Тёмный

IGP SIRRO - ''JIANDAENI Kutafuta IGP MPYA, Muda Wowote KIKILIPUKA.....'' 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 703 тыс.
50% 1

IGP SIRRO - ''JIANDAENI Kutafuta IGP MPYA, Muda Wowote KIKILIPUKA.....''
MKUU wa jeshi la polisi nchini, IGP Simon Sirro, amefanya mkutano na makamanda wa polisi wa mikoa na wilaya nchini wenye lengo la kupanga mikakati ya namna ya kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kuanza hivi karibuni pamoja na usalama wa raia na mali zake nchini.
www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App

Опубликовано:

 

7 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 543   
@globaltv_online
@globaltv_online 5 лет назад
JE, una habari ungependa wana You Tube waijue? Tutumie au tupigie WhatsApp No: +255 657 955825 au +255 784 888982 - GLOBAL TV ONLINE.
@jumalula7516
@jumalula7516 5 лет назад
Global TV Online group LA whatsap tuunge kwa namba 0753544644
@elvirareonard2520
@elvirareonard2520 5 лет назад
Niunge group 0757380439
@shammahlupon7945
@shammahlupon7945 5 лет назад
Askari wajifunze hekima ya kamanda siro
@jamarybaranyikwa8941
@jamarybaranyikwa8941 3 года назад
hakika kiongozi igp Siro hekima uliyonayo unaweza ukawa kiongozi yeyotehapa t.z
@abdukarim7012
@abdukarim7012 3 года назад
wapelelezi wamajarada ndio wanavunja sanna Sheria baada wapeleleze kisomi wao nikupiga mtuhumiwa eti anampiga halafu anamuliza simu ikowapi? Kazi tenu nikulinda sheria ibara ya ishirini kifungu cha 11 kinasema nikosa polisi kumpiga mtuhumiwa anapokuwa kiziwizini au mikononi, na hamujali munapiga tu hakuna aliekuwa juu ya sheria,
@emmanuelbonaventura4258
@emmanuelbonaventura4258 5 лет назад
HII HOTUBA UNAWEZA KUNYWEA CHAI, UKALIA NA UGALI MCHANA, UKALIA NA DINNER USIKU NA ISICHACHE. YOU ARE VERY CRITICAL IGP.
@peterhhatisnay6616
@peterhhatisnay6616 4 года назад
Big up
@mahingilasambichuma1369
@mahingilasambichuma1369 3 года назад
Ukweli mchungu lakini wenye tija.
@kellyngogo3319
@kellyngogo3319 3 года назад
Mmhhh!!
@rithaurassa
@rithaurassa 4 месяца назад
Mungu akulinde na utumishi wk .Kweli IGP SIMON SIRRO WEW UNAFAA SAN KWENYE HII NCHI NIMEJARIBU. KUKUSIKILIZA SAN UNAPOIT YAKULINDA UTU.WENGINE WANGEPATA CHEO CHAKO WANGENYANYASA SAN WATU. HONGE SAN MHESHIMIWA.
@mohamedmohamed614
@mohamedmohamed614 5 лет назад
Huyu mzee anahuruma saana na anauoga wa mungu na ni mkweli wala hatafuti kiki respect mkuu viva igp siro
@frankjohn8570
@frankjohn8570 5 лет назад
Mohamed Mohamed polisi kumuogopa Mungu ni aghalab,aweza kuogopa kwa maneno lkn matendo yatajielezea, hata Bwana YESU alionya polisi kuhusu kuwashtaki watu kwa uongo,,isivyohaki, kwahiyo polisi wa kupiga wa kamata mwiz men, wa barabarani kutenda haki ni kwa kupapasa sana, labda wanajeshi walinzi TAIFA hao watakuepo wengi mbinguni mana ni wanyenyekevu na wanatumia fani yao kwa haki, kupiga kura kuharibu kjjenga kulinda kwa haki si kuonea, na hufanya kwa kufuata amri, hawaombi rushwa wala kutengenezea mtu kesi mbaya au kumtia hatiani asie na kosa, wala kufyatulia risasi RAIA wasio na kitu mkononi eti kwavile wako mob,so utu wema kwa polisi upo kwa wachache kama huyu lkn sio wengi
@akshaydavid159
@akshaydavid159 4 года назад
Ww hujui chochote broo, Jeshi la wananchi na polisi majukumu yao ni tofauti, na Kama ikitokea wamebadilishana majukumu hata kwa wiki moja tu hautarudia kuzungumza hivyo tena.
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 4 года назад
@@akshaydavid159 mimi zamani nilifkiri jeshi ndio wabaya. Kumbe sivyo kabisa. Ishi NA wanajeshi uone utu wao ni wa hali ya juu. Wanamafunzo kabisa. Lakini askari🤔. Akipewa buku TANO tu kishakugeukia NA utaisahau haki yako. Sababu wengi wao wameokotwa njiani wakapewa kazi bila kujielewa. Fahari yao ya kishamba kuwa anataka kujuana NA mkubwa flani. Im sorry huo ndio ukweli. NA jeshi ataeiga raia basi nafsini mwake ana tatizo ila hapewi mafunzo hayo.
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 2 года назад
Ni kweli kabisa. Huyu jamaa hatafuti makuu.
@wickama
@wickama 5 лет назад
Afande Sirro stay blessed. M/Mungu alisema kwamba kwa yule anayemjaalia HEKIMA basi huwa amemjaalia kitu ADHIIM sana. Mshukuru M/Mungu kwa kukujaalia hekima
@stevebupamba5009
@stevebupamba5009 5 лет назад
Big up....hawa ndio viongozi wanaotakiwa, kazungumza ukweli...facial expression yake inasema kweli. " Sote hatuwezi kuwa ma IGP" kila mtu anapewa kwa nafasi yake. Tunawapenda jeshi la Police umoja wenu na ushirikiano wenu utatufanya tusonge mbele. Kikubwa Mungu ahusike na kazi zetu. Hongera Mzee Siro....Umeongea vema i like it.
@bahatifrank4869
@bahatifrank4869 5 лет назад
Leo nimejifunza kitu kibwa sana kwa IGP kumbe kuwa àskari au kiongozi ngazi yoyote sio lazima utumie sauti ya vitisho ili ueleweke. Mkuu Mungu akutie nguvu sana. Ndugu zangu uliye mwelewa Mkuu gonga like
@betyjohn2556
@betyjohn2556 5 лет назад
Nimemkubali SIRO
@ibrahimdavid6219
@ibrahimdavid6219 5 лет назад
Kauli ya ukali ufundishi mtu bali unatengeneza kuogopwa na ukiogopwa katika uongozi uwezi pata mema mengi ya kiutendaji#
@saloomidd1084
@saloomidd1084 5 лет назад
Huyu mzee yupo vizuri sana upstair ukilinganisha na wengine ndio maana hana majivuno ya ajabu.
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 5 лет назад
BAHATI FRANK
@nighanilehenry2818
@nighanilehenry2818 5 лет назад
Said sana
@ramadhansylvesta1952
@ramadhansylvesta1952 5 лет назад
dah! nimependa sana busala za mzee sirro, Safi sana
@bakariamraniamran8404
@bakariamraniamran8404 3 года назад
Nakukubali sana mkuu
@jeromendetaulwa3466
@jeromendetaulwa3466 5 лет назад
IGP SIRO una busara sana Mungu akulinde unafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani
@kaisarimbisso7579
@kaisarimbisso7579 4 года назад
Waxiri wa mambo ni cheo Cha chini kwa IGP, Kama ulikuwa hujuwi
@happynicholaus6474
@happynicholaus6474 4 года назад
@@kaisarimbisso7579 kweli
@muniraahmed624
@muniraahmed624 5 лет назад
HONGERA DADY UNACHAPA KAZI SIO KITOTO. Uishi miaka mingi inshaallah 🙏
@nassorsuleiman4630
@nassorsuleiman4630 5 лет назад
Munira Ahmed it's good like that!
@mwawiyaomari3796
@mwawiyaomari3796 5 лет назад
Munira Ahmed nimekupenda bure
@jahabdallah1829
@jahabdallah1829 5 лет назад
Mambo dada???unajitaidi kila kona uko ongera m south Africa jah
@amriseleman9395
@amriseleman9395 4 года назад
Sana Munira uko sahihi
@mustaphyassin9743
@mustaphyassin9743 4 года назад
Munira nicheck kwa whatsApp 0771725442
@mathayowilson1525
@mathayowilson1525 5 лет назад
Kiongozi MZURI SAAANA HUYU asante saaaaana mpendwa mkuu wa jeshi la police tz
@mahmoudabdallah4533
@mahmoudabdallah4533 5 лет назад
uko sahihi
@amrizuberi3830
@amrizuberi3830 3 года назад
Jaman huyu ndo kamanda
@micamathew6433
@micamathew6433 4 года назад
IGP, mkuu wa police Tanzania.. ni kiongozi bora sana..nampenda huyu mkuu yuko makini sana..nimejifunza mengi kutoka kwake..
@pastorchristopher758
@pastorchristopher758 3 года назад
Nimekupenda hufanani na asikar wengine wanabakia nivitisho tuu nimekupenda.
@bestonmfikwa8510
@bestonmfikwa8510 5 лет назад
Aisee!!! Huyu jamaa ni shida. Nampenda sana
@thegreatsource2953
@thegreatsource2953 4 года назад
Safi sana IGP, siyo wote wanaweza kuwa Viongozi kwa wakati mmoja. Waliochini tafadhali wachape kazi wakati wao ukifika watateuliwa pia Mipango ya Mungu ikitimia. Big up IGP👏👏👏
@kingcobra9238
@kingcobra9238 5 лет назад
Salute salute salute IGP kwa point zinazotujenga kua cheo ni dhamani long life mr.IGP
@ibrahimdavid6219
@ibrahimdavid6219 5 лет назад
Among of gud leaders in our country congratulations I real like a leader like Siro utamchukiaje kiongozi km huyu Mungu aendelee kukupa hekima mkuu#
@audaxkasindo9016
@audaxkasindo9016 5 лет назад
Kamanda siro uwa nakuami ikwa utendaji wakazi mungu akusimamie kwa utendaji wa kazi ongera mzee siro
@saidihilinti6919
@saidihilinti6919 4 года назад
Kiukweli nikiwa raia wk Allah akutangulie kwa imani yako kwa huruma yako kwa hayo ullio yasema yamenikuna yamenifanya niwe mnyonge mno mzee wetu kwani uko very very nice saluti mungu akutangulie ktk Yale magum kwako ayafanye ayafanye yawe rahis na matam 🙏🤝
@omarikibula7115
@omarikibula7115 5 лет назад
Leo umeongea maneno ambayo sikutegemea utakaa uyaseme insha allah tunategemea mabadiliko ktk utendaji ukweli nikwamba jeshi la polisi nikimbilio sana mwanzo wahaki kwa wanyonge. Kwa hotuba hii naomba tuiombee nchi yetu sheria zifuatwe sio maagizo yawatu imefika pahala mpaka baazi yaviongozi wa ccm wanasema jeshi la polisi nilao wapinzani nanyie tafteni lenu. Yote hio ilitokana na baazi yapolisi kufanyakazi kinyume nasheria inavyo wataka kutokana nataaluma zao. Wakati sisi wananchi tunatakiwa tuwekaribu na maafisa wetu wapolisi ili tuweze kuwa taarifa pale mtu unapoona jambo la uhalifu linataka kufanyika ukibahtika kujua maramoja bila kuchelewa upige simu polisi na tujitahdi watu wote tupende kuzisevu namba zasimu za jeshi letu lapolisi. MUNGU IBARIKI TANZANIA mana kunamvurugano kidogo na hotuba kama hii yaleo ya IGP siro nisehemu ya matibabu
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 5 лет назад
Omari Kibula
@danielpius14
@danielpius14 5 лет назад
You're a super man , good speech
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 5 лет назад
Asante kamanda sirro we ndio igp safiiiiiiìiii
@zainabumwagiroabdallamwagi97
@zainabumwagiroabdallamwagi97 3 года назад
Mashaalah huyu mzee anatamani kustaafu kwa heshima,hataki Tanzania iingie kwenye machafuko.tunacho waomba vyombo vya dolla mkae pembeni na siasa.
@josephmateru8892
@josephmateru8892 5 лет назад
Nimekupenda Bure Kamanda Du Mungu Hakuweke Maisha Kweli Mafupi 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@mshindimshindi9120
@mshindimshindi9120 4 года назад
Nice speech IGP may God protect u n do all that is right
@marcondokeji8982
@marcondokeji8982 3 года назад
Asante sana kiongozi, AGP Sirro that is a good speech, MUNGU alibariki jeshi letu la police.
@abemampya2871
@abemampya2871 5 лет назад
Namkubali sana IGP Sirro. Yuko vizur hakika anasema ukweli
@nassorrashidynassorrashidy7272
@nassorrashidynassorrashidy7272 4 года назад
Safi sana ww ni binadamu na nikamanda mwenye hekima mungu akuongeze ivyo ivyo
@faidamasegenghe3379
@faidamasegenghe3379 5 лет назад
Nimekuelewa sana IGP SAIMON SIRO
@iddiali8057
@iddiali8057 5 лет назад
SIRRO IS EXTRA ORDINARY MAN
@evansmlalo4049
@evansmlalo4049 5 лет назад
Watanzania tunayo mazoea ya kusifia hata mtu akijinyea. Eti Sirri ni extra ordinary. Atupatie majibu nani wanatena, wanapiga na kuwaua ndugu zetu ndio tumpatie jina la extra ordinary. Hata kama Rais na wakuu wa vyombo vya usalama hawashitakiwi hapa Tanzania kwenye vyombo vya kimataifa watashitakiwa tu. Wao waendelee kuwaua wapiga kura kwa kujipa moyo kuwa hawatashitakiwa ila wajue kesi zote za kupiga watu, kuteka na kuwaua Watanzania ziko ICC na mhusika mkuu ni Rais na Mkuu wa Jeshi la Polisi. Ndugu zetu wameuwawa, wamepigwa na kufunguliwa kesi za uongo na wahusika wakuu ni Rais na Mkuu wa Jeshi la Polisi. Watapanda Mahakamani hata kama miaka kumi ijayo.
@mayungamboi9753
@mayungamboi9753 4 года назад
@@evansmlalo4049 nmekuelewa Sana mkuu mungu akubariki🙏🙏🙏🙏
@stevengaspa1567
@stevengaspa1567 3 года назад
Wajinga niwengi amesha fanya fanya ujinga leohanaongea ujinga wakipumbavu
@jumannesaid4873
@jumannesaid4873 5 лет назад
Nilikua nampenda kabla hajawa IGP huyu mzee yuko makini sana
@shabanmohamed1545
@shabanmohamed1545 5 лет назад
Mkuu ,mungu akujalie hekma na busara ,kwani hii dunia tunapita tu.
@bakarimngazija6672
@bakarimngazija6672 5 лет назад
Mkuu wasaidizi wako wanatusaliti wananchi wengi wenu mnatumikia CCM mnajisahau kuwa mko kwaajili ya watu awe ccm au upande mwengine.
@paulbwanana7886
@paulbwanana7886 5 лет назад
Safi sana baba piga kazi ,hasa ukimtanguliza Mungu mbele ukijua kwamba ndiye alie kuweka kwenye nafasi hiyo wewe ni mtumishi wake Amen
@suleimanmmingange2983
@suleimanmmingange2983 4 года назад
Sina cha kukupa baba sema sema ukweri babaaaaaa!!.
@danstanpanga8490
@danstanpanga8490 4 года назад
"Maafsa Wenzangu,maaskari wenzangu, na Nduguzangu." Naipenda sana kauli hii. Hongerasana unajitahidi kuifanya jeshi linaenda na wakati.
@abubakaryomary3985
@abubakaryomary3985 4 года назад
Nimekuelewa afisa mwezangu
@hussenimiraji8998
@hussenimiraji8998 5 лет назад
Siro nilichogundua wewe ni mcha Mungu maneno yako yananiumiza sana
@georgemhalla3515
@georgemhalla3515 5 лет назад
Kweli aiseeeee
@ipyanahudson7515
@ipyanahudson7515 4 года назад
I like your point chief camander
@ngaosedekia4897
@ngaosedekia4897 5 лет назад
Blessed
@simonchambo1230
@simonchambo1230 4 года назад
Good speech indeed you deserve to that position God bless you with that kindness heart.
@hamzasaidi3055
@hamzasaidi3055 5 лет назад
Big up IGP. Very good presentation
@fightermoshi5921
@fightermoshi5921 5 лет назад
👏💚 afande wangu uko vzr IGP
@evelinerichard7631
@evelinerichard7631 5 лет назад
nimeipenda speech yako Mkuu
@frankkaiza3658
@frankkaiza3658 4 года назад
Safi cn kamanda siro umeongea vzr mnaweza mkawa 10 lakini akatokea 1 ili aongoze wengine ubalikiwe!!!!
@bluebeamkennel9266
@bluebeamkennel9266 5 лет назад
Siroooo....nifanye nini ujue nakuamini na tunakuamini???
@rukayarabii1449
@rukayarabii1449 5 лет назад
Asante Afande Sirro
@Bam268
@Bam268 5 лет назад
Mpe mchezo
@issamsuya583
@issamsuya583 4 года назад
alvin msoffe 😁😁
@makongoronyerere2595
@makongoronyerere2595 4 года назад
@@Bam268 hhhhhhh, nimecheka xnaaa
@calvinarichard666
@calvinarichard666 3 года назад
Napenda sana kiongozi anae zungumza ukweli
@oscarmosha383
@oscarmosha383 4 года назад
Sikuwahi kujua Kama unahekima kubwa NAMNA hiyo mzee siro mungu akulinde Sana
@blessjo1678
@blessjo1678 3 года назад
One of the best....super genius IGP
@yunusali9514
@yunusali9514 4 года назад
Asante mkuu,upo vizur sana,
@barakarobert1029
@barakarobert1029 2 года назад
Hongera sna ulijua haya yaliyo tokea leo baada ya jpm kufa asante kwa kaz nzuri
@hapakazitu7364
@hapakazitu7364 5 лет назад
safi baba ndo maana nilitabili kuwa hivyo . niliamini utakuwa best IGP toka ulivyokuwa operation Tanzania
@emmanuelmarco9789
@emmanuelmarco9789 5 лет назад
My igp GOD bless u
@azizamir1944
@azizamir1944 4 года назад
Good speach
@nasrimhagama5958
@nasrimhagama5958 3 года назад
God Bless you
@exampleemail8662
@exampleemail8662 5 лет назад
IGp silo hapoumeongea pointing nzuri sana binafsi nimeshukuru
@veronikadalali7251
@veronikadalali7251 3 года назад
Namwelewa sana Siro ndug yetu huyu kasaidia vijana wengi hapa Kyabakar
@emmanuelsovellah5521
@emmanuelsovellah5521 5 лет назад
Wewe ni IGP kweli kweli respect to yuu boss wa police
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 3 года назад
Safi sana Sirro hongera ndugu yangu.
@barakandugu7283
@barakandugu7283 3 года назад
Safii san mkuu wetu
@jumakapesa726
@jumakapesa726 5 лет назад
Hazina ya Taifa. Hekima iliyohifadhiwa
@barakamtui8198
@barakamtui8198 4 года назад
Upo sawa kamanda siro
@mashakashobo979
@mashakashobo979 4 года назад
Uncle umejaa hekima sana huna mambo ya kujimwambafai pamoja na kuwa na cheo Cha juu kabisa,,,MUNGU akuongezee maisha malefu na yenye baraka tele,,,
@merickymangula5156
@merickymangula5156 5 лет назад
Very professional mzee kaongea vizuri sana
@vickngowi2779
@vickngowi2779 3 года назад
SiRRO wangu nakupenda bure unabusara sana baba😍😍
@tusajigwekanemela4784
@tusajigwekanemela4784 3 года назад
MZEE umeongea kwa hekima sanaaaaaaaa
@tunumadiba824
@tunumadiba824 3 года назад
Big up Sirro ,IGP,,, nakufahamu vzr ,,ni mtu mwema sana na mtenda haki itendeke,,kweli unapendwa sana na watu wengi ,,Mungu akulinde
@fadhilimfalamagoha2682
@fadhilimfalamagoha2682 5 лет назад
Raisi hakukosea kufanya uteuzi wako, well understood speech
@mudhihirumikidadi6066
@mudhihirumikidadi6066 5 лет назад
Wewe unafaa kuwaraisi mwenyezimungu akufikishe hukokwenye uraisi
@mwinyimwimbe8842
@mwinyimwimbe8842 5 лет назад
Nimemuelewa sn AGP
@munguaibarikitanzanianawat9254
Asante mkuu ushauri wKo
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 3 года назад
Maneno makubwa na mazito, tena ya uwazi mkubwa. Hongera Kamanda Siro., huu ndio uongozi shirikishi na utawala wa kisheria
@mcmapunda5837
@mcmapunda5837 4 года назад
Nimekuelewa mungu akulinde sana amina
@lairumbelaizer4429
@lairumbelaizer4429 4 года назад
Great, huu ndiyo uongozi firm & and fair
@rithaurassa
@rithaurassa 18 дней назад
Nimemkubali huyu kamanda Mungu akubariki kwanza unahofu yaMungu. Wenzako waige huo mfano na kama hawezi wajitahidi Utu ni zaid cheo unachojivunia.
@maembelaurent970
@maembelaurent970 4 года назад
Safi sana mkuu
@afidhusultan4967
@afidhusultan4967 5 лет назад
Kamanda wangu siro nakukubali sana zaidi ya sana mungu akupe umri mrefu
@anthonyfaru9908
@anthonyfaru9908 5 лет назад
Leo mzee wangu umetulia Sana, umeeleweka Sana umeongea kijeshi haswa kikamanda awiiiii awaaaa
@janethyona1361
@janethyona1361 5 лет назад
Mungu akubarikie IGP sirro kwa kauli zako kila kitu Mungu anampa MTU kwa wakati wake huu ni wakati wako, pia nikupongeze kwa mwongozo wako kwa Ma RPC naomba waufuate jeshi lihaheshimika pia nishaur vyombo vya dola imean polisi waachane na media sbb media zinapunguza umahili wa jeshi mnajikuta hata kaxi ya upelelezi inawapashida sbb plan zenu au operation zenu mnaziweka wazi mno. Mungu ibariki Tanzania
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 3 года назад
Nakupenda sana KAMANDA Sirro
@stevenmsaaada.msaada.389
@stevenmsaaada.msaada.389 5 лет назад
SMS send. Kuna kitu na kamanda wakinondoni apo.
@jacobnghwali4531
@jacobnghwali4531 5 лет назад
Ni kweli
@ethelkatambala1659
@ethelkatambala1659 5 лет назад
Ht mi naona na hiyo sehemu millard umekata mbona umetuficha kwan aliongea nini kibaya
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 5 лет назад
Steven msaaada. Msaada. 🤣🤣🤣 and delivered makavu live Siro kiboko
@far_hard1301
@far_hard1301 5 лет назад
baba uko juu wanyooshe hao wanawanyasasa sana wananchi kwaajili ya cheo uliowapa hawajui jukumu lao ila ni kutafuta kiki tu kwenye media baba wape ukweli tu nakupenda sana mungu akulinde milele
@petermim
@petermim 5 лет назад
Makamanda ambao na shule inapanda na mbinu na skills umoo sanaaa sanaaa
@husseinkhan4889
@husseinkhan4889 4 года назад
Siro ni kiongozi mwelewa sana tofauti na viongozi wengine wa jeshi. Anajua uongozi ni kupita tu wachache wenye uwelewa huo!
@tumainamani3981
@tumainamani3981 4 года назад
Wiseman
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 5 лет назад
Nimekuelewa kiongozi IGP wetu
@mwetajackson8969
@mwetajackson8969 4 года назад
Umelishushia sana heshima jeshi la polisi maana polisi wameacha kutekeleza wajibu wao na kuishi na kufanya kazi kwa kupokea oda na kusahau wajibu waliousomea.
@mariuscyprian1235
@mariuscyprian1235 5 лет назад
Ukishakuwa RPC kuna uraji sasa ukiletwa makao makuu uraji umepungua ndio maana wanakasilika ila IGP uko vizuri maana ukimnyosha RPC wakuu wa vituo wanakaa saw a Narudia tena IGP sasa hivi hata panya road wamepotea wazee wangwasuma kwa jina lingine Wajomba wamekubali yaishe sasa hivi hakuna kuibiana IGP uko vizuri sana Piga kazi Ongera sana
@charlesjustin4805
@charlesjustin4805 5 лет назад
safiiii sana IGP wetu heshima ipo sana Mimi polisi Mimi nilikuwa siitamn hata kulalamika pale nilikodhulumiwa ila sasa hivi sanaaaaa nakushukuru sana
@yusufurajabuomari647
@yusufurajabuomari647 5 лет назад
Pain 😫
@abubakaryomary3985
@abubakaryomary3985 4 года назад
Nimekuelewa Igp siro
@akimmbwego797
@akimmbwego797 5 лет назад
IGP NAMKUBALI SANA YAANI MIMI NI SHUHUDA PIA MAY ALLAH BLESS U MZEE
@a.a.a.s8322
@a.a.a.s8322 5 лет назад
IGP wetu unahekima sana na busara sana. MHE. Rais, hakukosea uteuzi wako.
@gastordominic410
@gastordominic410 5 лет назад
Hakika leo umefunguka sanaaaa big sana
@annabenedikto7769
@annabenedikto7769 4 года назад
Pamoja Na Busara Na Hekima hyu Jamaa ana elimu ya kiwango gani?
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 4 года назад
Unatosha sana afande, Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Endelea kutuasa, Mungu akubariki.
@dsouzamaguno7006
@dsouzamaguno7006 5 лет назад
Well Say Mkuu
@okoakahemela5867
@okoakahemela5867 4 года назад
Maneno ya hekima sana!! Mungu aendelee kklinda kamanda wetu
@daudimwanandenje8058
@daudimwanandenje8058 5 лет назад
good
@mickmaheka2541
@mickmaheka2541 4 года назад
wenye akiri wamejifunza kitu kutoka kwako leo nimeamini ww ni zaidi ya IGP yani unauwezo mkubwa na kipaji cha kuongoza mungu akutangulie boss.
@immatesha1830
@immatesha1830 3 года назад
Ila sirro upo vizuri sana mkuu binafsi nakuelewa sana sana
@allynigoh4270
@allynigoh4270 5 лет назад
Nikweli lkn bado shinda ipo kwa nini jeshi akiba wao wauziwe inform hiyo nayo imekaaje
@bernadinangasi7664
@bernadinangasi7664 5 лет назад
Baba yangu mungu ni mwema akubariki uwishi miaka mingi kwani duniani tunapita
@yohanabundala9162
@yohanabundala9162 4 года назад
Hakuna IGP niliyempenda kama Sirro, Mh: tunataka uendelee kuongoza Jeshi la Polisi,,
@danielhumble4292
@danielhumble4292 5 лет назад
Hupaswi kung'atuka my camanda!! SIRO
@bahishaalexander3641
@bahishaalexander3641 5 лет назад
Hizo ndiyo hekima za padre aliyetumwa na Mungu kuongoza jeshi la police, wamekuelewa Mkuu. Na Mungu akulinde kwa mitizamo chanya uliyonayo. Amen.
@alhajitambwe9565
@alhajitambwe9565 4 года назад
Mungu asante kwa maisha ya IGP wetu umlinde aendelee kufanya kazi hii iliyotukuka
@marthashimba5166
@marthashimba5166 3 года назад
Mungu akutangulie katika kazi yako,hakika umeongea yale ambayo Mungu anataka tufanye.
@makongoronyerere2595
@makongoronyerere2595 4 года назад
Wapo polic wenye hofu yamungu, wengine wamefunzwa vibaya nawazaz wao, tokea hkooooooo
@donardmtambo6606
@donardmtambo6606 2 года назад
siro umesema kweli cheo ni mungu anatoa ikfika siku unaiacha safi sana
Далее
Bike vs Super Bike Fast Challenge
00:30
Просмотров 6 млн
MWANZO-MWISHO: IGP Sirro aenda Kibiti na Mkuranga
10:25
Ames Moot Court Competition 2019
1:24:39
Просмотров 4,8 млн