Dudu ...nakushauri andiika kitabu ...uelimishe watu...kweli watu wore Wana roho mbaya Sana wivu umetawala...watu hawajitimi kwenye KAZI starehe Zimetawala.
King Kiba Fanya kumchukua huyu Dudu Baya umweke hapo crown fm angalao awe na kipindi kwa wk mara moja kinachohusu maisha na wasanii au apewe kipindi chochote kile ktk tasnia ya music na Imani tutakuwa tunaweka alarm kwa ajili ya kusikiza kipindi chake
Nikiwa kama kijana niliepitia maisha ya kitaa namuunga mkono dudu ni kweli vijana wengi wamejikuta wakiingia kwenye madawa sababu ya kuchanganyiwa na wanaovuta nao rafki zangu wengi na wengine Mungu awasameh wameshatangulia mbele ya haqi waliingia kwenye madawa kwa njia iyo na naweza kusema ni asili mia kubwa sana wanaingia kwa kuchanganyiwa 🥲
Dudu baya nakumbuka hata wewe ulikuwa unakula bangi mlipokuja same na Mac D kufanya show pale Same High school Mlipiga show mkatoka nje mkawa mnakula bangi 😂😂😂😂😂😂
wewe dudy baya huku ulaya tuna vipindi 4 vya majira. sisi huku ulaya kuanzia mwezi wa 5 mpaka wa 9 ni joto. kwahiyo bi joto sana kushinda Dar. kwahiyo tunavaa nusu uchi. kuna sehemu maalum karibu na bahari au ziwa watu wanatembea uchi kabisa kama walivyozoea. sisi huku summer ni joto sana.
@queen-qz9ep joto sio sababu ya kuvaa uchi acha kutetea tabia mbaya tumeishi Australia zaidi ya miaka 20 sasa na jua la australia inakaribia Qatar na Saudi Arabia kuna mara Australia juw ni kali kuliko popote dunia nzima ila sababu ya heshima hatuvai hata ki pensi cha kuonyesha mapaja na shall za matako narudia miaka 20 Australia ninyi labda hata bado mugeni wa miaka 5, 8 munajifanya it ulaya