If you stand for truth always you remain alone;dah naskia professor Mkenda anaboresha mtaala wa Elimu na mashine za kuprint vitabu vinepelekwa nje kuprintiwa namna hii tuzalishe watalam we never develop unless we change our mindset lakin watutachoka kupasa saut wapo watako tuskia🫡
Watanzania bado wako gizani hivyo ni ngumu sana kuona . Wewe malia kuwaeleza halafu uwaulize ulicho sema kama watakupa mjibu . Wengi watakuuliza ulikuwa unasemaje kweli ? Make mimi nilikua na mawazo huko nyumbani watoto hawajala mchana . Waulize hapo kama wanakuelewa unavyo sema wengi ni 0