Тёмный
No video :(

KIFO cha MAUMIVU cha OTTO WARMBIER Mmarekani aliyeponzwa na WIZI, alichofanyiwa utaiogopa KOREA (N) 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 59 тыс.
50% 1

Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 140   
@abdornephotidas3848
@abdornephotidas3848 Год назад
Ninachojifunza hapa, nchini kama marekani inajali watu wake haijalishii popote walipo duniani...
@victorvancharlz9125
@victorvancharlz9125 Год назад
Unapoenda nchi za watu fuata mashart ya nchi husika. Acha kuleta uhuni na mzaha kwenye nchi za watu kwa kuhisi nchi yako ni bora sana kuliko nchi ulipo
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Subhannallah, walimpa sumu ya kumuua Pole pole au walimtesa.
@mariamjoseph3530
@mariamjoseph3530 Год назад
Nipo kwenye basi nainjoy kusikiliza hii sauti ya Mume wa mama Cameroon,,,i love this voice sichoki kuisikiliza
@deusraphael2954
@deusraphael2954 Год назад
Yaan habari inavosimuliwa unalazmika kuisikiliza hata kama haina impact ya moja kwa moja na maisha binafsi. Keep it skywalker
@shaibumkullu4478
@shaibumkullu4478 Год назад
Hizi makala nazielewaga sana dadeq🤝
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 Год назад
Napendaga sana simulizi zako.
@OnlyRuky
@OnlyRuky Год назад
Oooh Jamaaanii he was very young wangemsamee tu😢 Inalilahi Wainailahi Rajeehun. Sky asante 360🔥
@erastongussa2334
@erastongussa2334 Год назад
young and stupid , hayo ndio matokeo yake. ujuaji mwingi.
@cicihammy6976
@cicihammy6976 Год назад
Hawa wazungu wanapenda sana kuvunja sheria hata nchini mwao! Kwa nchi kama Korea Kaskazini lazima wakupe kibano maana wanakuona kama spy
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Год назад
Wanajiona ndo wenye dunia
@happynelson1136
@happynelson1136 Год назад
Tatizo alilofanya ni kutoa bango kwenye nchi yenye sheria kali la sivyo hayo yote yasingetokea
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 Год назад
360 ni 🔥🔥🔥
@petertino-rp4ks
@petertino-rp4ks Год назад
On top🎉
@Mina.15
@Mina.15 Год назад
I will never forget this I seen on the NBC 😢😢😢 I were pregnant with my first child.
@zachariamwita3926
@zachariamwita3926 Год назад
Alifanya Kama Wanavyo Jichukulia Vitu Hapa AFRICA Otherwise Pole sana Dunia Chungu Sana
@K25795
@K25795 Год назад
MAKALA 360 NA SKY NI KIPINDI NUMBER MOJA KWA SASA BONGO BORA SANA YA SIMULIZI ANAONGEA KIIIUFAZWAHA SIO KMA SIMULIZI ZAWENGINE SINAZOJAWA NA UZUSHII BIG UP SANA MWAMBA NAPENDA SNA KWA KAZI UNAYO IFANYA 🔥👏
@CollinMixon
@CollinMixon Год назад
Very Sad😢
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Год назад
Sad indeed; young and curious...alitaka memento au souvenir from North Korea, big miscalculation. Alikua mdogo sana and brilliant, hivyo inakua ngumu kujadiliana na vijana wa umri huo! Atakua ameteswa huko jela na bila hata ya viongozi wa juu kujua. Kama meno yalikua yamelegea, basi atakua amepata kipigo cha kuharibu ubongo...very sad indeed, and nothing can be done to NK as it's a nuclear time bomb by itself... 💣 Dunia inaiogopa sana hiyo nchi sababu hawajali and have nothing to loose. What untimely death 😔 😠 😡
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Год назад
Raia wa Marekani na Korea Kusini ni kama moto kwa nchi Korea Kaskazini
@peninacharles9757
@peninacharles9757 Год назад
Kerea Ni nomaa
@cleartzboy
@cleartzboy Год назад
Bundala napenda sana ukiwa unahadisia
@jamilajamal1584
@jamilajamal1584 Год назад
Hiyo wala sio nchii ya kuisogelea wallahi
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Год назад
Msimamo wao ni mzuri ndo maana hawapelekewi ujinga na wazungu
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 Год назад
Duh 😢😢😢😢😢 tutulie tu kwenye nchi zetu.
@gooddeeds162
@gooddeeds162 Год назад
😂
@shamyally9874
@shamyally9874 9 месяцев назад
Kbx kwa watu kubaya sana
@mohammedkombo9798
@mohammedkombo9798 Год назад
Asnte kwa makala hii. Post-mortem report, najua 🇺🇸 USA wapo number one, lakini itabidi tuheshim Dr 👨‍⚕️ alifanya post-mortem. ?? Botulinum not discussed!
@fatmadamasi6880
@fatmadamasi6880 Год назад
Nimejifunza kuwa lazima tuwe watu wazuri tuache tamaa asingeiba yasingemkuta pole Yao wazazi inasikitisha
@Mina.15
@Mina.15 Год назад
Especially inchi za watu
@veraisaria
@veraisaria Год назад
Simulizi na sky ni fire!!
@kalamamuller-qe1yd
@kalamamuller-qe1yd Год назад
North korea forever yeyote yule atakaye vunja sharia lazima ahadhibiwe
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official Год назад
Nchi mbaya sana jamani hii stay inaumiza sana,kama urusi wanavofanya watu ukienda kusoma huko naukawa nahakiri sana lazima wakufanyia mambo mabaya
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 Год назад
Hakuna nchi mbaya unachotakiwa ni ufate sheria za nchi husika
@sandromiyad8855
@sandromiyad8855 Год назад
Nakufwata ana kwa ana kutoka komoro 🇰🇲🇰🇲 big up sn sky
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 Год назад
Daah bango tu limemtoa uhai
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 Год назад
Ile nchi inavyotisha kwa masimulizi tu,watu wanapata wapi ujasiri wa kwenda NK????
@peaceking7241
@peaceking7241 Год назад
iyo nchi mfanowakuigwa
@moseskulola6913
@moseskulola6913 Год назад
Ina Uma Sana kama mzazi kweli
@johnjulius6619
@johnjulius6619 Год назад
Korea Kaskazini sio nchi ya kibabe, bali ni nchi inayofuata utaratibu wa sheria waliojiwekea. Hatujazoea utaratibu kama huu ndio maana tunashangaa.
@sayshabani6350
@sayshabani6350 Год назад
Kabisa nchi zote tulitakiw kuishi kw mishingi na sheria za nchi ze2
@ashminaabdulla8946
@ashminaabdulla8946 Год назад
Mmmh usichezee Wala chura hawaelewi kitu duh hatar
@Trys6254
@Trys6254 Год назад
noma sana aseeee ni fire
@cleartzboy
@cleartzboy Год назад
Yaan bundala nataman uwe unatoa hadith kila sekunde na sisi tutasapot brooo
@martingeorgenzali5614
@martingeorgenzali5614 Год назад
Naipenda Xana 3600
@kilogreekachananawatuwasio4054
Nawakubari makala yanu🙏🇹🇿🇬🇷
@susankitila2898
@susankitila2898 Год назад
7:09
@alainkubwimana5061
@alainkubwimana5061 Год назад
Nawapenda sana makala haya napenda yawe muda kwamuda
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 Год назад
Bro unaelezea vizuri mno yaani hata kama unatuongopea basi uongo umesimama wima kama nyeti za tumbili yaani tunakuelewa vizuri sana na tunapata utulivu mno kwenye kukusikiliza…😂
@georgemhalla8853
@georgemhalla8853 Год назад
Haaaàaaaaaa
@danieellaura1588
@danieellaura1588 Год назад
Ni kweli hii stori
@tecratzmwakyambomwakyambo7243
Sanaa yaani unainjoy tu
@gseventz4663
@gseventz4663 Год назад
Wapili leo
@victormneney1307
@victormneney1307 Год назад
Hao askari wa NK wamechoka huenda hawali rushwa wala posho Ningekuwa NK hapo nikosa kukosoa Afya ya Askari Hii nchi inaongozwa na Belzebull Kwenye Bible kuna Nebukadrzza sishangai ila ufalme kama huo hau dumu cheki Julias kaiser mfalme Gogu wa bashan Mfalme Nimrod Nirou Farao nk
@nibogorabella5804
@nibogorabella5804 Год назад
Niatari
@happynelson1180
@happynelson1180 Год назад
Kwa nini watu wanaenda korea kaskazini kwenye sheria kali nchi zenye sheria kali mimi siwezi kwenda wala siwezi kuishi huko
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 Год назад
wewee🤣🤣🤣🤣🤣
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 Год назад
Hutaweza cos waafrica ni watu wa mzaa mzaa kila mahali hadi kwenye mapenz
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Год назад
Dah😢
@ayshaamour9950
@ayshaamour9950 Год назад
Huzuni tu😢
@aishamatangamatangamatanga1344
Daaah 😢😢😢
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay Год назад
walimpiga sindano huyo ili hasiende simulia kilichomkuta ndani! Husicheze na hawa jamaa wasiokuwa na dini!
@LevinaMichael-oy8cu
@LevinaMichael-oy8cu Год назад
Mmmmh Bora nibaki nyumbani niwe naona magorofa kwenye tv
@ywydhhd7941
@ywydhhd7941 Год назад
😅😅Kwan unaishi nchi gani? Isiyokuwa na maghorofa, Ikienda nchi za watu ni kuwa tu mpole na kushika kilichokupeleka Zaidi ya hapo yatakukuta tu
@prospermbwambo2265
@prospermbwambo2265 Год назад
Simuliz nawakubali sana kama navomkubali diamond plutnimz
@khurlainashly5686
@khurlainashly5686 Год назад
😢
@modycadabra8721
@modycadabra8721 Год назад
The sky walker on duty
@edithajohn9600
@edithajohn9600 Год назад
Ila wakorea wanaroho mbaya
@ayk20
@ayk20 Месяц назад
Ndo maana husikii itikadi za kishoga,ndoa za jinsia moja na madawa ya kulevya
@jeremialyati6092
@jeremialyati6092 Год назад
Fifth comments 🔥🔥🔥
@simonitolya8029
@simonitolya8029 5 месяцев назад
No,alifanya kitu kisichotakiwa sabab sio kitu kilichompeleka,alikosea pia
@khurlainashly5686
@khurlainashly5686 Год назад
Daah inasikitsha
@ndrwdotts4347
@ndrwdotts4347 Год назад
Kama umekaa kaa kuvunja sheria usiende north korea
@ndikumanaismail5419
@ndikumanaismail5419 День назад
Oto alikoseya kwababu korea watu wanaihogopa yeye kwa nn kachukuwa iyo pictures 🖼️? Na serekali ya Korea walikoseya ju Oto alikiri kosalake !
@yusterjohn3296
@yusterjohn3296 Год назад
Wachina watakuwa walimwekea kitu mwilini ili afe
@nadhifahassan3791
@nadhifahassan3791 Год назад
😢😢😢😢
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Год назад
💔💔💔
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Год назад
Aiseee walimnyoosha vibaya mno nilikuepo
@GracieTyno
@GracieTyno Год назад
😂😂😂😂
@pendo8082
@pendo8082 Год назад
😂😂
@lisaadolf2519
@lisaadolf2519 Год назад
Kijana unakitu utafika mbali😂😂
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣dah
@abdullymajid5073
@abdullymajid5073 Год назад
Nime penda kwa message yako cyo saw kwa ukatili kama uwi dah
@eddiemay547
@eddiemay547 6 месяцев назад
Korea hamuamini mtu hasa mgeni mmarekani ukifanya kosa lazima wakuuwe
@youngtomuller-vh2pu
@youngtomuller-vh2pu Год назад
Sinto muito nem para ir la nao quero.
@surusuru1994
@surusuru1994 Год назад
duuh😢mung wang
@missp1814
@missp1814 Год назад
Duh inasikitisha mno...ila marekani ndo wajifunze kuwa na adabu..pengine alifanya kama mzaha tu ila upande mwingine wanaona kama dharau ukizingatia history za hizo nchi lazima wakushikishe adabu
@israelmwasenga9288
@israelmwasenga9288 Год назад
Itakua alijisahau akahisi north korea kama marekani ambako wana uhuru kupitiliza
@luckyhardson18
@luckyhardson18 Год назад
Korea usikanyage hata sisismizi......... Huko ndo kwenyewe ndo maana wazungu hawapawezi wanakuja kutuonea sisi huku afrika.
@blackhunter161
@blackhunter161 Год назад
vp marekani hakurespond kwa lolote lile
@jacklinemolleli5238
@jacklinemolleli5238 Год назад
Walizuia meli ya korea kaskazin wakaiuza dolla m500. Wakaipeleka kwa wazazi wa otto kama compensation
@kachabisnea8815
@kachabisnea8815 Год назад
Dogo ujuaji ulimponza kudadadek vijana punguzeni majasho
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Год назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️🙏
@LuuKulaya-wi7uj
@LuuKulaya-wi7uj Год назад
Nimelia San
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita Год назад
Nina swali, @sky wewe unaweza kupeleka familia yako kutalii kwenye hiyo nchi? 😂 Mtazamo wangu ni kwamba demokrasia idumu milele - uwazi na uhuru ndo maisha ❤ na pia muwe mnasikiliza ushauri waswahili wanasema asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ni huzuni kwakweli ila pengine yote yasingetokea labda angesikiliza ushauri wa US dept state.
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 Год назад
Mkuki kwa Nguruwe police wa Kizungu wanawauwa Blacks American kila kukicha na hakuna hatua yeyote zinazochukuliwa
@easternyerembe7271
@easternyerembe7271 Год назад
Kuwa binadamu basi
@soundmale
@soundmale 5 месяцев назад
Alijikuta jeuri sana 🧐😁
@sulexseif1531
@sulexseif1531 9 дней назад
Wee jamaaa nowma sana wee mtu na nusu
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Год назад
Sasa Kumbe Alifanya Makosa Akiwa Anajua Shelia Za Nchi Iyo Tena Anatokea Taifa Kubwa Duniani Alistahili Jambo Ilo
@hamisimlonga6127
@hamisimlonga6127 10 месяцев назад
kwetu mwizi tunamchoma moto hao walimuhurumia sanaaa
@suleimanmselemsuleiman935
@suleimanmselemsuleiman935 4 месяца назад
Mwana kulitafuta mwana kulipata.
@kelvincharles2247
@kelvincharles2247 Год назад
NI US STATES OF DEPARTMENT SYO US STATES DEPARTMENT COME ON MAN
@LuuKulaya-wi7uj
@LuuKulaya-wi7uj Год назад
Ata nipate pesa mpak nibinuke sitokaa nikanyage iyo nchi aki ,rais wao mwenyew anatisha
@solomoneglesias9752
@solomoneglesias9752 5 месяцев назад
Walimchekecha🙄🙄
@mscantraah8210
@mscantraah8210 Год назад
🤔🤔🤲🏻🤲🏻🤲🏻🙏🏻🙏🏻😔😔
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 Год назад
hawa jamaa wana adhabu za kijasusi wanakutesa na vipimo vinashindwa kuthibitisha
@heritier5119
@heritier5119 Год назад
Alilitafuta mwenyewe
@jumanassoro1552
@jumanassoro1552 Год назад
Propaganda za wazungu kuitangaza vibaya korea kaskazini mbona wapo wengi wazungu wanatembelea ukikiuka sheria utaazibiwa kimujibu wa sheria
@mylasadick5189
@mylasadick5189 Год назад
Kwaio wafanyakazi wa iyo hotel ni Ma Spy
@kalamamuller-qe1yd
@kalamamuller-qe1yd Год назад
Kikawaida ukivunja sharia lazima uhadhibiwe kwahilo nina wapongeza north korea
@samirajohn6938
@samirajohn6938 Год назад
Acha kupongeza ujinga wewe walichofanya Korea niukiukaji wa haki za binadamu wanatakiwa walipe walicho kifanya
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official Год назад
Please sky tunaomba maelezo kidogo ya kifo cha Muigizaji wa Nigeria 🇳🇬 kimetokana nanini make tikitok ndo story lakini mimi huwa nakuamini wewe pekee kuanzia hasubuhi nachungulia kama umetuwekea nakuta bado Please musahada
@chainbre275
@chainbre275 Год назад
Ni mtoto wa muigizaji aliye agaa
@dj26number2
@dj26number2 Год назад
Kaka bundala msiwe mnakandamiza upande mmojatu kwenye habari !!!!! Funzo apo nikueshimu tamaduni na sheria za watu au nchii zawengine....mbona wenzake walirudi salama? Yeye uyo oto alizingua akazinguliwa📌🤣🤣 F**k 🇺🇸
@user-gbbentertainment
@user-gbbentertainment 5 месяцев назад
Mtoto akililia wembe mpatie
@zaujatnoah-ro6uj
@zaujatnoah-ro6uj Год назад
Mbona sauti yako inakata kata
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 Год назад
Jamaa cio wabaya hawataki nchi yao idharauliwe
@amawanda3082
@amawanda3082 Год назад
Wew ni mbaya c wao
@heritier5119
@heritier5119 Год назад
Hao jamaa sijui wamerogwa nini yaani mtu mmoja tu anawaburuza atakavyo
@khadijazungu8627
@khadijazungu8627 Год назад
HIVYO USHAONA MAREKANI INAVYOBURUZA RAIA WAKE NA HIO BASI NDIO NCHI SALAMA KWA SASA KWENDA KUISHI MAANA HATA MAMBO YA USHOGA HUTOYAKUTA 😊😊😊 FUNUWA UBONGO
@johnhanga-dp9ck
@johnhanga-dp9ck Год назад
Tena akakiri makosa kvp?alizingua sana
@geraldmbiyu6059
@geraldmbiyu6059 Год назад
Sio utawala wa kibabe
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 Год назад
Really? ndo maana hawa watu wanatuona Africa kama choo, hivi hatuna habari kama hizi africa kweli? Msinitukane, Tuna mabilioni Yamepotea kutoka kwenye taarifa ya CAG, Kweli channels zina muda wa Kupoteza kujadili wengine zaidi ya kujadili taarifa ya CAG? KWELI PUMBA SANA WAANDISHI WETU
@rahmaidd1246
@rahmaidd1246 Год назад
Andaa Chanel yako uongelee maswala hayo usiwapangie watu cha kuzungumza ktk chanel yao kama huwez unsubscribe
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 Год назад
@@rahmaidd1246 Ndo maana mnabakia kufuata mkumbo tu, khaaa kweli kazi tunayo kwa mijitu kama nyie
@nawandafamito500
@nawandafamito500 Год назад
Nenda CHANEL TEN, au ITV, hizo ndio Chanel za hayo mambo ya selikali na siasa hapa sio pahali Pake hayo mambo yako, alafu pia jifunze kua na utu heshima na hekima, hizo coments zako, zinavunja heshima kwa, watu wenye umri mkubwa zaidi ya wazee wako na, wenye hadhi ya ubinaadamu kuliko, huko kwenye UKOO wako, ndugu yetu heshima na hekima haviuzwi dukani, ni bure kabisaa, ila ÁFRICA wengi wetu hivi vitu kwenye família yani wazazi, hisia zangu zinaniambia , kwenye família yako mmekosa hivi vitu, acha ujinga hii, SNS ya, MTU binafsi, sio ya selikali na sio ya siasa, tumia 🧠 kufikiri.
@bakarinangulukuta1507
@bakarinangulukuta1507 Год назад
Brother, tunajua una uchungu na yaliyotajwa kwenye ripot ya CAG lakin hilo halitengui umuhimu wa kujifunza mambo mengine yanayoendelea ulimwenguni. Masimulizi haya ni funzo kubwa kwetu kwa sb kuna nyakati ambazo askari wetu wanapelekwa Korea kupata mafunzo hivyo itawasaidia sana namna ya kuishi huko
@erycah
@erycah Год назад
Wataongelea mambo ya CAG Kila siku? Kila mwandishi RU-vid ana uhuru wakupost anachotaka yeye. Wacha tunaopenda content za sky tumsikilize sky wewe katafute mwandishi anaongelea mambo unayoyataka na sio kuwatukana wenzako. Au la fungua wewe Chanel yako uongelee hayo mambo hakuna anayokuzua
@muhammedomaryshembilu8539
@muhammedomaryshembilu8539 9 месяцев назад
😢
Далее
ЛОВИМ НОВЫХ МОНСТРОВ В LETHAL COMPANY
2:42:22
Hur blev Vladimir Putin så mäktig, Martin Kragh
1:38:57
Angels & Demons: The Science Revealed (pt. 3 of 4)
8:56