Тёмный

KIZAAZAA CHA RC MWANRI KWA DEREVA ALIYEGONGA MTI WAKE 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 827 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 566   
@KUTOKA-ep2fk
@KUTOKA-ep2fk 4 года назад
Nani kaja kuangalia hii baada ya mzee kustaafu?
@dutchsafari7562
@dutchsafari7562 5 лет назад
Ohoooo leo wa pili ku comment Mwanri:eleza ilivyokua babuuuu...... Gari: PAMBANA NA HALI YAKO hahahahahaha wanao endelea kuweka MBs kwajili ya huyu mzee tujuane hpa
@robertobunga3158
@robertobunga3158 5 лет назад
THIS IS BEING PETTY... MPIGE FINE ALIPE Y ARREST THE GOODS
@matikumhele3929
@matikumhele3929 5 лет назад
Dutch tz n n
@timezonlinemedia2665
@timezonlinemedia2665 5 лет назад
Kwahiyo kwenu Kigoma mnapalamia miti😂😂😂😂😂😂😂😂
@shabanimbaga8921
@shabanimbaga8921 5 лет назад
Japo hata mimi linaweza kunikuta pengine kwa bahati mbaya lakini hii nimeipenda. Tusipuuze vitu kuona kama ni vidogo. Safi wananchi
@barakakihiga5087
@barakakihiga5087 5 лет назад
Mwanli pigs kaz tutamuomba rais magu akulete KTV milima inageuka jangwa viogoz wamelala hongela sana agrey
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 5 лет назад
😅😂🤣🤣 Yaani mfanyabiashara wa Mbao ,alafu anaharibu Miti.!? Kesho atafanya biashara ya Mchanga.?
@elienezarumisha9996
@elienezarumisha9996 5 лет назад
Dah umewaza parefu asee, nmeipenda...
@jimmiejr9531
@jimmiejr9531 5 лет назад
Daah!! Deep
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 5 лет назад
Gari yake ime mwambia pambana na hali yako
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 лет назад
😁😁
@mosesmkoma6882
@mosesmkoma6882 5 лет назад
😂😂😂aisee huna akili nyingi saana
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 5 лет назад
Sheria itawapa kinachowastahili..Kaz nzuri hakuna uonevu hapo ni uwajibikaji kazini..!
@edwingwesso129
@edwingwesso129 5 лет назад
😂😂😂😂😂 mzeee huyu kwa kumuona Ni mkali ila Ni mpole Sana
@sethmdj
@sethmdj 5 лет назад
Kwa kumwona wapi? Sisi tunamwona kwenye uhalisia wa matendo yake ya ukali. huo upole anauonyesha kanisani na nyumbani au?
@samwelmashauri9414
@samwelmashauri9414 5 лет назад
Kama umeona anaendelea kuugusa mti ni mchochezi enjoy
@wistonkimaro6166
@wistonkimaro6166 5 лет назад
Hahaha
@azimediafilms
@azimediafilms 5 лет назад
Haaaa haaaa
@renardphilipo2112
@renardphilipo2112 5 лет назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@pratickocomedian1461
@pratickocomedian1461 3 года назад
@@wistonkimaro6166 1
@publicadvisor6952
@publicadvisor6952 5 лет назад
Pointi hapa sio kumuonea wala kutafuta misifa bali nikufikisha ujumbe Kwa wengine. Binadamu wa kawaida huwezi mwelewa. Hapa Moshi tunamsoma maana mambo huku yanafanyika Kwa userious na ndio maana Kimkoa tupo juu ukilinganisha na mikoa mingi.
@alexjosephat9030
@alexjosephat9030 5 лет назад
Mh pole
@saidkessy6518
@saidkessy6518 5 лет назад
safi sana kamanda watanyooka tu
@liberathmhagama2550
@liberathmhagama2550 5 лет назад
Gari inamkana dereva wake inamwambia apambane na hali yake
@jumamwadhini6066
@jumamwadhini6066 5 лет назад
msameheni
@kimrudiger5084
@kimrudiger5084 5 лет назад
Hahahahahaha
@jacquelineadrian1112
@jacquelineadrian1112 5 лет назад
Hahaaaahaha
@abelymembe2334
@abelymembe2334 5 лет назад
huyo niowenezi
@livingstoneherman6664
@livingstoneherman6664 5 лет назад
hahahaaaa
@joshuajacob9487
@joshuajacob9487 4 года назад
Mkuu unafanya kazi nzuri sana ubarikiwe
@akimmbwego797
@akimmbwego797 5 лет назад
Mimi mtoto wako mpendwa,Team Rc Tabora number one TZ NAMWOMBEA ASAMEHEWE MTU HUYO KUHUSU FINE ATOZWE 50,000/= ili akajifunze kutofanya uzembe tena.
@pwalter335tv5
@pwalter335tv5 5 лет назад
Not fear bahati mbaya zipooo gar ina rud reverse bahat mbaya zpoo jamani
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 5 лет назад
pwalter335 TV kuna bahati mbaya na uZembe
@Millidady
@Millidady 5 лет назад
turn boy aliambiwa akawa mbishi ubishi wake ndo unamponz
@boazmosses8204
@boazmosses8204 5 лет назад
Hapa cjamkubali huyu mzee
@vicentelias491
@vicentelias491 4 года назад
It is fair and Not fear
@maase2023
@maase2023 Год назад
Safi Kisha badae sukuma ndani tu
@queencharles715
@queencharles715 4 года назад
Nakukubali sana baba Mungu akulinde na akuzidishie katika kazi zako. Nakupenda sana baba
@Unclerammaschannel
@Unclerammaschannel 5 лет назад
Mfinanga njoo panda miti kata mti kazi kweli kweli wata elewa tu
@humphreysamson6561
@humphreysamson6561 5 лет назад
Mti wenyewe mmoja ingekuwa msitu je xo ubinadamu mambo mengne siyo kila kitu mbka media
@chiefnorbertkangalu1403
@chiefnorbertkangalu1403 5 лет назад
😅😆😅😆
@williamemmanuel7786
@williamemmanuel7786 5 лет назад
Ingekuwa hata miti kumi huyo jamaa angenyongwa
@admakoga1871
@admakoga1871 5 лет назад
KAMA UMEONA HILO ROLY LIMEANDIKWA "" PAMBANA NA HALI YAKO"" dakika ya 2:35 gonga LIKE
@pascalmhilu3403
@pascalmhilu3403 5 лет назад
We ni atar
@khamiskamtoi5094
@khamiskamtoi5094 4 года назад
😂😂😂
@emmanyambuya8920
@emmanyambuya8920 4 года назад
🤣😂😂😂
@luqmaansaleh5399
@luqmaansaleh5399 5 лет назад
Ukiwa kiongozi ni mtihani. Unatakiwa uongeze kwa hekima na busara kuna baadhi ya viongozi wakishapata uongozi wanaji sahau kama wao ni binadamu ipo siku watapita watakuja wengine kwani hakuna atae ishi milele mungu atu ongoze katika njia iliyo ya haki kwa watanzania wote na viongozi wetu.
@christianchando7041
@christianchando7041 7 месяцев назад
NI SAWA UONGOZI NI WA MUDA. ILA UNAPOPATA NAFASI YA UONGOZI INAPASWA KUIFANYA KWA UKAMILIFU, BILA UOGOPA MTU WALA KUONEA MTU
@athumanomary1171
@athumanomary1171 5 лет назад
Ewe mwenyez MUNGU endelea kuwasimamia vyema wakuu wetu wa mikoa na kuzidi kuziimalisha ayfa zao
@rashidyahya5727
@rashidyahya5727 5 лет назад
Kazi nzr my friend mpangala
@mageuzimwampamba2855
@mageuzimwampamba2855 5 лет назад
Kaeni na mkoa wenu... Manyanyaso mengi utafikiri yeye sio binadamu...
@makamenyikombo4220
@makamenyikombo4220 5 лет назад
Kwe kabsaaa yan nchi hii mti una haki kuliko binaadam...
@bwajerisangi5842
@bwajerisangi5842 5 лет назад
Sio vzr lakini hicho kitu nimemusikiliza vibaya Sana Ina maana leo. Kigoma ni nchi nyingine
@godfreygozbert4973
@godfreygozbert4973 4 года назад
Kazi nzuri xana
@ruthleonard2958
@ruthleonard2958 5 лет назад
😂😂😂😂😂eti nampigia jirani yangu,watu wake wametoka kwao wamekuja kutuvunjia Miti......
@abdillahimahamed1814
@abdillahimahamed1814 5 лет назад
Ajali ni ajali...haina Haja ya kuzuia gari...kisa mti....utakua unazuia uchumi....ni bora apewe adhabu ya kupanda na kumwagilia....siyo kuzuia gari.....Haifa bana...ni ajali
@frankshegga4297
@frankshegga4297 4 года назад
unapenda sifa kwan kila unachofanya lazima waadixhi wawepo
@subzzero5585
@subzzero5585 3 года назад
Nimelipenda gari lilivyomktaa dereva
@frankvianey2438
@frankvianey2438 Год назад
Hahahahaaaa
@alphamwasakyen7696
@alphamwasakyen7696 5 лет назад
Hatari tabora nimeipenda mkuu wetu wa mkoa
@danielmwampepu3934
@danielmwampepu3934 5 лет назад
Alpha Mwasakyen hana lolote huyu asubili so mdaa mungu atamuonesha kuwa yy ndiye mwenye sifa
@makulazomorice3766
@makulazomorice3766 5 лет назад
Anagaka kadi original ya gari 😁😁😁 linataka lipigwe mnada nn
@sarahmollel5477
@sarahmollel5477 6 месяцев назад
Hivi kumbe ni Hako kamti.mzee presha juu.mfinanga Hana bahati.baba mkwe I salute u
@salumharuna338
@salumharuna338 5 лет назад
Duh kazi ipo😂😂
@SmilingTropicalSailboat-op2jk
@SmilingTropicalSailboat-op2jk Месяц назад
huyu mt alooo nafrah sana anavojali hadi mt anaupa kipaumbele sema tunakukumbuka sana aggrey
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 5 лет назад
Kaingia kwenye 18 ya Rc huyooo 😂😂😂
@marcondokeji8982
@marcondokeji8982 5 лет назад
Mzee msamehe tuuu bad luck
@gracelauzi9746
@gracelauzi9746 4 года назад
🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️ Nitarudi kidogo na fika chooni 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️💃💃💃
@mctidohondoa1652
@mctidohondoa1652 5 лет назад
Hataree hvi huo mti bei gan hizi mb zetu hazitoshi kulipa
@AbdallaRashid-s2m
@AbdallaRashid-s2m Месяц назад
Watu wanapotea mpo kimiya mnaongelea miti hii mchi shida sana
@singujoseph2896
@singujoseph2896 5 лет назад
Huyu rc noma sana,Huyu akiwa makamu wa raisi,Magu raisi ,majaliwa wazir mkuu,daa timu inakamilika
@flova7022
@flova7022 2 года назад
Utateseka Hadi wewe...pesa itakua ngumu kitaaa xn
@immasanga5713
@immasanga5713 5 лет назад
Anapambana na Hali yake dereva leo 🙏🇹🇿✔️
@keila4521
@keila4521 4 года назад
I like the punishment and they are also trying to discourage destroying trees and uphold afforestation. muhimu.. Very good of mheshimiwa Mwaniri
@yahayamkone4040
@yahayamkone4040 5 лет назад
Safii Sanaa mzee wangu
@miriam5735
@miriam5735 5 лет назад
Nimejifunza kuwa ukiwa kiongozi hasira za nyumbani kwako unamalizia kwa wengine, naomba viongozi wote wenye roho mbaya muishi milele ili mtutese vzr n amkifa tuwakute na kazi zenu
@hubertgerishon2401
@hubertgerishon2401 5 лет назад
Sheria ipo pale Pale
@bahatiswago1027
@bahatiswago1027 5 лет назад
Halafu huyu jamaa inaonekana chapombe
@yassinponera4271
@yassinponera4271 5 лет назад
bahati mbaya
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 5 лет назад
Aisei ila sawa tu wawe makini
@boniphacetabu2903
@boniphacetabu2903 5 лет назад
Kama limekufurahisha bango la Gari limeandikwa "pambana na hali yako" Gongalike
@lotimwansule5017
@lotimwansule5017 4 года назад
Huyo mkuu wa mkoa apunguze ukali sidhani huyo Dreva Kama alifanya kusudi wamsamehe
@mohamednyenyema997
@mohamednyenyema997 5 лет назад
Safi sana
@frenkingonyani1086
@frenkingonyani1086 5 лет назад
Hunnakili duniani hujui kama tunapita tu
@mohamednyenyema997
@mohamednyenyema997 5 лет назад
@@frenkingonyani1086 hongera ww mwenye akili
@Harid-d2j
@Harid-d2j 2 месяца назад
haposawa nakubali wanszalaunamgaliyao
@edwinelias8554
@edwinelias8554 5 лет назад
Wanalo wamwangilie maji kuanzia kiprefit mwanzo load mpka bank ya NBC duh wiki nzima
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 3 года назад
Gari Ina ujumbe mzuri wacha apambane na Hali yake
@godfreypolisikiwipa3190
@godfreypolisikiwipa3190 4 года назад
Mwanri nouma kweli kweli
@georgiusgotifrid3074
@georgiusgotifrid3074 5 лет назад
Fikiri bila huo mti mbao alizobeba hasingepata
@hamismbotoni5531
@hamismbotoni5531 5 лет назад
. Tujifunje kuishi tofaut na tulivyo zoea
@habari3321
@habari3321 5 лет назад
Mi narudi Tanzania😰😰😰😢😢😢😢😢😢😢
@bockernyarusahi3655
@bockernyarusahi3655 5 лет назад
Bila sheria kufuatwa,hiyo miti haiwezi kukua na Watu wengi wanadharau miti ila hawajui kazi yake ni ngumu hadi kufikia hicho kimo,na ikiwa sehemu yenyewe ni kame,Rc yupo sahihi kabisa,bila uangalizi wa karibu hiyo miti haiwezi kukua kamwe.
@tigocompany2824
@tigocompany2824 5 лет назад
Kazingua ...TYU UYO RC KAwa comedy ..online ...
@Mbugokilonda
@Mbugokilonda 4 года назад
Daaah huyu mzeee noma xana
@salmaomary2100
@salmaomary2100 5 лет назад
Mfinanga yuko wapiiii
@sultannassor9756
@sultannassor9756 4 года назад
nimecheka Rc nampenda sana huyo jamani
@frankkiondo4227
@frankkiondo4227 4 года назад
Kwann umestafu mkuu wew ni kiboko yao
@athumanially7823
@athumanially7823 5 лет назад
Yani kwa staili hii huyu mzee akipewa urais maisha yatakua magumu sana
@AyubuNgubi
@AyubuNgubi Год назад
😂😂😂😂😂❤❤❤
@Millidady
@Millidady 5 лет назад
Mhh sasa ukipita tabora lazima uwe na adabu 😅😅😅😅
@kadashizo3973
@kadashizo3973 5 лет назад
kwanza eleza vizuri
@ibrahimally7735
@ibrahimally7735 4 года назад
Dah aiseeee kumbe mtu kua masikin ni kugusa tu pole sana suka ndo mambo ya road hayooo
@محمديوسف-و6ر9ط
@محمديوسف-و6ر9ط 5 лет назад
Mikoa yote ikifuata sheria y kupanda mti kila mmoja basi jagwa litaondoka
@masoudyrashidy9041
@masoudyrashidy9041 5 лет назад
Uongozi ni mtihani huko ni kuwadhalilisha hao wanyonge wa mungu tuuu lkn yanamwisho
@samkaranja4569
@samkaranja4569 3 месяца назад
Hii inawezekana huko Tanzania 2 lakini hapa Kenya woiyee shida tupu
@samatafelix6730
@samatafelix6730 5 лет назад
mzee noma Sana 😁😁
@garmawatown1694
@garmawatown1694 5 лет назад
Hapo mzeee umechemka baba mana vitu vyingine vinaa malizika kibinadamu
@asiliyakechuma4319
@asiliyakechuma4319 5 лет назад
Garma Wa town ww upo wp muxoma nn
@bahatiswago1027
@bahatiswago1027 5 лет назад
Msimlaumu inaonekana ni ulimbukeni wa uongozi
@geraidjastini9653
@geraidjastini9653 Год назад
Simba
@ramosfally2318
@ramosfally2318 4 года назад
uyu jama noma sana aise adi raha.
@mathiasmagesa8308
@mathiasmagesa8308 5 лет назад
Mnatoka kigoma kuja kutuharibia miti
@barakamweta9958
@barakamweta9958 4 года назад
Mkuu wa mkoa huyu yuko safi sana, wengine mnafanyanini? Raisi umechaguwa mtu, safi, muweke uwaziri Raisi. Atakusadia,
@Bjurmann001
@Bjurmann001 4 года назад
Too much punishment.
@lukadelik3652
@lukadelik3652 5 лет назад
Gari na huo mti unasamani gani
@piustombili9921
@piustombili9921 5 лет назад
mzee hana kazi za kufanya
@roserichard5327
@roserichard5327 4 года назад
Tujifunze delegation
@josephkiatu6889
@josephkiatu6889 4 года назад
Kumbe mm cwez kuishi Tabora
@Rogasiandesmond6
@Rogasiandesmond6 5 лет назад
Mpangala weee, kamata weka ndani
@ramadhanmahongole5663
@ramadhanmahongole5663 3 года назад
Hiyo ndiyo serikali ya Magufuli 😆😆😆😆😆
@barakamweta9958
@barakamweta9958 4 года назад
Safi sana.
@erickjulius1858
@erickjulius1858 5 лет назад
Ifike wakati tufanye kazi na tumuogope Mungu
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 5 лет назад
Erick Julius kivipi kwamba ameonewa au
@bittostar3524
@bittostar3524 5 лет назад
Hivi Tabora iko nchi gani??
@anuaryally6177
@anuaryally6177 5 лет назад
Ipo tanzania ila kwavile wewe mkimbizi sawa sawa kuuliza unataka kujua na sisi raia tunakujulisha ni mkoa wa tanzania
@ياسرياسر-ي9ص3د
@ياسرياسر-ي9ص3د 4 года назад
wewe hujui tabora ndio tanzania 0
@hemedabdul9495
@hemedabdul9495 4 года назад
Toronto 🤣🤣🤣
@busyladyfashion582
@busyladyfashion582 5 лет назад
uho ni uonevu sio maisha ktk utendaji uho si utendaji bali ni kutumia madalaka vby
@prosperjuma905
@prosperjuma905 5 лет назад
Lofa kweli wewe. Kuna uonevu gan hapo? Kusema sheria ifuatwe?
@gulinjaantony6678
@gulinjaantony6678 5 лет назад
Sheria ifuatwe na yeyote,,dereva ana makosa hapo,,,shida sisi tunachukulia poa kila jambo
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 4 года назад
😂😂😂😂 Pambana na hali Yako,Jamani Amejifunza naye hata Mchicha hataugonga.
@gerry_macopper3808
@gerry_macopper3808 5 лет назад
Haha haha haha haha mwanry 2020 apewe urais, noma sanaaaa
@shaadenshaduni7755
@shaadenshaduni7755 5 лет назад
Jamani ni ajali
@philipkomba5525
@philipkomba5525 5 лет назад
hahahaha yaan dereva anataman angegonga kunguru kuliko mti
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 5 лет назад
Sheria zinginezo mnatengeza wenyewe sio
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 5 лет назад
Duuuuh kisanga kanyea debe mtu kudharau vitu vya huyu rc.......like hapo sote tunawajibu wa kutunza mazingira
@makangeomary8052
@makangeomary8052 5 лет назад
Hahhh,et "Akaukosa kosa sio..."
@priscadaniel7
@priscadaniel7 3 года назад
Jamani
@zainabmaulid9637
@zainabmaulid9637 Год назад
Jamaa anaroho mbaya Sana Kama mmbwa binaadamu anakua Ana huruma # pengine bahati mbaya# tu#
@BeniMasolwa
@BeniMasolwa 18 дней назад
Huo mti mpaka 2024 hii unahaligani jamani mliopo tabora
@abasisaid7820
@abasisaid7820 4 года назад
Huyu RC nae ana matatzo kweli kweli
@jimmykabila4163
@jimmykabila4163 5 лет назад
Mze acha roho mbaya ajafanya makusudi
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 5 лет назад
ILI NI FUNZO KWA WENGINE,, NYIE MNAO MPINGA NI WAPUNGUFU WA AKILI
@bahatiswago1027
@bahatiswago1027 5 лет назад
Wewe ni taahira bado udenda tu au babaako mini?
@mwambietv7614
@mwambietv7614 5 лет назад
Hisan Mwakijungu bwege ww hayakukuta taahira ww ndo maana unaharisha ujinga wako humu RU-vid
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 5 лет назад
MWAMBIE TV wew ni kichwa maji, inaonyesha ata elimu yako ni ndogo kichwani,,,, na utakufa na umaskin wa akili
@robertplasidus5179
@robertplasidus5179 5 лет назад
Man unatengeneza nchi gan.. we unahis kila siku utakuwa sahihi 2?
@erastusnjue9534
@erastusnjue9534 5 лет назад
Robert Plasidus stupid
@kagomabhihusi391
@kagomabhihusi391 5 лет назад
Mmh, sasa Tabora sio kwa kwenda kichwakichwa
@kingwatabata4230
@kingwatabata4230 5 лет назад
Mtanzania unaesema mwanri anaonea, Nenda kakanyage mti mdogo China afu uje unambie wamekufanyaje! Nilazima tuheshim kilakitu kilichopo sio uambiwe
@latiphzimbwe5029
@latiphzimbwe5029 5 лет назад
Sifa za kijinga
@samirarsan2024
@samirarsan2024 5 лет назад
sasa china ni sawa sawa na Tanzania wewe vip?
@samirarsan2024
@samirarsan2024 5 лет назад
sasa china ni sawa sawa na Tanzania China ni nchi inayoongozwa by laws kule ata kiongoz wa juu ukifanya ubadhilifu, ufisadi unayongwa hawaangalii cheo wanafata sheria Tanzania ni nchi inayoonea wanyonge tu hakuna ufuataji wa sheria
@bahatiswago1027
@bahatiswago1027 5 лет назад
Yani wewe box kabisa usipende kuiga nchi za watu ndio maana mmeiga mpaka ushoga
@danielmwampepu3934
@danielmwampepu3934 5 лет назад
King wa tabata lakini we huon kam nibahat mbaya
@tigocompany2824
@tigocompany2824 5 лет назад
..uyo mambo mengi ...
Далее