Knowledge first then money will follow.. 1. Pay for training. 2. Practice as much as you can. 3. Look for mentors to guide you. 4. Money will be pouring big.
@@titus_maridhia sure brother hii forex bila mentor ni bahari kubwa, ila ukiwa nae utaona maisha unafuu wake maana kila step unakuwa na mtu unaeweza kumwomb msaada... Kwa bongo wapo wengi unaweza kuapata contact zao hapa RU-vid/instagram na bei zao kawaida.. 1. Rich Feelings Forex 2. 255Millioniresfx 3. Waileys fx Na wengine wengi etc.
Vijana tujitume sio tusubiri kuajiriwa na serekali tutaumia akili zetu tuzifanyie kazi mambo ya kuigwa nikama haya si kuuza sura kwa mitandao na kukaa uchi hongera kijana
Shule hasara kwa kipindi hiki shule haina faida zaidi ya kutoa ujinga ningeona kuwa mambo yatakuwa hivi ningeacha shule form 4 kudadadeki nimepoteza time yangu ni mwalim hapa ila kwasasa ni dereva wa roli ningeliona hili ningeingia kwenye maroli 2008 nisingejuta bachelor ya education GPA ya 3.8 ipo Zambia mda huu inasubiri kuvuka mpakaaa
Avitus wibingire hongera sana, maisha yanahitaji uthubutu kama wako. Nataman uwe roll model Wangu Please nisaidie nipate mawasiliano yako uniongoze wap naweza kupata mentor mzur wa kunisaidia
Hongera sana mdogo wng lakin huku mtaani tunawenzio tena wana D'gree 1 wanaume na wanawake' kaz yao nikumlaumu raic na kudangatu. Hawataki kujiajiri wao wanataka kuajiriwa walipwe kuanzia mil' 3 hadi'5 kwa mwezi. Mi nawaambia mtasubiri sana
Hongera hii ndio elim inayotakiwa kujiwezesha kuliko mtu kutwa kucha kutembea na vyeti kuomba kazi kazi zenyewe hakuna hongera sana vijana tunatakiwa kuiga mfano huu
Kwa mtu yoyote ambae angependa kujua biashara hii. Nakukukaribisha kwenye channel yangu. Nitakuwa nafundisha kila siku alafu tutakuwa tunatrade live ukiwa na demo account yako. Ukielewa vizuri utaamua mwenyewe kufungua real account. Mafunzo yanaanza mwezi 1/2/2019. Fanya kuweka notification on. Nipo naandaa video kwa sasa. Karibu sana kwenye forex.
Vitus mambo vp hongera kw kupiga hatua kimaisha lkn sasa MTU aombae msaada husaidiwa ndugu basis naomba namba za cm tufanye mawasiliano hata mm pia nahtaji kutengeneza maisha maana sasa ww n mwalmu kwetu ss.
Hii ni kwa wale wenzangu watakoingia na mihemuko ya kupiga pesa kwa muda mufupi. Forex trading ni biashara kama biashara zingine na pia ni kazi kam a kazi zingine. Sio shortcut ya maisha hivo inahitaji kujifunza kusiko-isha, hardworking na discipline na uvumilivu wa hali ya juu. Nakufuata mashariti yake yote . Kama hutoweza kufanya vitu hivi ni bora ukawekeza sehemu nyingine kuliko kupoteza pesa zako bure. Utakula za uso utapata depression na utakufa buree🤣🤣
@@annachales9623 his point sio kukukatisha tamaa its a good thing i can advice you ukakifanye ila usiingie na expectations kubwa hio ni kama biashara nyingne tu unapata pesa kubwa ukiweka pesa kubwa au uki weka risk kubwa kwa pesa ndogo na since kufundisha watu ni biashara pia hauta oneshwa negative side zake sasa jiulize kama mtu anaweza tengeneza mill 20 hata kwa miez mitatu kwa forex tu ....laki moja yako anaibembeleza ya nn?
@@annachales9623 his point sio kukukatisha tamaa its a good thing i can advice you ukakifanye ila usiingie na expectations kubwa hio ni kama biashara nyingne tu unapata pesa kubwa ukiweka pesa kubwa au uki weka risk kubwa kwa pesa ndogo na since kufundisha watu ni biashara pia hauta oneshwa negative side zake sasa jiulize kama mtu anaweza tengeneza mill 20 hata kwa miez mitatu kwa forex tu ....laki moja yako anaibembeleza ya nn?
everyone can trade forex , but not everyone can make a profit because of emotional na tamaa b cause in forex there is a tones of money ,na hakuna dunia biashara yoyote ile yenye mzunguko wa pesa mkubwa km forex , so watu wakisikia mtu ana tengeneza milion moja kwa mwezi kwa kukuaa tu kwenye pc au simu wapo wanao kuwa exited sana na wapo ambao wanaona ni km story tu za wizi wizi sasa hizo alizo sema jamaa milioni moja watu wana zitengeneza ndani ya dakika tano kulingana na mitaji yao
Dogo kweliii uwalimu nikibaruaa kazi ya YESU sirikalin uko sawa njaa tu madaraja akuna haki zao loooh bado kikokotozi bora kutema namimi natema week hii
Alichosema kwa kiasi ni kweli hata mm nafanya forex lakini asilimia 95% ya traders hasa bongo wana loose. Siku zote usikurupuke na usipelekwe na emotions kaa chini jipange elewa forex ni nini. Maana nje na mafanikio kuna changamoto kubwa sana. Hakuna wa kukwambia ukweli kuhusu forex na huyu mbn bado sana???? Milion 15 ni hela ya chai tu.
Karibun bitcon nayo Ni biashara nzuri kwan ukiwekeza 40$ ndan ya mwaka inakulidishia 200% ya pesa uliyoweka hii dollar ipande au ishuke we unavuna mafaida tuu na unaweza kuwekeza hadi 100000$