Upo sahii sana shekhe mungu akulipe kheri lakini nimiona umu wapo bahadhi ya waslam wasenge et wanataka dalili wakati dalili zote umieleza vizuri hawaelewi ndio maana nawaita wasenge
Yaani uislam unafundisha mathalan mimi leo nikienda kwa shemejiyangu hapewi ruhusa ya kuongea namimi kwa sauti yajuu kwa kunijibu kwake itakuwa sawa vip mwanamke nisie mjua asome quran kwasauti ya juu munahukumu vipi njie masufi
@@khalfannasornassor7396 kwani Mara ngap uwa anaongea pumba alafu akikosolewa ujitetea bila dalili zenye mashiko siona tofaut na aliekua wamemwita sheikh wa mkoa wa dar aliepta alhad mussa wote wamepinda naona anaongea kimaslahi anajipendekeza kwa bakwata hii dn usiongee kumfuraisha mtu sema kwa ajili ya Allah ji shehena ili ongo sana
@@fauznuhu9981 ukisikia kutetea ujinga ndio wewe bainisha hapo tusi lipo wapi ndio nyie mnafanya taasul na masheikh kana kwamba wao hawakosei bainisha hapo tusi liko wap
Mimi ninavyojua, uislamu, Ni unyenyekevu, sasa nyie mnao mtukana shekh WA watu, hata kama amekosea sio vizuri, je vp Kwa wasiokuwa waislam, wanajifunza Nini, kutoka kwenu,
Shekhe upo sahihi sana kwani hilo wameliona tanzania tu? Mbona dunia nzima kina dada zetu wanafanya mashindano ya qur'ani tukufu? Wa ache kuharamisha kila kitu. Mimi nadhani ni uchache wa elimu.
Kwani umeambiwa dini inaangaliwa uwingi wa watu au kwa sababu jambo linafanyika sehem nyingi? Dini ni hoja na dalili na co uwingi au uchache wa wanaofanya.
Kwa akili za hawa wajinga itabidi kwenye madrasa watoto wakike wasome kdg kdg ili wanaopita nje msiskie au ziwekwe "soundproof" na waliimu wawe wakike woote,, acheni ujinga ujinga,, somen mujue makusudio ya hadith.
Nyote ni wajing na wapuuzi na mara nying nyiny waislam mliozaliwa kwenye dini ya kiislam Kuna mambo mengi mnayakosea sana ,na mjifunz kwa wale wasio kuwa waislam wapi mumeona wakikosoana kama nyinyi mnavyokosoana Kila siku kweny mitandao? Ndivyo MTUME S.W alivyowafundisha? Acheni hizo uislamu ni dini nzur lkn unaaharibiwa na Wachache mliozaliwa humo waachen wageni dini nyiny mmeichoka
Bado na ww umeingia kwenye makosa mana umetukana kuwa ni wajinga unafikili kwa kuandika ivo wao watajifunza nn toka kwako au wao ndo watakuona ww ndo umepotea mchamungu huwa hatoi maneno yenye kashif lekebisha ukali wamaneno watu wapate kujifunza kupitia rai zako
Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu… USILAM UMEKATAZA KUITANA HAYA MAJINA YASIOFAA Surah Hujurat Aya 11 imetusihi mambo haya, unawaita waumini wenzako VIWETE SubhanaAllah, aya hii ilikuja kwa walioamini wote tusiitane kwa majina mabaya (ya kejeli), kwani ubaya wa sifa na jina ni utokaji nje wa maadili ya Dini, na yeyote yule asiyetubu (kutubia kwa tabia yake hiyo), basi hao ndio walio wadhalimu. ALLAH ametueleza kuwa “kuitana majina mabaya na utokaji nje wa maadili ya Dini, baada ya kuwa mmeingia kwenye Uislamu na mmeufahamu. basi watu wenyekufanya hivyo ndio watu waliozidhulumu nafsi zao kwa kuyatenda mambo haya yaliyokatazwa. يا أيها الذين آمنوا لا يسخر قوم من قوم عسى أن يكونوا خيرا منهم ولا نساء من نساء عسى أن يكن خيرا منهن ولا تلمزوا أنفسكم ولا تنابزوا بالألقاب بئس الاسم الفسوق بعد الإيمان ومن لم يتب فأولئك هم الظالمون Tumekatazwa hata kutukana na kuikejeri miungu isio kuwa ALLAH وَلَا تَسُبُّوا الَّذِينَ يَدْعُونَ مِن دُونِ اللَّهِ فَيَسُبُّوا اللَّهَ عَدْوًا بِغَيْرِ عِلْمٍ كَذَلِكَ زَيَّنَّا لِكُلِّ أُمَّةٍ عَمَلَهُمْ ثُمَّ إِلَى رَبِّهِم مَّرْجِعُهُمْ فَيُنَبِّئُهُم بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ HAPO UMEEENDA KINYUME NA MAFUNDISHO YA DINI YA UISLAM
Masunni wanashida sana yaani jamani mashekhe nyie kina kipozeo nawaomba mtengeze elim kubwa sana kwenye vichwa vya watoto wetu maana hawa watu wanaroho mbaya
Hahaha dah yani ww ni muislam na unamuomba kipozeeo ndio aweke elimu kubwa kwa wototo wenu wew unafanya kazi gani usisome dini yako na ukaitafuta hakki ukairithisha kwa wanao kwaiyo apa kwa kipozo ndio umona kuna elimu ?kwa fatwaa hizo.?
Amna dalili ni makosa kweli mwanamke atakiwi kunyanyua sauti mbele za watu Hilo ni kosa sema watu wa bidaah mnatumia akili kuhalalisha Jambo kwani si hata muziki mumehararisha juzi yule kijana jahli saidi wa mombasa kasema muziki halali katika hadhara ya maulidi na watu wanamsifu tuuh! Huko ndo mliko fikia
Wewe wacha ujinga wewe pimbi,naomba nikulize kama kweli unajifanya kila kitu unajua Hebu tuambie hizo hadithi zilizosimuliwa ni Bibi Aisha(r.a)alizisimulia Vipi wakati yeye ni mwanamke?
ni wivu tuu na kujifanya mnajua kila kitu, uislam ni dini ya Allah naye mjuz wa kila jambo, sio kila jambo jema linalofnywa kuwaona wenzenu ni bidaah hio sio sw yakupaswa pia kutafakar imani yko
Khaaaa shekh unajisikiliza unachokiongeaaa au unaongea kwa lengo la kujidhalilisha? Umesema Swahaba kasilimu kwa kusikia quran ikisomwa na dada yake, sasa hilo neno dada yake katika dini ina hukmu gani.
Sasa hao ni wakezako jushekhe awe muongo?sauti ya mwana mke ina mahala pake paharamu buda aho wana uliwa gazi wana towa sauti wakiomba hakizao kwa hivo hiyo saiti ni haramu pia?na je ina zidi qurani?ilimika acha ushindani
Mwanachuoni gani aliekutangulia kutoa qauli kama hiyo uliyosimamia wewe ? omari alimsikiliza dada yake wew huyo bint mmalekani ni dada yako? au huyo mrusi ni dada yakooo? halafi fikra zinaweza kujatu hata ukiwa mbele za watu na aliekaribu na wewe asijue kitu ama sivyo kaka ?
Imam Adh-Dhahabi, the renowned Hadith scholar and critic, was so appreciative of women scholars of hadith that he said, “We couldn’t find a single instance of a woman scholar of hadith being guilty of lying in the hadith narrations.” In light of these, there is no reason for us to suggest that women cannot recite the Quran aloud or participate in Quran competitions.
@@halidimgonza5945 hapana bali anaekupenda hukushika mkono usiende kwenye matatizo na asiekupenda hatokukataza wala kukuamrisha. Hivyo hawa wanaokemea yale yasiokuepo wakati wa mtume wetu wanatupenda