Taifa la Mungu/ Wana wa Israel walioandikwa kwenye bible sio hawa ma zionists children killers coming from European countries🙌 watu hawana maarifa wanashabikia tu propaganda😢
Napenda Sana watu wanaofanya research kma nyie,...watu wengine wakiskia Israel wanadhani ni Israelites...kuna Israelis and Israelites,... kuna wajinga wengine wanadhani zionists/Israel/white supremacists hawa ndo Israelites wa kwenye biblia
@@princegerard4704 huna unachokijua ata ngoja nikufunze kitu...akujawai kuwa na taifa linaloitwa Israel kabla ya 1948...wanaotajwa ndani ya vitabu vya dini ni wana wa Israeli,...israel ni jina Jacob/yakobo...Jacob alikuwa na watoto wa 12,waliyokuja kujulikana kma Israelites,yaliunda makabila 12...ndo maana unaskia Wana wa Israeli,Yani Wana wa Jacob...wale walikua ni Israelites...walikua wakiishi Palestine,...1948,baada ya wayahudi kuuliwa Sana Europe wakaja na idea ya kuwa na nchi yao ya kiyahudi...Uganda ilikua moja kati ya nchi ambazo zilikua chini ya ukoloni,na waingereza wakataka kuwapatia Uganda wayahudi waunde nchi yao,ya kiyahudi...lakini haikutokea,wakaenda Palestine,Britain na allies walikua wameshinda vita vya dunia walikua na nguvu wakaamua "kuwapatia" wayahudi wa kizayuni/Zionists iyo ardhi ya Palestine,...iyo nchi ndo wameita israel,...iyo ni 1948 juzi tu its now 75 years...waliita iyo nchi israel wakijua kuwa watakukoroga ili uamini ndo wana wa israeli wale wa biblia....wale ni wazungu kutoka marekani,germany,britain,italy,...
Nilijua tu Kama Hamas itashinda tu maana Nilijua tu Kama wataumia maana huwezi pigana na watu wapo kwao duh 🙄 Israel 🇮🇱 hawezi kushinda pale tunamsheka tu pale tunamuona sasa kituko na mjinga mkubwa sana 😀😀😀😀😀
Bro wewe nimekukubali Allah akubariki sana wewe ni tofauti sana na yule Mpoki Buya Mwendagasi ni mkorofi na mdini sana eti ansema yeye ni Myahudi jamaa kauzu sana Dj Smak tuko pamoja sana
kwanza mi kitendo cha kusikia mpaka sasa Hamas wapo ndio naamini hao ni Frredom Fighters na nawaombea kwa Mwenyezi Mungu kafir yeyote atakayeingia mikononi mwao shingo yake iwe halali yao
Mungu tu asimamie upatano upatikane Mana watu wasio na hatia wanakufa Sana hasa watoto wazee kinamama tna na wengine ni wajawazito wagonjwa mahospitalini jamni tufunge kwa maombi kila mmoja wetu amani ipatikane
Kwenye comment wakristo ndio wanaojifanya hawamuelewi Dj sma lkn kwa uwezo wa allah ipo siku mtaelewa tu kma allah alivyoahidi (karibuni mtajua kua sivyo hivyoo)
Tatizo watu hawana elimu, waislam mnadhan Israel ni taifa la Kikristo la hasha haiko hivyo. Takwimu ziko hivi Wayahudi 79% Waislam 18% Wakristo 3% KWA HIYO HIYO VITA NI YA WAISLAM VS WAISLAM ISRAEL wakristo ni wacheche sana
Tatizo lako umekurupuka nioneshe taifa lolote la kiislam walio amka na kuanza kupinga unyanya saji wa Israel zidi ya Gaza sisi wakristo ndo tunao amka na kupinga kelele vita viishe
DJ SMA Kwetu sisi ambao tuko nje ya group tafadhali usitusahau kututumia vigongo vipya kila siku hapa RU-vid. Tunakumiss sana kwa uchambuzi wako wa RussoUkrain war na siasa za kimataifa.
TAFADHALI MAANDAMANO YANAYOENDELEA DUNIANI NI KUWAUNGA MKONO WAPALESTINA NA SIO KUUNGA MKONO KIKUNDI CHA HAMMASI lakinUnaeleza vizuri sana tunamshukuru
Moyo umefarijika sana kusikia haya angalau kuona dua zimejibiwa.Na nyie waandalizi wa program hii pia munafungu lenu kwa Allah kwa kuangazia ukweli.Allah awezeshe zaidi
Bado tunakuona umo humu,bado hujatoka tu,inaonesha habari za humu zote zinakufaa na akili yako imefunguka, lkn vidonge ulivyopewa bado vimekukwama hujaweza kuvimeza
Mwenye Enzi Mungu awa shinde wa Israel na majeshi yao na wote wanao wa saidia wa Israel laana ya Allah iwe juu yao. Hasbuna Allah Wani'mal Wakiil ala Israel na wote wanao wa saidia wa Israel laana ya Allah iwe juu yao. Allahumma Ameen Yaarabil Aalamiin
Hakuna ushindi kwa hamas bro wakati raia wameisha Wana angamia😢sa ni ushindi Gani huo basi tu ni akiri ndogo inapo ongoza akiri kubwa na ndio Hamas. Sipo upande wowote binafsi napenda Sana amani
Kumbuka wao wanauwa raia hovyo lkn hamas wanauwa wanajeshi na adi Sasa ni zaidi ya wanajeshi elf tano wapo chini ya ardhi bado walojeruhiwa bado waliokua Machizi... Tel Aviv wananchi wanaandamana hujiulizi nn tatizo kwa kifupi Israeli imeumbuka vibaya sio tu kushindwa yaani ni aibu Ila tu netanyau kaamua kukaza fuvu.. Kifupi wananchi wanataka ajiuzulu na akijiuzulu ataishia jela