Hivi Matilda uchechi bado unao tu.Hongera sana kwa kazi nzuri hakika penye nia pana njia. Maana wakati tupo chuoni muda wote ulikuwa ni mcheshi na mwenye kupenda kuimbakuimba.
Hongera sana Dada Matilda. Nimefurahi sana kusikiliza hiyo interview. Ahsanteni sana kwa kazi ya Mwenyezi Mungu mnayoifanya. Mimi ni Mkenya lakini nyimbo zenu zanifurahisha sana
Hongela sana mama mkasa mungu aendelee kuyirinda familia yako,mnanifulahisha sana,mimi ni burundi 🇧🇮 ila nilikaaga myaka 11 kambini huko tanzania,kwaya yetu turikuwa tunaimba nyimbo zakiswahili,kwahi nazipenda sana, nawapenda🥰🥰
Bwana Bernard Mukasa, hongera sana. Mama amesema ratiba huwa inambana wakati mwingine anashindwa kuimba misa yake. Tafadhali, naomba umkumbushe na mkumbushane kwamba kadiri unavyozidi kumtumikia Mungu na akakupa kazi nzuri basi shetani hutumia nafasi hiyo kukuweka busy ili uone huna nafasi ya kuendelea kuimba au kuhudhuria vipindi vya kwaya au vile vilivyokuweka karibu naye. Please hakikisheni ratiba ya kuimba, mazoezi pia misa haiachwi kamwe. Hongereni sana.
Hongera teacher Matilda !👏🏼👏🏼👏🏼 Your entire family is role model to many Christians ! Feel appreciated . Naumjuze mwalimu Bw. Mukasa utunzi wake hauna kifani Kwa nchi zote za East Africa !👏🏼👏🏼👏🏼 Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️
Jamani , hyu dada anabariki kwakweli , she is very charming. Mungu aendelee kukutumia katka Roho na kweli , aibariki familia yako na awape uliinzi teledada matlida
Ongera sana mama bernard mukasa Mungu akubariki siku zote zamaisha yako pia akujalie nguvu za roho mtakatifu ili upate kumtumikia siku zote zamaisha yako amina
Hongereni sana kwaimbaji wenu napenda sana nyimbo zenu nguvu ya mazungumzo na tuushinde ubinafsi mwanzi uliopondeka mungu awabarki sana family ya Mr Mikasa♥️