Тёмный

UKRAINE hali ni tete! WANAJESHI warudi nyuma URUSI ikishambulia na NGUVU, ZELENSKY asitisha SAFARI 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 72 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 290   
@ayoubali-x6n
@ayoubali-x6n 5 месяцев назад
Naomba like 20 Wana sns ..tunawashukuru xna kwa kutupatia taarifa kwa wakat .. Zerozensky mwisho wa cku mpk yy atakimbia na kuitelekeza nchi yake
@ezekiakiwovele7794
@ezekiakiwovele7794 5 месяцев назад
Yani wew hamna sauti unataka like
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 месяцев назад
Nimemtafutia sijasiona uliziweka wapi😅😅😅😅😅😅
@bishweko
@bishweko 5 месяцев назад
Combination hii ya wachambuzi inatupa uelewa mkubwa kimantick. ❤❤❤❤. Nashukuru sns kwa kulichukua wazo langu na kulifanyia kazi. ❤❤❤
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 5 месяцев назад
Asanteni sana kwa taarifa nzuri zimesomeka kitaalamu kabisa hongereni kwa uchambuzi mzuri wa kiwango cha Kimataifa
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 4 месяца назад
Hongereni kwa Habari na uchambuzi mzuri
@kassimbayuu
@kassimbayuu 5 месяцев назад
Conversation ya Leo yapo poa sana, fantastic job
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 5 месяцев назад
Dj smaa alishatabiri japo wanao shabikia magaidi NATO na mharifu Marekani hawataki kusikia ukweli .
@ikramuselemani3272
@ikramuselemani3272 5 месяцев назад
Uhakikaaa
@fatmabukuku5384
@fatmabukuku5384 5 месяцев назад
Sns nawapata vizuri sana from Belgium
@mnaratailoring6346
@mnaratailoring6346 5 месяцев назад
Nawapata vema .nipo Namibia hapa windhoek. Napenda sana kazi yenu.
@nyawawawanyawawa935
@nyawawawanyawawa935 5 месяцев назад
Upo Windhoek sehemu gani? Khomazda Katutura Babylon ama Klein Windhoek. Hongera SNS kwa umbuzi uliochangamka
@thelaoban6236
@thelaoban6236 5 месяцев назад
Aise Dj Sma na Ally Masubi kwa kazi hii bila shaka mtakua mnapata pesa kubwa sana kwa uchambuzi wenu huu big up 👍
@thelaoban6236
@thelaoban6236 5 месяцев назад
Wazee wa Facts and Logic watu wakuunganisha…….
@PatrickKagiraneza-ok8cw
@PatrickKagiraneza-ok8cw 5 месяцев назад
Ongera kwa urusi.endeleya ku capa NATO n'Amerika...
@josephyapesa160
@josephyapesa160 5 месяцев назад
Bila michubuko unaweza kupata ukimwi?
@StevenTaylorx
@StevenTaylorx 5 месяцев назад
SnS is more than mainstream media..
@mpwaguzipwagu3199
@mpwaguzipwagu3199 5 месяцев назад
Nawapata vzr from Germany
@hemedmwipopo780
@hemedmwipopo780 5 месяцев назад
Ushindi kwa Urusi ni Ushindi Wadunia. Vipi hali ilivyo Gaza na hasa Rafah?
@annurmohamedi9824
@annurmohamedi9824 5 месяцев назад
Hawa Wagner kwel ni watu hatar sana maana sio kwa wanachokifanya huko Kharkov 🙌
@RamadhanpMwakilasa-di5hc
@RamadhanpMwakilasa-di5hc 5 месяцев назад
Eeeeh hiii urusi tuko pamoja na Putin jamn like zangu 🔥🔥🔥
@AbuuAli-nf4fb
@AbuuAli-nf4fb 5 месяцев назад
Huko pia wataondoka mwisho watakimbia kabisa na hao mashoga watazidi kupoteza pesa na silaha
@hajimaruzuku6583
@hajimaruzuku6583 5 месяцев назад
Sns tun wapata vizuri URAAAAAA
@kherisalum6304
@kherisalum6304 5 месяцев назад
Shoutout to SnS,,Dj.Smaa & Ally Masoud for wonderful Analysis 🔥🔥🔥🔥
@maneibaztv5943
@maneibaztv5943 5 месяцев назад
Watching live from Russia
@uwimana6533
@uwimana6533 5 месяцев назад
DJ esma nimchambuzi mzuri mrusi siomtuwakutania watu wanavyofikiria ,anaogopwa na wazungu wenzie
@Gulfnas1
@Gulfnas1 5 месяцев назад
Sio dj esma ni Dj sma
@uwimana6533
@uwimana6533 5 месяцев назад
@@Gulfnas1 mkono umetereza kuandika kwaio umekua mkosoaji
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 5 месяцев назад
@@uwimana6533😂😂😂😂
@djsma255
@djsma255 5 месяцев назад
Sauti ipo ili mtandao ukizidiwa kuna badhi ya watazamaji wanakosa sauti,
@bomonda2622
@bomonda2622 5 месяцев назад
Dj sma uko bright mashaalah
@jkifutu7936
@jkifutu7936 5 месяцев назад
Jamani mimi nipo bankoko nawapata vizuri sana ndugu zangu more love u guys
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 5 месяцев назад
Ndio wap uko ndgu
@Gulfnas1
@Gulfnas1 5 месяцев назад
Ndo wap huko kaka??
@omarisombi9284
@omarisombi9284 5 месяцев назад
Ahsanteni sana wachambuzi wetu kwa kazi nzuri ya kutulisha habari za uhakika na muhimu kwa maisha yetu
@kikongajoel2693
@kikongajoel2693 5 месяцев назад
KAZI nzuri
@PapaabdouAli
@PapaabdouAli 2 месяца назад
Mwenye Macho Hambiwi Tizama , Hizi Nimbinu za wakoloni , Ukiweka pesa Kwenye BANKI zao waziteka. Wa AFRIKA Tujifunze hili , Mpigwambili kapenda . VIVA AFRIKA ❤ VIVA BWANA RAIS PUTIN ❤❤❤❤❤
@kolokokoloko9276
@kolokokoloko9276 5 месяцев назад
Safi sana Sns
@thehomeoffootballskills4358
@thehomeoffootballskills4358 5 месяцев назад
wana sns hii ndo.aljazera ya bingo mnakimbiza yani BBC dw nw.days wanazidi poteza followers
@abcelectricalsolutions7000
@abcelectricalsolutions7000 5 месяцев назад
Sns mko vema sana, mnatujuza habari updates
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART 5 месяцев назад
I won't stop listening sns, I really like it
@CHRISTOPHERAMBEGE
@CHRISTOPHERAMBEGE Месяц назад
Nawakubali sana wazeee muendele na kutupa mpya.
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 5 месяцев назад
Mim nilisema tokea tunaanza SnS ni social media kumbwa sn kwa update kiukweli naipenda nimeachana na bbc na DW na cnn pia nikamua nibaki SNS.thaks u Sky
@peterchula1990
@peterchula1990 2 месяца назад
Uraaaaa urusi🎉🎉🎉
@georgebataze6625
@georgebataze6625 5 месяцев назад
Pia mimi niko Ukraine nawapata vizur sana Sns
@danielmbaga4596
@danielmbaga4596 5 месяцев назад
Uko Ukirein!!!!!!!!!k kama ndivyo una roho ya Nyau😂
@golebenson4597
@golebenson4597 5 месяцев назад
😂😂😂
@NuhuHamisi
@NuhuHamisi 5 месяцев назад
Oya wazee nakubali sana kazi zenu
@matukutajuma156
@matukutajuma156 5 месяцев назад
Mpo vizuri
@PapaabdouAli
@PapaabdouAli 2 месяца назад
AHSANTE SANA WANA WA( SNS ) TUNAKUFWATILIYA 100% KWA 100% , VIVA BWANA RAIS PUTINI , VIVA AFRIKA ❤ . Ali Adam . Visiwa vya KOMORO .
@rashadmohamed8341
@rashadmohamed8341 5 месяцев назад
Kazi nzuri brother
@ramadhandivele9019
@ramadhandivele9019 5 месяцев назад
Asanteni Kwa habari tupo pamoja
@MsangiwaMsangi
@MsangiwaMsangi 5 месяцев назад
Hongera urusi kwa kumshikisha ajabu mshirika mamuluki wa nchichi za magharibi
@DuniadjumaKatanangwajr-yh2dl
@DuniadjumaKatanangwajr-yh2dl Месяц назад
Napenda sana urusi
@bosssyedmund8785
@bosssyedmund8785 5 месяцев назад
The change has come
@godwinmandary5116
@godwinmandary5116 5 месяцев назад
Good
@EliasLomnyak-h8r
@EliasLomnyak-h8r 5 месяцев назад
asandeni sana
@ABUBAKARSUNUS
@ABUBAKARSUNUS 2 месяца назад
Natural sana
@Amosgereson
@Amosgereson 5 месяцев назад
Waaaa
@uwimana6533
@uwimana6533 5 месяцев назад
Hali nimbaya sana hata BBC imekiri hilo
@sonnyr1899
@sonnyr1899 5 месяцев назад
BBC siku hizi wamekuwa hadi wa pole
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 5 месяцев назад
BBC ni propaganda za Marekani,hakuna hata ck 1utakuta anawakosoa wa maharibi
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 5 месяцев назад
BBC na Ujerumani sy Redio zakusikiliza nizwamarelani zakupotosha ukli kumlinda marekani
@IshipalemyPasko
@IshipalemyPasko 5 месяцев назад
​@@emmanuelmlowe-ew7gxna wao sasa hivi wameanza kukubali muziki wa putini
@IshipalemyPasko
@IshipalemyPasko 5 месяцев назад
​@@sonnyr1899inabidi na wao wakubali tu sasa wataandika nini ilihali vyombo vyote duniani wanongea lugha moja ni urrusi tu
@KilimbikeHaji-iy2fm
@KilimbikeHaji-iy2fm 2 месяца назад
Safi sana urusi piga hao mashoga wa kimarekani na nato ili kulinda heshima Yako na heshima ya Sisi tusio na uwezo
@AlmachNestory
@AlmachNestory 5 месяцев назад
Kwa kila hatua Mungu awe pamoja na majeshi ya Urusi ya kamanda wa ulimwengu Rais Vladimir Putin, kwa neema ya Mungu wajaliwe kufikia malengo yao kwa wakati.
@PUTINN365
@PUTINN365 5 месяцев назад
Sauti
@MiramboMarieJeanne-xz6ys
@MiramboMarieJeanne-xz6ys 5 месяцев назад
Ok'mimi nakota'drc manyema asate kwa urusi
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 5 месяцев назад
Team mrusi tujuane👇👇👇👇
@deusisindwa616
@deusisindwa616 5 месяцев назад
Asnt sana kwatarifa nzr,, Warus weusi tunatembea kifua mbele Mungu amjalie afya njema Putin
@salumadam2862
@salumadam2862 5 месяцев назад
Sns hamna mpinzani ✌️
@johnthesimba4764
@johnthesimba4764 5 месяцев назад
Huku dj smaa 255 kule aly masubi..kama ni wali basi huu ni mseto uliokamilika
@NduwimanaIsmail-d5i
@NduwimanaIsmail-d5i 5 месяцев назад
Safi.sana
@johnnkelebe7360
@johnnkelebe7360 5 месяцев назад
Urussi ni jeshi kali zaidi Duniani. Zerenski asipo kaa meza moja na Urusi wamalize uhasama wao. Ukraine inapotea kabisa ktk ramani ya dunia.
@uwimana6533
@uwimana6533 5 месяцев назад
Ningumu kukameza moja vita haipigani Europa
@kelviinfocus
@kelviinfocus 5 месяцев назад
Ali Masubi ana information sana ila communication skills zake ziko chini... anaweza aka improve ! SNS Respect 💯👊🏾
@soudyhassan1511
@soudyhassan1511 5 месяцев назад
Duh
@martinndunguru7103
@martinndunguru7103 5 месяцев назад
Fire
@Beauthom
@Beauthom 5 месяцев назад
Kama unamkubali Dj sma na ally masubi weka like hapa
@NasraYusufu
@NasraYusufu 5 месяцев назад
❤❤ dj smaa❤❤
@mustaphaabbasihassani6519
@mustaphaabbasihassani6519 Месяц назад
SAFI sana
@KAMTUPE
@KAMTUPE 5 месяцев назад
Nipo hapa na sky, dj sm, ally masubi.
@dominic4727
@dominic4727 5 месяцев назад
Kweli
@Gulfnas1
@Gulfnas1 5 месяцев назад
Haya Ally anayo yaongea anageongea sma watu wa taarabu wangeanza ooooh anaegemea sijui nin na nn, ukwel hauwezi fichwa hata siku moja, sma huwa anaongea yale yanayo fichwa jmn sio kwamba anaegemea
@peterchula1990
@peterchula1990 2 месяца назад
Hii vita Ukraine aombe msamaha yaishe
@ShabanKarim-tv3vn
@ShabanKarim-tv3vn 5 месяцев назад
Leo mmeongea pwenti nakucambuwa vizuri naweredi mwingi❤
@MsangoDiesel
@MsangoDiesel 5 месяцев назад
Muunganiko wa ❤ djsma na ❤ Ally napata ratha kipekee hata wizara yetu ulinzi iwangize kwenye kuwa washauli sky hongera kwa kutuletea vitu adimu channel haina umbea na watu unao ongeza ubunifu zaidi❤❤❤❤❤
@golebenson4597
@golebenson4597 5 месяцев назад
Wizara ipi ndugu
@DismasMaturine
@DismasMaturine 5 месяцев назад
Walijichanganya kuushambulia Boligolod eneo la urusi yanayotokea Karkive
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 5 месяцев назад
Sauti gani mnayo isema mbona inasikika vizuri tu.
@RespinaRuben-qi6te
@RespinaRuben-qi6te 2 месяца назад
Kaka tunakupenda ila kwanini huchambui habari za Afrika nazungumzua buknafaso
@mutorojackson8847
@mutorojackson8847 5 месяцев назад
@ezekiakiwovele7794
@ezekiakiwovele7794 5 месяцев назад
Sauti hamna
@hassanimustafa-x3m
@hassanimustafa-x3m 5 месяцев назад
Uuuu Raaaaaa rasia ni super power jamani tunawafuta sana snaa tukiwa burundi
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART 5 месяцев назад
Licha ya vita vyote hivi anavopigana mrusi hatusikii kuuwa raia wasiokua na hatia ana deal na wanajeshi tu ila Zaonist Israel kule anua watoto na wanawake bila kujali mungu awalaani Israel na ampe nguvu Russia ashinde vita hivi
@clemantmalisawa3080
@clemantmalisawa3080 5 месяцев назад
Ushindi wa Russia 🇷🇺 ni furaha ya sisi wa Africa 🌍, why ninesema hivyo:
@abdallahkhalfan3966
@abdallahkhalfan3966 5 месяцев назад
Sauti imepotelea wapi
@erickhaule5591
@erickhaule5591 4 месяца назад
Back sound muhimj
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 месяцев назад
👍👊✌️.
@bogoheidaso2628
@bogoheidaso2628 5 месяцев назад
Uraaaaaa
@MussaMillano
@MussaMillano 2 месяца назад
Warusi weusi tujuane kwa like
@dominic4727
@dominic4727 5 месяцев назад
Mimi toka kologwe tanga mwana chama numba1 wa #sns
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 2 месяца назад
Ukraine wanasonga mbele,halafu urusi wanapotosha ,urusi waongo sana
@HusseinMohamad-pl2cf
@HusseinMohamad-pl2cf 5 месяцев назад
Mi niko NANDIMBA nawapata vizuri 😂😂😂😂
@asclassic504
@asclassic504 5 месяцев назад
First
@MedardMushobozi
@MedardMushobozi 5 месяцев назад
Jameni pelekeni watoto shule,Hawa wachambuzi wanatupa Raha sanaaa Urusi idumuuu.Putin For Victori
@EliasLomnyak-h8r
@EliasLomnyak-h8r 5 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@nomoboy152
@nomoboy152 5 месяцев назад
SNS kitu mnafanya ni kizuri ila Kuna namna Ali anatakiwa kukaa kimya au kusubiri mwenzake amalize kuchangia ndio aongee, obvious anajua but the problem anaingilia time ya mwenzie... Sio Kwa ubaya but itaboresha hii midaharo
@JansanMokiwa
@JansanMokiwa 5 месяцев назад
Nipo Ukraine nawapata vizuri 😢😢😢
@KhamisOmar-kt4kz
@KhamisOmar-kt4kz 5 месяцев назад
Ww si uko.kenya😂😂😂
@nicenice3881
@nicenice3881 5 месяцев назад
Mmetsha ✅✅🇹🇿
@JacksonNdundu
@JacksonNdundu 5 месяцев назад
Urusi Mungu airinde taifa ra ahadi
@lameckraphael3743
@lameckraphael3743 5 месяцев назад
Ali unaongea sana muachie pia Dj asma nae aongee
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 5 месяцев назад
Mm nko Tel-Aviv ingawa nawapata kwa shida lkn tuko pa1
@ezekiambise2595
@ezekiambise2595 5 месяцев назад
Nimependa hapo kwenye kudisable GPS system za silaa za adui.
@isaacramadhan9721
@isaacramadhan9721 5 месяцев назад
Wachana na kharkiv naona pia mji mkuu pia ukienda
@Gulfnas1
@Gulfnas1 5 месяцев назад
Baba Tours aka Zerozenky naku zoom kwa mbali...
@tyivbra
@tyivbra 5 месяцев назад
Ally is good but Sma is something else
@Kingo1410
@Kingo1410 5 месяцев назад
Kaka wote wanafanya kazi nzuri..Acha kuweka uzani Nani zaidi Yani kwaujumla wote wako vizuri kama mboga lazima iwe nakitunguu na chumvi.
@succeslifeeducation9868
@succeslifeeducation9868 5 месяцев назад
Kwangu mimi siku haiishi bila kupitia sns kumsikiliza dj smaa na all masudi ..wachambuzi waongezee hela kidogo waendelew kuwa na molarity yakuendelea kufuatilia maarifa na taarifa nyingi ..pia wape kbisa ajila official wawe sns kama watangazaaji wa media zingine kubwa kama redio and TV
@emanuelmasua7830
@emanuelmasua7830 5 месяцев назад
😊
@lukulomansour3087
@lukulomansour3087 5 месяцев назад
Naam wachambuzi wetu ahsanteni sio tu uchambuzi Bali Ni somo maalum tumefaidika mno!
Далее
Duniani Leo
29:55
Просмотров 3,9 тыс.
МЭЙБИ БЭЙБИ - Hit Em Up (DISS)
02:48
Просмотров 304 тыс.
3 лайфхака для УШМ
01:00
Просмотров 184 тыс.