Edward moringe sokoine alikuwa ni muadilifu sana msicomment kitu ambacho hamkijui kila kiongozi amefanya kazi kwa nyakati zake kuna watu wanatuletea udini hacha kama ijui viongozi wetu wanafanya nini Unafananisha viongozi mnajua julias nyerere kazi alizofanya
Watu hua wanajizima data, jana nimetoka mahakan mshikaj wangu aliandika upuuz kama huu na kupewa sifa, leo mwez wa 3 yupo ndani . Kijana kabla ya kuandika , Tafakari. Nione mjinga sasa, lakin utakumbuka siku 1