Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web... Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Unapoenda nchi za watu fuata mashart ya nchi husika. Acha kuleta uhuni na mzaha kwenye nchi za watu kwa kuhisi nchi yako ni bora sana kuliko nchi ulipo
MAKALA 360 NA SKY NI KIPINDI NUMBER MOJA KWA SASA BONGO BORA SANA YA SIMULIZI ANAONGEA KIIIUFAZWAHA SIO KMA SIMULIZI ZAWENGINE SINAZOJAWA NA UZUSHII BIG UP SANA MWAMBA NAPENDA SNA KWA KAZI UNAYO IFANYA 🔥👏
Sad indeed; young and curious...alitaka memento au souvenir from North Korea, big miscalculation. Alikua mdogo sana and brilliant, hivyo inakua ngumu kujadiliana na vijana wa umri huo! Atakua ameteswa huko jela na bila hata ya viongozi wa juu kujua. Kama meno yalikua yamelegea, basi atakua amepata kipigo cha kuharibu ubongo...very sad indeed, and nothing can be done to NK as it's a nuclear time bomb by itself... 💣 Dunia inaiogopa sana hiyo nchi sababu hawajali and have nothing to loose. What untimely death 😔 😠 😡
Asnte kwa makala hii. Post-mortem report, najua 🇺🇸 USA wapo number one, lakini itabidi tuheshim Dr 👨⚕️ alifanya post-mortem. ?? Botulinum not discussed!
Bro unaelezea vizuri mno yaani hata kama unatuongopea basi uongo umesimama wima kama nyeti za tumbili yaani tunakuelewa vizuri sana na tunapata utulivu mno kwenye kukusikiliza…😂
Hao askari wa NK wamechoka huenda hawali rushwa wala posho Ningekuwa NK hapo nikosa kukosoa Afya ya Askari Hii nchi inaongozwa na Belzebull Kwenye Bible kuna Nebukadrzza sishangai ila ufalme kama huo hau dumu cheki Julias kaiser mfalme Gogu wa bashan Mfalme Nimrod Nirou Farao nk
Duh inasikitisha mno...ila marekani ndo wajifunze kuwa na adabu..pengine alifanya kama mzaha tu ila upande mwingine wanaona kama dharau ukizingatia history za hizo nchi lazima wakushikishe adabu
Nina swali, @sky wewe unaweza kupeleka familia yako kutalii kwenye hiyo nchi? 😂 Mtazamo wangu ni kwamba demokrasia idumu milele - uwazi na uhuru ndo maisha ❤ na pia muwe mnasikiliza ushauri waswahili wanasema asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ni huzuni kwakweli ila pengine yote yasingetokea labda angesikiliza ushauri wa US dept state.
Please sky tunaomba maelezo kidogo ya kifo cha Muigizaji wa Nigeria 🇳🇬 kimetokana nanini make tikitok ndo story lakini mimi huwa nakuamini wewe pekee kuanzia hasubuhi nachungulia kama umetuwekea nakuta bado Please musahada
Kaka bundala msiwe mnakandamiza upande mmojatu kwenye habari !!!!! Funzo apo nikueshimu tamaduni na sheria za watu au nchii zawengine....mbona wenzake walirudi salama? Yeye uyo oto alizingua akazinguliwa📌🤣🤣 F**k 🇺🇸
HIVYO USHAONA MAREKANI INAVYOBURUZA RAIA WAKE NA HIO BASI NDIO NCHI SALAMA KWA SASA KWENDA KUISHI MAANA HATA MAMBO YA USHOGA HUTOYAKUTA 😊😊😊 FUNUWA UBONGO
Really? ndo maana hawa watu wanatuona Africa kama choo, hivi hatuna habari kama hizi africa kweli? Msinitukane, Tuna mabilioni Yamepotea kutoka kwenye taarifa ya CAG, Kweli channels zina muda wa Kupoteza kujadili wengine zaidi ya kujadili taarifa ya CAG? KWELI PUMBA SANA WAANDISHI WETU
Nenda CHANEL TEN, au ITV, hizo ndio Chanel za hayo mambo ya selikali na siasa hapa sio pahali Pake hayo mambo yako, alafu pia jifunze kua na utu heshima na hekima, hizo coments zako, zinavunja heshima kwa, watu wenye umri mkubwa zaidi ya wazee wako na, wenye hadhi ya ubinaadamu kuliko, huko kwenye UKOO wako, ndugu yetu heshima na hekima haviuzwi dukani, ni bure kabisaa, ila ÁFRICA wengi wetu hivi vitu kwenye família yani wazazi, hisia zangu zinaniambia , kwenye família yako mmekosa hivi vitu, acha ujinga hii, SNS ya, MTU binafsi, sio ya selikali na sio ya siasa, tumia 🧠 kufikiri.
Brother, tunajua una uchungu na yaliyotajwa kwenye ripot ya CAG lakin hilo halitengui umuhimu wa kujifunza mambo mengine yanayoendelea ulimwenguni. Masimulizi haya ni funzo kubwa kwetu kwa sb kuna nyakati ambazo askari wetu wanapelekwa Korea kupata mafunzo hivyo itawasaidia sana namna ya kuishi huko
Wataongelea mambo ya CAG Kila siku? Kila mwandishi RU-vid ana uhuru wakupost anachotaka yeye. Wacha tunaopenda content za sky tumsikilize sky wewe katafute mwandishi anaongelea mambo unayoyataka na sio kuwatukana wenzako. Au la fungua wewe Chanel yako uongelee hayo mambo hakuna anayokuzua