Тёмный

HII NDIO STESHENI YA SGR KILOSA, ILIPOFIKIA MPAKA SASA NA UTOFAUTI WAKE NA STESHENI NYINGINE 

TRC RELI TV
Подписаться 79 тыс.
Просмотров 20 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

13 янв 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 28   
@husseinloyy1912
@husseinloyy1912 2 года назад
jpm mungu akupe makazi mema kwa wema wake..na allah pia mpe afya njema raisi wetu kazi hii iishe
@nitumesokoni3164
@nitumesokoni3164 2 года назад
I wish taasisi zote za serikali zingekuwa na vitengo vya habari vinavyotoa updates kwa wananchi kama hiki kitengo cha TRC
@sometimes5621
@sometimes5621 2 года назад
Ndoto za JPM R.i.p.
@michaelsiweya4969
@michaelsiweya4969 2 года назад
Safi sana kwa update nzuri... Tunaelekea mwishoni.. Kazi ni nzuri sana... ILa nimependa sana mandhari reli inamopita... Mazingira yanavutia sana.. Nadhani baada ya reli kwisha miji ya kisasa itajengeka sana ..Na tutasahau kama kuna barabara za lami
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 2 года назад
Asante JPM wetu Mzalendo Kwa Hii zawadi Uliyotuwchia r.l.p JPM wetu Mzalendo
@salumjuma324
@salumjuma324 2 года назад
Kwa kweli tutafarajika sana mradi huu kuendelea utatunufaisha sisi wananchi wa Tanzania
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 2 года назад
R. I. P. Baba Magufuli Tingatinga Jembe mjeshi jiwe mwongoza njia pumzika pumzika pumzika pumzika pumzika pumzika pumzika 😭💔😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 love you forever daddy Magufuli. 💔💔💔💔🙆🙆🙆
@sabbob574
@sabbob574 2 года назад
Ongera sana TRC bila kumsahau JMP. Vipi Mwanza- Isaka mbona kimya hamuonyeshi chochote?
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 2 года назад
Kinaoneka kidogo lakini Siyo kidogo Ni kikubwa Hiyo video tuu ukifika Hapo hutaamini
@kiliantereba6502
@kiliantereba6502 2 года назад
Msituletee train za mafuta, kwanza haitakuwa na spid 160 tuliyoitaka, pili mafuta yataharibu mazingira na kuharibu reli yetu
@stephenknutson6256
@stephenknutson6256 2 года назад
Thank you for this presentation. C C in English doesn't work. It's rather interesting reading the comments. Many wishing for a fancier design. I suspect that is because of the station in Dar, which is truly beautiful. But isn't a practical design for further expansion which will come. Railroad stations need to be foremost, utilitarian. The design of this building does that. Waiting to see what Dodoma station will look like. Thè people of Tanzania should be proud of what they are accomplishing.
@fidelfidel-jz4iw
Hi station imejengwa vizuri bila blabla maanake hawakuwepo wakwamishaji itaipa heshema taifa letu
@mkude
@mkude 2 года назад
Hongera mama samia suluhu kwa kuendeleza kazi nzuri
@risktaker4111
@risktaker4111 2 года назад
Home sweet home
@jamesjames2368
@jamesjames2368 2 года назад
Kwa kweli am disappointed 😞☹️, kwanza kazi ni pole pole sana. Kuna mmoja ame comment amesema " warehouse" . Kwa kweli amepatia, inaonekana kama " warehouse. Kwanini msiaangalie sehemu nyingine!! Na kuona how creative walivyo 😞 . If we are poor in terms of materially doesn't mean that we are equally poor in terms of thinking be there creative. Annoyed 😠 Halafu hawa wahandisi, with due respect, wanatuangusha 😞😞😞 namsikiliza..!!
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 2 года назад
Station ni nzuri ,,,lakini kwanini wanajenga majengo mafupi hususani jengo hili la kirosa na Ile station ya morogoro ,,majengo mafupi mpaka linapunguza uzuri wa muonekano wa jengo
@hajiiddi1085
@hajiiddi1085 2 года назад
Wewe Mtangazaji unaongea saana!tuoneshe Video ya mradi umefikia wapi?
@msomimosomy9812
@msomimosomy9812 2 года назад
Toka jpm atutoke mmekosamvuto naniwazembe
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 2 года назад
Treni station kama warehouse ya kutunzia mazao au vyombo vya kulimia masamba.
Далее
Это iPhone 16
00:52
Просмотров 924 тыс.
Masimulizi ya Birdman
14:31
Просмотров 290 тыс.