Тёмный
No video :(

KIREDIO ALIVYOWAIBUKIA STUDIO COUPLE YA MEET US, TAZAMA TIMBWILI LILILOTOKEA 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 229 тыс.
50% 1

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

18 янв 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 666   
@shuweikharashid4175
@shuweikharashid4175 6 месяцев назад
Huyu demu atakuja kupigwa na kitu kizito sana emu km umepigwa na kitu kizito gonga like hp
@oscarhumphrey7692
@oscarhumphrey7692 6 месяцев назад
Ata Kuja kwetu sisi mafisi
@user-kl9xp2el3z
@user-kl9xp2el3z 6 месяцев назад
Tena mimi nilipigwa chakutosha😂
@SalvinJastin
@SalvinJastin 6 месяцев назад
Jaman jamanii wanaumee
@Vision2012Tv
@Vision2012Tv 4 месяца назад
Achana nae uyu haelewi
@user-mc3qu2sz4j
@user-mc3qu2sz4j 3 месяца назад
Kitamurambaaa😂
@CarthyGod
@CarthyGod 21 день назад
Single mother wote gonga like apa jmn man mmh tuna tetewa mno jmn
@yohanamussa4134
@yohanamussa4134 6 месяцев назад
Wanalazimidha interview kujisafisha. Kiredio fanya kazi yako
@myTanzanianplate
@myTanzanianplate 6 месяцев назад
Kiredio wewe ni wetu na tupo pamoja...fanya kazi yakoo❤❤
@msagatijulius
@msagatijulius 6 месяцев назад
Tuko nae mpaka wamvunje kiuno 😅😅😅...
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 6 месяцев назад
​@@msagatijulius😅😅
@user-mc3qu2sz4j
@user-mc3qu2sz4j 3 месяца назад
Kabisa 👍👍👍👍
@fawzalbusayid7232
@fawzalbusayid7232 17 дней назад
@@msagatijulius😂😂😂😂halaaa
@MwajumaSeif-ry1kt
@MwajumaSeif-ry1kt 5 месяцев назад
Ni kweli uyo mkaka ni Muong kiredio yupo perfect
@jastinlazaro2840
@jastinlazaro2840 4 месяца назад
Una uhakika😂😂😂 yan wabongo bn
@MphilipinoFilmsTv-bs4mw
@MphilipinoFilmsTv-bs4mw 12 дней назад
ILO dada ni jinga Sanaa aiseee,, shenziiii sana
@atienograce7564
@atienograce7564 6 месяцев назад
Hata ndoa badoooo mambo yameshakuwa moto!! Tutafika kweli?...🤠
@SobiTz
@SobiTz 6 месяцев назад
Kiredio tuko pamoja naww 😅✌️
@nedcopascal4640
@nedcopascal4640 5 месяцев назад
Tunasubiri tupo pamoja 😂😂😂
@paulmutailuka2417
@paulmutailuka2417 6 месяцев назад
Huyu jamaa aise anamna kuna jambo linaendelea kwakweli ktk mahusiano yake.
@eddyeddy2907
@eddyeddy2907 6 месяцев назад
Namba uliyoisevu unaweza kuiblock then utaikuta very simple. Ila huyu Dada inaonekana ni mgeni kwenye mahusiano.
@armanichicandow1225
@armanichicandow1225 6 месяцев назад
Huyu demu ndo amependa, na hana pa kwenda akiachika. 😀😀😀 mwanamke anateseka sana huyu
@MarthaJoseph-pp6ir
@MarthaJoseph-pp6ir 6 месяцев назад
The guy anaonekana kabixa Yuko na fear kweny muonekano wake hayuko stable nimuongoo masikin we dada 😭😭💔 utakuja kumia vibaya
@user-qh8kl9mu5w
@user-qh8kl9mu5w 6 месяцев назад
Dada anajikuta kakolea, bt nimemsoma huyo dada sio mjinga😢😅😅
@hoglamumbee344
@hoglamumbee344 4 месяца назад
His body and facial language speaks alot
@NuruNgolle
@NuruNgolle 22 дня назад
Mimi nimpe mme wangu 💯 siwezi ng,o ukisali ktk roho na kweli Mungu anatuonyesha live kwahiyo maumivu tunayajua lakini tunamshukuru Mungu kwakutuonyesha so kama usali utakutwa na kitu kizito alafu unapanik heri tunaojionea tunajua jinsi yakubeba maumivu ndoa iendelee ndugu amua kumwamini mwanaume utajinyonga ndugu acha hawa wanaume waendelee. Mungu anatutetea sana wanawake tukitulia ndie anabeba maumivu yetu
@user-ef8jh7ql7z
@user-ef8jh7ql7z 6 месяцев назад
Kiredio n wetuu......pambana brooo tunakukubalii sana
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 6 месяцев назад
Huyu dada mpuuzi sana, Unatia huruma mwanaume unaweza lala nae ukamka nae na bd akakusaliti fatilia
@user-us1ne8hu1l
@user-us1ne8hu1l 6 месяцев назад
Tatizo hamna mwanaume ambye acheat lkn akikuhexhm nakukutunza xhukuru mungu
@gastonamnon7005
@gastonamnon7005 6 месяцев назад
Jidanganyee 😅😅😅😅 Wanaume sisi tunafanana 😂😂😂
@LuluMtalika
@LuluMtalika 3 месяца назад
Kabisa yan
@Irene-bt6tv
@Irene-bt6tv 2 месяца назад
Hawa viumbe hawaaminiki kbsaaa wapuuzi woteee🙌🙌🙌🙌
@shedy_marie
@shedy_marie Месяц назад
Iyo mambo ukiyawaza huez olewa dear mengine Bora uko na aman
@sarafinahprince4265
@sarafinahprince4265 4 дня назад
Kiredio na Mr UK fanyeni kazi bana tunawapenda
@RosemaryEdward-yw9tv
@RosemaryEdward-yw9tv 6 месяцев назад
Huyu dada awajui wanaume vizuri jamani mh namuonea sana huruma mwanaume wake mwenyewe macho juu juu.
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 6 месяцев назад
😂😂😂😂bora angelala nyumbniiiii.........maaan hawajui kbsa
@user-sd8cq3ds7n
@user-sd8cq3ds7n 6 месяцев назад
Kuweni makini na wanaume weupe😂
@nehemia397
@nehemia397 2 месяца назад
​@@user-sd8cq3ds7ntumefanyaje mkuu
@pikolaizaog7303
@pikolaizaog7303 6 месяцев назад
Hahaha 😂😂😂"lazima hili penzi liharibike huyu anamdanganya huyu dada" kiredio😂😂😂
@user-sx5ep3cz9g
@user-sx5ep3cz9g 6 месяцев назад
Jaman dida nampenda uyu dada hatak unafki
@beatuskamanyisa7611
@beatuskamanyisa7611 2 месяца назад
Huyu dada apewe ulinzi😂😂😂
@user-vk1xj2nl1j
@user-vk1xj2nl1j 6 месяцев назад
Dida uyo mwanaume kabla ajawa na usiano na huyo dada akuwahi kuwa na husiano nyuma ?asijifanye mwaminifu huyo tunawajuwa sana wanaume ndani nje
@SarahShalua-ij8qg
@SarahShalua-ij8qg 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂kiredio ndugu yangu we noma yan ona sura yake haina nuru ni kweri kabisa huyo dada hana ile nuru kabisa yan ila huyu dada atakuja kulia kweri
@majaliwamajaliwa4407
@majaliwamajaliwa4407 6 месяцев назад
Pia block list unaweza kumtoa mtu asie jua kutoa anipigie nimpe maelekezo kiredio yupo sawa
@owdenisaga4361
@owdenisaga4361 6 месяцев назад
Utamtoa mtu number itarudi but kwenye iOS hata uki unblock number bado inabaki kwenye block list
@hadijaabdallah8614
@hadijaabdallah8614 6 месяцев назад
Futa halafu nenda kwenye block list utaikuta ipo imetulia😂
@magdalenabenedict2089
@magdalenabenedict2089 6 месяцев назад
Huyu jamaa amepanick thats means ni kweli alichofanya
@samaloyce6982
@samaloyce6982 6 месяцев назад
kupanic sio kipimo cha kusema hlo jambo n kweli, hali hyo hutokea katika jambo lolote usilolitarajia
@victoriaanthony717
@victoriaanthony717 22 дня назад
hata wew mtu akija Kwa niaba ya kukuaribia furaha yako utaniacha salama mbona mnaona mtu alifanyiwa unyama mnachukulia poa ila mkifanyiwa nyie ndio mpanik km mm uyo kiredio cmpendi kwakuwa anajifanya kuwachalenge watu je yeye katulia achit mnamuamini km ni mungu bwn
@victoriaanthony717
@victoriaanthony717 22 дня назад
​@@samaloyce6982ni Bora ulivyomjibu alafu wanamuamini Sana uyo kiredio mm cmuelew hata kidogo kwan yeye achit mpaka awafanyie wenzie ivyo mwenye akili ataelewa lkn wenzangu na mie wenye mihemko na mapenzi wanamuelewa vby ila mm cmuelew hata
@dayvanny_graphics2172
@dayvanny_graphics2172 6 месяцев назад
Pole sana mbwa wewe😃😃we wanaume hautujui vizuri
@ShelynevaMsigwa
@ShelynevaMsigwa 6 месяцев назад
😅😅😅😅
@bhokesaid3264
@bhokesaid3264 6 месяцев назад
Siku ile aligoma leo kishaweka mazingira sawa anakubari kirahisi...rahim kicheche na anaonekana tu Katika mazingira ya kawaida dada ana kazi ya ziada na anajua hilo
@HappyMkami
@HappyMkami Час назад
Ila kiredio uvuja mahusiano yawatu sanaa
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 6 месяцев назад
Huyu dada anajikaza tu lkn usikute hana amani ya moyo 😂😂 na pia blacklist unaweza kuifuta usikute jamaa alifuta tu kule
@DianaRichard-bu9tz
@DianaRichard-bu9tz 23 дня назад
Kiredio utafute baunsa maana natamani niendelee kukuona ukiwa powa siku zote 😂😂😂😂maana wasije kukupiga siku moja nitaumia sana 😅
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 6 месяцев назад
Amna mapenzi hapo,
@rukiammanyi-qm9iz
@rukiammanyi-qm9iz 6 месяцев назад
Sasa kama.hamjui Irene sku ile ya challenge kwa nn akimbie kuonyesha ile blocklist yake kama sio kweli
@donathasimon9292
@donathasimon9292 6 месяцев назад
Kiredio Songa mbele achana nanhao watu Upendo unanguvu sanaaaa hawawezi kukuelewa leo
@NuhHamisy
@NuhHamisy 6 месяцев назад
Daaaah jamaaaaa katupigaaa 😅😅😅😅😅 kiredio watete tyuh wanawake
@getruda-oy8mo
@getruda-oy8mo 2 месяца назад
Humu nimempenda mama Dida nimesema mamaa bicoz miminimtoto kwake japo hajanizaa but hua akusemaa kitu jua nikweel💯👁️
@pulikisia7963
@pulikisia7963 6 месяцев назад
Ila kiujumla watu wanapenda mahusiano ya watu yavunjike.Watu hawapendi watu wakipendana.Kama huyo dada amemridhia huyo kaka pamoja na infidelity zake ni sawa tu.
@angelketya
@angelketya 6 месяцев назад
Mdada ataumia vibaya mno 😢😢 Yaani alivyosema mtoto tutalea hiyo anaumia sana
@LuluMtalika
@LuluMtalika 3 месяца назад
Tena snaa anumia wanaume hawaaminiki kabisa yan kipenzi
@Lee-ng5wh
@Lee-ng5wh 23 дня назад
Bomu litalipuka soon
@levi_wane
@levi_wane 6 месяцев назад
Mmejisumbua kuangalia block Kwan kabla hajaja hapo haja futa namba Wala ku unblock?
@diva_20162
@diva_20162 3 месяца назад
😂😂😂dida hakwepeshi uwiiii😊😊 ila huyo dada atakuja kupigwa na kitu kizito 😂😂😂
@mussaayubu1167
@mussaayubu1167 6 месяцев назад
Niko pamoja na hawa wachumba kwann kuwafuatilia kiasi hiki Kwan shida nn alafu kiredio ni mwanaume kwann anamuandama mwanaume mwenzetu kiasi hiki hapa nahisi kuna kitu tofauti na haya tunayoambiwa
@Raj-gs2oj
@Raj-gs2oj 6 месяцев назад
Wanaytak c wametka waixhi kisanii
@marthabuhele8429
@marthabuhele8429 3 месяца назад
Pole Dada wadada tunatakiwa kupenda mwisho asilimia 50,80 zote hizo za nn utalia mumy na aibu juuuuuu
@aishanjovu3127
@aishanjovu3127 3 месяца назад
We nd mm
@RachelJulius-fh9nl
@RachelJulius-fh9nl 6 месяцев назад
Jmn kiredio waachani watu wa watu....kama wanadanganyana watajua wenyewe
@JudithAdonis
@JudithAdonis 6 месяцев назад
Yaan, cjui huyo kiredio anapata nn......maana amekazana
@DickPoul-re3lr
@DickPoul-re3lr 6 месяцев назад
Kiredio nitakutengenezea sanamu no one can do what u can do na kama akitokeaa kuna vitu vidogo vidgo ata kosaaaa upewe maua yakoooooooo
@user-nz7ln2yw4i
@user-nz7ln2yw4i 6 месяцев назад
Uyu dada atalia vibaya mnooooo😂😂😂😂😂😂😂😂
@jacquelinegg327
@jacquelinegg327 6 месяцев назад
Dadeki
@aishanjovu3127
@aishanjovu3127 3 месяца назад
Anajiendekeza😂
@estermwakatundu3028
@estermwakatundu3028 23 дня назад
Huu mwanzo Tu atalia zaidi
@evaakyoo3009
@evaakyoo3009 6 месяцев назад
Mwanangu bado haujaishi usiwaamini sana wanaume hata baba zako wametutenda sana cendi mwanangu usiwaamini utajajuta
@EVERINAAHUNGU-cv3dq
@EVERINAAHUNGU-cv3dq 6 месяцев назад
Jmn mam unaongea Kwak uchungu
@JemimaMdota
@JemimaMdota 4 месяца назад
Wanaume hoyeeeeeee🙌🙌🙌🙌🙌 nawasalie mie huwa najua kitu kimoja chamsingi heshima na kutoa rahana
@ceciliamsesa179
@ceciliamsesa179 6 месяцев назад
Simsimamii yeyote but huyo Rahim mshamba , blacklist namb inafutwa vzuri tu . Na huy dada mwanaume so wa kumwamin kias icho apo anakuona kajinga flani tu 🤣🤣
@ashaahmad720
@ashaahmad720 6 месяцев назад
subir kimlambe hakijamramba bado
@ceciliamsesa179
@ceciliamsesa179 6 месяцев назад
@@ashaahmad720 Yetu macho🤣🤣
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 6 месяцев назад
Mimi na block kila siku na ukianblock unaifuta vizuri
@ceciliamsesa179
@ceciliamsesa179 6 месяцев назад
@@paskaziasholla7471 Yaa ndo ivo
@user-se9xi3kp4f
@user-se9xi3kp4f 6 месяцев назад
Hawa ndo wale wanajifanya kwenye social media Wana enjoy lakini ukija kwenye real life inaonekana kabisa huyu dada anajifanya ana amani lakini hana amani
@NeemaAbdul
@NeemaAbdul 24 дня назад
Kabisa anaonyesha nje ndani anajitetea tu hapo
@rahultz_
@rahultz_ 6 месяцев назад
😂😂😂😂kama kuna mtoto anakuja tutampokea😂😂😂kuna kitu nishashtuka
@user-if8oh2rm3p
@user-if8oh2rm3p 6 месяцев назад
Dida mm mpk chooni nilikuwa napelekwa na nachambwa😅😅😅😅lkn mama uyo dada aweke akiba ya maneno
@MgeniOmmy
@MgeniOmmy 6 месяцев назад
😂😂😂
@rayahamisi118
@rayahamisi118 6 месяцев назад
Wanaume waooo😊
@shedy_marie
@shedy_marie Месяц назад
Nawapenda km couple goal mmeamua kuweka online bas mm nan nipinge god bless you 🎉❤
@Dareaziz
@Dareaziz 6 месяцев назад
Kiredio Hana lengo baya
@LuluMtalika
@LuluMtalika 3 месяца назад
Kabisa yan
@SuzanaSanga-hi6ss
@SuzanaSanga-hi6ss 2 месяца назад
Yaan nataman siku nije nijue ukwel zaid ya huyo 🍭🍭🍭🍭🍭🍭🍭
@chingaboy1149
@chingaboy1149 6 месяцев назад
Sasa hapo mzozo wanni wahusika wanakataa mbea anashadidiaa tatizo nni kama usenge huyu kiredio
@favouredlizzy3124
@favouredlizzy3124 6 месяцев назад
Huyu rahim anaongea sana ni tapeli huyu na candy atalia mnooooooo tuko hapa 😅😅😅😅😅😅😅
@nyakimimbiyalimba2705
@nyakimimbiyalimba2705 6 месяцев назад
Mimi bwana angu nilikua nafanya nae kazi muda wote tupo wote sijui ata ali cheat saangapi nyie nakuja kushtuka mtoto ana miaka3 uyu Dada mbona kama kapenda sana
@pendombinga3584
@pendombinga3584 6 месяцев назад
Jman mwanaume kucheat ni kawada sna kwan shida hk wp wazee wt walikuwa wanawanawake nje ya ndoa zao lkn muhimu upendo ma heshima tu jmn waache mahusiano y wtu
@stellahsimon4460
@stellahsimon4460 6 месяцев назад
Kbsss
@hamidawamba
@hamidawamba 6 месяцев назад
@@pendombinga3584kusema kucheat ni kawaid ndio kunawafanya wacheat
@imanuelzakayo8703
@imanuelzakayo8703 5 дней назад
Kaka amefurah sana baadaa ya kukosa nambaa ya airen lkn hapo kuna kaukweli hapooo
@claudiangowi9628
@claudiangowi9628 6 месяцев назад
Huyu dada anafikiri wanaume ni watu wazuri, atajutaaa baadae 😢😢
@vumi8371
@vumi8371 5 месяцев назад
Jamani 😂😂😂😂😂
@vumiliamatchu370
@vumiliamatchu370 6 месяцев назад
Uyo dada ni mjinga kweli
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 6 месяцев назад
Tena hajitambui hata kdg mwanaume maneno meng anamzidi uyo katoa iyo number kwenye block kaifuta
@vumiliamatchu370
@vumiliamatchu370 6 месяцев назад
@@dorcaskidoti249 yaaani kimesha nikera icho ki binty aiseeee 🤣🤣🤣kina mwamini mwanaume 🤣🤣🤣mwanaume ni waku mwamini kweli ?🧏‍♀️🧏‍♀️🧏‍♀️🧏‍♀️🧏‍♀️🧏‍♀️🧏‍♀️🧏‍♀️🧏‍♀️
@sarahadolf9722
@sarahadolf9722 6 месяцев назад
Ata asipo mwamini afanye nn au kuna wanaume waminifu kumzid au
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 6 месяцев назад
​@@vumiliamatchu370lafa uyu😂😂😂
@user-li4ii9tn1l
@user-li4ii9tn1l 6 месяцев назад
Dada usimwamini mwanaume hivyo dear kubari nitumia nafasi yako kipenz kijanja anaweza tamani njee
@aminaabdalla-uo9zq
@aminaabdalla-uo9zq 3 месяца назад
Wanaume weupe suukari ya warembo uyo broh uyoo ahh mchumba t uy dad unashare😂😂 mwanmme ili atulie atakiw akufee apo nd atatulia akiwa hai sahau😂😂 dydy
@MustymediaTv
@MustymediaTv 6 месяцев назад
Dawa ya kiredio ni kula demu wake yule mwenye shepu
@MushagalushaMigabo
@MushagalushaMigabo 6 месяцев назад
Haaaaa
@user-xt9kh3sp2o
@user-xt9kh3sp2o 6 месяцев назад
Binadamu hatupend furaha ya binadam wenzetu ndo tatizo watu wengi wanayoyapitia wao na wenzao wapitie ndo wanavyotaka
@zayvanclassic7960
@zayvanclassic7960 6 месяцев назад
Mambo niyapendayo 😅😅😅😅😅nyiee simuamin mtt w mama mkwe😂😂😂😂😂
@SaidyHamza-it1tg
@SaidyHamza-it1tg 6 месяцев назад
Mwana umme anamuaa mwana umme mweziee duuh
@majaliwamajaliwa4407
@majaliwamajaliwa4407 6 месяцев назад
Kiredio yupo Sawa siku ya kwanza ulikimbia
@elsabio11
@elsabio11 6 месяцев назад
Sawa alikimbia yeye kiredio kwanini haoneshi hizo chat za DM
@edyboychamiliion1360
@edyboychamiliion1360 6 месяцев назад
Uyo juma anaweza kuamua ngumi mtu mwenyeye mavi yake hawezi kuyazuia😂😂😂
@himidiwekabuje8402
@himidiwekabuje8402 6 месяцев назад
😂😂😂😂
@zamdabatezi3766
@zamdabatezi3766 6 месяцев назад
Inaonekan uyu kaka kafuta namba kwanini ambiwe yeeye
@user-iw1qp1cu8u
@user-iw1qp1cu8u 6 месяцев назад
❤❤❤kiledio
@WinfridaJohn-rm6gc
@WinfridaJohn-rm6gc 6 месяцев назад
Yaani kiredio kakasirika kabisa
@user-sj7gj3xl1u
@user-sj7gj3xl1u 6 месяцев назад
Mmmm 🎉🎉🎉🎉❤❤
@nuratynurdin-vd7zw
@nuratynurdin-vd7zw 6 месяцев назад
Dada kaza wew ni mti wenye matunda lazima upigwe mawe japo wanasema hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja wasikuvurugie furaha yako kipenzi nawapenda sana inshaallah mwenyezi mungu awape maisha marefu na yenye furaha endelevu
@elizamlewi389
@elizamlewi389 6 месяцев назад
Ai laik that dear ❤😂
@marrystellagoodluck4268
@marrystellagoodluck4268 6 месяцев назад
Mmmh huyu kaka muongo Ana tetemeka na pressure juu
@nuratynurdin-vd7zw
@nuratynurdin-vd7zw 6 месяцев назад
Kwenden huko jamn msiingilie mapenzi ya watu achen waachane wenyewe ila sio kwa maneno yenu😏😏
@catherinedeogratiusmgumba6183
@catherinedeogratiusmgumba6183 6 месяцев назад
Rahimu kujisifia sifia ndo zake😂😂pole sana candy
@giddie_barnabas
@giddie_barnabas 6 месяцев назад
Namba ulioiblock ukaifuta inabakia block list bila jina na uki unblock inapotea maana kwenye cm ushaifuta mnatufanya mazuzu
@user-es7xd3bg7c
@user-es7xd3bg7c 6 месяцев назад
Kweli kabisa
@user-nv1yy4nk3m
@user-nv1yy4nk3m 4 месяца назад
Jmn achana na mahusiano ya watu jmn khaa ata Kam mwanaume anamwanamke mwngne n kawaida kubadrsha mboga kikubwa office ipo kwa candy bx
@JOHNJOHN-pu7wb
@JOHNJOHN-pu7wb 6 месяцев назад
Kiredio hana point 😢😢😢
@ProsperAmad
@ProsperAmad 6 месяцев назад
Duuh kiredio umepata aibu 😂😢kweli
@babypotami6209
@babypotami6209 6 месяцев назад
Kama namba umeblock alafu hukuisave ukianblock inapotea haikai kwa block .. so atakuwa imefutika.
@jacquelinegg327
@jacquelinegg327 6 месяцев назад
Pole dada Candy,,,,nipo nimekaa pale nasubiri majibu ila weka akiba ya Maneno usijimalize hao ni wanaume dont forgot
@HafidhaAmiri-td8su
@HafidhaAmiri-td8su 6 месяцев назад
Tena mwanaume ni muislamu na yeye ni mkrosto😂😂😂😂😂FEAR MEN💔😂😂
@user-dt7mt6yf9g
@user-dt7mt6yf9g 6 месяцев назад
Nakasubr katakavyokuw kanalia😢😢
@user-oc2jm7pd3n
@user-oc2jm7pd3n 6 месяцев назад
Asa kiredio mpumbavu kwer asa anapenda mausiano yavunjike ndiyo nin ata mungu apendi kutenganisha bari kupatanisha uyo kiredio mpumbavu afai anatakiwa apigwe
@user-iq7gq7mn7u
@user-iq7gq7mn7u 6 месяцев назад
Kaniboa sana
@hawababy120
@hawababy120 6 месяцев назад
Uyo rahim anaonekana mtundu tu.huyo demu iposiku atarudi analia wasafi
@NapeDkilia
@NapeDkilia 16 дней назад
Block list unaweza ukairudisha kwenye contact alafu ukaifuta vzr tu
@sarahsalum9963
@sarahsalum9963 6 месяцев назад
Uyo raheem tapeli
@user-og8ks4px1k
@user-og8ks4px1k 6 месяцев назад
HASWA
@aminaabdalla-uo9zq
@aminaabdalla-uo9zq 3 месяца назад
Sannaaa😂
@ashaahmad720
@ashaahmad720 6 месяцев назад
huyu kaka bn kwann utengenezewe stor wew
@nanaritho6850
@nanaritho6850 6 месяцев назад
Yaaanni kiradio kajidhalilisha vibaya sana
@user-iq7gq7mn7u
@user-iq7gq7mn7u 6 месяцев назад
Ndyo
@ONJAHWorldwide
@ONJAHWorldwide 6 месяцев назад
Saaaaana.. kazi za kike anafanya yeye
@MercyMariki
@MercyMariki 6 месяцев назад
Dida nakupenda bureeeeee ❤❤❤
@BradyHarry-qm5xg
@BradyHarry-qm5xg 6 месяцев назад
😃
@muh4225
@muh4225 6 месяцев назад
Atalia vibaya huyu dada
@joeljoph6575
@joeljoph6575 6 месяцев назад
kufuta unaweza na haichukui ata dakika 1
@hidayaMlowe-rk1kn
@hidayaMlowe-rk1kn 2 месяца назад
Huyu candy inaonekana yeye Ndio kapenda na hanauhuru wa kufganya vitu maana adi kuongea anazuiwa ila litakuja kumkita jambo kunakitu hakiki saw ahapa
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 6 месяцев назад
Huyu dada sisi tupo hapaaa.......
@neemawarioba
@neemawarioba 6 месяцев назад
Tumetuluaa😊
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 6 месяцев назад
Mimi cha kuwashauri mtafuteni big man stivo mwenye RU-vid channel inaitwa comrade flavor….anauwezo wa kurudisha txt zilizofutwa
@sarahkimaro75
@sarahkimaro75 6 месяцев назад
Kabisa yule ni hatari😊
@mohdloushmoney9994
@mohdloushmoney9994 6 месяцев назад
Duuhhh
@pinkyg8861
@pinkyg8861 6 месяцев назад
Wanajuana hawa
@rewardnjau7220
@rewardnjau7220 6 месяцев назад
NJAU unafurahisha sanaaaa, et hili penzi lazima livunjike😂😂😂😂
@MahreenhassaniMwinjo
@MahreenhassaniMwinjo 10 дней назад
Kiredio tafuta Ushahidi baaan😢😢
@user-cq6hv7wl2q
@user-cq6hv7wl2q 23 дня назад
Sasa apa lakini kiredio anamtengenezea candy mahusiano mazuri imara zaid maana atajipanga upya ktk mapambani
@oscarhumphrey7692
@oscarhumphrey7692 6 месяцев назад
We fala Sana
@RyneGabrel-jt9mr
@RyneGabrel-jt9mr День назад
Kwann mnafosi kwamba huyo kaka ana mwanamke pembeni ,,, acheni mapenzi ya watu
@eliambowe2576
@eliambowe2576 6 месяцев назад
Hahah hii ya moto mbona kama mwenetu wamemweka kitimoto 😅
@user-km6eh2tf9c
@user-km6eh2tf9c 17 дней назад
Huyu kaka huyo irene anamjua
Далее
NLIKUA NAMTAFUTIA SABABU | WAKUTANISHWA
15:01
Просмотров 210 тыс.
MPENZI KADANGANYA ANA SAFIRI
10:02
Просмотров 62 тыс.
NINA WANAUME WAWILI, NANI ATANITAJA??
5:08
Просмотров 76 тыс.
SABABU YA ZOMPA KUMUACHA FAY MOMO
10:31
Просмотров 55 тыс.