Hapa dunian so lazima tuwe na pesa nyingi ukiwa hauna pesa unakuwa na fura ZAIDI ukipata pesa furaha inapungua unatuletea miyeyusho KUPIGA na pesa picha akati mtaa kuna watu wana dhiki
Dah kaka sharap sana mm kilanikuangalia napata hasira ya kutafuta pesa ntaanda content ya kukutole mfano na mm naimani IPO siku ntakuwa kama ww naomba saport Yako kaka
Kak umeongea kitu wew umekua mfano kwetu sis vijana ambao tumetoka mageton kwenda kujitafta pia umenifundisha jambo kwenye swala lautoaji fungu lakumi ni jambo zuri na pia nikitu kikubwa 👍🙌💯