Biblia inahitaji mafunuo na ulewawa wake unahitaji Maongozi ya Roho Mtakatifu na jinsi muhusika anavyoishi maisha yake binafsi yaliyo na Hofu kwa Mungu na pia sawasawa na Mapenzi ya Mungu.
Acha kukalili, kwa elimu hii hata raisi hafati hapa raisi wako alisomea Mambo ya maktaba huko Tena kwa kuungaunga usichanganywe na neno Dr wengne wanapewaga tu😅