Ohoooo leo wa pili ku comment Mwanri:eleza ilivyokua babuuuu...... Gari: PAMBANA NA HALI YAKO hahahahahaha wanao endelea kuweka MBs kwajili ya huyu mzee tujuane hpa
Pointi hapa sio kumuonea wala kutafuta misifa bali nikufikisha ujumbe Kwa wengine. Binadamu wa kawaida huwezi mwelewa. Hapa Moshi tunamsoma maana mambo huku yanafanyika Kwa userious na ndio maana Kimkoa tupo juu ukilinganisha na mikoa mingi.
Ukiwa kiongozi ni mtihani. Unatakiwa uongeze kwa hekima na busara kuna baadhi ya viongozi wakishapata uongozi wanaji sahau kama wao ni binadamu ipo siku watapita watakuja wengine kwani hakuna atae ishi milele mungu atu ongoze katika njia iliyo ya haki kwa watanzania wote na viongozi wetu.
Ajali ni ajali...haina Haja ya kuzuia gari...kisa mti....utakua unazuia uchumi....ni bora apewe adhabu ya kupanda na kumwagilia....siyo kuzuia gari.....Haifa bana...ni ajali
Nimejifunza kuwa ukiwa kiongozi hasira za nyumbani kwako unamalizia kwa wengine, naomba viongozi wote wenye roho mbaya muishi milele ili mtutese vzr n amkifa tuwakute na kazi zenu
Bila sheria kufuatwa,hiyo miti haiwezi kukua na Watu wengi wanadharau miti ila hawajui kazi yake ni ngumu hadi kufikia hicho kimo,na ikiwa sehemu yenyewe ni kame,Rc yupo sahihi kabisa,bila uangalizi wa karibu hiyo miti haiwezi kukua kamwe.
sasa china ni sawa sawa na Tanzania China ni nchi inayoongozwa by laws kule ata kiongoz wa juu ukifanya ubadhilifu, ufisadi unayongwa hawaangalii cheo wanafata sheria Tanzania ni nchi inayoonea wanyonge tu hakuna ufuataji wa sheria