Yaaani mwari akigombea cheo chochote kite wakati wowote ule na chama chochote kile atapata bila rushwa. Mwari amefanya kazi nzuri na wananchi wanamwelewa na kumkubali sana.
Labda mama yetu tukukumbushe sisi niwadamu hakuna mkuu wamkoa alifanyakazi iliotukuka kama mzeee gama namwanli alifanya vzur sana tabora mpaka saa sijaona wakuwazidd sijaona ngao ya umoja tumeishikilia
Kwa kweli Rais wetu anafanya mambo muhimu sana ila sijui kama hao viongozi na sisi wananchi km tunamwelewa,nchi haiwezi kuendeshwa kwa ubabe bali elimu na kujituma bila ya kusukumwa. Moja ya tatizo kubwa maofisini ni uzembe,utoro,wizi, kwenda kinyume na sera ya serikali kujinyanyapaa,kujidunisha ,kuogopana n.k
Shetani ulisha wahi mkalibisha chumbani mwako? Mama wa kambo hatufai itoshe kusema hatufai habari za unamkubali na sisi tumkubali futilia mbali kama unamramba kisigino lamba kama nividole lamba hata miguu yote ww lamba ila usitulishe matango Poli hapa
Mama kwakweli nakuelewaga sana uko vizuri Mama yetu,ila hao watendaji hao wakuu wa mikoa wengine vichomi wako hapo wamekodoa macho wakirudi vituoni kwao wanaanza kuvurunda,tu Mungu awasaidie wajitambue nawaombea hizo akili zao wajielewe na waelewe ulicho waelekeza hapo na shindilia Mungu awasaidie. Hongera kwa busara zako Mama Mungu azidi kukupigania 🙏
Hongera rais wetu,umenifurahisha kwa kauli yako. Viongozi wengi walizoea kuitumia kauli ya maamuzi haya yametoka juu. Leo umewafunga midomo,hata walipo kuwa wanakosea wao kizingizio kauli imetoka juu. HONGERA KWA KULIONA HILO. Mungu azidi kukuongoza.
Tuseme ya kweli na yanayotuhusu kwa kila nyanja na ikibidi tusiwe woga wa kuyasema yote nafasi ndio hii ya kuyasemea tuliyoipewa na mama au Raisi wetu aliyotusemea
Baada ya mzee kikwete wewe mama ukienda vizuri sisi wafanyakazi tulifurahibsana enzi ya kikwete hakika yule mzee atakumbukwa sana .fuata nyayo zake mama bila kuogopa chochote sisi watumishi tutakukumbuka
Mama Samia,mimi ninachotaka ktk maisha yangu ni AMANI tu ila ungetoa hili swala waarabu sina shida na uongozi,ukoo wangu hakuna anayefikiria nafasi hiyo na siwezi kumwangaikia mtu,nahangaikia Taifa langu TZ iwe na amani Thanks
Mm kusema ukwer wakuu wamikoa AMBAO ntawakumbukaa skuzangu zoote na ntazid kuwakubar hatakama watastaafu nimzee wa Toronto mzee wa sukuma ndaniii na charamila aseee nawakubar Sana Hawa wazee WA kaz nataman skumoja nionane nae live hata niwanunulie soda mnisaidie kunkutanisha nao
Jamani hajasema mwanri aliongoza Vibaya bali anasema isiwe kama vile alitumia nguvu nyingi sababu watu walikuwa hawawajibiki kwenye maeneo yao, sasa anataka kila mtu awe kiongozi na awajibike kwenye nafasi yake isiwe kama enzi za mwanri kwa maana mkuu wa mkoa anafanya kazi mpaka za mlinzi hii imepitwa na wakati. Kama hunaelewa basi huelewi tena.
Mama kuna mkurugenzi wa Chato ,hafai hata kuwa mwalim mkuu, wanaweza wakaomba kuwasaplai vitu na ukapeleka , wakuu wa shule wakaaandaa cheki ,mwisho aisaini yeye itoke ,,ikachukua ofsn kwake miezi hata 2. Mwishoe anaomba rushwa na hata ukimpa ili mladi tu wewe hela yako iludi kwenye mzunguko na bado Hatoi......mkuuu watu wako ni mfilisi ,
Kabisa présidente juu kwa Mungu!!!!??? Makonda etiiiiii eneya uji kute. Good job na tanzania geuza izo sheria mbovu za wazungu etiii mihula 2 peke haitoshi kwa mama huyo.
Wanawake ni viumbe venye maswali na ili kufikia makubalino lazima uji elezee tuna imani na mama yetu kila anacho sema lazima kuwe na maelezo chanya sio mazoea
but sisi wana tabora tunamtamani mwanri arudi huku maa na tunajua wapi alitukuta ,nn alifanya na wapi alitufikisha kimaaendeleo so we appreciate him so much
Mama unataka maendeleo ya nchi yetu lkn watendaji wazembe usiwafumbie macho hap ndio wanaokuangusha miradi mikubwa inasimama haiendi vizuri unayaona Haya wanakueleza hembu mama tembea uone na uambiwe fanya kushtukiza uone mama
mama Yale maneno aliyoyatoa Mwigulu pale Bungeni wasiyatumie , Yale ya kusema dereva akigonga mtu akafa hanyongwe? Yale nafikili aliingilia kazi za Mungu bila kujitambua, ni maneno ya kupuuzwa.
Shida mweshimiwa RAIS wangu sijui utafanyaje Hawa WATENDAJI WAWEKE UZALENDO MBELE shida ya maendeleo ni ya Kila MTU tatizo kubwa WATENDAJI wakipewa nafasi wanajitumikia wenyewe na kuwasahau wananchi
no maswali yapo hizi kazi ngumu lazima MDA mwingine hutumie nguvu ya zaida maana nchi zetu bado hazijawa ktk mwongozo wa sheria so lazima tupige kazi kwa nguvu zote sio kufanya kazi kwa mazoea.
Rais Samia kunawakat kama nakuelewa ivi ila kunawakat unanichanganya nashindwa kukuelewa vizur, kwamfano huyo Mzee wasomaiyoo alikuwa naubaya Gani kwenye utendaji wake wakazi? Mh rais taifa letu, nimala mia tukawa narais mpole kama wewe ivo ila watendaji wako wangazi zote wakawa kama akina mwanli , silaa ,makonda ,bashungwa, aweso , biteko , majaliwa,aly happy, sabaya ,nawengine wengi waaina hiyo nchi yetu itapaa sana hata kiuchumi, maana huku chini ndo Kuna madudu mengi sana viongozi wanahujumu sana milad ya selikali milad ambayo wewe umetoa fedha Ili itekelezwe, mila inatengenezwa chini yakiwango napesa zingine zinaishia mifukoni mwao , wakijiamini hayupo wakuwafuatilia , maana mh rais kusema ukweli huwez wewe kama wewe kufuatilia au kutembelea miladi yote nchini Hadi ngazi yamtaa nikitu ambacho hakiwezekani, hata kama ningekuwa Mimi nisinge weza, nakushaulitu mh rais wewe nikiongozi mzuri sana jitaid2 kututafutia viongozi wawajibikaji siyo wanaokuja kukaa maofisini2
Miradi haiendi mama haishi ukiuliza unaambiwa serikali haijatoa pesa sasa mama Haya mpk lini ajira zipo kwenye hiyo miradi na kusipokuwa na pesa hiyo miradi haitaweza kuajiri lazima watapunguza watu makandarasi wengi wanalia hawajapewa pesa.
waandishi wanafikisha ujumbe vibaya, hajasema kwamba mwanri alikuwa kiongozi mbaya . kasema style ya kiongozi mpaka uambiwe majukumu yako kama mwanri alivyokuwa anawaambia ma engineer yeye hapana ...anataka mtumishi ajue wajibu na majukumu yake atekeleze
Mwandishi wa title ya clip na title yake ametafsiri tofauti maelezo ya Rais. Kwa hiyo kilichoko kwenye title si kilichoko kwenye maudhui ya clip husika! Mnakurupuka mno katika uandishi wa title zenu!
@@alexmalyango1405 We una akili kweli hata ndogo tu, au ulizaliwa akili zinaangalia nyuma? Ulipelekwa shule kweli, au ndo vile? Kwanza umetokea wapi, shimo la choo au mitaro ya maji taka? Kwanza habari ya video hii we umeisikiliza vema? ukilinganisha na title we unaona title iko sawa? Halafu we ndo unaiona hii habari leo? Na comment yangu ndo unaiona leo? mbona ya siku nyingi sana? Matusi yako yakurudie wewe mwenyewe mramba nyayo zako mwenyewe, mtu ambae huna chembe ya akili!
Alichomaanisha Rais ni hiki, si kwamba ni vibaya kuongoza kwa staili ya Mwanri, hapana, ila anataka hao Wakuu wa mikoa wasisubiri kuambiwa cha kufanya kila wakati na Rais! Ndio maana ya mfano wake wasisubiri awaambie "fanya hilooo! Msisitizo wake ni kwamba wajiongeze katika utekelezaji wa majukumu, si kusubiri maelekezo tu! Ili mradi wafuate sheria. Na binafsi namuunga mkono katika suala hili. Hivyo mwandishi wa title, title yako iko tofauti na uhalisia wa alichomaanisha Rais.
Juma Nature:- "Tembea kwa mwendo wa pesa nchi ishauzwa hiii, ya leo kali afadhali ya janaa" ya leo kali mjomba mentali njoo tutafakali tupige mistari eeee" by Juma Nature huyo
Tatizo kubwa la viongozi hawatatui matatizo ya wananchi.wao wamebaki kukaa ofisini tu. Wanachi wana shida nyingi za kutatuliwa na viongozi, ngazi ya mkoa,wilaya,tarafa, kata,na kitongoji.lakini mpaka asubiriwe kiongozi mkuu kutoka juu ndio wanachi wanafunguka matatizo yao.
Mama hapo nimemuelewa vizuri,hajakosoa mwenendo wa mwanri,bari ametumia mfano wa viongozi kutegemea sauti kutoka ngazi ya juu kama alivyokuwa anaelekezwa enjinia na mwanri,tufuatilie vizuri,mheshimiwa rais katumia mfano
Mhh.hakuna mkuu wa mkoa aliyependwa ktk hii nchi kama mwanri na haitatokea huyu mzee mwanri aliinyosha tabora na kwenye huo utawala mama huyo alikua ni makamu wa rais magufuri na aliona mwanri alivokua akifanya kz au ni chuki binafa nn.mi ndio maana sipendi siasa kbs
Maendeleo hayana lelemama. Nchi zote zilizoendelea kw kasi huko Asia zilikuwa na ufuatiliaji wa karibu wa miradi km alivyokuwa akifanya Magufuli na Aggrey Mwanri. Bila hivyo tutaendelea kuibiwa na miradi kutokamilika. Matokeo yake ni umaskini, tena umaskini wa kujitakia. Tusilaumu ukoloni mamboleo. Hatujitambui!!! Tatizo letu Watanzania hatujui tunachokitaka na hatukitaki tunachokijua.