Karibu kwenye ligi ya presha ndugu wenzako waliamua kusepa TU kipindi hiki utapambwa kwa MANENO mazuri kweli lakini ngoja ligi ianze utajua bongo ipoje
Wivu utawaua wajinga nyie.Mnaongea bila kufanya homework..Huyu ndiye kocha wa kwanza kuja kufundisha Tanzania akiwa na UEFA certification, sio CAF, lakini UEFA, meaning anaweza kufundisha timu yoyote Ulaya na ameshakuwa msaidizi. Mnaongeaga ujinga na kiishabiki..Subirini muone ukali wa huyu kocha ligi ikianza, hakuna hata kusubiri, anaanza moja kwa moja..