Wallah nilitamani hii MAKALA utuadithie, ila sikujua nakupata vip sky, maana nimekutana nayo umu RU-vid toka 2017, nilirudia rudia kumtizama anavyonyongwa inauma sana kwakweli, kuuliwa bila hatia 😢😭
Mi huwa naona sisi watu weusi mungu hakutendea haki kabisa. Yaan kila kitu hatuna, maisha magumu afrika, tunazalauliwa hata katika nchi zetu, yaan kila kitu hatuna.😢😢
bas sawa tufike sehemu tujue wazi hawa watu weupe haki wamelaniwa toka enzi za watumwa bado mpaka sasa hivi wanatuigiza mjini ukiigizwa holword msanii umeisha chakwao nikpi namshukuru Mungu mrasha kwa kuwapa maarifa ueda nass tukaagaria picha tukajifunza jamani waafrika basi Mungu atosha
Daaha black lives matter❤harafu utasikia nitafutie mzungu 😏😏ubaguzi bado upo usipo Pambana ulaya ni noma sana rip george hizo damu za waafrica walizo mwaga zinawarudia huko marekani GOD SPEAKING
Haijawai kutokea kupendwa na hawa watu mtu mweusi ila kwakua kunakitu wanaitaji kwetu to ndio wanatuigizia upendo to Hadi Leo waafrica wanamaeneo Yao nawao wanamaeneo Yao hii to inadhihilisha kua wao nasisi nitofauti kabisa wanakutana na wale masikin wenzetu wenye mchanganyiko wanawaoa na kuolewa nao et wapo nao ulaya nakutamba bila kujua wapo chini ya maisha ya watu nakutumikishwa bila kijitambua
Marekani Ana historia mbaya sana ya ubaguzi, had sasa bado unamtaguna, cha ajabu anataka dunia iamini kama yeye ndo mstaarabu na mtetezi wa haki za biadamu,shame him