@paulmuhia7781
@themalumbos4214
@themalumbos4214 9 месяцев назад
kabixa kabisa😅😅
@SantaJumaa
@SantaJumaa 9 месяцев назад
Umeniwahi nilitaka kucomment ivo ivo hao malaya tu kwanza mwanamke anayejiheshim na kujua thamana yake awez kwenda kujinadi ivo
@elvilamwambambale950
@elvilamwambambale950 9 месяцев назад
​plz niunganishe me na huyo kijana plz
@mwanashasjambia8572
@mwanashasjambia8572 9 месяцев назад
Madharau hayoo ndiomaana mkakosa wanaume wakuwaowa.wanawake mlokuja apoo nyote mnaila.
@loner_wolf
@loner_wolf 9 месяцев назад
Mungu huumba matumboni mwamama zetu atakavyo yeye.....tena kwa mfano wake ,yaani sio kwakufanananaye ,bali kwa namna yake anavyohitaji ,msije mkanifikilia nafananisha mungu na hinadamu , laa hasha .....ila kwa namna atakavyo yeye , so MTU mfupi au mrefu hujikuta tu hapo wala sio kwa mahitaji au kuomba.....huo ndio uweza wa mungu ambao watu huutilia shaka.
@jotoentertainment9225
@jotoentertainment9225 9 месяцев назад
Ko sie wakulima mnatuona watu waajab au sio😢😢😢
@Nelly-s3h
@Nelly-s3h 9 месяцев назад
Na nyie wanaume bhna kwan huwez kudanganya kama una kazi nzuri unasema kazi ya uongo na kazi mbovu ili wazarau atakekukubali ndio unasema ukweli sasa maana ndugu zangu wanaonekana wapenda pesa
@timamulituto
@timamulituto 9 месяцев назад
Uyo dada ana laana ufupi una nn Mungu ampe laana uyo dada asipate mwanaume
@enockabumba7513
@enockabumba7513 9 месяцев назад
Amina
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 9 месяцев назад
😂
@rutherick255
@rutherick255 9 месяцев назад
But it hasn't end oooh😢😢😢
@chulelubella2819
@chulelubella2819 9 месяцев назад
Huyo Johari ni mshamba wa KIGOMA
@aminamwivita7690
@aminamwivita7690 9 месяцев назад
Congratulations keep it up good job 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@MaryamaAlly
@MaryamaAlly 9 месяцев назад
nilkua najiuliza why mr right hawaji kumbe hawataki jichoresha😂
@ibrahimyusuph4908
@ibrahimyusuph4908 9 месяцев назад
Wa kwanza leo😊
@WilliamEzekiel-hv9li
@WilliamEzekiel-hv9li 9 месяцев назад
Johari utazeekea apo apo😂😂
@theprincejr1417
@theprincejr1417 9 месяцев назад
Huyo nikimkuta yuko na braza nitafukuza , mwanmke hajui kuongea na stara ya mwanmke
@MwajumShaban
@MwajumShaban 9 месяцев назад
Mkulima huyu jameni siungeenda kuoa kijijin ili mlime vizur 😂😂😂😂😂😂 Pole au twende tukalime wote
@RosemaryPius-cs5lh
@RosemaryPius-cs5lh 9 месяцев назад
Kwani mtu anajishugulisha na kilimo ni lazima ashike jembee????
@MwajumShaban
@MwajumShaban 9 месяцев назад
@@RosemaryPius-cs5lh 😂ndio kilichomkosesha pale aliposem nimkulim yeangesem mjeda wote wangewasha taa
@saidkombo9904
@saidkombo9904 9 месяцев назад
Hapo hakuna wake ni panya road tu wamejaa😂😂
@justinealex8020
@justinealex8020 9 месяцев назад
Huyo johar hatopata hata mwanaume wenda awe fara kama yeye make toka nmeanza kumuona hapo anaelekea kuchacha sasa Inaonesha tabia na tu mbov hyo ndoa ataitunza
@zubedamae-ro1jx
@zubedamae-ro1jx 9 месяцев назад
Naomba part 2 ya huyu boy coz lastly atasema kazi yake au mnipe no. Yake
@neemamkuchu
@neemamkuchu 9 месяцев назад
Johar kaongea pumba😂
@theprincejr1417
@theprincejr1417 9 месяцев назад
Hajuagi hata kuongea kwa utaratbu
@elizabethkalinga0822
@elizabethkalinga0822 9 месяцев назад
Safi Kijana huna Hasira, huo ndiyo Uanaume
@NdekejaKamuli-sh5pe
@NdekejaKamuli-sh5pe 9 месяцев назад
Mmmmh hicho kidemu kinafanya kinajua ngoja nitokee Mimi nikakikatae pia
@SalmaPaschal-v6o
@SalmaPaschal-v6o 9 месяцев назад
tobhaaaaa Si shangazi yake huyu🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
@czechzyamwaga1021
@czechzyamwaga1021 9 месяцев назад
Wafupi wana dudu ndefu sanaaa ❤😂
@RebyTizo-mn6gh
@RebyTizo-mn6gh 9 месяцев назад
Wote watafika mbinguni wamechoka maan hao wantk waume wenye pesa km wazazi wao wanazo
@magreciousthomas3527
@magreciousthomas3527 9 месяцев назад
Mmh mbona kama udharirishaji jmn
@emanuelayubu5021
@emanuelayubu5021 9 месяцев назад
huyu jamaa ni mtata, itakuwa amedanganya kwenye shughuli na kuna kitu anapima.
@PaulAbel-no1xy
@PaulAbel-no1xy 9 месяцев назад
Hata mm nahc icho
@Sparkog-G
@Sparkog-G 9 месяцев назад
Mbona uyo johari mjuwaji San na hapo podium hatobowiiii
@ATWITYEMKALAWA
@ATWITYEMKALAWA 9 месяцев назад
mbona anita mwenyewe nilimama kabisa afu anajishauwa angekuwa mzuri siangelinga
@swalhawerema57
@swalhawerema57 9 месяцев назад
Hivi hawajui kilimo kina pesa mno...basi tu hawaangalii pesa zinapatikan wapii
@Sweetnaah
@Sweetnaah 8 месяцев назад
Ndo maan tunadanganywa kumbee😂😂😂😂😂😂😂
@OmanJalan-xc8nx
@OmanJalan-xc8nx 9 месяцев назад
Uyo johari namuombea asipate mume asugue Gaga apo adi akome anamdomo sana na atakeye mchagua nishida
@chulelubella2819
@chulelubella2819 9 месяцев назад
Kashamba kametoka bush kamekuja mjini kalimbukeni
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 9 месяцев назад
Haipendezi kumtoa mtu kasoro kama hajakuvutia tuliza kipago
@AgnesJosephBikwato
@AgnesJosephBikwato 8 месяцев назад
Wasichana mungu anawaona acheni mashauzi mkulima kwani siyo mtu kwani mnakula vilivyotoka wapi! Kama siyo mkononi jamani du!
@zainaburashid1578
@zainaburashid1578 9 месяцев назад
Yani nyie wadada sura mbaya hadi roho gara b shusha hao wanaojiona hapo na mtasubiri sana kupata wanaume kweli mtapata w kuwafunua tu🧐🤔
@MashimbiWilliam
@MashimbiWilliam 9 месяцев назад
Hii entertainment tu
@RayyanRayyan-rt9cg
@RayyanRayyan-rt9cg 9 месяцев назад
Bora kile kipindi cha Kenya ichi cha uku ni ufala alafu hawana adabu wako kama wanadanga tu atakama niihari ya mtu kuchagua ila hawa wanazalilisha watu,,ata hao waongoza kipindi wanashindwa kumfariji mtu wan mcheka haya tuone kma iki kipindi kitaendelea kwa haya mambo hakuna mwanaume anapenda fedhea
@yassingawaza5097
@yassingawaza5097 5 месяцев назад
Ila kaz ngum hiii daaaa😂😂
@nuratirama
@nuratirama 9 месяцев назад
Yaani hawo wanawake wa mr right siyo kwamba wanampenda mtu bali huwa wanapenda pesa na kazi ya mtu si kumpenda mtu mwenyewe
@laurian27
@laurian27 9 месяцев назад
Huyo johari atawapunguzia mashabik wa kipindi hicho hebu jaribuni kupunguza wahuni wengine wateja wetu tunawaona kabisa na mjue kbs kuwa madanguro yashaondolewa kwa sasa wanajitafutia na bahati mbaya kwakuwa ni wameshazoea kila aina ya wanaume ndo maana hawaishiwi machaguo na wanasumbua na kubaki hapo kuwaharibia kipindi.binafc gari b ntakuja hapo kama mr r lkn mtanifukuza kwa kuwachana hao malaya
@santinosabugo2114
@santinosabugo2114 9 месяцев назад
kwel maisha yanaenda Kasi muolewaji anachagu wanataka kuolewa na wanaume wenye pesa wakati huo wenyewe Hali mbay
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 9 месяцев назад
Alau uyu jokhal.atoke
@zainaburashid1578
@zainaburashid1578 9 месяцев назад
Huyu sio mkulima...wadada mnapenda pesa na sio mtu kwendraaaa
@rahymaaa4357
@rahymaaa4357 6 месяцев назад
Mmmmh kwani Mungu haajakosea kuumba muelewe hilo msijaji kuumbwa kwake
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 9 месяцев назад
Broo tafuta hela ufupi hutaonekana😂😂😂
@chulelubella2819
@chulelubella2819 9 месяцев назад
Alfu pesa ikiisha ufupi si unarudi palepale
@chulelubella2819
@chulelubella2819 9 месяцев назад
Mtu akikupenda hawezi kuangalia kasoro zako za kimwili
@rutherick255
@rutherick255 9 месяцев назад
What's wrong with míchael😂😂😂😂
@LukiaMwaya
@LukiaMwaya 9 месяцев назад
Me uyo mkaka nimempend BURE aje kwng ao wte malaya tu wanajiuza t
@jimmylevoyo2539
@jimmylevoyo2539 9 месяцев назад
Anita kamkonyeza huyo jamaa, kashamulewa ila anazuga.😂
@enockabumba7513
@enockabumba7513 9 месяцев назад
Umeona eeee
@MonicaBwaola
@MonicaBwaola 8 месяцев назад
Watu awaataki kulima jamani😂😂😂 jembee
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np 9 месяцев назад
Ukiona w,mke kaja kujianika hapo ujue anatatizo Mara kazi yake mby Mara mfup zaa wako akuow
@juddykamau8618
@juddykamau8618 9 месяцев назад
Nami sijui nice nipate wangu?
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 9 месяцев назад
kujidhalilisha hivii mhmm
@giddie_barnabas
@giddie_barnabas 9 месяцев назад
malaya hao
@Itsblackghost
@Itsblackghost 9 месяцев назад
Watupandishe wanaume n sis tuwazalilishe kma walivyo mshusha chalii asee
@victoremanuel29
@victoremanuel29 9 месяцев назад
Kwel kabisaa na wenyewe waone raha
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 9 месяцев назад
Hawa wanawake wote mafala
@JdnjdjdjEjjeejeie
@JdnjdjdjEjjeejeie 9 месяцев назад
Akun mwanamuk mweny heshim Zak utamuona hap wote niwamaraya tu afu johari hatapatag bwana mimi uyu😮😮😮
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 9 месяцев назад
Atapata wapi na kiburi alichonacho mdomo dharau uso tu unaonyesha akiongea ndo usiseme
@Zarrahmauwa
@Zarrahmauwa 9 месяцев назад
Johar anasifa sanaa
@amosmutasa3454
@amosmutasa3454 9 месяцев назад
Hili ni dangulo lililo sajiliwa tuu tofauti kidgoo na aloyavunja Chalamila hili ni official
@SharifaSelemani-ix4xs
@SharifaSelemani-ix4xs 9 месяцев назад
Kwani hawa wadada wanatafuta wanaume wa kuwaoa au wanatafuta wanaume wenye pesa, wadangaji wakubwa wanaboa sana wanakuwa kama malaya bwana wanachagua utasema wao wanamaisha mazuri vile hawana lolote
@MalandoDeusMalando
@MalandoDeusMalando 9 месяцев назад
Kwan uyo Johar yupo kwaajr ya kulekebisha Mr right
@innocentcareen818
@innocentcareen818 9 месяцев назад
Hamna mwanamke wa KUOA hapo wote kahaba tu wapenda pesa😂
@faizaahamd2052
@faizaahamd2052 9 месяцев назад
Kweli Kabisa
@ruth1377
@ruth1377 9 месяцев назад
True 👍
@Aplustz-mh5dx
@Aplustz-mh5dx 9 месяцев назад
sasa nyie wanaume mnaenda kufanya nn kwa malaya awa wadada na waonaga mazingira ya kujiuza alafu mnaenda kutafuta ukimwi2
@RandB_Channel
@RandB_Channel 9 месяцев назад
Huyu Johari hawutapata mwana umme kwa tabia hizo Nakwambiya hawutapata sijuwi unajionaje
@FatumaMustafaShbani-vt1ir
@FatumaMustafaShbani-vt1ir 8 месяцев назад
Amina ngade?? 😢😢
@gastondofra9151
@gastondofra9151 9 месяцев назад
Mi napenda kuelewa kitu kimoja je bila kuwa nakipato ni vigumu kupata mwanamke? Wamalaya ndo wanakuja kujitafutia tu
@estermwakafwila9890
@estermwakafwila9890 8 месяцев назад
Huyu caren ni mpumbavu sana tena Sanaa tena malaya sana aisew
@chongorekevin
@chongorekevin 8 месяцев назад
Ukiwa huna kazi ya kueleweka usijisumbue kwnda hapa Kila mtu anataka maokoto
@omanmobile5746
@omanmobile5746 9 месяцев назад
Mmezalilisha mkaka wa watu malaya nyie mtazeeka mkiwa mnadanga pumbavu zenu 😏😏😏😏😏
@fikiriisaya5803
@fikiriisaya5803 6 месяцев назад
Hayo wa dada wote niwamalaya akuna anaye taka mme Wana taka pesa tu
@ayubuzayumba
@ayubuzayumba 9 месяцев назад
Huyo luludiva nae hanabwana
@suzanalucasemanuel7006
@suzanalucasemanuel7006 9 месяцев назад
Huyu johar amnazo diva mtoen atawamalizia pepsi zenu 😂😂😂😂
@elvilamwambambale950
@elvilamwambambale950 9 месяцев назад
Plz naomba huyo kijana mniunganishe me namempenda plz naomba mc garab
@justertilusubya9595
@justertilusubya9595 9 месяцев назад
Ndio mana hawa wasichana wanaishia kuwa vimada kwasababu hawana heshima
@devotamutayoba9373
@devotamutayoba9373 7 месяцев назад
Si haki kumdhalilisha mtu kimaumbile, pia nyie mnaotafuta wachumba hiyo siyo sehemu ya kupata mke wa kuoa hao ni wachunaji wanapenda pesa tu, naona wengi wanejurudia humo watoke
@robertkyalo5328
@robertkyalo5328 9 месяцев назад
Good script!
@agnessmduma7581
@agnessmduma7581 9 месяцев назад
Hapa kuna makahaba tu hamna mke wa kuoa apa kwa mwanaume anae jielewa hawezi kuja kutafuta mke apa
@massatujeli3158
@massatujeli3158 9 месяцев назад
😊😊😊😊huyu annitha ni mchaga
@sidetheboymakerchief2412
@sidetheboymakerchief2412 9 месяцев назад
mwanaume ukiwa mfupi kazi sana
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 9 месяцев назад
😂😂😂
@ElsonAsimwe
@ElsonAsimwe 8 месяцев назад
Joari bado upo 😂 utazeekea apo
@AbdallahMkone
@AbdallahMkone 7 месяцев назад
Weng Malaya tu hapo
@indalesiohenery6124
@indalesiohenery6124 7 месяцев назад
Muwe na maneno ya hekima wanatazama niwatu wengi
@AminaShaibu-g5p
@AminaShaibu-g5p 8 месяцев назад
Hv kwa nini nyinyi watt mnajidhalilisha hv ama kweli dunia hadaa
@Yangaone-h8j
@Yangaone-h8j 8 месяцев назад
Gara B simamia kipindi vizuri baadhi ya hao mabinti hawana kauli nzuri kwa mr right
@AgnesJosephBikwato
@AgnesJosephBikwato 8 месяцев назад
Naomba niulize kwani wazee hawapo mbona vijana tu!
@liannsambu7264
@liannsambu7264 9 месяцев назад
Kina Anitha ni wakarimu na wapole sana na wakweli
@SabrSeleman
@SabrSeleman 8 месяцев назад
Mmh hao warembo hata wakiolewa hawawez kudumu kwenye ndoa maana hawapendi mtu wanapenda vituu alivyonavyo mista laiti
@JulianaMashati-dt9js
@JulianaMashati-dt9js 8 месяцев назад
Hivi haya ni maigizo au ukweli mkaka mzuri huyu namna hii hawez kosa mwanamke et afate machangu hao, sasa kama Anitha si jimama ilo changu, linywa pombe
@MudyBoy-q9h
@MudyBoy-q9h 8 месяцев назад
Ao hawaitaj wanaume tu ila wanataka matajili wadanganyaji tu
@fikiriisaya5803
@fikiriisaya5803 6 месяцев назад
Igekuwa niwazuri wageishi kwenye ndoa
@NuludiniRajabu-cb9oc
@NuludiniRajabu-cb9oc 9 месяцев назад
Awo madem makuma
@JosephKaka-s4k
@JosephKaka-s4k 5 месяцев назад
Huyu man atakae muelewa atafaidi
@jayBabakaila9883
@jayBabakaila9883 9 месяцев назад
Huyo johari nimshenzi
@jenniferkapama6971
@jenniferkapama6971 9 месяцев назад
Johar jiangalie kwanza na uzee wako
Далее
MR.RIGHT APATA WAKATI MGUMU/AFANYA MAAMUZI HAYA
7:46
Просмотров 440 тыс.
MWANAUME KIFUA || HELLO MR RIGHT TANZANIA
3:40
Просмотров 24 тыс.