Ndoo maana Mimi nilishakataa udhamini kwa watu na ndugu zangu utasikia msanii nyanda minziku hawezi toboa bila manager mbona nazidi kutembea na kutoa video Bora hata nipige kibarua nikipata aliemakini sio mnyonyaji tunapiga kazi Asante Sana dudu baya msanii nyanda minziku nimekuelewa
Dudu baya sio Kwa sababu ya uster wao.hayo yanatokana na malez watu kama hao hata kwao anaweza kumuona baba yake mzazi au mjomba wake hawez kusimama na kuwapisha bit wakubwa zao.Nimalez mabaya kutoka Kwa wazazi wao.
Dudu baya yapo sahihi nakumbuka top c kipind kutoka na chin ya. Babylon kisauji mze wa tik tok kwasasa aliekua namkataba m bovu akajaribu kuitoa radio zone za tz zikagoma kupiga nyimbo zake
@mohayussuf2057: Wasafi wanauwezo gani kuzuwia mtu asifanye mziki? Soko ya musiki siku hizi iko kigiditali tena iko wazi kwa yeyeote haibagui, na sio wasafi ndio wamiliki wa siko za mziki, yeyote anayeona anajuwa kuimba nenda studio towa ngoma were music platforms zote mashabiki watakukuta huko na Wasafi hawana cha kuzuwia na studio ziko kila corner
Maneno ya diamond baada ya harmonize kuimba mistari zake kwenye show ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-JC840H6TLj0.htmlsi=LbPTWDzSE6axoms-