Тёмный

IGP SIRRO AMSIMAMISHA KAMANDA MUROTO WA DODOMA “NATENGUA HAPAHAPA” 

Uhondo TV
Подписаться 590 тыс.
Просмотров 388 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

6 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 201   
@kenethjaphet8130
@kenethjaphet8130 4 года назад
kama na ww huon sababu ya mroto kutenguliwa kwenye ukamanda wake like yako ni mhimu
@eliazarinyakiema1969
@eliazarinyakiema1969 4 года назад
Adhabu za kijeshi, sisi sio lazima tujue. Wamalizane huko huko.
@edrickmbilig1021
@edrickmbilig1021 4 года назад
Mbona kamanda Muroto anapiga kazi saf Nini shida kwake jaman akuna kama kamanda wa dodoma
@mehdyahmed8479
@mehdyahmed8479 4 года назад
Oya ndugu muroto Hana issue kabisa yeye ni mtu wakujipendekeza kazini anajifanya anachapa kazi ili 2mradi jina lake linuke
@mwambietv7614
@mwambietv7614 4 года назад
Edrick Mbilig mbwembwe tu hakuna kazi
@emanuelmwanga4
@emanuelmwanga4 3 года назад
Huwezi jua pengine kavunja sheria
@e.j.starelia5672
@e.j.starelia5672 4 года назад
Umekosea sana kumsimamisha muroto!!!! Tena umekosea mnoo!!!!! Kamanda muroto nakubali kazi zake za kukomesha uhalifu,,,bora utoke wew lkn siyo kamanda Wa Dodoma plz
@samweljohn7960
@samweljohn7960 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 bora atoke yy
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 года назад
Wanajuana hao we nyamaza
@MpiganajiFundi
@MpiganajiFundi 2 месяца назад
Ww unamuona t ila humjui
@mercykimuto9882
@mercykimuto9882 4 года назад
I love you kamanda Sirro unafanya kazi watendaji wasikuangushe piga kazi tunakuombea
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 4 года назад
Muroto mnamfukuza kweli.!!?? Mbona Ni kipenzi cha wengi jamani.! Wow..
@bockernyarusahi3655
@bockernyarusahi3655 4 года назад
Aloyce Kiwia utawaweza hawa Waandishi wetu,kisemawacho na uhalisia ni tofaut(kichwa cha habar na yaliyomo ni tofauti)
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 4 года назад
@@bockernyarusahi3655 Kweli Aisee ilinishtua nilipoona kichwa cha habari.
@aminahamisi2837
@aminahamisi2837 3 года назад
Mruto yuko sasa mbona wanamfukuza
@paulebby1552
@paulebby1552 4 года назад
Mambo ya kijeshi uswahilini??!! Nchi imepoteana Polisi wacheni kiki mnadhalilisha jeshi
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 5 месяцев назад
Anakosea sana hili jeshi sio vema kudhalilishana
@omarymohammed2880
@omarymohammed2880 4 года назад
muroto no muadilifu na mpiga kazi sana katika sekta la jeshi la polisi dodoma very exelent n hard working
@jimsonjimmy9232
@jimsonjimmy9232 4 года назад
Tuachie mroto wetu huyu kamanda ddm ameisafisha kabisa mfano wizi wabodaboda saivi umepungua siro chonde
@loner_wolf
@loner_wolf 4 года назад
Nadhani hii Ni sababu tu.... Makamanda wanapiga kazi nzuri Sana.... JPM anamjua Muroto na huwa anatazama clips zake za kazi inayofanyika dodoma, Sasa Sirro nawewe jipange mzee atakuhoji hili....
@EK-kp2np
@EK-kp2np 4 года назад
Hao walionyanyuliwa wote wachapa kazi, sijui changa la macho hili🤷🏼‍♂️🤔
@emmanuelndahan1421
@emmanuelndahan1421 4 года назад
Yy mbna kawaonesha wenzake, angewapa ordér kiaskari zaidi
@younginspired3899
@younginspired3899 4 года назад
Muroto kazidisha show off, kutokana na ethics police officers hawaruhusiwi kumchukua mtuhumiwa na kumpeleka kwenye cameras what for!!
@fortyyellu9971
@fortyyellu9971 4 года назад
Asante IGP siro... hapa mkwaju popote hakuna kuhofia
@kebo2155
@kebo2155 4 года назад
Aaaa mbona wa dodoma anafanya kazi yake kizalendo???!!!
@walivyojuma7095
@walivyojuma7095 4 года назад
Mengi yapo ndani yamtungi
@isaacemily1889
@isaacemily1889 4 года назад
Siro mjanja hao ni wanafiki nawajua wanajipendekezaga wapate vyeo
@clementmathias9512
@clementmathias9512 4 года назад
Kudhalilisha watu ndo uzalendo? Utaendaje kumtangaza mtu mwizi na mahakama haijadhibitisha
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 4 года назад
Asante kamanda mkuu,hata sisi raia tunahitji kujuwa
@nipolive..2745
@nipolive..2745 4 года назад
Siro uko vizuli sana hao utaza wagombea. Wanazalilisha jeshi
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 4 года назад
Yeye mbona anawaonesha sasa!!!??? Tusifichane wahalifu lazima tuwajue.
@clementmathias9512
@clementmathias9512 4 года назад
Kwani wao waharifu?
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 4 года назад
Nchi imekufa,!!!!! Haya mambo yanatakiwa yawe public!? Kudhalilishana huku, ovyooooooooooo!
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 4 года назад
Police ni public servants not defence so sijui una maana gani hapo, unafikili unawzidi kua professional?
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 4 года назад
alex kabeho : does this needs to be public? Use your common sense 😓
@hambalgullam8178
@hambalgullam8178 4 года назад
I like it
@raphaelrespichius8508
@raphaelrespichius8508 4 года назад
Chombo cha kuthibitisha uharifu ni mahakama tu,police wanakuwa na watuhumiwa wa uharifu
@oopsm3574
@oopsm3574 4 года назад
"Uhalifu"
@musasimba3689
@musasimba3689 4 года назад
Muroto usimtengue IGP muache Kama unamkubali muroto gonga like hapa
@HamissAli
@HamissAli 15 дней назад
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 4 года назад
Kamanda Wewe Utaki Makamanda Kuonesha Watuumiwa Live Mbona Wewe Uko Live Apo Vipi Muroto Anafanya Kazi Nzuli Sana
@simontamba1285
@simontamba1285 4 года назад
Awadhi Rajabu kwani yy yupo Na watuhumiwa?
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 4 года назад
simon tamba ..Atupaswi Kujua Mambo Yao Ya Ndani Unajua Polic Wanapozidi Kujionesha Kila Muda Ndivo Waarifu Nao Wanapata Mwanya Zaidi Wa Kujifunza Vitu Ambavo Adimu Waarifu Niwengi Sana Isipokua Wanaogopa Awamu Hii Ni Moto Sasa Nao Polic Wasiwe Na Muda Mwingi Wa Kujianika Ovo Mitandaoni Muroto Kutuonesha Live Watuumiwa Ni Jambo Jema Kwasababu Ni Sehemu Ya Azabu Pia Napia Inatusaidia Kujua Tabia Ya Mtu Mana Unaweza Kumkalibisha Mtu Ndani Asubui Unajikuta Na Kilio Mwizi Atabiliki Polic Apaswi Kujianika Ovo Ovo Kwasababu Watu Wanaowatazama Wako Majambazi Vibaka Na Magaidi Sasa Hata Siku Akienda Sehemu Kuperereza Jambo Hata Akivaa Kilaiya Sura Yake Itajulikana Sasa Kijiji C Kitajua Kama Yuko Asikari Majambazi Wanaambiana Fasta Hii Njia Ya Kujionesha Sio Nzuli Hii Mitandao Inatumaliza Sana
@shafiiomar6505
@shafiiomar6505 4 года назад
Kamanda murito usimsimamishe kazi ukimsimamisha kazi na wewe nitamwambia raisi magufuli akusimamishe kazi au tunakuroga sawa,🇲🇾
@subiramohd885
@subiramohd885 4 года назад
mimi Huyo wa Dodoma na mambo sasa siwapendi
@aminahamisi2837
@aminahamisi2837 3 года назад
Mruo yuko Sawa kwenye kazi ila mambo sasa ni balaa tupu
@e.j.starelia5672
@e.j.starelia5672 4 года назад
Kamanda siro na wew kuwa makini na kazi zako pia siyo vizuri kuwaaibisha wenzako ni bora ungeongea nao private bila kuchukua mikanda ya video
@allyduwa9914
@allyduwa9914 4 года назад
Good job afande siro
@ngometvarusha4030
@ngometvarusha4030 4 года назад
Labda walibainika wakimtete igp kuwa hatoshei nafasi hiyo alafu wakawa wanakaidi amri zake
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 4 года назад
Tusichanganye uhalifu au utuhumiwa na uwajibikaji. Hapo Kamanda yupo sahihi kabisa maana hataki kumwonea mtu ndio maana anawahoji mmoja baada ya mwingine. Big-up IGP.
@rehemakasebele6254
@rehemakasebele6254 4 года назад
Mmevuka mpaka sasa hayakutakiwa tuyajue haya jamn
@amosgerald7763
@amosgerald7763 3 года назад
Aisee
@emmanuelmogela5871
@emmanuelmogela5871 3 года назад
Hii sio powa siro,mnaabisha jeshi fanyeni mambo kimya kimya
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 4 года назад
Mzee WA kipigo cha mbwa koko leo utapata tabu sana! hiiiii mi huwa nacheka tu
@gregorykalokole7728
@gregorykalokole7728 4 года назад
Hapa kazi tu!
@imeldabamba3779
@imeldabamba3779 4 года назад
😁😁😁🏃🏃🏃🏃
@hanafiwakileo2865
@hanafiwakileo2865 4 года назад
Sija wahi kuona tangu tupate uhulu kweli magu hachekina mtu
@sembojwamaterial8409
@sembojwamaterial8409 4 года назад
😢😢afande muroto..poleee
@carlosndyetabula656
@carlosndyetabula656 4 года назад
Waandishi wa habari mnaharibu hii taaluma huu upotoshaji tafuta hela kwa uhalali kichwa cha habari hakihusu hiyo habari,naelewa taaluma ya habari inaniuma kuona umeandika kichwa kinyume na habari kwa masilahi binafsi,tabia mbaya hii,watakaoponda kwasababu hawajui au kutokufikiri vzr
@MatukioDaily
@MatukioDaily 4 года назад
Huelewi Taaluma ya Habari Wewe: Hicho Kichwa cha Habari Kiko Sawa Kabisa... Ukijifunza Vizuri "Writing the Best Headline for Hard News" Utagundua ni namna gani kichwa hiki cha habari kiko sawa.... na Pia Katika "Qualities of News Headlines" kuna mambo ya msingi ya kuzingatiwa kama vile Prominence, Conflict etc 1. Ni kweli IGP Kamsimamisha Kamanda Mroto ili Ajieleze (Hapo Mwandishi Kaandika Heading inayoshika Attention ya Msomaji na Mtizamaji ili Afuatilie Ajue imekuwaje) 2. Ni Kweli IGP Kasema "Natengua Hapahapa"... Hapo pia Mwandishi kama makini kugundua ni maneno yapi yataifanya habari yake kuwa ma vionjo vya tofauti. Mengine Mengi Siwezi Kuyaeleza Hapa Lakini Nampa Kongole Mwandishi wa Headline... NOTE: Ungekuwa ni Mwanahabari unayeijua vizuri taaluma hii Hakika ungenielewa bila kubisha lakini kama siyo mwanahabari ni ngumu sana kunielewa.
@carlosndyetabula656
@carlosndyetabula656 4 года назад
@@MatukioDaily naelewa na mimi ni mtaaluma,kuna aina za leads nyingi hiyo aliyoandika ni provocative,quotation kwa wakati mmoja,instead angeandika IGP SIRRO AKAA NA RPCs au namna nyingine maana sio muroto pekee
@francisnkinga6550
@francisnkinga6550 4 года назад
Carlos Ndyetabula 👍
@aminirapa2470
@aminirapa2470 4 года назад
Kiukweli hii aijakaa vizur naona kama umemzalilisha muroto na kumfanya ashindw kufanya kazi yake kwa Uhuru ni heli mngeyaongea kimyakimya mkuu
@upendohalisi80
@upendohalisi80 4 года назад
Kabisa Amini da!! Hi siyo ya kuleta huku
@rashidijumaaorwaka6699
@rashidijumaaorwaka6699 4 года назад
Jamani kuna tofauti kati ya watuhumiwa na waarifu. Waarifu huthibitishwa na mahakama na sio mtu mwingine. Muroto anaowaonyesha huwa ni watuhumiwa na sio waarifu sasa nashangaa mnaomtukana sirro
@mariamukajiru1898
@mariamukajiru1898 4 года назад
TUNAPOTAKA KUTATUA MATATIZO KUPITIA MITANDAO UKIZINGATIA NI JESHI LA POLICE HATUONI KUWA TUNA- EXPOSE UDHAIFU WETU KWA NCHI NYINGINE , KWAKUWA UMESEMA KUNA MAJUNGU NA FITNA...TAFSIRI MPO DISUNITY...
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 4 года назад
Polisi ni under waziri wazili ya mambo ya ndani (home affairs ) Not defence minster so no exposure yoyote pale. Ni watumishi ya uma hawalinde mpaka ya inchi. Hope umeelewa
@godfreydaniel6167
@godfreydaniel6167 4 года назад
Bring back our Muroto
@josephatalphonce4474
@josephatalphonce4474 4 года назад
Kwa murot umefeli utengunz coz ni mtu strong
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 года назад
Mwiz balaa unqdhqni sababu ni hyo unayoiona hapo😪✍️🤣
@magingapaulo6673
@magingapaulo6673 4 года назад
Safi siro
@josephkessy5486
@josephkessy5486 4 года назад
Hiki kikao ingefaa tusikione.
@harunakayega5531
@harunakayega5531 4 года назад
Dah aisee inaelekea wamemkwaza sana kamanda
@gasperkunambi9538
@gasperkunambi9538 4 года назад
Vizuri ila msifokeane hadharani,mbarikiwe
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 3 года назад
Hee nanyie kumbe
@mtitimtiti376
@mtitimtiti376 4 года назад
Afande siro mpiga kazi sanaaaa
@godfreydaniel6167
@godfreydaniel6167 4 года назад
Mteue tena sisi tunamkubali Muroto wetu...anapiga kazi sana kwanini umtoe kamanda
@abdikadirabdisalan9902
@abdikadirabdisalan9902 4 года назад
Naamini katikati africa mashariki tanzania inaongoza katikati uwendeshaji bora na utawala..Kenya and UG wana mengi ya kujifunza kutoka TZ
@paull8659
@paull8659 4 года назад
Nimeliona lile Gorila la Dodoma( ..nitawapiga waandamaji mpaka wachakae, kama mbwa koko)..🤨😟
@chimbokiswaga8662
@chimbokiswaga8662 3 года назад
Sasa sheriaza kijeshi huku za nn mboni mdharirishajeshi hayo.muwe mna malizia hukhko huku sisi ya nn Sasa
@ibrahimbaraka4607
@ibrahimbaraka4607 Год назад
Sro turikua tunakupenda
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 4 года назад
Leo muroto umekiwa mpole kila mbabe na mnyinge utapata tabu sana
@joiycecharles6514
@joiycecharles6514 3 года назад
. Lo
@joiycecharles6514
@joiycecharles6514 3 года назад
. Lo
@othmanmussa8492
@othmanmussa8492 4 года назад
Mimi binafsi namkubali sanaaaa,,,kamanda Muroto.
@charugamba218
@charugamba218 3 года назад
Kamanda Siro wasisitize hao makamanda wakaze kamba ujambazi umerudi kwa kasi sasa baada ya kifo cha hayati Mh: Dr JPM sijui shida nini?
@ziadaalute6836
@ziadaalute6836 4 года назад
Hahaaa atapata taabu sanaa😀😁😀😁
@abdullaabdulla8618
@abdullaabdulla8618 3 года назад
Wewe uliepost huna adabu,unatoa kichwa cha habari yako vile unavyojisikia
@allyduwa9914
@allyduwa9914 4 года назад
Kumbe kila mtu ana m,babe wake unashau mpka tarehe hii kali wacha nicheke
@miltonmiltonpaulo3436
@miltonmiltonpaulo3436 3 года назад
Ahahaha mi sina neno
@masudinangololo3672
@masudinangololo3672 4 года назад
Namkubali Sana kamanda muroto
@maxmaizer4631
@maxmaizer4631 4 года назад
Daaaaaa mzee waukiingia Dodoma kufanya ualifu utoki salama Leo ymekuwa aya
@rajabmhando3819
@rajabmhando3819 4 года назад
Hahahaaaaa yamemkuta leo
@maxmaizer4631
@maxmaizer4631 4 года назад
@@rajabmhando3819 daaaa km zali mzee kapoa leo
@luperbukuku2659
@luperbukuku2659 4 года назад
Anachokesea mroto ni kudhalilisha watuhumiwa na watuhumiwa hawajathibitishwa kuwa wana makosa ....je wakishinda kesi mahakamani na umewadhalilisha nan atawasafisha
@sandalalutubija235
@sandalalutubija235 3 года назад
Kwel make kunamakamanda weningine hata jambo ndgo adi kamera cpend kamata mtu mpereke polis cyo ad wandish wa habal
@reubendick4033
@reubendick4033 3 года назад
Hahahahaha heka heka hizi bora kujiajiri
@bakarimussa4164
@bakarimussa4164 3 года назад
Mambo za kijeshi malizeni kimyakimya haya tuhusu raia.
@jitulakalemastr7636
@jitulakalemastr7636 3 года назад
Iyo azabu haitosh ungelifukuza kabisa
@abrahmapenzionlinetv
@abrahmapenzionlinetv 4 года назад
Acheni uhanithi huo wa vichwa vya habari vya ajabu #wasafisimulizi
@minaside6717
@minaside6717 4 года назад
Magufuli oyee 😁😁 Mpaka askari anasahau tarehe
@anuaryally6177
@anuaryally6177 4 года назад
Kusahau tumeumbiwa na mungu
@clementmathias9512
@clementmathias9512 4 года назад
Sasa hapo magufuli anahusika na nn tena?
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 года назад
Ikiwezekana atumbue wote aweke wapya nayy ajitumbue tu me sielewagi kabsa kazi zao kukmbzana na ving,ora tu et askari anaogopa kuingia nyumba haina umeme we hao askari au vyura😏😏😏
@getrudalufega9770
@getrudalufega9770 3 года назад
Hafai kwanza aliwatukana mama zetu
@abaafarhat9191
@abaafarhat9191 4 года назад
Kila mtu ana boss wake
@charlesemmanuel9434
@charlesemmanuel9434 3 года назад
Sikuhizi hatuna waandishi wa habari wasomi
@gidionelias6276
@gidionelias6276 4 года назад
Siro waharifu waonyeshwe tuwajue
@clementmathias9512
@clementmathias9512 4 года назад
They are guility until the coart
@georgeerick3140
@georgeerick3140 4 года назад
uyu mroto yupo vizur sema anaenda kizamani xjui ni elimu!!! mroto jeshi lazamani la udhalilishaji alipo tena nenda kisomi,usitumbuliwe na siro hana mchezo uyo,ilo jembe alitaki masyala.
@emmanuelhilary8809
@emmanuelhilary8809 4 года назад
noma xana
@emanuelmwanga4
@emanuelmwanga4 3 года назад
Si alisema atachakaza watu we unachakazwa leo
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 4 года назад
Nadhan kuna namna2 hapa lkn Muroto si wakutolewa jmn mbn ni mchapa kazi vzr2 anajitahid au chuki zishapelekwa.
@mako331
@mako331 4 года назад
Sheria ileile unayosema Muroto anaivunja na wewe pia mbona unawadhalilisha makamanda? Nafikiri sheria za kipolisi nidhamu ifanyike bila vyombo vya habari
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 4 года назад
Muroto mumemuonea
@raphaelnestory1990
@raphaelnestory1990 4 года назад
Namkubali kamanda dodomaaa
@othmanmgeni9232
@othmanmgeni9232 3 года назад
Huyu muroto anataka sifa Sana mbwa huyu
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 года назад
Leo silali kabla sijafikisha 500 subscribers💕💓. So fans fanyeni yenu.🙏
@josephshao475
@josephshao475 4 года назад
We mwandishi unagongwa
@mwambietv7614
@mwambietv7614 4 года назад
Muroto anatetemeka haahahaah 😂 😂
@alexmatt9504
@alexmatt9504 3 года назад
Mbona hatujasikia kauli ya Mroto kusimamishwa kazi au ni kusimamishwa ili atoe hoja? Waandishi mnatuchanganya.
@nelsonnmwaipaja6980
@nelsonnmwaipaja6980 4 года назад
nahisi hapa kuna mkono wa kisasa hawa wote waliosimama ni majembe kuwarusha wahalifu kwenye media ni vizuri tu kunamatukio mengine yanahitaji ufafanuzi wa kina.
@showfive4413
@showfive4413 4 года назад
Wanaomtetea mruto ni wale wanaomuona akijionyesha kwenye video kila akikamata mwiz hata kama kaiba baiskel. ndio wanaona anapiga kaaaaaazi
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 4 года назад
Mzeee wa mtapata tabu sana kauli imemuandama yy mwenyew leo hhhhh
@anoldjose7793
@anoldjose7793 4 года назад
Malipo hapa hapa dunian😁😁
@henrytimoth9967
@henrytimoth9967 3 года назад
Mroto kawa mpole kama sio yeye
@sylvestermsafiri4372
@sylvestermsafiri4372 4 года назад
Du! Ndiyo kwanza naona ukali wa IGP Siro kwa makamanda wake. Safi Kamanda!
@gwantahbrainhalisi3527
@gwantahbrainhalisi3527 4 года назад
IGP kanenepa sana... Achunguzwe na yeye
@centralboytz4240
@centralboytz4240 4 года назад
😀😀😀😀
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 4 года назад
Huyo kamanda wa Mwanza amekaa ki Mwanza Mwanza, siyo wa mchezo mchezo!.
@godfreydaniel6167
@godfreydaniel6167 4 года назад
Tunamtaka Muroto wetu Kamanda kwanini umtengue?
@wistonmnubi3104
@wistonmnubi3104 4 года назад
Good
@fredjohntanzania3881
@fredjohntanzania3881 4 года назад
UNAMTENGUAJE MUROTO???????? DAAAAAAAH
@katindasajohn6902
@katindasajohn6902 4 года назад
Mtoa mada, tafadhali, Kamanda Muroto yupo.
@prosperulungi2998
@prosperulungi2998 3 года назад
Hapo haja inagonga mlango
@laiserkuyan6075
@laiserkuyan6075 3 года назад
Kamanda moroto wa Dodona Ako Sawa hanapapana kweli Na uwalifu
@samsondominiki3906
@samsondominiki3906 4 года назад
Safi sana mh:siro .
@msetikebwasimasatu3225
@msetikebwasimasatu3225 4 года назад
Mbona kamanda mroto namuamini sana ,tatizo lake ni nini ?
@othmanmgeni9232
@othmanmgeni9232 3 года назад
Anapenda Sana kujiona Sana fala huyu
@veronikadalali7251
@veronikadalali7251 3 года назад
Unamtukana nan ww nyang'au
Далее
Symmetrical face⁉️🤔 #beauty
00:15
Просмотров 3,6 млн
The lightweights ended Round One with a BANG 💪
00:10
Mh. Mustafa Mkulo -  Waziri wa Fedha Mstaafu
5:38
Просмотров 13 тыс.
KIZAAZAA CHA RC MWANRI KWA DEREVA ALIYEGONGA MTI WAKE
5:04
MAKEKE YA IGP MSTAAFU OMARY MAHITA WA NGUNGULI.
5:02
Медвежий папа
1:00
Просмотров 5 млн