Uko juu mheshimiwa kishimba .wewe una akili nyingi sana .kumbe ndiyo maana watu walikufanyia kazi walifanikiwa .hela zako zina baraka .una upendo ktk maendeleo .mungu azid kukuongezea
Hivi vile vyuo vikuu vinavyo toa Dr. na PhD za she's sheshima katika medali za siasa havimuoni huyu mzee kishimba!? Binafsi namuona anastahili heshima hiyo kwa madini anayotoa kichwani mwake. Ukweli anafikiri kwa kina sana na michango yake siyo ya kuipuuza aisee