Тёмный

HOUSE GIRL EP 33 || love story💞💕 

BUSATI TV
Подписаться 137 тыс.
Просмотров 174 тыс.
50% 1

#bongomovie #housegirl

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 960   
@busatitv
@busatitv 3 месяца назад
House Girl fans WhatsApp 👇👇 chat.whatsapp.com/CssprKjGJcP3Xcwj3Jlusl
@maysaghjii5058
@maysaghjii5058 3 месяца назад
Candy usimzarau usiemjua
@HopeMmbando-wb8ci
@HopeMmbando-wb8ci 3 месяца назад
Candy kitamramba mwaka huu haaahha nasubir ya mchana jmn
@ShamsaAdam-c7z
@ShamsaAdam-c7z 3 месяца назад
Candy kitamrudi mwenyewe
@juliethrobart9430
@juliethrobart9430 3 месяца назад
@@busatitv kwangu mimi mbona hili group la wasp halifunguki? Au likoje?
@madinarobert4944
@madinarobert4944 3 месяца назад
Huko kunanini kai
@MariamRiziki-o8x
@MariamRiziki-o8x 3 месяца назад
Wakwanzaaaaaaaaa wapi daa zuuuuuu❤❤❤❤❤naonbeni likes zangu from 🇰🇪
@HappyMtawali
@HappyMtawali 3 месяца назад
Mnaomba cendy aumbuke mgonge like ata 2 tu
@estherezzy136
@estherezzy136 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@lucyrif-np8ik
@lucyrif-np8ik 3 месяца назад
go nishagonga hiyo like😂😂😂😂
@HappyMtawali
@HappyMtawali 3 месяца назад
@@lucyrif-np8ik hauogopi 😂😂😂
@DelphinaJeremiah-ii1rv
@DelphinaJeremiah-ii1rv 3 месяца назад
Leo candy kayakanyaga bibi zuu kaamua kuonyesha makucha yake🙌🙌🙌 Kama una mkubali bibi gonga like hapa
@reginaDevid
@reginaDevid 2 месяца назад
Km uyo Bibi ni mchwa kwa Nini asimtafute mchukuu wKe😊
@SalmaSalma-o7t
@SalmaSalma-o7t 2 месяца назад
Nitumie namb ya Kai jamani
@JacksonNgari-fs2qt
@JacksonNgari-fs2qt 3 месяца назад
Jaman wakwa leo tuone mwisho wakend walio pamoja na bibi yake zuu nawaomba like zenu
@juliethrobart9430
@juliethrobart9430 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@bahatikiwayi8808
@bahatikiwayi8808 3 месяца назад
❤❤❤❤❤❤
@fatmaubwa-z8s
@fatmaubwa-z8s 3 месяца назад
utamu umakuja sasa😂😂kesho naona haifiki
@JelemayaMwakiyule
@JelemayaMwakiyule 3 месяца назад
😂😂😂
@FatmaSalim-dc6zp
@FatmaSalim-dc6zp 3 месяца назад
Hii movie ina kila kitu ambacho hua ni zahiri kinatokea katika maisha halisi ya wanaadam kila kitu kipo huzuni furaha maradhi uchawi unafki usaliti yani sijui nn kmekosekana mana eliminate ndio tunaipqta sasa sie waangaliaji waomba like tunasubiri movie zenu nasie tuombe like kama mtapenda yaone ovyoo
@JoshuaMbeyela-o2p
@JoshuaMbeyela-o2p 3 месяца назад
Nan amegundua ukigusa like mara tatu inajicopy🙌🙌
@mamume710
@mamume710 3 месяца назад
Unataka likes tu mxyu 😒
@rubniyi3551
@rubniyi3551 3 месяца назад
​@@mamume710😂😂😂 alakini Kweli 😂
@fatmaubwa-z8s
@fatmaubwa-z8s 3 месяца назад
​@@mamume710😂😂😂😂😂
@fatmaubwa-z8s
@fatmaubwa-z8s 3 месяца назад
tumewastukizia😂😂
@prezgal8869
@prezgal8869 3 месяца назад
Naijua hiyo
@SaumuJumwa-u4v
@SaumuJumwa-u4v 3 месяца назад
Cardy ameyakanyanga yaani bibi kiboko 😂😂😂team zuu tuko na matumaini 💪💪💪
@BubbyBrenjoy
@BubbyBrenjoy 3 месяца назад
Kama unaamini zuu atapona wapi like...za zuuu
@richardchristopher7141
@richardchristopher7141 3 месяца назад
Kati ya movie au picha ambazo zimezingatia vigezo Asilimia 97% Kalibia vyote nihiii House Girl Nipicha ambayo imeonesha Jinsi Gani Jamii za Afrika zinavyo potea. Kama tuko pamoja like hapa 🙏
@FitinaWilondja-m7c
@FitinaWilondja-m7c 3 месяца назад
Kbs
@coolboymicky3651
@coolboymicky3651 3 месяца назад
Safi nahongera kwakuona elimu iliyopo ndani ya house girl
@FitinaWilondja-m7c
@FitinaWilondja-m7c 3 месяца назад
Asant sana
@TedySanga
@TedySanga 3 месяца назад
Uhakikaaa
@BettyKawira-g6i
@BettyKawira-g6i 3 месяца назад
Timu zuu wapi likes jamani❤❤
@Phoebenafula
@Phoebenafula 3 месяца назад
Nasubiri episode 34 kwa hamu sana, Nataka kuona candy atafanyiwa nini na shoshi, hongera sana leo imekua 🔥🔥🔥❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@StellaKimaro-no6mv
@StellaKimaro-no6mv 3 месяца назад
Jaman bora nikose kula ila bando liwepo co kwa hii movie.....🥰🥰🥰
@MagrethyAdolph
@MagrethyAdolph 3 месяца назад
Zuuuh lazma apatkne kam unaamini hilo nnipe like❤❤
@DentaiCheri
@DentaiCheri 3 месяца назад
❤❤❤❤❤
@lucyrif-np8ik
@lucyrif-np8ik 3 месяца назад
❤❤❤❤😂😂
@Noella-p5u
@Noella-p5u 3 месяца назад
Nimechelea jamani warundi muko wap munipe like ❤❤❤
@irakozeshela1809
@irakozeshela1809 3 месяца назад
tuko hapa
@salmahassan-e3b
@salmahassan-e3b 3 месяца назад
❤❤❤ tupo pamoja
@marremarre9498
@marremarre9498 3 месяца назад
Nipo lakini sikupi
@CynthiaIrakoze-tj9ve
@CynthiaIrakoze-tj9ve 3 месяца назад
Tupo
@ZayNiyonzima
@ZayNiyonzima 3 месяца назад
Jaman wa mwisho Leo naombeni like zangu😂😂😂
@sharifamohammed6317
@sharifamohammed6317 3 месяца назад
😂😂😂
@StellaKimaro-no6mv
@StellaKimaro-no6mv 3 месяца назад
Funs wa zuuh tujuane hapa....😍😍😍❤️❤️❤️💞💞💞💞
@OfficialZuli-ve5kh
@OfficialZuli-ve5kh 3 месяца назад
Hi
@StellaKimaro-no6mv
@StellaKimaro-no6mv 3 месяца назад
@@OfficialZuli-ve5kh mamb
@OfficialZuli-ve5kh
@OfficialZuli-ve5kh 3 месяца назад
@@StellaKimaro-no6mv poa vip
@OfficialZuli-ve5kh
@OfficialZuli-ve5kh 3 месяца назад
@@StellaKimaro-no6mv poa mzm
@StellaKimaro-no6mv
@StellaKimaro-no6mv 3 месяца назад
@@OfficialZuli-ve5kh nipo pouw cjui ww jmn
@Amena-z5r
@Amena-z5r 3 месяца назад
Wow nimekua wa kwanza leo kaka kai naomba like hata moja tu jaman 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@NiyomufashaJanviere-nl1vc
@NiyomufashaJanviere-nl1vc 3 месяца назад
Yes ok
@ElizabethBaraka-ml9yy
@ElizabethBaraka-ml9yy 3 месяца назад
Ivi.kila.mtu
@ZuhuraMusa-hl3wp
@ZuhuraMusa-hl3wp 3 месяца назад
Leo mumeweza at least mumetoa mapema naomba like zenu
@marymnandi9924
@marymnandi9924 3 месяца назад
Nyie mnaoomba like acheni upuuzi ni utoto Kuomba omba tu kulike kukoment na kushare haaah😂😂
@carlynemgonja-2004
@carlynemgonja-2004 3 месяца назад
😂😂Nimecheka kwa sauti
@rexe9651
@rexe9651 3 месяца назад
Hahaha 🤣🤣🤣 jamani wakuige ww tu ju hujaomba lakini umepewa
@MagrethYohana-ry5fk
@MagrethYohana-ry5fk 3 месяца назад
jamn wa kwanz naomb like zangu
@sifamaureen2792
@sifamaureen2792 3 месяца назад
Uzipeleke wapi😂😂❤🎉
@richardchristopher7141
@richardchristopher7141 3 месяца назад
❤❤❤
@LailatAbdallah
@LailatAbdallah 3 месяца назад
Unakul iyo like au mbn husifiii kaz Yao achen kutumia kaz za watu km fursa kwenu mnaboa yaan tumewachok like like t heeeee
@MagrethYohana-ry5fk
@MagrethYohana-ry5fk 3 месяца назад
@@sifamaureen2792 nazipeleka kw zuu
@PhilosLove-cb1oj
@PhilosLove-cb1oj 3 месяца назад
We zann
@HPZAYOZA
@HPZAYOZA 3 месяца назад
Wakwanza leo naomba like zenu please and please wale wapezi wa zuu na kai na bibi kai , malaika lets go like sasa naitaji ❤❤❤❤❤❤❤❤
@GloriaNahimana-x8p
@GloriaNahimana-x8p 3 месяца назад
Mwenye atakuja nyuma anipe like jamani 🎉🎉❤🇧🇮🇧🇮
@SalmaKenyatta-cn8tg
@SalmaKenyatta-cn8tg 3 месяца назад
mimi hapa team gulf
@GloriaNahimana-x8p
@GloriaNahimana-x8p 3 месяца назад
🎉​@@SalmaKenyatta-cn8tg
@GloriaNahimana-x8p
@GloriaNahimana-x8p 3 месяца назад
@@SalmaKenyatta-cn8tg Thank you
@daazuu4608
@daazuu4608 3 месяца назад
Mnaboa bana vipande vyenyewe vidg afu mnarudia sehemu ambazo tushaangalia😏😏😏
@rehemamgeni203
@rehemamgeni203 3 месяца назад
Zuu naomba Like yako nakufatilia hap plzzz mpenz ❤❤❤❤
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 3 месяца назад
Nyie mbona nipo Hapa Hapa Mmenipiga 😂daaa Ila hya nipeni bas japo moja😂 from Oman 🇴🇲
@NiyoFrancine
@NiyoFrancine 3 месяца назад
Wa1 ila kama unamkubali kayi like hapa
@OmaramimoOmar
@OmaramimoOmar 3 месяца назад
Nipe like zenu jamani, kutoka mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@SophiaMfilinge-o8t
@SophiaMfilinge-o8t 3 месяца назад
❤🎉❤ jamani nawapenda mimi humja wai nipa like hata moja 😢 naomba mwee moja to
@celinamboga581
@celinamboga581 3 месяца назад
Aaah mm ata sijafurahi natakakumuona zuu😂😂😂mm na babake kai tumechoka kungoja😢😢😢
@ministerlightnessrobert5342
@ministerlightnessrobert5342 3 месяца назад
Wakwanza tunae mkubali chiko gonga like ata tano apa
@salumhamad
@salumhamad 3 месяца назад
wakwanz nipen like zng😅
@MudyAlly-jt5xc
@MudyAlly-jt5xc 3 месяца назад
Haya jamani wapenzj wote wa busati usipite.bure hapa bila kulike🥰🥰
@IL-HAMFAKI
@IL-HAMFAKI 3 месяца назад
Jaman hii move inausambaratisha moyo wang, mapenz yote ni Kwa zuu nani anampend zuu njooni tujuwan Kwa like dears
@sifamaureen2792
@sifamaureen2792 3 месяца назад
Sasa kama kila mmoja ni wakwazda,wa pili niyupi tumupe like😂
@LilijohariLilijohari
@LilijohariLilijohari 3 месяца назад
Mimi apa😊
@famidaally2665
@famidaally2665 3 месяца назад
Nibora munipe mm wamwisho😂😂😂😂
@DinaSamwel
@DinaSamwel 3 месяца назад
Mimi
@SalmaKenyatta-cn8tg
@SalmaKenyatta-cn8tg 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@husnahusna1544
@husnahusna1544 3 месяца назад
Waooo mnatuletea Kwa wakati shukran Ila zuu utapona tu mungu yupo ❤❤❤
@MagrethYohana-ry5fk
@MagrethYohana-ry5fk 3 месяца назад
zuuuu atapatikana tyu
@Lily-rn6xc
@Lily-rn6xc 3 месяца назад
Ngoja niangalie ntarud kucoment
@MariamKigoto
@MariamKigoto 3 месяца назад
Sijawai kukoment ila leo naona mwanga waja candy raundi hii huwezi toboa lazima useme tu kula chuma hicho bibi zuu 🎉🎉🎉🎉
@busatitv
@busatitv 3 месяца назад
🤣🥰🥰🥰
@TinahDavid
@TinahDavid 3 месяца назад
Jaman leo nmekuwa wa kwanza daaah tng nmeanza ndo leo like zenu bx
@MgangaJohn-j1r
@MgangaJohn-j1r 3 месяца назад
Hata nami jaman like hata mbili
@JoyAisha-og4hs
@JoyAisha-og4hs 3 месяца назад
Yani sichafurahia movie poa yenye mafunzo kama hii mubarikiwe sana waigizaji hapa mumejitahidi Sanaa's Yani
@JoyAisha-og4hs
@JoyAisha-og4hs 3 месяца назад
Musichelewe na episode 34plz
@Navaronetvmusic
@Navaronetvmusic 3 месяца назад
Nakubali bwana munipe like zangu zakutosha Kama unayuwa zuuu atapona
@SaumuRuwa-t3h
@SaumuRuwa-t3h 3 месяца назад
🎉🎉🎉acha tuone candy atatoboa kweli,njooni tutizame pamoja
@AnnaAmanda-v4q
@AnnaAmanda-v4q 3 месяца назад
Wangapi wanaenjoy wimbo wa house girl 😊😂👍
@TitoMichael-np2kh
@TitoMichael-np2kh 3 месяца назад
❤❤❤❤🎉🎉🎉
@Nailah736
@Nailah736 3 месяца назад
Mzigo tayari wacha tukae mwanzo tujue yafuatayo😂😂
@AshaNzara
@AshaNzara 3 месяца назад
Jaman 😂😂😂raha kuwai wako wap wakuomba like bla kuangalia movie 🎉🎉🎉🎉❤
@Marim-sj7oi
@Marim-sj7oi 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@Swamyhassan_sy
@Swamyhassan_sy 2 месяца назад
Mnaweza sna tunajifunza vingi sana kwa hii move❤❤❤❤❤❤
@ggfwtgg1652
@ggfwtgg1652 3 месяца назад
Jmn munanifulahisha watu wa busati TV munadupa kwa wakati maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Lucy-t7n
@Lucy-t7n 3 месяца назад
Imefika patamu bibi lazima zuu apatikane kunasiku nilifikiria kitu kaa hii bibi ni muchawi atamutokea candy kama jini imekua sasa kichapo chako candy ni bibi wapi nduru wewe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@JaneJane-h2i
@JaneJane-h2i 3 месяца назад
😂😂😂😂 ep 34 wangapi tunaanimi kuwa itakuwa tamu😂😂😂😂
@manojira5469
@manojira5469 3 месяца назад
Tem Zuu twendeni uku 🏃🏃
@HillarySendeu-ht3lj
@HillarySendeu-ht3lj 3 месяца назад
Naamini kabisa kwa uweza wa Mungu zuu atapatikana na kupona pia huyo candy ataumbuka
@shilashilajackson7879
@shilashilajackson7879 3 месяца назад
Bibi kafanya vzur sana leo,nilikua natamani sana hio taimu ya kumusumbua kendal ifike leo imefika😂
@bonifacekemboi8482
@bonifacekemboi8482 3 месяца назад
Nyanya wa zuu ivyo sasa ndio nilikuwa nangojea sana wapi like kwangu
@AnyesiKonga
@AnyesiKonga 3 месяца назад
Sekunde watu washafka selathini
@DiamondMatandala-o7l
@DiamondMatandala-o7l 3 месяца назад
Me wakwanza leo jaman like Zang mnipe
@EdwardLukanda
@EdwardLukanda 3 месяца назад
Wa kwanza leo naomben like jaman
@HadijaChondo
@HadijaChondo 3 месяца назад
Leo nimewahii jamnn mnipee ata likes moja
@VERONICAMSENYERE
@VERONICAMSENYERE 3 месяца назад
Jamani naombeni like za wanachuo wanaofatilia House girl 😂
@Mwanamvua-ze5ls
@Mwanamvua-ze5ls 3 месяца назад
Chengine saa sita usiku jamni nzur sana mungu jalia zuu aonekane
@ShazzLizz
@ShazzLizz 3 месяца назад
Jamani mbona mnanichukia ivyo mnipee like ata kumi tu
@VillaviaChemutai-if2ry
@VillaviaChemutai-if2ry 3 месяца назад
Wakenya hoye🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@SerenakaremboDzombo
@SerenakaremboDzombo 3 месяца назад
Yoooh🎉
@TumainiJaphary
@TumainiJaphary 3 месяца назад
Yajayo yanafulaish😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ii tamthilia tam san cjui mwisho wa candy utakuwaj
@RehemaFuko-yy4yr
@RehemaFuko-yy4yr 3 месяца назад
Jaman naomben like zangu kwa mar ya kwanza nmewah mapema
@LovelyCows-dq2uv
@LovelyCows-dq2uv 3 месяца назад
Ka2i nzuri sana bibi 2u 🎉🎉🎉🎉🎉 kendi sasa kimean2a kuku ramba
@MathayonkindaManela-fq4uo
@MathayonkindaManela-fq4uo 3 месяца назад
Kiboko wa kendy bibi Kama bibi dadeki mwisho wa ufalme wa kendy 😅😅
@japhethngui6139
@japhethngui6139 3 месяца назад
First to view....nipeni likes .....team kai
@macrinafuraha-zg3mi
@macrinafuraha-zg3mi 3 месяца назад
Wapi nduru nimewahi leo wa kwanzaaà🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣kujeni tuone zuuu akipona 😂😂😂😂😂😂😂
@FaridaMahami-zw1mv
@FaridaMahami-zw1mv 3 месяца назад
Kaz nzuriiii sanaaa,hongereniii🎉❤
@MariamSalim-vk6dw
@MariamSalim-vk6dw 3 месяца назад
Kila mmoja n wa kwanza na anaomba like mbona msitoe maoni kulingana na move yenyewe
@ZubaidahMacks
@ZubaidahMacks 3 месяца назад
Mimi😅
@esterkimalio8846
@esterkimalio8846 3 месяца назад
Yaani kai,,,,utakuja kulia kilio cha paka mwizi heeeee hujui tu kitu candy anakusukia
@AbrahmanSenzia
@AbrahmanSenzia 3 месяца назад
Nimechelewa kidogo hata3 😢 basi
@Beatrice-z4c
@Beatrice-z4c 3 месяца назад
Sijachelewa sana leo ila mbona kama kendi ataumbuka jamani😂😂😂😂 kama waona hivo kama mm basi like jamani team zuu hi
@RatifaSekamba
@RatifaSekamba 3 месяца назад
Naombeni likes mi wa kwanza leo asanteni kwa kuwahi
@FrankLuhaha-dt5sh
@FrankLuhaha-dt5sh 3 месяца назад
Congratulations
@JastonnaruweniJaston-cu5rm
@JastonnaruweniJaston-cu5rm 3 месяца назад
Leo mmewahisha sanaa nawakubali
@MpashiKennedy
@MpashiKennedy 3 месяца назад
❤❤Nazipenda saana movie zenu nakizuri munatoa haraka haraka na enough time thank you good job
@busatitv
@busatitv 3 месяца назад
🥰🥰🥰🙏🙏
@RehemaElendela
@RehemaElendela 3 месяца назад
Mimi wa kwanza Naomba like ❤❤❤❤
@Marry0-ce6vu
@Marry0-ce6vu 3 месяца назад
Leo nimechelewa wadau vipi wapi like🎉
@busatitv
@busatitv 3 месяца назад
🙏🙏🙏
@Zarethelovelady
@Zarethelovelady 3 месяца назад
❤❤❤❤🎉🎉🎉 number 3
@janetnasimiyu8646
@janetnasimiyu8646 3 месяца назад
Hii imenifurahiaha kidogo imenpa matumaini kuwa zuu atapona good job guys much love from kenya
@Amina-lz1ht
@Amina-lz1ht 3 месяца назад
Wakwanza Leo like zangu
@TatuBaya-jy8jl
@TatuBaya-jy8jl 3 месяца назад
Patamu hpo safii bib zuu nmeipenda hio hongereni nyote Kwa kazi nzuri❤❤❤🎉🎉🎉 wee Kai mm nngekua best yko nngekuzaba Kofi ili akili zikkufunguka 😂😂😂😂
@hanifahanifa7708
@hanifahanifa7708 3 месяца назад
Leo nimekuwa wa kwanza jamani😂 napenda love story
@JumaAdamo-rz4ye
@JumaAdamo-rz4ye 3 месяца назад
Ngoma iooo ninapitia mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@EmanuelMnyonge
@EmanuelMnyonge 3 месяца назад
❤❤
@geraldcrispini
@geraldcrispini 3 месяца назад
Bibi hataki mchezo kwa mjukuu wake like nyingi kwa bibi❤❤❤
@wasule6253
@wasule6253 3 месяца назад
Candy kula chuma hicho bibi zuu mkomeshe huyo maana hakujui vizuri
@peterphilipo5103
@peterphilipo5103 3 месяца назад
M najua Kwa boss mchawi ni hatar sana
@khido_tz
@khido_tz 3 месяца назад
😂😂😂😂 candy kayatimba 🎉
@Jenniffer-m9k
@Jenniffer-m9k 3 месяца назад
jaman mbona hku kwangu inachelewa kufika🎉🎉munipee like bx pamoja n kuchelewa
@nadzuwazidi
@nadzuwazidi 3 месяца назад
Namini daa zuu atapatikana na atapona anayeamani gongalike🎉🎉🎉🎉
@HasheemMsuka-pv8uy
@HasheemMsuka-pv8uy 3 месяца назад
Well done
@GraceOtieno-vo3sj
@GraceOtieno-vo3sj 3 месяца назад
Let me comment today..........God work........
@JumaAmani-uh4vq
@JumaAmani-uh4vq 3 месяца назад
Leo nimewaacha makusudi muwahi no kwasababu nyote uwa ni wa kwanza 😂😂😂😂😂ukiwa wa 300 uwa uoni kwa au auelewi
@PrincessPendo-mc4dm
@PrincessPendo-mc4dm 3 месяца назад
❤ kutoka 🇰🇪 wapi like zangu
@JobWabwoba
@JobWabwoba 3 месяца назад
Tena nimechelewa kidogo lakini bado niko nyuma ya zuu nipeni likes watu zuu
@AishaAlly-ob7vd
@AishaAlly-ob7vd 3 месяца назад
Zuu wangu cjamuona
@RehemaElendela
@RehemaElendela 3 месяца назад
Nawapenda sana nawakubali 🎉🎉🎉🎉🎉
@AishaRashed-m5o
@AishaRashed-m5o 3 месяца назад
Huy Bibi Kwa uchawi namuaminia Maan kweny move ya boss mchawi wee namp ❤
@peterphilipo5103
@peterphilipo5103 3 месяца назад
Alikua na cheo kikubwa Sema seson 2 Bado haijaanza
Далее
HOUSE GIRL  EP 34 || love story💞💕
21:24
Просмотров 183 тыс.
MISSION IMPOSSIBLE [48]
22:36
Просмотров 110 тыс.
TRUE LOVE FULL MOVIE
1:01:50
Просмотров 1,3 млн
CHOZI LA DADA |EPISODE 6 |NEW MOVIE 2024
16:32
HOUSE GIRL  EP 38 || love story💞💕
21:43
Просмотров 182 тыс.
MY MOTHER EP 22  | Sad Story 💔💔
21:55
Просмотров 35 тыс.
MY MOTHER EP 24
22:29
Просмотров 9 тыс.
Israel Mbonyi - Kaa Nami
13:40
Просмотров 529 тыс.
KIPESILE   | 1 |
23:39
Просмотров 905 тыс.