Ofisi ya Rais Ikulu Pemba imetoa makala maalumu inayolenga kuonyesha miradi ya maendeleo ambayo inaanza, inayoendelea kufanyika na ambayo imemalizika katika kisiwa cha Pemba kwa lengo la wananchi kujua nini Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Hussein Ali Mwinyi amefanya kwa upande wa kisiwa cha Pemba.
14 окт 2024