Umekosea sana kumsimamisha muroto!!!! Tena umekosea mnoo!!!!! Kamanda muroto nakubali kazi zake za kukomesha uhalifu,,,bora utoke wew lkn siyo kamanda Wa Dodoma plz
Nadhani hii Ni sababu tu.... Makamanda wanapiga kazi nzuri Sana.... JPM anamjua Muroto na huwa anatazama clips zake za kazi inayofanyika dodoma, Sasa Sirro nawewe jipange mzee atakuhoji hili....
simon tamba ..Atupaswi Kujua Mambo Yao Ya Ndani Unajua Polic Wanapozidi Kujionesha Kila Muda Ndivo Waarifu Nao Wanapata Mwanya Zaidi Wa Kujifunza Vitu Ambavo Adimu Waarifu Niwengi Sana Isipokua Wanaogopa Awamu Hii Ni Moto Sasa Nao Polic Wasiwe Na Muda Mwingi Wa Kujianika Ovo Mitandaoni Muroto Kutuonesha Live Watuumiwa Ni Jambo Jema Kwasababu Ni Sehemu Ya Azabu Pia Napia Inatusaidia Kujua Tabia Ya Mtu Mana Unaweza Kumkalibisha Mtu Ndani Asubui Unajikuta Na Kilio Mwizi Atabiliki Polic Apaswi Kujianika Ovo Ovo Kwasababu Watu Wanaowatazama Wako Majambazi Vibaka Na Magaidi Sasa Hata Siku Akienda Sehemu Kuperereza Jambo Hata Akivaa Kilaiya Sura Yake Itajulikana Sasa Kijiji C Kitajua Kama Yuko Asikari Majambazi Wanaambiana Fasta Hii Njia Ya Kujionesha Sio Nzuli Hii Mitandao Inatumaliza Sana
Tusichanganye uhalifu au utuhumiwa na uwajibikaji. Hapo Kamanda yupo sahihi kabisa maana hataki kumwonea mtu ndio maana anawahoji mmoja baada ya mwingine. Big-up IGP.
Waandishi wa habari mnaharibu hii taaluma huu upotoshaji tafuta hela kwa uhalali kichwa cha habari hakihusu hiyo habari,naelewa taaluma ya habari inaniuma kuona umeandika kichwa kinyume na habari kwa masilahi binafsi,tabia mbaya hii,watakaoponda kwasababu hawajui au kutokufikiri vzr
Huelewi Taaluma ya Habari Wewe: Hicho Kichwa cha Habari Kiko Sawa Kabisa... Ukijifunza Vizuri "Writing the Best Headline for Hard News" Utagundua ni namna gani kichwa hiki cha habari kiko sawa.... na Pia Katika "Qualities of News Headlines" kuna mambo ya msingi ya kuzingatiwa kama vile Prominence, Conflict etc 1. Ni kweli IGP Kamsimamisha Kamanda Mroto ili Ajieleze (Hapo Mwandishi Kaandika Heading inayoshika Attention ya Msomaji na Mtizamaji ili Afuatilie Ajue imekuwaje) 2. Ni Kweli IGP Kasema "Natengua Hapahapa"... Hapo pia Mwandishi kama makini kugundua ni maneno yapi yataifanya habari yake kuwa ma vionjo vya tofauti. Mengine Mengi Siwezi Kuyaeleza Hapa Lakini Nampa Kongole Mwandishi wa Headline... NOTE: Ungekuwa ni Mwanahabari unayeijua vizuri taaluma hii Hakika ungenielewa bila kubisha lakini kama siyo mwanahabari ni ngumu sana kunielewa.
@@MatukioDaily naelewa na mimi ni mtaaluma,kuna aina za leads nyingi hiyo aliyoandika ni provocative,quotation kwa wakati mmoja,instead angeandika IGP SIRRO AKAA NA RPCs au namna nyingine maana sio muroto pekee
Jamani kuna tofauti kati ya watuhumiwa na waarifu. Waarifu huthibitishwa na mahakama na sio mtu mwingine. Muroto anaowaonyesha huwa ni watuhumiwa na sio waarifu sasa nashangaa mnaomtukana sirro
TUNAPOTAKA KUTATUA MATATIZO KUPITIA MITANDAO UKIZINGATIA NI JESHI LA POLICE HATUONI KUWA TUNA- EXPOSE UDHAIFU WETU KWA NCHI NYINGINE , KWAKUWA UMESEMA KUNA MAJUNGU NA FITNA...TAFSIRI MPO DISUNITY...
Polisi ni under waziri wazili ya mambo ya ndani (home affairs ) Not defence minster so no exposure yoyote pale. Ni watumishi ya uma hawalinde mpaka ya inchi. Hope umeelewa
Anachokesea mroto ni kudhalilisha watuhumiwa na watuhumiwa hawajathibitishwa kuwa wana makosa ....je wakishinda kesi mahakamani na umewadhalilisha nan atawasafisha
Ikiwezekana atumbue wote aweke wapya nayy ajitumbue tu me sielewagi kabsa kazi zao kukmbzana na ving,ora tu et askari anaogopa kuingia nyumba haina umeme we hao askari au vyura😏😏😏
uyu mroto yupo vizur sema anaenda kizamani xjui ni elimu!!! mroto jeshi lazamani la udhalilishaji alipo tena nenda kisomi,usitumbuliwe na siro hana mchezo uyo,ilo jembe alitaki masyala.
Sheria ileile unayosema Muroto anaivunja na wewe pia mbona unawadhalilisha makamanda? Nafikiri sheria za kipolisi nidhamu ifanyike bila vyombo vya habari
nahisi hapa kuna mkono wa kisasa hawa wote waliosimama ni majembe kuwarusha wahalifu kwenye media ni vizuri tu kunamatukio mengine yanahitaji ufafanuzi wa kina.