Тёмный
No video :(

KIMENUKA! DUDU BAYA ATOA ONYO KALI KWA CHID BENZI AFICHUA CHANZO CHA KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA NILI 

Maks Media
Подписаться 141 тыс.
Просмотров 36 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 85   
@abelmwakipesile9868
@abelmwakipesile9868 6 месяцев назад
Waandish wa habari,mtafuteni konki anajua vitu ving sana kuhusiana na wasanii na mziki wa Tanzania Kwa ujumla
@AlFarsiy-er8xy
@AlFarsiy-er8xy 2 месяца назад
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@abelmwakipesile9868
@abelmwakipesile9868 6 месяцев назад
Fact dudu,Mungu akusimamie unaongea vzuri.
@TALLUBOY
@TALLUBOY 6 месяцев назад
Kweri brother dudubaya Umeongea vzl umeongea vzl Kibrand zaidi unatufunza sana Wasanii wachanga
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone 6 месяцев назад
Dudu baya
@Extension4353
@Extension4353 5 месяцев назад
Duh!! Baba wille kakonda mbaya aisee,, Ila ana madini hatari,,😢😢
@EmmanuelMwanza-ef9bf
@EmmanuelMwanza-ef9bf 6 месяцев назад
Yani tanzania ukiwa msema ukweli unachikiwa na watu wengi sana sijui kwanini
@FranklinMtei
@FranklinMtei 6 месяцев назад
Dudubaya anaongea sauti mbili kwa mpigo. Ya pili na ya tatu. Zimwi mtu!😊
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 5 месяцев назад
😂😂😂😂
@user-oq7dz5xi4d
@user-oq7dz5xi4d 28 дней назад
Kaka point tupu unaongea sema mmi nakuelewa sana
@giztony2009
@giztony2009 5 месяцев назад
Huyu jamaa anaongea point sana
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 6 месяцев назад
Mzee Putin nakukubali sana hupindishi kitu
@ismailmshana2828
@ismailmshana2828 5 месяцев назад
Mama yetu Mh Rais Samia suluhu Tulete dudu BAYA aka konki masta awe msemaji wa wasanii wa mziki wa kizazi kipya Tz taifa litafika mbali
@user-mj9kx3wo6m
@user-mj9kx3wo6m 5 месяцев назад
Dudu ...nakushauri andiika kitabu ...uelimishe watu...kweli watu wore Wana roho mbaya Sana wivu umetawala...watu hawajitimi kwenye KAZI starehe Zimetawala.
@user-pw8ml6ts8r
@user-pw8ml6ts8r 6 месяцев назад
Nikweli kabisa 🤜🤛🏼👏👏👏👏
@husseinallysuleiman4657
@husseinallysuleiman4657 5 месяцев назад
Braza dudu umezeeka kinyama nakupendu tu mimeno kama ngiri nakupenda tu ukitema mate yanadunda kitimtim haaaa huwwaa aluuu
@bbng9475
@bbng9475 6 месяцев назад
Bbng band inakubali nikwili✌️🌹
@user-rl3yh6ls7b
@user-rl3yh6ls7b 5 месяцев назад
King Kiba Fanya kumchukua huyu Dudu Baya umweke hapo crown fm angalao awe na kipindi kwa wk mara moja kinachohusu maisha na wasanii au apewe kipindi chochote kile ktk tasnia ya music na Imani tutakuwa tunaweka alarm kwa ajili ya kusikiza kipindi chake
@francissimime7449
@francissimime7449 3 месяца назад
Upo sahii
@user-ch3ku3yx2z
@user-ch3ku3yx2z 6 месяцев назад
Nondo za kweri bg broo kanunue nyonga mwenyewe😅😅😅
@fortuneakankizya5336
@fortuneakankizya5336 6 месяцев назад
Dudu baya umeongea story iliyomkuta faza. Yaani duh
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 6 месяцев назад
Mamba msema ukweli ❤❤❤
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 5 месяцев назад
😅😅😅😅😅
@bugybuster5788
@bugybuster5788 5 месяцев назад
Kweli kabisa binaadam cc wazuri machoni tuu
@Beni-qn6gr
@Beni-qn6gr 5 месяцев назад
Kwel broo wengi wameumia kwa mtindi huo wa kugongeana Kijiji umeongea ukweli kabisa saluti
@dominickkisulo8017
@dominickkisulo8017 6 месяцев назад
Daaah kweli asked🦾
@damaka_
@damaka_ 6 месяцев назад
bora uchelewe kupata ili uwe na akili za kutumia
@LovelyRacingHelmet-iv6ti
@LovelyRacingHelmet-iv6ti 6 месяцев назад
😅😅😅
@oswaldacleofas2803
@oswaldacleofas2803 6 месяцев назад
Fact konki anaongea
@nyembobea7285
@nyembobea7285 6 месяцев назад
Umesema kweli mkuu
@maximusalnono6425
@maximusalnono6425 5 месяцев назад
Nikiwa kama kijana niliepitia maisha ya kitaa namuunga mkono dudu ni kweli vijana wengi wamejikuta wakiingia kwenye madawa sababu ya kuchanganyiwa na wanaovuta nao rafki zangu wengi na wengine Mungu awasameh wameshatangulia mbele ya haqi waliingia kwenye madawa kwa njia iyo na naweza kusema ni asili mia kubwa sana wanaingia kwa kuchanganyiwa 🥲
@evanccast6228
@evanccast6228 5 месяцев назад
Kweliii konki master umenyookaa ✅✅
@mashokmapinda1707
@mashokmapinda1707 10 дней назад
We mtangazaji sio Mtwala ni Mtwara
@moriartys.192
@moriartys.192 5 месяцев назад
Mtu wa point sana, akili kubwa
@athumannassoro5073
@athumannassoro5073 5 месяцев назад
Yuhu hata mimi namdunda sasaivi
@TheConqueror__Yb
@TheConqueror__Yb 6 месяцев назад
Dudubaya awe mchungaji.
@nancyjohnson6620
@nancyjohnson6620 5 месяцев назад
Achunge nn😂😂
@fortuneakankizya5336
@fortuneakankizya5336 6 месяцев назад
Ni kweli unae ishi wakaribu aweza kua mbaya wako
@BINSIMBATEAM
@BINSIMBATEAM 6 месяцев назад
HUYU JAMAA ANGE PEWA NAFASI BASATA AU COSOTA LICHA YA ALI ZINGUA KUWATAJA MAPUNGA
@user-bi9pl4eu2o
@user-bi9pl4eu2o 6 месяцев назад
Good fact
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 6 месяцев назад
Biashara ya chupi dar ni ngumu😂😂
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone 6 месяцев назад
Hapo sasa nani alimwingiza mwenzake kweny unga
@standardtv3494
@standardtv3494 5 месяцев назад
Dudu baya anajua anajua tenaaaa
@lazarolaurent8800
@lazarolaurent8800 6 месяцев назад
Huwa nakuelewa sana kaka mkubwa. Huwa napenda sana Interview zako kwa sababu huwa unaongea ukweli
@ismailabas2447
@ismailabas2447 Месяц назад
Oya mamba wanaokutafuta ili wakuzuru waondo anayotakiwa ...........
@nelsonmaganya5391
@nelsonmaganya5391 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙊namkubali Sana
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 5 месяцев назад
Konk upo vzr kichwan bg up
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 6 месяцев назад
Putin wa bongo😂
@Sifam634
@Sifam634 5 месяцев назад
🙏
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 5 месяцев назад
Dudu baya nakumbuka hata wewe ulikuwa unakula bangi mlipokuja same na Mac D kufanya show pale Same High school Mlipiga show mkatoka nje mkawa mnakula bangi 😂😂😂😂😂😂
@JafariPilly-bc1tk
@JafariPilly-bc1tk 5 месяцев назад
Kubwa kuliko anasema ukweli.
@ottomanmkoveke8342
@ottomanmkoveke8342 5 месяцев назад
Huyu jamaa ni hazina ya bongo fleva munao husika mtunzeni
@SenzilaGrayson
@SenzilaGrayson 4 месяца назад
Dudu baya anaongee madini sana
@cassianclovis8706
@cassianclovis8706 5 месяцев назад
😂😂 kupigwa miti, kutafunwa
@jacksonamos2008
@jacksonamos2008 5 месяцев назад
Sio poa kabisa 😂
@saidabdalla8996
@saidabdalla8996 5 месяцев назад
Bongo kuna mijutu wanajuwa kujaza ela za wizi tu kwenye mabank yao akuna jipwa kabisa
@user-ti7nf4jc8g
@user-ti7nf4jc8g 5 месяцев назад
Tu nataka muziki mzuri hatutaki majungu
@samyspesho1698
@samyspesho1698 6 месяцев назад
Dah mbona kakonda sana mwamba
@geoffreyembasa8483
@geoffreyembasa8483 5 месяцев назад
Saumu kali
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 5 месяцев назад
ANA BALANCE BODY 😂😂😂
@mohamedswalehe4777
@mohamedswalehe4777 6 месяцев назад
Mkono wa kushoto kidole cha shahada dudu baya kimekuaje alipigwa na wahuni?
@abdimakame7929
@abdimakame7929 6 месяцев назад
👍
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 6 месяцев назад
✌️👍👊.
@loner_wolf
@loner_wolf 6 месяцев назад
Kombe la dunia Dubai......... Qatar bana ulimi mterezo😅😅😅😅
@abubakarymaulidy5681
@abubakarymaulidy5681 5 месяцев назад
Matako ya wanawake yanatembezwa kama vitumbua duh
@user-mv2bq3ci3b
@user-mv2bq3ci3b 5 месяцев назад
Vitumbua
@lucasbatano333
@lucasbatano333 6 месяцев назад
Kweli kabisa konki master
@brunoswai3559
@brunoswai3559 5 месяцев назад
Kumbe jamaan Ana akili hiv
@fredrickkakila9392
@fredrickkakila9392 5 месяцев назад
mlugaluga😁😁😁😁
@justinollomy5861
@justinollomy5861 5 месяцев назад
kipindi kileee walikulogaa nini mbonaa Sasaivii unaongeaa pointiii sanaaaa
@queenmilan2024
@queenmilan2024 6 месяцев назад
wewe dudy baya huku ulaya tuna vipindi 4 vya majira. sisi huku ulaya kuanzia mwezi wa 5 mpaka wa 9 ni joto. kwahiyo bi joto sana kushinda Dar. kwahiyo tunavaa nusu uchi. kuna sehemu maalum karibu na bahari au ziwa watu wanatembea uchi kabisa kama walivyozoea. sisi huku summer ni joto sana.
@svt3
@svt3 6 месяцев назад
@queen-qz9ep joto sio sababu ya kuvaa uchi acha kutetea tabia mbaya tumeishi Australia zaidi ya miaka 20 sasa na jua la australia inakaribia Qatar na Saudi Arabia kuna mara Australia juw ni kali kuliko popote dunia nzima ila sababu ya heshima hatuvai hata ki pensi cha kuonyesha mapaja na shall za matako narudia miaka 20 Australia ninyi labda hata bado mugeni wa miaka 5, 8 munajifanya it ulaya
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni 5 месяцев назад
Putin hahaha ujaoa ila ukiwa unarifresh akili bebe awe pemben
@francomwikwa2183
@francomwikwa2183 6 месяцев назад
Putin wa bongo
@weekendservicechoir
@weekendservicechoir 5 месяцев назад
lafiki yako, Mtwala, Gali, Latiba... Mhhh kwa utamkaji huu bado unasafari ndefu sana kaka mtangazaji
@RwegoshoraPatt-os2ik
@RwegoshoraPatt-os2ik 5 месяцев назад
Nahisi alimaanisha uharabun😅
@rabaakondo-jr8px
@rabaakondo-jr8px 5 месяцев назад
Mwezi amalizi tunamuaga
@Mohaa4309
@Mohaa4309 6 месяцев назад
😂😂😂😂
@HamisiHassan-oy6xz
@HamisiHassan-oy6xz 6 месяцев назад
Ukweli mtupu lkn kuhusu Dubai sio kweli dudu baya.
@salomewandya7257
@salomewandya7257 6 месяцев назад
Konk master
@mohamedbajun2546
@mohamedbajun2546 6 месяцев назад
Konki wewe nimkweli cn
@user-ro2bh1yg4l
@user-ro2bh1yg4l 5 месяцев назад
Konk
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 6 месяцев назад
Putin wa bongo😂
@fredrickkakila9392
@fredrickkakila9392 5 месяцев назад
😂😂😂😂
@lizzybby2392
@lizzybby2392 6 месяцев назад
😂😂😂😂
Далее
🎙А не СПЕТЬ ли мне ПЕСНЮ?
3:09:39
Просмотров 1,6 млн
Коротко о моей жизни:
01:00
Просмотров 301 тыс.