Mungu azidi kukulenda namaaduwi japo tunakupenda Sana Ila wapo mawakala washetani wakupinga Ila pamoja nakukuchukia nakukupinga Ila wataendelea kushindwa kwajina la yesu Kristy wanazaleti Alie hai amina
Jay Z hajaacha hizo mambo, Jigga ni chicha mwiba kama Diddy, na alikuwa anaenda kwenye hayo maparty na mkewe, Sijui kama huko bongo mnajua kuwa Beyonce ni teja, na Jigga ndio anayemletea madawa.
Dudu baya ungejitahidi huo ufahamu ujikwamue kwa hali ulonayo lakini kumuongelea pdidy ni kama mbingu na ardhi hivo pambania hali yako kifedha kwanza tujue uwezo wako kimtazamo
Hata CIA wanaangaliaga reaction ya public ,wakiona ni kubwa kuna mawili au wakumalize wao au ushtakiwe ili serikali i win public , kina epistein walikua na nguvu sana mzee
DIAMOND NA YEYE SI ALIJIPELEKA KWENYE JUMBA LA PDIDDY EMBU NYIE WAANDISHI MUULIZENI DIAMOND KAMA NA YEYE ALIGUSWA NA PUFF DADDY ! MEEK MILLS ALIGUSWA CHA KUNYEA
Huyu nae chizi kumbe, P DIDDY kapewa nguvu na wazungu, na kwa taarifa yako P DIDDY haendi jela wazungu wanamlinda waliomchoma weusi wenzie na mkewe baada y kumnyima pesa alizomuaidi! Acha uongo
Sasa kwa taarifa yako, blacks wamekuwa wakimsema Diddy miaka nenda rudi lakini nothing happened, Ila Diddy alipojaribu kuwatunishia msuli wale jamaa wanaomiliki Ciroc drinks 🍷 ambao ni wazungu, hapo ndio pila likamgeukia yeye.
Wewe ndo hujui namna ya kuwafuatilia na kuwajua, tambua kuwa Dudu baya unsmdharau kwa hivyo alivyo kwa sasa lkn elewa kuwa Alikuwa staa mkubwa africa mashariki so kujua habari za mastaa wenzake ni rahisi
wacha mipasho majungu umeyatupa wakati wenu kulikuwa hakuna pesa kilicho baki choyo wivu unaomba watu waharibikiwe ulichokusudia ni wasanii wa Tanzania wewe ni mchawi ropokwa huna jambo wenzako wanakula bata mjinga wewe