Тёмный
No video :(

INASIKITISHA: NENO LA MWISHO YA MFANYABIASHARA BABU RAMA NA MWANAHALISI TV KABLA HAJAJIPIGA RISASI 

MwanaHALISI TV
Подписаться 313 тыс.
Просмотров 61 тыс.
50% 1

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 262   
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 6 месяцев назад
Waziri mkuu ajiuzulu.kwa Hili naomba mheshimiwa majaliwa ujiuzulu umeshindwa majukumu yako kwa heshima na taadhima mheshimiwa Majaliwa achia ngazi umeshindwa kazi!
@stevenkomanya1442
@stevenkomanya1442 5 месяцев назад
Uongoze wewe apo
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 5 месяцев назад
@@stevenkomanya1442 .duh mtanzania mwenzangu watanzania Tupo milioni 63 na ziada hivi unafikiria hakuna mtanzania anayeweza kuziba nafasi ya uwaziri Mkuu?kweli. Hata kama una chuki binafsi tumia basi hata busara kuelewa komenti yangu. Mimi Sina haja ya kuwa na Wala siwezi kuja kuwa waziri hata wa maji ukiacha huo uwaziri Mkuu. Hata udiwani siuwezi/siutaki.ila wapo watanzania wenye uwezo zaidi ..na sizungumzii siasa hapa..maana siasa ni upofu Ngoma Kila mtu uvutia kwake🙏🏿
@naimatemba8061
@naimatemba8061 5 месяцев назад
Kabisa
@heritier5119
@heritier5119 5 месяцев назад
Familia yake utailisha wewe
@mariyammariyam1454
@mariyammariyam1454 5 месяцев назад
😅😮😮
@user-lu8ny2gu7t
@user-lu8ny2gu7t 6 месяцев назад
Umeteseka sana umepambana vya kutosha yoyote aliesababisha mpaka uchukuwe maamuzi magumu Mungu atashughulika nae Pumzika kwa Amani
@heritier5119
@heritier5119 6 месяцев назад
Ujinga wake
@AminaKweya
@AminaKweya 6 месяцев назад
@abdirizakibrahim1975
@abdirizakibrahim1975 6 месяцев назад
Kuna mtanzania kaandike ni ujinga wa Marehem umekosea labda nawewe umedhulumu
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 6 месяцев назад
​@@heritier5119na hujui unachokisema ndo maana ila siku yakikukuta utajua ni ujinga au vipi msongo wa makwazo ni mbaya sana
@patsonanyitike9584
@patsonanyitike9584 6 месяцев назад
Wengi tutapotea mjambazi tamaaaaaaa unyaga nyi
@mpetafrank7195
@mpetafrank7195 5 месяцев назад
Nimefatilia story nzima ya mfanyabiashara huyu Ina umiza kiukwel na inakatisha tamaa nikiendelee kuandika kitu naweza nikatukana nikachukuliwa hatua bure 🤬 maana watu kufatilia haki za mtu wagumu ila kufatilia ujinga wepes na wanajua kutu nyoosha ila mungu yupo Ipo siku
@hashimmziray7416
@hashimmziray7416 6 месяцев назад
Mwenyezi Mungu tujaalie Mwisho mwema
@eliudgathuthi8601
@eliudgathuthi8601 5 месяцев назад
Late rais moi alisema, shinda ya mwafrika ni mwafrika mwenyewe. Yaani mwafrika mwenzako anakuangisha mpaka umauti. Pole kwa marafiki na familia
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад
duuh kumbee hiii statement ni kutoka kwa Rais Moi ivi eh?
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 2 месяца назад
Our legend Daniel toroitich arap moi.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 6 месяцев назад
Yaani ukiwa masikini mtihani ukisema ujikwamue kimaisha mtihani yaani dah mungu ndie hakimu wa haki atalipa wote mungu alali wala, asinzii
@isacktesha6659
@isacktesha6659 6 месяцев назад
Tunashukuru sana Mungu kwa kuweka muda wa kuishi miaka isiyozodi 120 kwa kila mwanadamu ,kuna baadhi ya watu wako Duniani kama wataishi milele ,
@ABSTemu
@ABSTemu 5 месяцев назад
We mtangazaji unacheka cheka nini kwa swala serious kama hilo. Haileti picha nzuri. Kuwa serious.
@sethnyenzitv6617
@sethnyenzitv6617 6 месяцев назад
Inaumiza sana,tulippewa dhamana tutimize wajibu wetu
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt 6 месяцев назад
Poleni sana inauma kweli kweli😩😩
@arafahhh5574
@arafahhh5574 6 месяцев назад
Mungu atakulipia na hao majambazi
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 6 месяцев назад
Selikari ya CCM ni majizi 99%
@oyay2821
@oyay2821 5 месяцев назад
Chama Cha Maharamia
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 5 месяцев назад
Yaani kama tungeweza tusiwape kura kabisa ,maana wanongea kwa kiburi ,hawatujali ,wanajijali wao tu, wanajilimbikia mali ili hali sisi tuanakufa na umaskini ,maisha yamekuwa magumu ili hali wanaishi kama malaika . So sad
@YusufFamau-w2x
@YusufFamau-w2x 2 месяца назад
Nimeumia sana nimeishi nae na nimelea watoto wake wakiwa wanaishi urambo mtaa wa majengo ya tabora Allah akuweke pahal pazur
@user-tn7ic2ky3i
@user-tn7ic2ky3i 6 месяцев назад
Makonda Makonda Makonda nakuita Mara 3 unaona serkali unayo itetea hata imenzarau Makufuli kweli hivi wataenda kwa wananchi utawaambia nini na Juwa Mungu atawalipa nyinyi nyote mulio sababisha umauti wa Ramadhani
@amanimyolo1478
@amanimyolo1478 5 месяцев назад
Tena wataanza kuungua hapahapa duniani
@muturidorcas6798
@muturidorcas6798 Месяц назад
Pole sana hata hivyo mshukuru Mungu bado una afya njema
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 месяцев назад
Wamemdhulum huyu m2 lakini kila alie husika Allah atamhukum hapa hapa duniani na wa2 watashuhudia
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 6 месяцев назад
sema iyo bunduki hajaitendea haki kabisa ilitakiwa jino kwa jino
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 6 месяцев назад
Allah awazalil8she wote kamakweri wamemxurumu nafsi yake. Inaumiza sana Ila Munguyupo atawalipa kwani akuna atakae baki
@arthurdonnietello9691
@arthurdonnietello9691 6 месяцев назад
Amin
@user-im9zj7wv1m
@user-im9zj7wv1m 6 месяцев назад
Amiiin 🙏
@heritier5119
@heritier5119 6 месяцев назад
Ah wapi
@sofiaantonioantonio7265
@sofiaantonioantonio7265 6 месяцев назад
Wote walio husika Kudhulumu haki ya huyu Baba Mungu na awahukumu!
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 6 месяцев назад
Achana na maswala ya Mungu hapa duniani ni vita alitakiwa kuwa maliza mtandao wote .
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 6 месяцев назад
Mungu kwanza yeye ndiyo analipa kilamtenda mabaya. Duniani na Allhlah Kamanimtukamuua huyu baba atakiona chamoto sijuiyeye atakufaje mana hatobaki
@user-ut3gf1tg2n
@user-ut3gf1tg2n 6 месяцев назад
Unamtoa Mungu embu acha ujinga wewe​@@kaaakwakutuliaa5179
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 5 месяцев назад
Hivi Mama Samia haoni haya,badala ya wafanyabiashara kutiwa moyo na kuwezeshwa wanadidimizwa,inatakiwa wafanyabiashara wanyanyuliwe hata kama ni kwakusamehewa kodi,hili suala linawachafulia CV viongozi wa nchi
@user-vs2nf8qe1x
@user-vs2nf8qe1x 6 месяцев назад
Inalillah wa inaillah Rajuuun ,Haki tutaipata siku ya Hukumu Duniani tuishi kwa Tahadhari tu pumzika salama Mzee wetu .🎉🎉🎉😢😢😢
@fredgonga
@fredgonga 6 месяцев назад
Mimi sasa hivi nafundisha watoto wangu jinsi ya kwenda kuishi inchi za watu... Hii ni dunia yetu sote.. hii inchi ni taabu tupu uwe na hela usiwe na hela.
@noelbryson7840
@noelbryson7840 6 месяцев назад
Upo sahihi kabisa ndugu..
@pascalntandu1217
@pascalntandu1217 6 месяцев назад
Alafu watu waje kuleta mitaji yao nchi hii kufanya biashara;mtasubiri sana nchi ya ajabu sana hii.
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 5 месяцев назад
Walimvuta wakijua watammaliza na watamdhulumu haki yake ..
@YusufFamau-w2x
@YusufFamau-w2x 2 месяца назад
Duuuuh siamin jmn polen sana wadogo zang Sharifu,karmu,najaty najua maumiv mlionayo kumpoteza baba nawapenda na nawamis sana ni mda sasa tumepotezana
@philipomwazyunga4572
@philipomwazyunga4572 6 месяцев назад
Daah inasikitisha sana...am shocked,
@SurprisedAtom-vp5qe
@SurprisedAtom-vp5qe 6 месяцев назад
Hamza hamza hamza nimekuita mara 3 tunaitaji watu kama ww mzee asingejiuwa mwenyewe angeenda huko tra awe kama hmza
@antidiusalfred4686
@antidiusalfred4686 6 месяцев назад
Lingekuwa jambo jema
@Ernestlaiza
@Ernestlaiza 6 месяцев назад
Angekufa hata na watu wa tra kama kumi kwakua ana silaha
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 6 месяцев назад
Yaniiii duuu kunakutu siyo bule lala salama mzee pole kwa familia
@henryyuda2989
@henryyuda2989 6 месяцев назад
Mmmmm inaumaaaaa sanaa
@daudiniyonsaba1113
@daudiniyonsaba1113 5 месяцев назад
Japo kuwa magazeti mnatangaza kuwa amejipiga risasi; nahisi, ameuliwa! Kujipiga risasi ni kisingizio tu! Tunaomba uchunguzi wa kina na ufanywe na FBI.
@user-jj3nc9rn2q
@user-jj3nc9rn2q 6 месяцев назад
Daah! Inauma sana 😢😢😢
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 6 месяцев назад
Daa inasikitisha sana!😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@frankraphael7546
@frankraphael7546 6 месяцев назад
Makonda makonda unaona Aya madudu ya chama chako kweli waziri mkuu anajua yote Aya mungu anawaona
@naimatemba8061
@naimatemba8061 5 месяцев назад
Huyu majaliwa kwa nini asijiuzulu kwa hichi kilichotokea
@christianlutego1288
@christianlutego1288 6 месяцев назад
Mungu wetu, atawalipia wanyonge, Mungu tunakuomba, tenda
@selemsigala4771
@selemsigala4771 6 месяцев назад
Kwakweli inauma sana Mungu akupokee maana kupitia ayo yote akuna anaejua vita uliokua unapigana Mungu ibariki Tanzania.
@heritier5119
@heritier5119 6 месяцев назад
Mungu na shetani hawapokei mtu aliyejiua
@gorettimtungwe9011
@gorettimtungwe9011 6 месяцев назад
inaumiza huyu Mz. amejipingania haki yake huwezi amini watanzania tunaoneana
@winfredkaroli5065
@winfredkaroli5065 6 месяцев назад
Duuu!!? Muha mwenzangu pole sana mungu anawaona ,yan hii nchi sijui kama inaviongozi ,yani mda wote huo hawakumsikiliza ?mpaka anaamua maamuzi magumu hivo!!?mm namuombea kwa mungu hiyo damu iwe juu yao waliomfanyia ushenzi huo na mungu akawalani
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 6 месяцев назад
Baba alikuwa na akili sana huyu Tena sana amepambana sana mpaka akachoka amewapa ushindi TRA wezi wakubwa ili wale vizuri pesa zake Pumzika salama Baba laana uliyowaachia sio ndogo. 😢😢
@amanimyolo1478
@amanimyolo1478 5 месяцев назад
Kweli jasho la mtu haliliki wataungua duniani mpaka kwa mwenyezimungu
@williamgeorge-hd2tn
@williamgeorge-hd2tn 6 месяцев назад
Daaaah inaumiza sanaa
@dignakanje4508
@dignakanje4508 6 месяцев назад
Ewe mungu tunahurumie.Kiukweli tunahishi kwaneema zamungu tu.Lakini hii nchi inawatu wenye rohoo zaajabu sana pamoja NAKUWA navyeo VIKUBWA mishahara mikubwa wanauwezo wakukopa wakupata chochote ndani yamadaraka yao,lakini unaweza kuteseka mpka ukakataa TAMAA yakuishi.Upumzike Kwaamani shujaa wetu mfanyabiashara uliekuwa unalipa Kodi mlipa Kodi Mtanzania mwema.
@nusalim3389
@nusalim3389 6 месяцев назад
Allah akurehemu akusamehe iwe umejiuwa au umeuliwa
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 6 месяцев назад
Eeeh mwenyezimungu uwalipe mabaya wale wote waliochangia kumdhulumu huyu jamaa yani damu yake haitaenda bure ni stress na mawazo kuona familia itaadhirika na ilihali alikua na mtaji wake itawagarimu wote walioshiriki na hawana mda mrefu mungu atawaonyesha wakati wa mungu ni sahihi
@smarty1064
@smarty1064 6 месяцев назад
Haitoshi
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 6 месяцев назад
@@smarty1064 Dua tosha hilo yani mwaka huu litajibu kwanza naskia walosababisha kumdhulumu huyo jamaa watu wanasoma albadiri ya dhulma
@AminaKweya
@AminaKweya 6 месяцев назад
😮😮
@NazaeliMollel
@NazaeliMollel 6 месяцев назад
Mungu hatanyamaza kwa hili
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 6 месяцев назад
MUNGU ailaze roho yake mahala pema Amina
@kazkaz1943
@kazkaz1943 6 месяцев назад
Hii nchi ngumu sana hata ufanyeje ni mateso tu
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 6 месяцев назад
MH. RAIS SAMIA....MH. WAZIRI MKUU....DA U YA MAREHEMU RAMADHANI IKO MIKONONI MWENU....NA WOTE WALIOHUSIKA KWENYE KASHFA YA KUMDHULUMU WA TRA WAWAJIBISHWE! FAMILIA YAKE ILIPWE HAKI YAKE!
@mussamalick1045
@mussamalick1045 5 месяцев назад
Inasikitisha sana .nchi hii inahitaji raisi mwwnye maamuzi magumu kama hayati Magu.tutamkumbuka daima
@ABSTemu
@ABSTemu 5 месяцев назад
Very Sad! Kwanini tunafanya hivi? Akili timamu kweli hawa watu wetu viongozi wetu?
@ednalugano2906
@ednalugano2906 5 месяцев назад
Kwa simulizi yake, ikiwa hakujiua wakati ule, taarifa kuwa kajiua linatia shaka.
@user-wj6zj1ly4e
@user-wj6zj1ly4e 6 месяцев назад
Uko kawaida sana kujipga risasi, tena mungu amekuongaza sana amepgana naww toka 2017 hadi 2024 mungu akuweke mahala salama mzee wangu.
@IrenePhilip-ek4lw
@IrenePhilip-ek4lw 6 месяцев назад
Wamemuua hii nchi jaman ishakuwa haina aman hatjazoea hv
@siyabamnubimohamed-yr9jx
@siyabamnubimohamed-yr9jx 5 месяцев назад
🤔wanasema kajiua 😢waongo, wamemuua huyu 😢
@user-pr6jq1st1q
@user-pr6jq1st1q 6 месяцев назад
Laaa inauma sana
@anosiata8242
@anosiata8242 6 месяцев назад
Pole sana kaka
@gwaluganosaiba629
@gwaluganosaiba629 6 месяцев назад
Pole kaka hii selikali hatari
@missarepafra3973
@missarepafra3973 6 месяцев назад
Haki ya kweli iko kwa Mungu hivyo pamoja na kuwa kimantiki una haki muombe Mungu kwani wanaosimamia dhamana wengi wao wanajifanya ni miungu watu, wanasahau kuwa yupo Mungu mkuu anaejua mambo yote yaliyo wazi na yaliyo sirini. Maisha yote tumtumaini Mungu wala tusiwatumaini wanadamu ambao nao wako chini ya hukumu. Kweli na haki huwa havifi vinaishi milele ila magumashi (njia za uongo) vina mwisho na mwisho huo ni mbaya. Mungu tutee tutee tutee.
@missarepafra3973
@missarepafra3973 6 месяцев назад
Mtangazaji Uwe na hekima ya kuhoji kulingana na hali ya maudhui ya unachohoji. Ktk jambo hilo kicheko kitatokea wapi??!!
@shamimukanju8402
@shamimukanju8402 5 месяцев назад
Pole kwa familia inauma sana
@braggadachu1723
@braggadachu1723 6 месяцев назад
Mungu atakuinua baba
@luthermajoji7300
@luthermajoji7300 6 месяцев назад
Kashajiua tayari, ni marehemu. INAUMA SANA😭
@user-se9no4rg3k
@user-se9no4rg3k 6 месяцев назад
Pole mungu akuondoleer adhabu ya kaburii
@heritier5119
@heritier5119 6 месяцев назад
Mungu apokei mtu anaejiua
@babuafya3446
@babuafya3446 6 месяцев назад
pale TRA angeendq kufanya kama hamza
@josephbizzy1813
@josephbizzy1813 6 месяцев назад
Una mawazo kama yangu yaani.
@ZachariaNgesse-el1ge
@ZachariaNgesse-el1ge 6 месяцев назад
Inaumiza xn 😭😭😭😭😭kwa mtu huyu ukimfatilia mkasa wake Mungu anawaona😭😭😭 hata waziri mkuu yuko ni mmoja wa wahusika kumzurumu ukisikiliza vizuri hii stor
@martinkisha6307
@martinkisha6307 6 месяцев назад
Ndiyo maana hawataki kuleta katiba mpya wanaogopa kushitakiwa
@mkombozifreshoil
@mkombozifreshoil 6 месяцев назад
Laaah Eee Mungu.
@JumaMambo-dp6bj
@JumaMambo-dp6bj 4 месяца назад
Kweli wa afrika mwafrika mwezao akiaza kupata mafanikio inakuwa shida ila wengine wa ngozi nyeupe ndio halali kwa mafanikio kweli wakoloni wameondoka ila wamebaki wakoloni uchwara
@dismasmtui729
@dismasmtui729 5 месяцев назад
Kumbe jamaa alikuja kujiua?!, very painful!.Hakika damu yake ni juu ya wote walioshindwa kutatua hili jambo lake!.
@apboy8944
@apboy8944 Месяц назад
Hii nchi ngumu we acha tu 😢😢😢😢😢😢
@user-qi2bt7mw4x
@user-qi2bt7mw4x 5 месяцев назад
Mama Samia,mana samia,mama samia, jmn Makonda,Makondoka, Makonda jmn Wazir mkuu Wazir mkuu jmn Wazir mkuu nyie ndio viongozi wateteze jmn mfuatilieni huyu baba inaumiza sana tunapinga umaskini lkn bado kumbe kuna watu wanahitaji nchi yetu watu wake wabaki kua maskini 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mussamalick1045
@mussamalick1045 5 месяцев назад
Alishakufa huyu.amefariki juzi juzi tu inasadikiwa amejipiga risasi😭😭
@lailafakhihaji
@lailafakhihaji 6 месяцев назад
Ivi viongozi wa nchi yetu hamuoni aibu watu mliowakabidhi kazi hawatendi haki kwa wananchi au hao trą mnagawana nao pesa trą imo mikononi mwa majambazi waziri mkuu mungu anakuona ivi kweli ulishindwa kumsaidia huyu baba mpaka amejiua mnawaogopa wafanyakazi mliowaajiri wenyewe kwa ajili ya rushwa hatuna imani na serikali yenu
@vickylupemba6055
@vickylupemba6055 6 месяцев назад
Jmn imeniuma kupita kiasi, miaka yote Hii hakuna solution. Dada pia mkewe waliadhirika. Hakika ni wangapi wanapitia Haya🙏🏾
@reginas1832
@reginas1832 6 месяцев назад
Viongozi au majambazi na wauwaji
@lailafakhihaji
@lailafakhihaji 6 месяцев назад
@@reginas1832 viongozi ndio majambawazi wakubwa wateuliwa wsuwani yaani ni team
@oscarwasenga1333
@oscarwasenga1333 6 месяцев назад
Pole ndugu jamani
@amanimyolo1478
@amanimyolo1478 5 месяцев назад
❤❤❤
@edmundmakoye7322
@edmundmakoye7322 6 месяцев назад
Mungu muhukumu wa haki yupo!
@siyabamnubimohamed-yr9jx
@siyabamnubimohamed-yr9jx 5 месяцев назад
🤔wezi wanalindana
@kingsofa6006
@kingsofa6006 5 месяцев назад
😢
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 6 месяцев назад
hiyo Bunduki haja itumiaa kwa haki ,ilitakiwa amtafute kwanza alie sababisha iyo hasara ,akafuta theni akaenda kwa yule mwingine ana leta nyodo akafuta ,angefuta watu kama watano hivi. ili hata kwenda mbinguni wangekua safari moja saivi kawaacha hapa duniani wanaendelea kutusumbuaa.
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 6 месяцев назад
Mungu akutie nguvu hii ni dhuruma ya wazi
@sadasaid7212
@sadasaid7212 6 месяцев назад
Inna lillah wa Inna ilayhi raajiun 😭 m kumbe ulijiua mzee wangu!!! Kwaniniiii!!!!!? Imeniuma Sana kwakweli
@ghostballcone531
@ghostballcone531 6 месяцев назад
TRA ni majambazi, mzee ungeondoka ata na watano tu!.
@miraculolopa
@miraculolopa 5 месяцев назад
Nimegundua tanzania kuna mauaji sana Ila ya chini kwa chini 😮 Hujajiua wamekuua mbwaa hao
@user-oo1vz3zi1t
@user-oo1vz3zi1t 6 месяцев назад
Hvi kweli mliosababisha yoote yaliyomsibu huyu baba mnaami ni kweli mmeumbwa na Mwenyez Mungu
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt 6 месяцев назад
Hawana hofu ya Mungu hawa
@norbertkyando
@norbertkyando 5 месяцев назад
😊😊.
@alexkamba5264
@alexkamba5264 6 месяцев назад
Da Mungu atunusuru.
@modestamashoke9038
@modestamashoke9038 6 месяцев назад
Mhe: Rais tunaomba haki ya huyu mtu itendeke hata kama amefariki familia yake ilipwe hizo pesa,
@hawakiza6067
@hawakiza6067 6 месяцев назад
Kabisa
@injilinjeyakutazakanisa
@injilinjeyakutazakanisa 6 месяцев назад
Kuna kazi ukikosa laana, ni neema tu. Lkn ni lazima
@AminaKweya
@AminaKweya 5 месяцев назад
❤🎉
@AthumanDauda
@AthumanDauda 2 месяца назад
Ccm kweli mnavaa nguo zenu mnatembelea v8 mnasababisha kifo cha ntunzwe kisa kudai haki yake innalilahi wainnailah rajiun pumzika Kwa aman 🕯️🕯️🕯️😭🕯️ nch hi inagiza totoro
@user-dz4ob1xj8g
@user-dz4ob1xj8g 6 месяцев назад
INNAA LILLAHI WAINNAA ILAHI RAAJIUN HUYU MZEE TAYARI AMESHAFARIKI TAARIFA KUTOKA URAMBO TABORA
@user-fl1xz3ln3c
@user-fl1xz3ln3c 6 месяцев назад
Innalillah wainnalilah rajiun 🙏🙏
@user-ir5mc7vk8b
@user-ir5mc7vk8b 6 месяцев назад
Ni Bora kumtumainia Mungu kuliko wanadamu
@apboy8944
@apboy8944 Месяц назад
Mbn hao police na TRA hawasumbui biashara za akina Moh, Bakhresa na Gsm?
@laylayl5166
@laylayl5166 6 месяцев назад
Yaani nyie mliomdhulum huyu baba mungu atahukum mmechangia sana hili laleo
@user-du6su6mh1h
@user-du6su6mh1h 6 месяцев назад
Nch yetu ni yatima tutapata Rais 2025 ..na wote wanaojiona ni wanyonyaji watanyea debe juani
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 6 месяцев назад
Mwandishi wa habali badilisha hio logo ya mailing mbona imechakaa sana inatia aibu😂😂😂😂
@muhammednassor690
@muhammednassor690 6 месяцев назад
Haki ipo kwa mungu
@fredyfile623
@fredyfile623 6 месяцев назад
Mwenyezi Mungu akupumzishe kwa amani ulipambana sana lakini hii serikali ndo hivyo tena.
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 месяцев назад
Wamemdhulum huyu mjaaa wa Allah
@NjooAustralia
@NjooAustralia 5 месяцев назад
Kitu Tanzania mnatakiwa mjifunze ambacho wazungu wamekifanya kwa muda mrefu, ni kushirikiana kuwa na kundi la wafanya biashara mnafanya pamoja kitu kimoja (corporate company). One man show mara nyingi utakwama tu hamna kingine unatafuta hapa duniani...utachoka manake unashindana na kundi la wafanya biashara wa kihindi na waarabu ambao ni group. Waafrika hata souz africa bado wanafikiria ku run things alone... hiyo haiwezekani milele ndio maana tunajikuta tuna fikia mwisho huu! Ahsanteni Mungu awape ufunguo wa kuona hilo mapema...
@omarykabonga908
@omarykabonga908 5 месяцев назад
Ukiwa mfanya biashara lazima utafute rafiki mkubwa awe polisi na tra
@jediokokoma8670
@jediokokoma8670 6 месяцев назад
Hii CCM mnatawala kwa Damu za Wazalendo wa Nchi hii ya Tanzania
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 5 месяцев назад
Kwanini huwezi sikia mfanyabiashara wa Asia yanawakumba haya , jamaa wanajua maafisa wa ushuru wa TRA wananuka Rushwa kwahiyo hutumia huo mwanya , Ndo utakuta wanao ongoza kuwa mijengo ya Maana Ni wao, Rushwa wanaipata wapi? Kwenye makadirio ya kulipa Kodi, lipa hii au hii , kama huchukui Rushwa vita ya Rushwa huwa Ni nyepesi Saaana tena mno
@dayana5513story
@dayana5513story 5 месяцев назад
Dunian kuna binadamu wanatisha utafikili wataishi milele
@user-wk1ix1gm1p
@user-wk1ix1gm1p 5 месяцев назад
Innalilah wainaillah rajiun 😭😭😭
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 5 месяцев назад
Ukitaka kujua Wanasiasa wana roho kiasi gani na hawana Nia ya dhati ya kumkwamua Mwananchi wa kawaida atoboe, fuatilia sakata la huyu jamaa tokea mwanzo, utaona unafiki ulioko kwenye Maisha ya watu, utamsikia Mwanasiasa tudumishe Kiswahili na shule zetu mitaala iwe ya Kiswahili kuanzia KG hadi class 7 , Sasa Ni Kiongozi gani anaesomesha mtoto shule za mitaala ya Kiswahili, kama kweli wana Nia ya dhati ya kudumisha Kiswahili mbona Karb watoto wao wote wanasoma international au English medium schools, hili Ni dogo tu , ukiona Mwanasiasa analefanya jambo la maendeleo Ni Ku draw attention tu ili aendelee na kuchaguliwa lakini Nia ya dhati au sera za kulimlinda Mzawa ktk uwekezaji hakuna na kama ziko sakata la huyu Mzee lisingefikia hapa
@saudmohammed3390
@saudmohammed3390 5 месяцев назад
Inasikitisha saaaana
@kaguripenina63
@kaguripenina63 6 месяцев назад
Mm nashangaa wanao shobokea ccm ujue hayajawakuta
@oyay2821
@oyay2821 5 месяцев назад
Chama cha Maharamia
@lusubilomwaisunga3893
@lusubilomwaisunga3893 5 месяцев назад
Mungu Skype haki yako
Далее
😱ЖИВОЙ Чехол на Айфон🤪
00:38
Просмотров 273 тыс.