Тёмный

KIJANA WA MIAKA 23 ALIYEACHA CHUO KISA UMASKINI WA KWAO, ANAINGIZA ZAIDI YA M.1 KILA MWEZI 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 296 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

17 янв 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 623   
@gracejoseph7005
@gracejoseph7005 5 лет назад
Millad tunataka story Kama hizi za ku inspire watu, sio unatuletea habar za Amber Ruty!!
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 5 лет назад
Kweli bana sio kila siku nimihabali ya wema na mambi kimambi
@kenedyadammwamagemo5611
@kenedyadammwamagemo5611 5 лет назад
Mwache alete zote fan bass iyongezeke biashara yake ikuwe zaidi. Not all of subscribes like serious news
@sophiakasim5153
@sophiakasim5153 4 года назад
Grace Joseph 😁😁😁😁 umeona eeeh
@mabulaezekielmd7723
@mabulaezekielmd7723 4 года назад
Kawaida Grace ya mwanahabariii
@fainajaffary4070
@fainajaffary4070 2 года назад
😁😁😁
@mohammedabdallah6390
@mohammedabdallah6390 5 лет назад
Ni mpole na mnyenyekevu kwa anavyoonekana Mungu akuongeze ktk kheri na akubariki sana ufanikiwe na uendelee kuilea familia yako
@avituswibingire9382
@avituswibingire9382 5 лет назад
shukrani sana bro mungu akubariki pia
@ashurathomas482
@ashurathomas482 5 лет назад
Kagera sehemu gani wa kwetu jamani
@yangoshatv5327
@yangoshatv5327 5 лет назад
Kwao wa haya
@SSs-tb9yo
@SSs-tb9yo 5 лет назад
mohammed abdallah Aamin Inshaallah yaarab
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 4 года назад
Amiina
@macoclevercc2357
@macoclevercc2357 5 лет назад
Uyo kijana yuko vizuri pia ameonyesha kuwa kweli amefunzwa uvumilivu na KARATU boys from arusha !!!!safi sana kijana wa ANEI
@wilsonnyabagaka2265
@wilsonnyabagaka2265 5 лет назад
Avitu Rwebingira big up classmate. Hongera san
@avituswibingire9382
@avituswibingire9382 5 лет назад
shukrani sana brother de son
@jonathannkoba3806
@jonathannkoba3806 5 лет назад
@@avituswibingire9382 Br Avitus naweza pata contacts zako ili tufahamishane vizur kuhusu hii biashara nahitaji na mim nijiunge.
@allyiddy6171
@allyiddy6171 5 лет назад
Samahan naomb namba zake ka unazo
@nyalajapaulo8469
@nyalajapaulo8469 5 лет назад
wilson nyabagaka MAPENZI
@nadian818
@nadian818 5 лет назад
Avitus Wibingire nipe Whatsapp yako from USA 🇺🇸
@jorumkiungo303
@jorumkiungo303 4 года назад
One of my inspiration video iliowah kunifanya niwe trader kwa sasa hahahaa ....printing
@maticsleokas1785
@maticsleokas1785 5 лет назад
kama unakubali forex inalipa ngonga like
@kigoishishira5328
@kigoishishira5328 5 лет назад
Ooyoo matics
@zebdayleonard8599
@zebdayleonard8599 5 лет назад
Anko ushawah kutmia forex??
@maticsleokas1785
@maticsleokas1785 5 лет назад
@@zebdayleonard8599 ndio
@zebdayleonard8599
@zebdayleonard8599 5 лет назад
Matics Bwaiy yaa zebdayleonard@gmail.com
@peteradrian958
@peteradrian958 5 лет назад
Bdo sjaona matokeo ila naona inalipa
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 5 лет назад
Hongera sana kaka Mungu akupiganie ktk kazi yako hiyo unayoifanya.
@avituswibingire9382
@avituswibingire9382 5 лет назад
asante sana kaka
@IbrahimMohamed-yy2il
@IbrahimMohamed-yy2il 5 лет назад
Knowledge first then money will follow.. 1. Pay for training. 2. Practice as much as you can. 3. Look for mentors to guide you. 4. Money will be pouring big.
@faithshomary7936
@faithshomary7936 5 лет назад
TRUE
@titus_maridhia
@titus_maridhia 4 года назад
Bro nimeipnda iyoo idea
@IbrahimMohamed-yy2il
@IbrahimMohamed-yy2il 4 года назад
@@titus_maridhia sure brother hii forex bila mentor ni bahari kubwa, ila ukiwa nae utaona maisha unafuu wake maana kila step unakuwa na mtu unaeweza kumwomb msaada... Kwa bongo wapo wengi unaweza kuapata contact zao hapa RU-vid/instagram na bei zao kawaida.. 1. Rich Feelings Forex 2. 255Millioniresfx 3. Waileys fx Na wengine wengi etc.
@thobiasjared3648
@thobiasjared3648 4 года назад
Xana kaka positive mind
@aderickusemmanuel9126
@aderickusemmanuel9126 4 года назад
Big up
@annawinstone6075
@annawinstone6075 5 лет назад
Millard thanks for this hujui tu inasaidia wangapi
@ibrahimalexander4653
@ibrahimalexander4653 5 лет назад
Guys Its not easy as he explain but through heavy effort and discipline its doable
@martinjohn7382
@martinjohn7382 5 лет назад
Maisha ni kujua hasara na faida, ukianguka simama, tuamke vjana wezangu
@raphaelsamwel6330
@raphaelsamwel6330 5 лет назад
Asante martin John
@DativaMbowe
@DativaMbowe Месяц назад
Amen
@irenedamas4806
@irenedamas4806 Год назад
Mungu akubariki sana bro umeongeza maarifa Kwa kichwa yangu big up 🙏🙏🙏
@khadijanjama9016
@khadijanjama9016 5 лет назад
Vijana tujitume sio tusubiri kuajiriwa na serekali tutaumia akili zetu tuzifanyie kazi mambo ya kuigwa nikama haya si kuuza sura kwa mitandao na kukaa uchi hongera kijana
@mpendwalove4390
@mpendwalove4390 5 лет назад
u so humble bro, congrats and all the best...Mungu akuzidishie
@franckierububura5625
@franckierububura5625 5 лет назад
Nmekukumbuka mwamba ulipoteaga duce Mzee kumbe zilikua mishe izo.wazee tulijuaga umedisco
@hassanjr5318
@hassanjr5318 4 года назад
FRANCKIE RUBUBURA 😂😂😂😂😂 wahuniii
@nicholausznicholaus3358
@nicholausznicholaus3358 2 года назад
😂😂mnaendereaje tamisemi mlio enderea ?
@hishamjonas3810
@hishamjonas3810 5 лет назад
unavyooneka ni myenyekevu kutoka moyoni na unauchungu na jasho lako ,,,pole na hongera sana
@arthurfesto9026
@arthurfesto9026 5 лет назад
Shule hasara kwa kipindi hiki shule haina faida zaidi ya kutoa ujinga ningeona kuwa mambo yatakuwa hivi ningeacha shule form 4 kudadadeki nimepoteza time yangu ni mwalim hapa ila kwasasa ni dereva wa roli ningeliona hili ningeingia kwenye maroli 2008 nisingejuta bachelor ya education GPA ya 3.8 ipo Zambia mda huu inasubiri kuvuka mpakaaa
@allan29adam43
@allan29adam43 5 лет назад
Arthur Festo shule kwa tz inachelewesha tuu na sifa tuu mwenyew najuta mda niliopoteza
@arthurfesto9026
@arthurfesto9026 5 лет назад
Japhet fracis ndio elimu ni muhim ila ya form 4 zaidi zaid 6 baada ya hapo pambana kwa system ilivokaa kwasasa
@johnsapati103
@johnsapati103 5 лет назад
japhet francis elimu isiyo na msaada ya nin we soma forex ujiajili tyu
@iddishabaranks6067
@iddishabaranks6067 5 лет назад
Big up Millard! hii interview imenifundisha kitu katika maisha.
@ladykimnan902
@ladykimnan902 5 лет назад
hongera bro vijana wachache sana wenye mawazo kama yako inshalah mungu akutangulie amin
@avituswibingire9382
@avituswibingire9382 5 лет назад
asante sana dada
@jessicabrown5885
@jessicabrown5885 4 года назад
@@avituswibingire9382 hahaa😂 naona unaangalia comment za speech yako Sema milard alikufwata au uliwafwata
@RichFeelingsForex
@RichFeelingsForex 5 лет назад
HONGERA SANA
@aliusanthony9158
@aliusanthony9158 5 лет назад
Avitus wibingire hongera sana, maisha yanahitaji uthubutu kama wako. Nataman uwe roll model Wangu Please nisaidie nipate mawasiliano yako uniongoze wap naweza kupata mentor mzur wa kunisaidia
@aliusanthony9158
@aliusanthony9158 5 лет назад
My contacts 0766402583
@filbertnashon7160
@filbertnashon7160 5 лет назад
Good,keep it up, brother
@simbawateranga7020
@simbawateranga7020 5 лет назад
Hongera sana mdogo wng lakin huku mtaani tunawenzio tena wana D'gree 1 wanaume na wanawake' kaz yao nikumlaumu raic na kudangatu. Hawataki kujiajiri wao wanataka kuajiriwa walipwe kuanzia mil' 3 hadi'5 kwa mwezi. Mi nawaambia mtasubiri sana
@avituswibingire9382
@avituswibingire9382 5 лет назад
shukrani bro ,umeongea ukweli mtupu ni mda sasa tuamke vijana tujiajiri
@eliahedward7761
@eliahedward7761 5 лет назад
lucas juma kusoma level ya chuo sio kuajiliw ni kpta uwezo wa kjipambanua kwa kujiajil na ndo maana kila chuo ck hiz kuna somo LA entrepreneur
@thegreat5000
@thegreat5000 5 лет назад
@@avituswibingire9382 good bro mungu akuongoze
@Suleimansalum
@Suleimansalum 5 лет назад
eliah edward huyu jamaa amepayuka tu hawa ndio wale wakiona mtu kasoma wanaanza kumtenga mtaani na kumuitmsomi
@sharonenson9107
@sharonenson9107 5 лет назад
Nimpole aisee daah
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 года назад
Hongera sana kaka angu uko smart mno💔😭
@sakinasheidhan4642
@sakinasheidhan4642 5 лет назад
Hongera hii ndio elim inayotakiwa kujiwezesha kuliko mtu kutwa kucha kutembea na vyeti kuomba kazi kazi zenyewe hakuna hongera sana vijana tunatakiwa kuiga mfano huu
@bekatza6947
@bekatza6947 5 лет назад
Ume ni inspire bird 🙏🙏
@youngmmbaga2478
@youngmmbaga2478 5 лет назад
LAKINI PIA SIO KILA MMOJA ANAWEZA KUIFANYA,,,TUIELEWE HIYO
@tasbibiabdullah9560
@tasbibiabdullah9560 5 лет назад
Aise mm nagombana na mume wangu huwa nazani anapoteza hela ila hakati tamaa najua na yy atakuwa kama ww mumgu saidie
@hassanhamudy6639
@hassanhamudy6639 3 года назад
insha'Allah
@raphaelbruno2743
@raphaelbruno2743 5 лет назад
Ur a gud broza coz niwachache wanaoweza kuangalia na kufanya maamuzi magum juu yakulea mama na wadogo zake mungu awez kukuacha ukiwa na moyo kama huo!
@DaudiNungwana
@DaudiNungwana 5 лет назад
Top notch traders wamenisaidia Sana kujua hii kitu. Ushauri wangu, chukua muda wa kujifunza na utaweza forex
@yanayojirimitaaniTV
@yanayojirimitaaniTV 5 лет назад
subra ina kheri bidii pia imo ndani mwenyezi mungu akubariki
@sophianuru9360
@sophianuru9360 5 лет назад
Nimejifunza katika maisha hakuna kukata tamaaa
@avituswibingire9382
@avituswibingire9382 5 лет назад
hakika
@amnemkubwa7353
@amnemkubwa7353 5 лет назад
Naaam👌
@jeremiahmpunga911
@jeremiahmpunga911 5 лет назад
Nice
@KINGsalumufxTz
@KINGsalumufxTz 5 лет назад
Sophia Nuru sawa
@antoinekatembo8124
@antoinekatembo8124 5 лет назад
Kabisa!
@zakeishengomaeward5918
@zakeishengomaeward5918 5 лет назад
Good sana home boy ,,,,Be blessed
@reubenmwakalundwa7881
@reubenmwakalundwa7881 5 лет назад
Wow nice.. Utupage madini kama haya mara kwa mara brother..! Inatupa changamoto
@wollytdiller8067
@wollytdiller8067 5 лет назад
you make one million tsh a month here(here we make 1 million dollar south africa) but big up
@belamicheal3353
@belamicheal3353 5 лет назад
Ashuo🙄
@manaratv1628
@manaratv1628 5 лет назад
Nawezaje kujiunga basi
@avituswibingire9382
@avituswibingire9382 5 лет назад
will be there soon my guy
@venamlowe3556
@venamlowe3556 5 лет назад
You have got to start from somewhere, and keep growing!! You can't become a millionaire overnight.
@rek118
@rek118 5 лет назад
Avitus Wibingire Iam so proud of you my man...makofi mengi kwako mzee baba
@kasesecompany3187
@kasesecompany3187 4 года назад
Aseeeh safi sana trader
@hamismwinyi3723
@hamismwinyi3723 4 года назад
Daaaah awesome salute
@PesaDownloaders
@PesaDownloaders 5 лет назад
Kwa mtu yoyote ambae angependa kujua biashara hii. Nakukukaribisha kwenye channel yangu. Nitakuwa nafundisha kila siku alafu tutakuwa tunatrade live ukiwa na demo account yako. Ukielewa vizuri utaamua mwenyewe kufungua real account. Mafunzo yanaanza mwezi 1/2/2019. Fanya kuweka notification on. Nipo naandaa video kwa sasa. Karibu sana kwenye forex.
@winniefrancis4239
@winniefrancis4239 5 лет назад
Chuo Cha Forex poa
@noelyphilemon4858
@noelyphilemon4858 5 лет назад
Chuo Cha Forex OK
@thomaskimaro7952
@thomaskimaro7952 5 лет назад
Tunaiapataje elimu chuoni Kwako nahitaji kujifunza 100% real and serious
@deomwakalinga4924
@deomwakalinga4924 5 лет назад
contact please
@cassanderhdtz5095
@cassanderhdtz5095 5 лет назад
Join the WhatsApp Link here chat.whatsapp.com/CZgCH7paX9w10uxs23hWKu
@de-crownde-crown3573
@de-crownde-crown3573 5 лет назад
safi sana bro ...umenipatia hsmasa sana ..congrats
@lameckclement2804
@lameckclement2804 5 лет назад
Vitus mambo vp hongera kw kupiga hatua kimaisha lkn sasa MTU aombae msaada husaidiwa ndugu basis naomba namba za cm tufanye mawasiliano hata mm pia nahtaji kutengeneza maisha maana sasa ww n mwalmu kwetu ss.
@gloryisaac1477
@gloryisaac1477 3 года назад
Wooh nmepata KTU apo ...hongera sana kaka
@issanaseeb7699
@issanaseeb7699 5 лет назад
Never give up💪✊
@damasigenga4835
@damasigenga4835 5 лет назад
Bro big up sana
@nichummputo516
@nichummputo516 5 лет назад
Mwenyezi mungu akupe afya njema na aibariki kaz yako
@deniselias9897
@deniselias9897 5 лет назад
Hii ni kwa wale wenzangu watakoingia na mihemuko ya kupiga pesa kwa muda mufupi. Forex trading ni biashara kama biashara zingine na pia ni kazi kam a kazi zingine. Sio shortcut ya maisha hivo inahitaji kujifunza kusiko-isha, hardworking na discipline na uvumilivu wa hali ya juu. Nakufuata mashariti yake yote . Kama hutoweza kufanya vitu hivi ni bora ukawekeza sehemu nyingine kuliko kupoteza pesa zako bure. Utakula za uso utapata depression na utakufa buree🤣🤣
@flackomasterbaddest4155
@flackomasterbaddest4155 5 лет назад
fact
@annachales9623
@annachales9623 5 лет назад
Umeongea but ngoja tujaribu kila kitu ni imani wangu ngoja tujaribu maisha.
@veronicacharles4527
@veronicacharles4527 5 лет назад
Anna Chales wajina kweli nikukomaa tu hakuna kisicho na changamoto
@flackomasterbaddest4155
@flackomasterbaddest4155 5 лет назад
@@annachales9623 his point sio kukukatisha tamaa its a good thing i can advice you ukakifanye ila usiingie na expectations kubwa hio ni kama biashara nyingne tu unapata pesa kubwa ukiweka pesa kubwa au uki weka risk kubwa kwa pesa ndogo na since kufundisha watu ni biashara pia hauta oneshwa negative side zake sasa jiulize kama mtu anaweza tengeneza mill 20 hata kwa miez mitatu kwa forex tu ....laki moja yako anaibembeleza ya nn?
@flackomasterbaddest4155
@flackomasterbaddest4155 5 лет назад
@@annachales9623 his point sio kukukatisha tamaa its a good thing i can advice you ukakifanye ila usiingie na expectations kubwa hio ni kama biashara nyingne tu unapata pesa kubwa ukiweka pesa kubwa au uki weka risk kubwa kwa pesa ndogo na since kufundisha watu ni biashara pia hauta oneshwa negative side zake sasa jiulize kama mtu anaweza tengeneza mill 20 hata kwa miez mitatu kwa forex tu ....laki moja yako anaibembeleza ya nn?
@Dm-yd1tl
@Dm-yd1tl 5 лет назад
God bless you guy
@mussaelikana2897
@mussaelikana2897 2 года назад
Hongera sana broo uko vizur sana na una mawazo mazur
@GeorgeEdward-mu1xg
@GeorgeEdward-mu1xg Месяц назад
Sema vdo waga anaoji maswali ya msing sana in short vido ni the best sanaa
@heavenlypatric4822
@heavenlypatric4822 5 лет назад
Nimejifunza kitu kizuri kwa interview hii
@Mturuma
@Mturuma 5 лет назад
Not everyone is a trader,have that in mind,and you’ll thank me later
@babalois7240
@babalois7240 5 лет назад
Hahaaaaa... 100% your correct... But any one can be a trader too
@avituswibingire9382
@avituswibingire9382 5 лет назад
sure brother the struggle is real
@fredyedward3401
@fredyedward3401 5 лет назад
But anyone can invest in trading.
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 5 лет назад
@@babalois7240 Sure
@petroaugust6133
@petroaugust6133 5 лет назад
everyone can trade forex , but not everyone can make a profit because of emotional na tamaa b cause in forex there is a tones of money ,na hakuna dunia biashara yoyote ile yenye mzunguko wa pesa mkubwa km forex , so watu wakisikia mtu ana tengeneza milion moja kwa mwezi kwa kukuaa tu kwenye pc au simu wapo wanao kuwa exited sana na wapo ambao wanaona ni km story tu za wizi wizi sasa hizo alizo sema jamaa milioni moja watu wana zitengeneza ndani ya dakika tano kulingana na mitaji yao
@shabanisaalum1148
@shabanisaalum1148 4 года назад
Safi sana bro nimeipenda hii. Je? Naweza Pata direction pls bro. Tusaidiane.
@shamsaismail7707
@shamsaismail7707 5 лет назад
Hongera kaka
@teeanna2060
@teeanna2060 5 лет назад
Family mzima ni wasomi 😍😍😍. Ongera huna maringo
@godwillseverine3863
@godwillseverine3863 5 лет назад
Big up brother
@constantinemanyanda6667
@constantinemanyanda6667 5 лет назад
"your life begins the day it nearly ends"
@nesawinehemia9907
@nesawinehemia9907 5 лет назад
constantine manyanda point
@maggiemichael1621
@maggiemichael1621 5 лет назад
Nimejifunza Kitu..... Asante
@projestusprosper1626
@projestusprosper1626 5 лет назад
Hongera Mwanangu
@bayoTV1
@bayoTV1 5 лет назад
Job well
@moniedwese5778
@moniedwese5778 5 лет назад
Ongera mwaya👋😘😘
@salehmasunga5147
@salehmasunga5147 5 лет назад
Ahsante milad
@francisngwale4567
@francisngwale4567 5 лет назад
Tumejifunza Apa nikusonga mbele
@jacklinamani7519
@jacklinamani7519 4 года назад
Hongera Sana broo
@nelsonsimtowe4268
@nelsonsimtowe4268 5 лет назад
Dogo kweliii uwalimu nikibaruaa kazi ya YESU sirikalin uko sawa njaa tu madaraja akuna haki zao loooh bado kikokotozi bora kutema namimi natema week hii
@eddyjunior7821
@eddyjunior7821 5 лет назад
Nelson Simtowe 0757906119 nichek tuongee
@avituswibingire9382
@avituswibingire9382 5 лет назад
hahaha sio hvo bro ni kutokana na malengo ya mtu siwezi kuiponda kazi ya mtu.
@hejopansimon5217
@hejopansimon5217 5 лет назад
Eh uko sawa namm kiumri honger kwakua xhujaa
@mosamossile9113
@mosamossile9113 5 лет назад
Br naomba nisaidie namba yaki plz
@sudyslaa8278
@sudyslaa8278 5 лет назад
Alichosema kwa kiasi ni kweli hata mm nafanya forex lakini asilimia 95% ya traders hasa bongo wana loose. Siku zote usikurupuke na usipelekwe na emotions kaa chini jipange elewa forex ni nini. Maana nje na mafanikio kuna changamoto kubwa sana. Hakuna wa kukwambia ukweli kuhusu forex na huyu mbn bado sana???? Milion 15 ni hela ya chai tu.
@gadafimasoud310
@gadafimasoud310 4 года назад
Kweli hela ya chai kwako lkn kwake na wengine masikini nafikili ni mzigo mrefu
@rutakihama7599
@rutakihama7599 5 лет назад
Hongera sana mdogo wangu rwebingira
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 5 лет назад
hongera kijana mpambanaji
@chumanondochuma8012
@chumanondochuma8012 3 года назад
Nimeipenda Sana hiyo motivation
@emmypaul7455
@emmypaul7455 5 лет назад
Aiseeeeeee
@dennistarimo5125
@dennistarimo5125 5 лет назад
hongera kwake
@mabulaezekielmd7723
@mabulaezekielmd7723 4 года назад
Pamoja sana brother nazikubar sana story zako
@malikijuma2759
@malikijuma2759 2 года назад
hongera sana,ila jamaa mpaka akimaliza kuelezea ushachoka
@ezekiafilbert4896
@ezekiafilbert4896 5 лет назад
honger sana kijana
@haseanatnsanya2079
@haseanatnsanya2079 3 года назад
Maashaallaa uko vizur sana pambana
@talantamhanga6961
@talantamhanga6961 5 лет назад
Nimeipenda hii,ubunifu ni mhimu.Kukata tamaa mwiko.
@raphaelmagani8540
@raphaelmagani8540 4 года назад
Nakumbuka niliingia bitclub nikapoteza 2ml zangu SIJUI KM NTADHUBUTU TENA
@hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326
Mpole mwenyewe
@avituswibingire9382
@avituswibingire9382 5 лет назад
hahaha shukrani
@drfrankfaustine5469
@drfrankfaustine5469 2 года назад
Uyu n wa nyumbn kabsa karagwe oyeee
@domtv518
@domtv518 5 лет назад
Karibun bitcon nayo Ni biashara nzuri kwan ukiwekeza 40$ ndan ya mwaka inakulidishia 200% ya pesa uliyoweka hii dollar ipande au ishuke we unavuna mafaida tuu na unaweza kuwekeza hadi 100000$
@shijaamini4939
@shijaamini4939 5 лет назад
Dom TV nicheki 0714429434 au Facebook nitumie ombi la urafiki jina langu denis marciale kato
@piliwisman7020
@piliwisman7020 5 лет назад
kaka naomba mwongozo plz na mm natamani sana kufanya hiyo biashara
@avituswibingire9382
@avituswibingire9382 5 лет назад
ok dm 0762927598
@alfarsiali2779
@alfarsiali2779 5 лет назад
Naomba nkutafte WhatsApp tuongee coz npo mbal kidogo na Tanzania ila nkirud nataka nijarbu hko kitu brother kama hautojar ntumie namba yko please
@harmondtz1162
@harmondtz1162 5 лет назад
One love aseeee
@princegabytv7251
@princegabytv7251 4 года назад
Gonga like vijana wenzangu kama hii video imekugusa.
@gracepius9762
@gracepius9762 2 года назад
Hongera sana kakaaa
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 5 лет назад
Barikiwa dogo
@jenipherkavusha506
@jenipherkavusha506 4 года назад
Barikiwa sana
@jacksonthomas3955
@jacksonthomas3955 5 лет назад
nakuelewa san mkal hongera san
@k2channel94
@k2channel94 4 года назад
🔥
@lostcodeofficial5603
@lostcodeofficial5603 3 года назад
Cool
@boazsebastian358
@boazsebastian358 5 лет назад
good,sana wanyumbani
@MARY-bt1zm
@MARY-bt1zm 5 лет назад
these are the news we want...... others its gossip
@ezekiellugali305
@ezekiellugali305 5 лет назад
uko vizuli Kaka nimekuku Bali Frx noma
@emanuelmiseri7231
@emanuelmiseri7231 4 года назад
Good
@minstarbrown6732
@minstarbrown6732 5 лет назад
bro razm nkutafut tuongee 🙏
@ibrahimlikonga5676
@ibrahimlikonga5676 4 года назад
Jamaa anatumia jina gan insta?
@kassimliwola7248
@kassimliwola7248 5 лет назад
Hongera xnaaa janja komaa tu.
@nyamushalaparfait4154
@nyamushalaparfait4154 5 лет назад
Ndo muna washauri vijana waache chule Riziki popote nenda kauze bangi police kama Riziki popote
@hedentv6756
@hedentv6756 Год назад
Tunaomba Mawasiliano yake ili sisi tulio na ndoto ya kufanya hiyo biashara tuweze kupata ujuzi zaidi kutoka kwake!🙏
@bamurwakana5452
@bamurwakana5452 3 года назад
Kutoka igurwa karagwe nakupateje bro ili tuweze share mawazo
Далее
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
Просмотров 5 млн