Тёмный
No video :(

Hoteli iliyochini ya Bahari Pemba inayotoza tsh milioni 3.5 kwa saa 24 kuongeza vyumba 

Bongo5
Подписаться 1,2 млн
Просмотров 243 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 437   
@justinwakudat6792
@justinwakudat6792 5 лет назад
Nimesema hiviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii silali pale ☝
@mayusahussain8045
@mayusahussain8045 5 лет назад
Hata mimi suwezi maana naogopa
@elizabethcharles5811
@elizabethcharles5811 5 лет назад
Justin wakudat 😂😂😂
@justinwakudat6792
@justinwakudat6792 5 лет назад
Mayusa Hussain mh
@happynessnyanda3613
@happynessnyanda3613 5 лет назад
Umenifanya nicheke kw nguvu....ukwel ndo huo clali ata bure
@justinwakudat6792
@justinwakudat6792 5 лет назад
Happyness Nyanda umeona eeh
@ashab2537
@ashab2537 5 лет назад
Kwa jinsi ninavyoyaheshimu maji, hapo🙌🙌🙌🙌Acha wafike wazungu maana wao hawajali uhai
@juniortonny6920
@juniortonny6920 5 лет назад
Asha b hahahahahahaaaaa 😘😘😘ugalii mtamuuu chezea uhai wew
@ashab2537
@ashab2537 5 лет назад
@@juniortonny6920 Acha kabisa, ninayooga bafuni yanatosha, ila ya Bahraini 🙌🙌
@juniortonny6920
@juniortonny6920 5 лет назад
@hahahahahahaaaa poleee ata kwenye swiming pool hauend
@mayusahussain8045
@mayusahussain8045 5 лет назад
😂😂😂😂
@ashab2537
@ashab2537 5 лет назад
@@juniortonny6920 mie, sisubutu, mle ndio nitazama na kufa
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 лет назад
Nani kaja hapa baada ya kusikia mtalii mthungu kafa wakati akiwa huko chini ya maji akimchumbia mchumba wake kutoka Marekani?
@lindaakinyi5379
@lindaakinyi5379 4 года назад
Mimi hapa
@slyben9097
@slyben9097 4 года назад
Mimi
@jambo3751
@jambo3751 3 года назад
Nasikia Choo cha hapo ni take away?
@qulthumameir7480
@qulthumameir7480 5 лет назад
tusichezeane roho nasema nikiwa kwenye boti tena inatembea nasoma dua mpk nifike nnakoenda NASEMA TENA TUSICHEZEANE ROHO 😎😎
@hamisisha
@hamisisha 5 лет назад
😂😂😂
@faridahmustafa3866
@faridahmustafa3866 5 лет назад
😂😂😂kbsaaa
@mariakayana9956
@mariakayana9956 5 лет назад
😂😂😂
@mariammariam4408
@mariammariam4408 5 лет назад
😂😂😂😂😂
@wincharsmadata2724
@wincharsmadata2724 4 года назад
Kabxaaa yan
@delsonandrea5223
@delsonandrea5223 5 лет назад
hapo ndan na mm silali hata Kwa dawa hata ikiwa bure
@alizahranmohd4095
@alizahranmohd4095 5 лет назад
hahahaha we s moga wa maji bana
@Pomma-gu1qw
@Pomma-gu1qw 5 лет назад
Nitakufa mm sitaki ata
@Pomma-gu1qw
@Pomma-gu1qw 5 лет назад
Nitakufa mm sitaki ata
@congoboymbeyas2440
@congoboymbeyas2440 5 лет назад
😂😂😂
@user-bu7fy6ew5w
@user-bu7fy6ew5w 5 лет назад
Ila kuzuri
@asminkaisa2640
@asminkaisa2640 5 лет назад
Duh! hiyo kiboko ila mmh unalala roho mkononi
@saumujuma9360
@saumujuma9360 5 лет назад
Napenda kuogelea sana, na ndio starehe yangu kubwa, ila hapo hapana aiseeee🙌🙌🙌
@khamisjuma4691
@khamisjuma4691 5 лет назад
Brother beautiful duguzagu Zanzibar good jobs message USA marekani duguzagu kazimzuri
@millermsouz9785
@millermsouz9785 5 лет назад
Natamani kuja happy lkn 3.5 milion Sina..labda nipate mfadhili
@judithpaul5946
@judithpaul5946 5 лет назад
Pumzika kwa aman Steven Weber... tutakukumbk daima
@saidasuleiman3253
@saidasuleiman3253 5 лет назад
Zanzibar nayo haishiw mara hotel zinaelee mara chin ya bahar 2nasubiri hotel ya hewani xx
@marymasanyiwa3529
@marymasanyiwa3529 5 лет назад
Haha hahaha nimecheka kizungu
@fatmax8710
@fatmax8710 5 лет назад
ndìo maendeleo hayo
@husnauthman7609
@husnauthman7609 5 лет назад
Hehehe hewan hotel ya majin au😂
@zenjistar2676
@zenjistar2676 5 лет назад
Saida Suleiman itakuja2 usijali
@erodiasmallya406
@erodiasmallya406 5 лет назад
Saida Suleiman Mm hata bure siwez lala. Hatakuingia tu siwez.
@allyntunda963
@allyntunda963 5 лет назад
Hii inaitwa kujitakia kufa wala haina msaidizi umeenda mwenyewe na umelipia, ikitokea Tsunami na upepo wa ukweli hapo ndo utaelewa namaanisha nini.
@felisterdanson3812
@felisterdanson3812 5 лет назад
Nime cheka sn baada ya kusoma coment. Wengi wanao ogopa kulala hapo ni wanaume
@nureyna629
@nureyna629 5 лет назад
😂😂😂
@MA-kh2lr
@MA-kh2lr 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@kwizeraasma6344
@kwizeraasma6344 3 года назад
Nawawo wana roho
@jenephjany7445
@jenephjany7445 5 лет назад
Sasa hpo ukiwa unaangalia vivutio samaki ukiwa room"ghafla linatokea big biiiig fish je litakuvutia kuliangalia au ni mwendo wakuzirai tyu"daaah
@fatinasudi3806
@fatinasudi3806 5 лет назад
😂😂😂😂😂
@wincharsmadata2724
@wincharsmadata2724 4 года назад
Aki nmecheka
@puritywamboi4040
@puritywamboi4040 4 года назад
😂😂😂
@susankariuki449
@susankariuki449 4 года назад
Itanivutia sana - coz hicho ni chumba, samaki hawaezi ingia ndani, okay???
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 года назад
😅😅😅😅
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 5 лет назад
Mara shark katoka zake huko kachanganyikiwa ana njaa heheeee cpat kusema jaman mbona dkk tu kashawaingilia lakn chumba kimetuliaaa sana sana nimevutiwa me ningekuww na hiyo milion na ushenz ningekuja lkn nataka kujuwa usalama upo vp maana kuna emergency za hapa na pale 😂😆
@jenephjany7445
@jenephjany7445 5 лет назад
Subrynery Segerow umeongea point
@elizabethcharles5811
@elizabethcharles5811 5 лет назад
Subrynery Segerow 😂😂 mi hata ndani siingii lol
@hamisisha
@hamisisha 5 лет назад
hatareee
@patricklary8239
@patricklary8239 5 лет назад
Ila ni heri nitoe kitanda nje kwenye mvua naweza lala usiku kucha nikilowa na kupigwa na baridi kuliko kulala chumba hicho.. Kwanza nitahisi nalala na majini ya baharini kila nikifumba macho
@aminafesali5817
@aminafesali5817 5 лет назад
😂😂😂😁😁😁😁😁😁😁
@elishapaul9423
@elishapaul9423 5 лет назад
Hkn kuchezea maisha kwan samaki mbna tunawaona kwny media nying2 uhai mhim bn kwny meli hatulali humo tulale tn Uko mwnyw
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 5 лет назад
😂😂😂😂😂😂
@glorykessy1498
@glorykessy1498 4 года назад
😂😂😂😂😂😂umenifanya ni cheke p
@ilovemyfamily8925
@ilovemyfamily8925 4 года назад
Hata mm siwezi lala hapo heri nilale kwa forest lkn hapo c wezi aaaah raha ya nn
@nurumambovphelman7852
@nurumambovphelman7852 5 лет назад
Nimezariwa siku moja nitakufa siku moja chakufanya sitaki kuambiwa nichangieni niende
@jacklinejohn222
@jacklinejohn222 3 года назад
Me pia
@annacoster9271
@annacoster9271 5 лет назад
Home swt home pemba
@idikahema6398
@idikahema6398 5 лет назад
Anna Coster dipna
@aishabakari921
@aishabakari921 5 лет назад
safi sn mambo sf huko zanzibar
@juniortonny6920
@juniortonny6920 5 лет назад
Nice xanaaa wenye nazoo wafaidi cc wengne waacha tufaidi kwa machoo
@rehemaomary2522
@rehemaomary2522 5 лет назад
Hapana kwa kweri siining'inizi roho YANGU kama nyama buchani silaliii
@chalababy1317
@chalababy1317 5 лет назад
Zanzibar oyeeeee
@yassirrashid7802
@yassirrashid7802 5 лет назад
Oyee
@solomonadams6337
@solomonadams6337 5 лет назад
Inshaallwah ma dream siku yoyote ile nitakayokwenda kutembea nyumbani ninataka nikalale kwenye hii room napenda sana mambo kama haya na nimeondoka nyumbani muda mrefu sana vishafanywa vitu vingi sana nolivyokuwa sijaviona katika macho yangu.
@mdomani2404
@mdomani2404 5 лет назад
Jaman ikitokea ni kapelekwa kama ni bbay walai bora tuachane tu siwez kulala🤣🤣🤣🙌
@halimatanzani8587
@halimatanzani8587 5 лет назад
Safi sana ongerani
@mwalimumhunzi6694
@mwalimumhunzi6694 5 лет назад
Subhanallah! Yote hiyo ni kumfanya binadamu asahau maisha ya Akhera na kuzidi kuikumbatia Dunia!. Geo now wajenzi huru bwana wanakwambia "nthing is impossible under the sun"! Itafakar hiyo "Kwnini" eti yeye(Allah)aweze wao washindwe! Kumbe hiyo ni Rehma moja tu ya Allah alompatia binadamu kutoka ktk Rehma 100 za Allah na miongoni mwa Ilmu/Elimu kiidogo tu alojaliwa binadamu na Mola wake Muumba. But binadamu kutokana na Rehma na Ilmu hiyo alojaliwa na Allah inafikia wakti binadamu anafanya Kibri na Kufuru ana msahau Mola wake Muumba na kujiona yy binadamu ni mjuzi zaidi na husika wakti akajipangia dini na Miungu wa kuabudu nawapo wanaoamini kuwa eti hatupo Mungu! "Innalillah wainna illahyi rajiyuna"!
@millicent9155
@millicent9155 5 лет назад
Mwanaume yule kafia apa ndani aki propose, apa Mimi siwezi
@anniendirengombo1070
@anniendirengombo1070 4 года назад
This is so unique but at the same time its so scary ....
@adusamuel9033
@adusamuel9033 2 года назад
I had loved it but its scarely somehow. I think i cant sleep at night
@roda2mwajuma260
@roda2mwajuma260 5 лет назад
Humo siwezi lala ata nipewe na hela juu siwezi.
@happinessmillanga982
@happinessmillanga982 5 лет назад
Hahaha
@aminamfaume4244
@aminamfaume4244 5 лет назад
Hhhhhhhh ingekuwa msikiti wallah ngelala ila hotel ....mmmmh mwenyezimung akichukia mazira wepesi kuwafunika
@abdullahmullahmshirazy904
@abdullahmullahmshirazy904 2 года назад
Dah
@faizasaid8262
@faizasaid8262 5 лет назад
Siwezi kupata usingizi kwa ushamba wangu
@TheSalma1999
@TheSalma1999 5 лет назад
Faiza Said me too lol
@annmitsira3141
@annmitsira3141 4 года назад
😂 aki Mimi siezi
@Donitaltd
@Donitaltd 5 лет назад
Nimeshalala 2 times hata hakuna shida yoyote.
@ramadhanihemedi1661
@ramadhanihemedi1661 5 лет назад
duh sopoa hatacnapakulala hunilaz jombaaa
@susankariuki449
@susankariuki449 4 года назад
Shark ingetokea ungefanya nini??
@kibokongurai4488
@kibokongurai4488 5 лет назад
duh kweli ni noma mi sikai hapo
@kevinalphonce9584
@kevinalphonce9584 5 лет назад
Kama kuna mwenzangu alikitumia chumba hch honeymoon like chap😎
@amanistephano5208
@amanistephano5208 5 лет назад
Kevin Alphonce nakumbuk nilikitumia icho chumba kwa siku 3. ilikua raha sana. dah natamn nirudi tena vile unaon samaki waki zurura kando ya kiooo unais unaishi nao
@dazuuhmd819
@dazuuhmd819 5 лет назад
Mashaallah ila hatari hiyo naohopa mmmh chini ya maji
@yassirrashid7802
@yassirrashid7802 5 лет назад
Nice place to meet... PEMBA ISLAND
@kashambanange6843
@kashambanange6843 5 лет назад
Nyie mnafanya maskhara Na bahari...huuh apo clali hata bure.kifo cha maji si mchezo ...
@rosemillanzi1572
@rosemillanzi1572 5 лет назад
Kashamba Nange tuko weng mwaya ata mie sithubutu
@husnauthman7609
@husnauthman7609 5 лет назад
Sisubutu ht kidogo
@amnemkubwa7353
@amnemkubwa7353 5 лет назад
Acheni woga uo😜😜😜👌🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
@kashambanange6843
@kashambanange6843 5 лет назад
Amne Mkubwa hahahaaaaa....m mwisho Wa kuchezea maji ni bombani...hahahaa
@samirnaty8774
@samirnaty8774 5 лет назад
Kwa mbali tu wangu ukienda kipo tofaut japo mm ckulala kwa woga
@marychilala8928
@marychilala8928 5 лет назад
wow nimepapenda sana IPO siku nitatimiza ndoto zangu
@saidasuleiman3253
@saidasuleiman3253 5 лет назад
Yaan unakufa kiengereza full kiyoyozi.
@hamzalusinde3068
@hamzalusinde3068 5 лет назад
Hahaha kingereza
@hajjihajji8587
@hajjihajji8587 5 лет назад
Saida Suleiman hhahaaaa saida mambo vp
@tilaboy9670
@tilaboy9670 5 лет назад
Mambo namba yako plz
@jafarijuma7376
@jafarijuma7376 5 лет назад
Njoo nikutembeze utoe woga
@dulakess8928
@dulakess8928 5 лет назад
Saida Suleiman saida njoo watsap
@peterjohn8745
@peterjohn8745 5 лет назад
Nimemaliza kusoma comment nimecheka lakin dah!kuliko kulala hapo bora nilale juu ya mti
@asayubeejr1199
@asayubeejr1199 5 лет назад
peter john hhhhhhhhhh
@lobalobaanase438
@lobalobaanase438 5 лет назад
mbona hujaonyesha jinsi unavyoingia ktk chini ya maji hatua kwa hatua umeshrtcat mno,ila nasubiri sunami tuone uimara wake ila watu wasiwepo Hiyo siku Mungu wa mbinguni awanusuru
@husnauthman7609
@husnauthman7609 5 лет назад
Kwann ikawekwa bahar na nnchi kavu mnacheza na mungu au nnchi kavu zimeisha sehem za kujenga hotel loooh me sisubutu ht
@dianamkuna2898
@dianamkuna2898 4 года назад
Kiukweli mm siwez ingia hotel km hyo mengne yanipite tu
@ramadhanmaulid4088
@ramadhanmaulid4088 4 года назад
Ninasemajeee! Hata hizo 3.5 millions ingekuwa napewa mm. Sipo tayari kulala humo hata dakika 30.
@rauhiyafasihi8908
@rauhiyafasihi8908 4 года назад
Hamna adabu nyinyi kwahio wageni wenyeji wote bei moja msiseme uongo hii mmekusudia kwa hao wageni tu na sio wenyeji hivi Tanzania wanapesa gani wanachi wke wa kuja hapo ata wajipange vip msitufokeee
@teychriss3248
@teychriss3248 5 лет назад
Mmh! Hapana aisee ! Yataka moyo! Kulala humo ni kutaka kukaushana damu kwakweli!
@asayubeejr1199
@asayubeejr1199 5 лет назад
Tinnah Bernard hhhhhhhhhhh🤩🤣😂
@mumybhay4984
@mumybhay4984 5 лет назад
asssalalaaaaa! nasamehe cwezi..
@samirnaty8774
@samirnaty8774 5 лет назад
Very nice
@mamishoseif2510
@mamishoseif2510 5 лет назад
minahisi hvyo nivya nguvu zagiza.mmmmmmmh wala siwez sogea
@felixntimba4366
@felixntimba4366 5 лет назад
Yaan hiyo mihela yote kwa siku moja!!!!!! nashukuru imeitaja in term of dollar maana ungeitaja kwa kuswahili ungenimalizia chaj yangu bure
@ABDICOM-xu3dr
@ABDICOM-xu3dr 5 лет назад
Labda jini ndo atalala lakini binadamu wa kawaida🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@Sanyah-le1od
@Sanyah-le1od 5 лет назад
Me - even for free - I say NOPE! This is (a) Dare Devil of some sort...
@solomonadams6337
@solomonadams6337 5 лет назад
Sisi tulianzicha hii room kuwatambulisha watu kwamba sisi tuna akili an maarifa sana na tuna muono wa mbali kulikoni waafrica kwa sababu Tv ya rangi kuanzisha ya kwanza ni Zinjibar na hii room for da h ....Africa ya kwanza ni Zinjibar sawa?
@queent7841
@queent7841 5 лет назад
dunian kuna mambo
@stevoovlogs8645
@stevoovlogs8645 5 лет назад
Kama nawewe huwez lala humo kam Mimi hebu like
@bettynduati7106
@bettynduati7106 4 года назад
mm na maji sio marafiki🙅
@rasygal1139
@rasygal1139 4 года назад
My twin
@minnatsaid2507
@minnatsaid2507 5 лет назад
Happ
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 5 лет назад
Mara ghafura hayo mavioo yanapasuka paa maji yanaingia ndani duu.
@zuhuranahimana7197
@zuhuranahimana7197 5 лет назад
Hhhhhhhhhhh mbavu zangu
@elizabethcharles5811
@elizabethcharles5811 5 лет назад
Mbarikiwa Mbarikiwa ndo nami nimewaza hivo..akuuu mi silali
@tumainpeter3805
@tumainpeter3805 5 лет назад
hahahaaa yan ulikua kwenye mawazo yangu
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 2 года назад
Nataka kuweka booking wekeni namba. Hivyo vyumba vingine mtakavyo Jenga wekeni nafasi Pana ya kushuka chini lakini pia ongenzeni kiwango Cha kulala hapo Ili papande thamani
@chascowena7542
@chascowena7542 5 лет назад
Mhhhh sina hukidume huwooo maha ata maji ya ugoko kwangu mtian
@mumybhay6561
@mumybhay6561 4 года назад
Nani alele apo?..heheeheeeee mi siee jamani
@tinagorges3741
@tinagorges3741 5 лет назад
Mmmhhhhhh mimi huko chini siwezi kulala hatanipigwe viboko .sisogei labda hao wazungu. Majikwao kawaidatu
@binthysaid2764
@binthysaid2764 4 года назад
Mm ntakuja tembea huko pemba kwa iyo resort...ila cna family huko cjui itakuaje
@mapenzikatana9990
@mapenzikatana9990 5 лет назад
Daaah kuko smrt lakini siwezi lala hapa akii atareee 😂😂 😂👆
@adusamuel9033
@adusamuel9033 2 года назад
During the day i can but at night laah cant sleep.
@fatmarajabu7355
@fatmarajabu7355 5 лет назад
Mweeeeeeee ujanishawishiii bd
@ramadhanmusa2878
@ramadhanmusa2878 4 года назад
Mushamtoa chambo mzungu kafa hotelini.. Aya hawaji tena
@celinelawrence5266
@celinelawrence5266 5 лет назад
yaaani ata mnipe mabilioni nilale silali na singiii nasema hiviii mtaingia wenywe hapa naangangalia kwenye mtandao tu nahidi mkojo unatoka we huko hunipeleki
@Lynnalice217
@Lynnalice217 5 лет назад
ivi meli ikipotea njia hapo ikagonga😯
@zuhuraiddy8539
@zuhuraiddy8539 5 лет назад
Weee mm silali ili iweje Kwanza hata sitaman ng'oo
@aminashq1181
@aminashq1181 4 года назад
wallah umenichekesha sana
@blancamushi8522
@blancamushi8522 4 года назад
Waooo hi sehemu ninzuri nanimeipenda tunaomba kwa sisi wa Tanzania bei iwe chini kidogo tofauti na wageni kutoka njee. Ata week ela ikiwepo nalala na kuota
@mussamuna8258
@mussamuna8258 5 лет назад
Duh! Ndaniyamaji boranikalale stend
@miriyamasanja6766
@miriyamasanja6766 4 года назад
Hii roho ni yangu au nimeazima mpk nilale humo?
@salehkhamis3063
@salehkhamis3063 3 года назад
Mbona mi nimelala hapo tena raha mustarehe ukilala siku moja tu unataman ulale kila siku yan unainjoi alooo we acha2 yan sahv najichanga upya nikalale tenaa
@abdulabass5808
@abdulabass5808 4 года назад
Woga wengi tena wanaume,kwaio ata kwenye submarine hamuezi kuingia .ushamba umewakolea
@rashidsalum8093
@rashidsalum8093 3 года назад
Vizur sana tz
@rashidmohammed9875
@rashidmohammed9875 2 года назад
Ngoja nijifunze kuogelea halafu nije kulala🤣🤣🤣
@justinwakudat6792
@justinwakudat6792 5 лет назад
Ila ukikiona kwambali utazan n mtumbwi😁😁😁
@calowamaye4009
@calowamaye4009 4 года назад
Je ???🤭👁how is security where’s is save guider🤷‍♀️ 🤦🏽‍♀️ first of all let we talk the sifter please☝🏽📢 wake up Africa’s 👂🏾
@husnakijoji4082
@husnakijoji4082 5 лет назад
Dahh mi naona mawenge tu yani kifupi sielewi naona kama naota tu
@juniortonny6920
@juniortonny6920 5 лет назад
Husna Kijoji angalia ucje ukajikuta uko baharini
@alymwala9471
@alymwala9471 5 лет назад
Karibu uone kwa nacho yako usikubali kuhadithiwa
@fathiyazakuani1339
@fathiyazakuani1339 5 лет назад
Husna Kijoji ysm
@azizially1592
@azizially1592 5 лет назад
Husna Kijoji Mambo ?
@azizially1592
@azizially1592 5 лет назад
Husna Kijoji Naomba nikupeleke ukapaone nitumie namba yako
@saidfundi9193
@saidfundi9193 5 лет назад
hata cku 1 silali umo ww ni nomaaa aiseee
@mattarmohd61
@mattarmohd61 5 лет назад
Tatizo nyinyi wabongo hamna bahari kaziyenu ngoma na wizi mtaweza kulala mule
@mawazomwamba7503
@mawazomwamba7503 5 лет назад
Mme gundulika mtafuta watu wakuwatoa kafara mi damu yangu amuipati ng'oooo
@muniragambere2680
@muniragambere2680 5 лет назад
Duh m hata csogei hapo
@khayratsalim8576
@khayratsalim8576 5 лет назад
Niambiwe nipewe hiyo pesa na nilale bure sitakipp😂😂😂😂😂😂 naipenda roho yangu we
@laurentmbuya2536
@laurentmbuya2536 5 лет назад
Ah salvator apa nalal@ vizury tu mbona watu waoga kwan kuna nn nimoton useme unaungua hi sem iko saf sana
@saidijeremia6650
@saidijeremia6650 5 лет назад
Pazuri santa,🤣🤣imazng
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 года назад
Hata iwe kwa sh ngp Silal hapo
@jullyregy3057
@jullyregy3057 5 лет назад
Navyopenda kukaa nje usiku nipigwe na kaupepo fulan ivii mbona nkienda ntapata tabu
@laurentmbuya2536
@laurentmbuya2536 5 лет назад
Ah nalala fresh
@salehkashindibinmsambya1719
@salehkashindibinmsambya1719 5 лет назад
Laurent Mbuya .
@suleimankhamis8298
@suleimankhamis8298 Год назад
Popo bawa ndio kwake hapo ukiamka asubuhi ndio hivo tena
@luindamchwakanigee4811
@luindamchwakanigee4811 5 лет назад
Ipo Ck Nitalal Apo
@thuwabaabdi8869
@thuwabaabdi8869 5 лет назад
Chumba hakina tatizo nimeshawah kuingia ukikiona kwa nje tu ndo utaogopa ila ndan raha tupu
@hassannchalika5383
@hassannchalika5383 5 лет назад
Ipo poa makn snaaaaaaaaa muhim furah yote yanawezkn
@samirnaty8774
@samirnaty8774 5 лет назад
Kwel ata mm pia kipo vzr sana ata hotel ya juu iko utuliv
@ipyanamsomba8026
@ipyanamsomba8026 5 лет назад
Fala ww umefika lini? Unajua bei ya kufika apo kiavi ww? Wabongo aisee
@neemampinga5712
@neemampinga5712 5 лет назад
@@ipyanamsomba8026 usimzarau usie mjua wewe, mjinga sanah mbona wengine tushalala humo
@bonifasernest809
@bonifasernest809 5 лет назад
😂😂😂😂😂 Nom saana
@manyaramrema6531
@manyaramrema6531 5 лет назад
Sasa usalama upoje maana hivyo vioo vikileta mpasuko maji yakiingia duh
@yassirrashid7802
@yassirrashid7802 5 лет назад
Ondoa shaka
@solomonadams6337
@solomonadams6337 5 лет назад
sii utaogelea tuu mbona rahisi sana.
@kassimomar7589
@kassimomar7589 5 лет назад
Hlo nalo neno
@mohammedabdallah6390
@mohammedabdallah6390 5 лет назад
Hapo me kusafiri kwa boti kwenda dar full mawazo sasa hapo kulala humo usiku mmoja na mijihela hiyo daaah itakuwa ngumu
@husnauthman7609
@husnauthman7609 5 лет назад
@@bigkihanga1628 ni kwel my niliona mtangazaj mwingine aliingia humu khaaa cwez
@salhatphidelis8884
@salhatphidelis8884 5 лет назад
Hahahahahahahahah Mohamed
@mohammedabdallah6390
@mohammedabdallah6390 5 лет назад
@@salhatphidelis8884 wallah ndgu yngu mie hapana kwa kweli
@celinelawrence5266
@celinelawrence5266 5 лет назад
ukikaona kwambali kama kabot kanayumbayumba ..yani hvyo unavyosema ukilala unaona samaki wanaelea sasa nitapata usingizi kweli
@sumayyaremmy556
@sumayyaremmy556 5 лет назад
aahhhaaa hilo balaaa😄😄😄
@iddirashid8038
@iddirashid8038 5 лет назад
mwandish naww umeosha umevunja record
@husnauthman7609
@husnauthman7609 5 лет назад
😂
@yassirrashid7802
@yassirrashid7802 5 лет назад
Mwandishi kaua kufika sehem Amazing kabisa
@farajachengula9227
@farajachengula9227 3 года назад
Mim hpn jmn naogp maji hat kuog tu😁
@pendoellytarimo2387
@pendoellytarimo2387 5 лет назад
Yannn hapo hunipeleki
@rasygal1139
@rasygal1139 4 года назад
Hapo siezi ata karibia
@jacklinejohn222
@jacklinejohn222 3 года назад
Nanyie bongofive mnaboa sasa hio nembo katikati nayo ya nini sasa
@faridahmustafa3866
@faridahmustafa3866 5 лет назад
Hata bureee siilali wee maji kitu kngne
@saidsuleiman1912
@saidsuleiman1912 5 лет назад
MANTA BEACH RESORT
@khadijayahaya1207
@khadijayahaya1207 5 лет назад
duh hayo kweli maajabu jamani
@salehmuhammedsaid5088
@salehmuhammedsaid5088 5 лет назад
umesema ni ((kwaajili ya watalii kutoka duniani)) kwan we upo akhera apo????
Далее
PEMBA YAJIVUNIA MNARA WENYE HISTORIA PANA DUNIANI
5:03
ДО ВСТРЕЧИ НА РАЗГОНЕ
52:11
Просмотров 438 тыс.
Timings hated him #standoff #timing #meme
00:14
Просмотров 469 тыс.
MWANAMKE ALIYEGEUKA KUWA JIWE ZANZIBAR
16:11
KIJANA WA PEMBA MWAMBE AVUMBUA UMEME WA JANGWA
11:31
Chumba chini ya  bahari - PEMBA
27:21
Просмотров 190 тыс.
Kumbe Pemba ni ya zamani sana
10:58
Просмотров 14 тыс.
ДО ВСТРЕЧИ НА РАЗГОНЕ
52:11
Просмотров 438 тыс.