Тёмный

JAMAA AKATWA MASIKIO YAKE MAWILI BAADA YAKUKUTWA NA MKE WA MTU KICHAKANI 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 1,1 млн
50% 1

Ibrahim Fadhili ni mkazi wa kata ya Magugu mkoani Manyara amekatwa masikio yake mawili pamoja na kuumizwa kwenye macho baada yakukutwa na mume wa binti aliyekuwa naye kwenye kichaka majira ya usiku akidai kuzungumza naye ili aweze kumsaidia kupata chuo

Опубликовано:

 

27 фев 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 2,3 тыс.   
@jamesraphaelmdima4729
@jamesraphaelmdima4729 Месяц назад
Zinaa mbaya mcheni Mungu,kuishi bila uzinzi inawezekana!
@williamgeorge150
@williamgeorge150 3 года назад
tulio oa tujuane hapa, yaan me napambana kwaajili ya familia yangu afu mjinga mmoja unaleta fyokofyoko iseeh sikuachi salama,maelezo yako yanaonesha wew ni mchepuko mmoja nyambafuuuu
@nebatymwashiuya7588
@nebatymwashiuya7588 2 года назад
Kujificha kichani na mkeee wa mtu hongera kijana kwa kazi nzuri ili wakome kwa wake za watu
@saumuissa4429
@saumuissa4429 3 года назад
Wanawake tuna mitihani mikubwa sana ww upo nyumbani umechoka na ujauzito mume anahangaika na vimada, mungu tusimamie wanawake wote
@wahiduitsverycommentmane5421
@wahiduitsverycommentmane5421 3 года назад
Wasomaa comment mko wapii jameniii 🙄😂😂😂😂😂
@sofiaadihussain8968
@sofiaadihussain8968 3 года назад
Tupo 🤗😃
@rehemakasebele7240
@rehemakasebele7240 3 года назад
Tupo
@emmykiroma3230
@emmykiroma3230 3 года назад
Tupoooooo
@dgochuibra588
@dgochuibra588 2 месяца назад
tupooo
@boazambokile2587
@boazambokile2587 3 года назад
Kitupekee nacho kijua mke wa mtu siwezi kuchat naye na siwezi kumpa msaada wa siri pia kuonana naye usiku kichakani hiyo ni michepuko hakuna mipango
@maggieandrew995
@maggieandrew995 3 года назад
Khahahahah
@maggieandrew995
@maggieandrew995 3 года назад
Nimecheka kama mazuri
@Iragibarune1.
@Iragibarune1. 3 года назад
Kwaiyo sisi wake zawatu hatufai au?? 😂😂 minimehelewa hapa walikosea kuuafanya yasiri Kama ange mshirikisha mmeo yasinge mkuta
@d.a.t3383
@d.a.t3383 3 года назад
Muongo huyu Happy muongooooo
@beera.g5302
@beera.g5302 3 года назад
🤣🤣🤣🏃🏃🏃🤝
@ramadhanisaidi5729
@ramadhanisaidi5729 3 года назад
Kama umegundua kua huyo mwanamke kapangwa na ndugu wa mume gonga like
@reginaldhhayuma6907
@reginaldhhayuma6907 3 года назад
Umesema vyema
@hamisizamiru9918
@hamisizamiru9918 3 года назад
Liko wazi uyo demu kapangwa na mshikaji😥😥
@stephanosimkoko630
@stephanosimkoko630 3 года назад
Ndivyo ilivyokua ila malipo ni hapahapa dunia.
@hancswalehe8653
@hancswalehe8653 3 года назад
Polesana swayiba
@haikajohn7580
@haikajohn7580 3 года назад
Kabisa!!!
@livingstonesariah7765
@livingstonesariah7765 3 года назад
Hilo ni fumanizi kama mafumanizi mengine... Kama unaungana na mawazo yangu nipe Like👇
@user-sg7tr9fl5q
@user-sg7tr9fl5q 3 месяца назад
Hyu jamaaa ni malaya umbwa wewe ungekufa tu kabisa tena amekuonea huruma
@user-sg7tr9fl5q
@user-sg7tr9fl5q 3 месяца назад
Yani wewe wewe wewe unastahili kufaa bila huruma angekutoa shingo pembeni na kuhakikishaa mboro imekatwa na kutopwa motoni
@margrethmateru4812
@margrethmateru4812 3 года назад
Kaka mhuniii huyuuu etiii tutafute mda mpanaa!!! Woiiiii🤣🤣🤣wachaaa wamcharangee..
@elwinkomb9558
@elwinkomb9558 3 года назад
Umenichekesha....bila Shaka Ni waarusha
@shufaashabani998
@shufaashabani998 3 года назад
Alikuacha nini
@noelaonditi2453
@noelaonditi2453 3 года назад
😂😂😂
@cathe-wr7gb
@cathe-wr7gb 4 месяца назад
😂😂😂
@shukranisibale1739
@shukranisibale1739 2 месяца назад
Bora hakuliwa ndogo
@kamilusmgaya4806
@kamilusmgaya4806 3 года назад
Miladayo salut kwenu hadi magugu ninyi ni zaidi ya tv zote
@veronicamnico4773
@veronicamnico4773 3 года назад
Habari zao ni za kweli
@saidijuma3934
@saidijuma3934 2 года назад
Poresana bro
@LeilaWilfred-zc7gn
@LeilaWilfred-zc7gn 4 месяца назад
Hakikaaa
@simonmisri6968
@simonmisri6968 3 года назад
Kama umesikia kwenye minyaa na maziwa alibeba na alianza mahusiano baada ya ushauri kupeana like hapa
@rahimamkumbo3238
@rahimamkumbo3238 3 года назад
Saluti ayo Asante sana nashukuru kwa elimu hii
@emanuelmtenda6419
@emanuelmtenda6419 3 года назад
Solution. Mwanamke Malaya ni kumwacha tu, utakata masikio wangapi, na wewe maisha yako yatakuwa nikutafutwa na police tu
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 3 года назад
SHUKURU MUNGU HAKUKU UWA KWAUWEZO WA MUNGU KWA UWEZO WA MUNGU JE KWAUWEZO YA MUNGU MBONA ULIFANYA HAYO YOTE
@andrewsteven5375
@andrewsteven5375 3 года назад
Mke wa mtu asaidiwi kwa cho chote hatakama anakufa muache afe kwa usalama wako zaidi, sitakaa nikamsaidia mke wa mtu, Mungu anisaidie kwa hili.
@rahmadizer1744
@rahmadizer1744 3 года назад
We nisaidie mm bhana
@user-kf6wy8gs1s
@user-kf6wy8gs1s 4 месяца назад
Hairuhusiwi kuwa falagha na mwanamke wa mtu
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
​@@user-kf6wy8gs1saliyataka mwenyewe
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 4 месяца назад
Hahaaaa kwahiyo hata kama nidadako anauliwa na mumewe utamwacha hahaaa
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 3 года назад
HUYO DADA ALIPOOONA HUYO JAMAA ANAUWAWA AKAKIMBIA WHY? HAKUPIGA KELELE KUOMBA MSAADA???.?
@chrispinchristopher3914
@chrispinchristopher3914 3 года назад
Duuuu,haya mambo so powa nimekoma Mimi kutembea na wake za watu,kama unaamini kuwa Mimi nitaacha hii tabia gonga like japo Mimi sina tabia hiyo,
@hamiskengwa6148
@hamiskengwa6148 3 года назад
🤣🤣🙌🙌🙌🙌
@manchejameselias1537
@manchejameselias1537 3 года назад
Acha mke ya m2
@halimamuhamed6060
@halimamuhamed6060 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 akiiiiiii jaman ww ucseme huna ss utaachaje km huna
@user-mi7yx8ew1k
@user-mi7yx8ew1k 16 дней назад
Mpk wakukate iyo chururu ndo utaacha
@omaryjuma8002
@omaryjuma8002 3 года назад
Jamaa anazungmza kama mapenda mungu😂 ila muache tamaa na mademu za watu
@heyumi2340
@heyumi2340 3 года назад
huyo mdada kapanga inshu jike lenyewe sijaona hata uzuri wke hata alomkta c mme kazaa nae 2
@sweetbertrwiza5982
@sweetbertrwiza5982 3 года назад
@@heyumi2340 Uyu jamaa fundi inaonyesha anakula wake za watu sana kwa hiyo kakomeshwa
@heyumi2340
@heyumi2340 3 года назад
@@sweetbertrwiza5982 maelezo umesikiliza vizuri hapo hakuna mke wa mtu huyo jambazi habar zake umezisikia c mke huyo wacha kusema mke wa mtu
@rosetembe3785
@rosetembe3785 3 года назад
Waambie hao,watu wanagharamia etii
@gidioniezekieli9896
@gidioniezekieli9896 3 года назад
Mmmmmmh jmnn
@sagayefamily5149
@sagayefamily5149 3 года назад
dada ni msema kweri,, ila ni mzinzi Sana..... Huyo kijana ni bonge la muongo.. Na kavuna alichopanda
@rosetembe3785
@rosetembe3785 3 года назад
Kuwa na huruma hata kidogo basi🤣🤣🤣🤣🤣
@jonacnkuni6353
@jonacnkuni6353 3 года назад
@@rosetembe3785 huruma gani?
@suzanamkate4676
@suzanamkate4676 3 года назад
Mke wa mtu sumuuu
@user-jv1ch4tr8q
@user-jv1ch4tr8q 4 месяца назад
Pole sn kakaangu Allah akuponye wema umekuponza hujafa hujaumbika kwakwel
@majaliwamsigwa6206
@majaliwamsigwa6206 3 года назад
Kama ulikuwa unaushauri mzuri,kwanini usingemuita aje nyumbani kwako mbele ya makeo?ila pole,sumu mke ya mutu
@gracerossiejohnny9887
@gracerossiejohnny9887 3 года назад
ETI...wapenda wake za watu
@ashamwamba9088
@ashamwamba9088 3 года назад
Ijamanii Polee
@winnerkaaya2488
@winnerkaaya2488 3 года назад
Duh
@khamissaid7394
@khamissaid7394 3 года назад
Nashangaa ushauli wa kweny nyasi
@majaliwamsigwa6206
@majaliwamsigwa6206 3 года назад
Kwenye minyaa,tena ucku
@maximilanangila8762
@maximilanangila8762 3 года назад
Gospel in me,🎶🎺🎷🎤 kachimbe kisima chako mwenyewe unywe maji yako pekee yako...........
@JidolaSegeja
@JidolaSegeja 10 месяцев назад
Pole Kaka mungu atakusaidia utapona maisha yataendelea
@veronicasanga2126
@veronicasanga2126 3 года назад
Kumbe na ww mwanamke huna akili! Kama ulikuwa humtaki ilikuwaje uendelee kupanga mikakati ya kutana! Huna haya walla hujui vibaya
@bakarihamdouny1956
@bakarihamdouny1956 3 года назад
kweli kabisa mtu kama humwitaji usimvute uwe nae kalibu, alafu hao wote wanaonekana waongo washafanya yao sana tu....
@muzyexperience
@muzyexperience 3 года назад
Jamani kuweni makini na haya mamboo ilaa tumpee Pole sana huyu jamaaa 🙏🙏🙏🙏 gonga like twend sawaa 🙌🙌
@nassorozubery7394
@nassorozubery7394 3 года назад
mambo,, au mamboo
@mwanahamisiabdi3320
@mwanahamisiabdi3320 3 года назад
Duuuu maskn
@remiomar7154
@remiomar7154 3 года назад
Kulingana n maelezo y huyu kàka mm kama mdada hy mschana hii nijama walipànga kwanini akimbie bila kuita msaada
@ridhiwanikhalifa9036
@ridhiwanikhalifa9036 3 года назад
Nafikiri huyo dada ndio alipanga mchongo mzima
@salmaalbarwani2618
@salmaalbarwani2618 3 года назад
Remi omar YES UR ARE RIGHT NIMEWAZA HAYO HAYO KWA NINI ALIMWITA QSOGEE PEMBENI ZAIDI
@salmaalbarwani2618
@salmaalbarwani2618 3 года назад
SUBHANA Allah tusiwe hivi peleleza mke wako mume mkate miguu mkeo
@remiomar7154
@remiomar7154 3 года назад
@@salmaalbarwani2618 hvyo alivyojielza tuu utajuwa kunakitu kimejificha Kwa hy dada
@happyjohn7630
@happyjohn7630 3 года назад
Yes
@ditrickmilinga1054
@ditrickmilinga1054 3 года назад
Pole sana ndugu yangu..Mungu akuponye..
@mimahmadau7442
@mimahmadau7442 3 года назад
Pole Sana Kaka Angu Huyo hapnes kakuponza Na ukome kuchat na wake zawatu ona sasa masikio huna 😭😭
@user-mi7yx8ew1k
@user-mi7yx8ew1k 16 дней назад
😂😂😂😂
@sadamumpepo3650
@sadamumpepo3650 3 года назад
Hahahahahaaaaaa,pole sana bro Mke wa mtu sumu usijisahau shukulu TU mungu umepona
@mrchakaboycosma7047
@mrchakaboycosma7047 3 года назад
Dunia imeisha hawana uluma
@user-kf6wy8gs1s
@user-kf6wy8gs1s 4 месяца назад
Hakuna mke wa mtu hapo
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
​@@user-kf6wy8gs1shatakama ni mke wake atakata wanaume wenzie wangapi? Adili na mkewe
@faithmlayda5306
@faithmlayda5306 3 года назад
Dah! Pole Bro haya ndo maisha but no way
@emmatz5251
@emmatz5251 3 года назад
Shukuru uyoo kakukata masikio, ingekuwa mm kifungo cha maisha kingenihusu
@madamboss348
@madamboss348 3 года назад
Baba mtoto wangu siku zako zinafika umezoea mabibi za watu. I wish ungekuwa wewe
@princesstunda7307
@princesstunda7307 3 года назад
Usimuombee haya jaman muombee aache hayo mambo ya wake za wa2, ila pole dada.mana me bado sijaolewa na sijui uchungu wa hayo yote, ila hata mm mpenz wang akinicheat naumia😭😭😭😭
@nurukhalifa9413
@nurukhalifa9413 3 года назад
Wanakeraaa mi pia nimewaza sijui kwanin hawakat sikio zake mana kila siku ni wake za watu tu anankera akatwe hata moja
@julianapaulo7298
@julianapaulo7298 3 года назад
Daa pole madam boss
@omarymakota8252
@omarymakota8252 3 года назад
@@princesstunda7307 saiv atasikia vizuri
@billocesamwel2637
@billocesamwel2637 3 года назад
Madam nawe kuja kwangu
@kamilusmgaya4806
@kamilusmgaya4806 3 года назад
Mtu wa mtu nisumu ila jamaa alikuwa anamla huyo demu
@faithsumukwo2113
@faithsumukwo2113 3 года назад
🤣🤣🤣 aki ww 🤣
@drwebangila
@drwebangila 3 года назад
Excellent story balancing. Jamaa alikuwa anachepuka na mke wa mtu
@user-ug9nl8lo1o
@user-ug9nl8lo1o 2 месяца назад
Pole mdogo wangu, inaonekana, huko kwenu Kuna ugonjwa wa kuhisi kama huku kwetu Kigogo Mapera Dar,
@villanjimmy7625
@villanjimmy7625 3 года назад
Huyu msichana ndio chanzo cha yote,,cha msing akamatwe huyu msichana ili mume wake aje Kam anampend kwel huyo mke wake
@sethkavenuke123
@sethkavenuke123 3 года назад
Huyu kweli kafumaniwa kweli,wangeenda kuongelea kwake na mkewe akiwepo, why vichaka?
@maderden7076
@maderden7076 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-G90XMSRFaGM.html
@agneskapwani3484
@agneskapwani3484 3 года назад
Kwann asimshirikishe mkewe
@venencemgani6099
@venencemgani6099 3 года назад
Mmmmm jamani nani aujuaye moyo wa mtu
@nasrahassanabioll6559
@nasrahassanabioll6559 3 года назад
Kafumaniwa huyo tena mshenzi sana mkewe ana mimba kamuacha nyumbani kaenda kucheat na mke wa mwenzie
@matridamwaipembe299
@matridamwaipembe299 3 года назад
Pole broo mungu mwema utapona. 🙏
@husseindatto8359
@husseindatto8359 3 года назад
Pole brother msaada tunaufanya ila watu hawatujali pole sana
@coolwaveac7659
@coolwaveac7659 3 года назад
Dah!! Kweli hujafa ujaumbika pole sana Kaka Kwa kupata ulemavu Kwa sababu ya wema wako mda mwingine huruma inaponza
@barakamalipula9010
@barakamalipula9010 3 года назад
Mke wa mtu ni sumu😆😅🤣😂😃
@josephdomi9393
@josephdomi9393 3 года назад
Jamaa kaamua kumrudia mungu wake baada ya kupata zawadi ya uzinzi maisha yanaenda kasi sana
@cuhgds4320
@cuhgds4320 3 года назад
Poleni sana, i understand .
@jamilakangezi4640
@jamilakangezi4640 3 года назад
🤣🤣🙌🙌nimecheka kama mazuri,kaamua kukata masikio kwasbb hayasikii🤣🤣pole sana kaka yote maisha🙏
@judithoyier7100
@judithoyier7100 3 года назад
Nmecheka jamani
@rachelphilbert7394
@rachelphilbert7394 3 года назад
Umenichekesha ati hayasikii
@wiliminajustin7636
@wiliminajustin7636 2 года назад
Ahaaa
@user-ou9sq6dl9b
@user-ou9sq6dl9b 4 месяца назад
Hahahaha hahahaha hayasikii!!!!
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 3 года назад
Hayo mambo ya vichakani na mke wa mtu sio powa kabisa bro. Eti tumekutwa heheheheehe
@fairamkhan4744
@fairamkhan4744 3 года назад
Weuweee magugu ake ayo tv big sharaut kwenu
@kastokyando5347
@kastokyando5347 3 года назад
Pole sana ndg Mwamini Mungu
@lightmashauri1725
@lightmashauri1725 3 года назад
Dahhh pole sana
@mtitagirloriginal6890
@mtitagirloriginal6890 3 года назад
Mapenz yanauma Sana Ila na nyie wanaume tafuten pesa mtunze wake zenu khaa mnakaa na mke mpak anataman msàada na mtu mwingin
@justcenturion1275
@justcenturion1275 3 года назад
Shame on you. Did she marry coz of money. That's prostitution.
@gamgangweesechota3589
@gamgangweesechota3589 3 года назад
Pole sana Kaka,Mungu atakuponya na ubarikiwe kwa kutoa msaada maana Mungu anakuona sirini mwako ila ushauri tu siku nyingine ukitoa msaada kwa mtu msijifiche vichakani na pia umshirkishe mkeo
@huseinikaji8208
@huseinikaji8208 3 года назад
Mwenye kujiingizia kwenye shakabasi amejiingiza kwenye haramu wewe msaada kwende minyaa tena wa masomo afadhali angekuwa mgonjwa au mtu aliyepata ajali hata ningekuwa mimi nisingekubali
@gideonemmanyi9593
@gideonemmanyi9593 Год назад
kazi nzuri kata masikio wapepeta wake za watu
@mariamarywenslaus2938
@mariamarywenslaus2938 3 месяца назад
Amekosea angemkaata pumbu zake
@shabanfitnesstv3977
@shabanfitnesstv3977 3 года назад
Pole kaka Ila statement ako ndg, sio, yaan kwenye minyaa, tena usiku giza na mke wa mtu? Kwanini sio mchana kweupe, ata kama mambo ya shule
@neemamayco3238
@neemamayco3238 3 года назад
Hat kam ni usiku basi ingekua sehem ya uwazi ingepunguza makali
@shabanfitnesstv3977
@shabanfitnesstv3977 3 года назад
@@neemamayco3238 ndiyo, maana giza halafu kwenye minyaa, halafu ukimsikiliza huyo dada anadai wanamahusiano, maana izo za kukutana jion magengeni kigiza giza ziko sana. Izo ndo zinanifanya niwe single, maana akuna demu ako peke ake
@josephkomba64
@josephkomba64 3 года назад
Angekutana nae kwa Mme wke xaxa
@dulaabuu3476
@dulaabuu3476 3 года назад
Huyu kijana aliyemkata masikio mwenzake ana makosa lakni na huyu baba ana makosa vile vile kwa nini utawasiliana na mke wa mtu kisirisiri halafu ni wakati wa usiku , wewe Mzee unamakosa pia , nafikiria litakuwa funzo kwako kutorudia Mara ya pia vile vile itakuwa funzo kwa wenye tabia na kujifanya wao ndio vidume
@msetikebwasi1469
@msetikebwasi1469 3 года назад
Ogopa sana kutombewa.
@patrictluway7110
@patrictluway7110 3 года назад
Mwenye makosa ni huyo dada
@msetikebwasi1469
@msetikebwasi1469 3 года назад
@@patrictluway7110 Amna mwanamme anatakiwa kujiongeza sana
@paulnjovu8582
@paulnjovu8582 2 года назад
Pole kaka mungu akuponyekwakwel
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 3 года назад
Subuhanallah uwiii,,,,,,,,,, mke wa mtu sumu haijalishi ni hawara ya mtu au mke halali lazima uheshimu Ona kilichokukuta sasa uzinzi siyo mzuri Nani atamuamini km kweli hawakua wazinifu
@estermbise1450
@estermbise1450 3 года назад
duh aliekatwa masikio pamoja na huyo demu (sukuma ndani washenzi kbx)
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 года назад
Daaah 😥 Pole Sanaa broo ila ukweli nahisi huyo binti mlikuwa na mahusiano ya kimapenz nyny bhn,,Haiwezekan mtu aje akuvamie na kukutaka masikio 🙄
@jamalahmed7057
@jamalahmed7057 3 года назад
Hata mm nahisi hivyo
@Teacher_01
@Teacher_01 3 года назад
Kwel mzee umefanyiwa ukatili Sanaa ilaa ndo ujue mkee wa mtu sumu mbwaa wew maana mkiambiwa hamsikii
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 года назад
@@jamalahmed7057 huo ndyo ukwel Kaka huyo jamaa alkuwa anamnyaduwa mke wa mtu
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 года назад
@@Teacher_01 mke wa mtu sumu kwel 😂😂😂
@saviokide9127
@saviokide9127 3 года назад
Du! Pole sana mungu ni mwema
@Conshamusic
@Conshamusic 3 года назад
Dah!!! Wakina Happy bhana sio powa 😂🤣🤣😂
@hamisizamiru9918
@hamisizamiru9918 3 года назад
Uyo mwenyewe anaonekana tyu ajatulia kuma uyo
@MonicaMhina-sf4pz
@MonicaMhina-sf4pz 8 месяцев назад
Kweli kabisa
@baloziubalozini5074
@baloziubalozini5074 3 года назад
Kwa namna yyte ile,mhusika ANATAKIWA AKAMATWE haijalishi walikua wana UHUSIANO or not
@billocesamwel2637
@billocesamwel2637 3 года назад
Ila yeye kampatia Tuition
@livingmunisi5963
@livingmunisi5963 3 года назад
Mke wa mtu sumu bro
@jamilasalimvilog6752
@jamilasalimvilog6752 3 года назад
Duh sina la kusema 🙏🙏
@zirokamanda503
@zirokamanda503 3 года назад
Pole sana kaka mungu atakuponya. Ila uwe mkweli tu maana mimi ninaamini ukiwa mkweli mungu atakupigania. Pia jeshi la polisi tunaomba mumpe huyo kaka msaada na mumfunze adabu huto kijana hafai kwenye jamii.
@ednanyangoro924
@ednanyangoro924 2 года назад
Wewe mtoto Mwenyenzi Mungu anakuona wewe!!!!! Acha uongo!! Dhambi sana!!!
@lameckmichaelmagazi6345
@lameckmichaelmagazi6345 3 года назад
Nanyinyi wanawake mnasumbua sana. Mimi Kuna mwanamke tulijuana fb, nikamtongoza akagubali anakaa mbalikidogo, Sasa tumeanza mahusianotu yakwemye cm nabado hatujaonana huyumwanamke kanipenda mpaka ananitumia picha zake zachumbani. Saanyi gine anajirekodi yukouchi anachezea kisimi Sasa juzi nimetumia sms haikujibiwa badae nikapigiwa namba ngeni kumbe nimmewake. Wakati Mimi najua hajaolewa Yaani wanawake? Nimasjetani kabisa
@boburasa6799
@boburasa6799 3 года назад
Ungefanikiwa kula mzigo akuna ambaye angejua umekula siku 39 atimaye 40 imefika pole mkuu
@sarapaulo4718
@sarapaulo4718 3 года назад
🤣🤣
@migwa100
@migwa100 2 месяца назад
Vijana kaeni mbali na wake za watu mna penda mteremko sana mwana mke akiolewa nimke wamtu kaambali nae wapo W 0:06 ana wake wana tafuta mwanaume umejitia kilema kitu hupendi usifanyie mwezako
@rebecasteven709
@rebecasteven709 3 года назад
Mmhh dunia Haina huruma jamani,Mungu tusaidie😭😭
@eliyazacharia7660
@eliyazacharia7660 3 года назад
kosa lako wew ni kusimama na yeye kichochoron ata mim nikiwakuta sikuelew kabsa, msaada gan mpaka mjifiche bana sema mnajuana tu
@jescajulius8023
@jescajulius8023 3 года назад
Umeona eee
@jescajulius8023
@jescajulius8023 3 года назад
Umeona eee
@ndambajuma7077
@ndambajuma7077 3 года назад
Ww dada sio mstalabu kama alikuaidi inshu yachuo ulivyoona aeleweki ungeachana nae lakin umedeti nae miez miwili ukanogewa mpaka kumsaliti mme wako ww nimshez tu kama washez wengine jieshimu bas kwenye minyaa kweli je ? Ungeumwa namadudu ungesema nn mungu amekuzalilisha uache ushez wako
@sabraomar9638
@sabraomar9638 3 года назад
Dah pole Sana broo ndio mitahn hy il saiv usiwamin tn wat asilimia 💯
@ntalepselestine7529
@ntalepselestine7529 2 года назад
Pole San kak
@edenihighness8691
@edenihighness8691 3 года назад
Broo Happy kafunguka ukweli😂😂😂😂
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 3 года назад
Mdada kasema walikuwa na mahusiano ya miezi 2 Basi wamkate masikio tu MKE WA MTU SUMU 🙏🏼
@WaridawaridaWarida
@WaridawaridaWarida 3 года назад
Mdada atawekewa biti aseme lile mumewe anataka
@tugabiz4286
@tugabiz4286 3 года назад
Labda ameamua kusema hivyo ili kumuokoa mume wake. Maana huo ushakua msala maelezo kupindishwa ni kitu cha kawaida kabisa kwenye kesi kama hizi.
@antiochiandyetabula960
@antiochiandyetabula960 3 года назад
Walikatilie mbali wanaume nisiyo kabisa
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 3 года назад
Huyu dada nae mshenzi Sana. Unamsaliti mumeo kwa ajili ya msaada???? Na kmaa kweli mumeo alikuahidi atakusomesha so ungevumilia. Inaonekana hata angekupeleka chuo bado ungeendelea kudanganywa na wengine wenye kipato zaidi ya mumeo kwa kisingizio unahitaji msaada??? Amaa kweli duniani Kuna mambo
@estherimbotsi7553
@estherimbotsi7553 3 года назад
😂😂😂😂😂
@erickothegreat8353
@erickothegreat8353 3 года назад
Duuuuu kweli mitandao imeniweka juu yaani comment yangu nayo ina somwa na watu nchi nzima.
@luganojacob
@luganojacob 3 года назад
Jinga wewe toto
@samwelkitiku7087
@samwelkitiku7087 3 года назад
usijitukuze kwa kuwa yupo anayestahili kutukuzwa.
@sebabway9670
@sebabway9670 3 года назад
😂😂
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 3 года назад
Comment yako itasomwa na wachache sana, yaani watu wasiozidi 100, wakti nchi nzima inakaribia million 60; watoto milion 15, wazee milion 10, Wenye smartphone million 10 tu ambapo kati ya hao subscribers wa Ayo TV ni milion 3.32 of which kati yao mpaka sasa kuna Views laki 220 kati yao comments ziko elfu 15 pekee na kati yao una likes 13 na comments 3 tuu...! Mpaka hapo ulishajua wangapi wamesoma..! Alafu bado wasema "Comment yako imesomwa nchi nzima" ....ahahahaaaaaa...!
@AshuraSalum
@AshuraSalum 3 года назад
@@chiefmahucha6847 acha wivu,ayo ni maneno yake
@sophiangena6104
@sophiangena6104 3 года назад
Watanzaniaaaaaa mtaniua duuuuh when I think I've seen them all then boom.
@fostinnatasha1873
@fostinnatasha1873 3 года назад
Pole kaka Mungu atakuponya usijali
@stepskills3917
@stepskills3917 3 года назад
Kuna kitu tunafichwa hapa ila kwa umri nilionao hii adhabu siyo mbaya sana kwa mjuba...yeye sio consultancy wa wake za watu walio shindwa kuendelea na masomo..
@mhomboedward7200
@mhomboedward7200 3 года назад
We huyo alikuwa demu wako nyoosha maelezo ww
@teahalim1645
@teahalim1645 3 года назад
Mshukuru mungu kakuachia roho yako
@paulmaro6708
@paulmaro6708 3 года назад
Pole sana kaka
@lwitmwamba1732
@lwitmwamba1732 3 года назад
Naww mwenyewe nichanzo unafanyaje siri namke wamtu afu vichochoroni kua naakili utakufa
@msetikebwasi1469
@msetikebwasi1469 3 года назад
Ni mshenzi kabisa ogopa sana kutombewa.
@beera.g5302
@beera.g5302 3 года назад
@@msetikebwasi1469 😲🙄🏃🏃🏃🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤝
@msetikebwasi1469
@msetikebwasi1469 3 года назад
@@beera.g5302 yani huwa ni zaidi ya machungu dada.
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 года назад
Haki unabahat sana bro agekuua Jaman wivu nimbaya sana huleta hasara inasikitisha sana kwa kweli tuwe makini na wake za watu na waume za watu ni sumu 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
@nfnf9780
@nfnf9780 3 года назад
Pole sana kaka yang iyo nimbinu yao wamepanga akishkwa sasa yy atolewe puwa
@cumaoyanga7208
@cumaoyanga7208 3 года назад
Sijawahi kuona Mwanamke mpuuzi na mshenzi Kama wew,,kufupi wew ni muongo na nitapeli ila tambua kua mwisho wa ubaya ni aibu,,,leo umemsababishia mwenzako ukilema nawew siku yako inakuja mbwa wa kizanzibar wew,,ungekua karibu yang nishakutoa pua,,
@yohanakiyumbi4795
@yohanakiyumbi4795 3 года назад
Huyo Mtu aliyemkata Masikio na Kumuumiza Usoni huyo Jamaa amefanya Makosa Makubwa sn Ni bora akamatwe "Sheria ichukue Mkondo wake" kwa Watu Wote wanaochukua Sheria Mkononi.... Kusema Ukwl huu ni Ukatili kbs daah! Pole sn Ndg 😢😢😢
@rugijofrey3685
@rugijofrey3685 3 года назад
Ingekua mkeo usingesema hivyo
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 3 года назад
@@rugijofrey3685 tabia Haina dawa " atakata masikio wanaume wangap" mwanamke ndo malaya" ona Sasa kamkata masikio mwenzake huyo bint ndo ataliwa sana
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 3 года назад
Da Ila wanawake ss " kwel wema ajal inamana alimshindwa kupiga kelele"
@danmanga7749
@danmanga7749 3 года назад
Ingekuwa wewe umemkuta na mke wako ungefanyaje
@juliussechu9537
@juliussechu9537 3 года назад
Wee nyamaza maana hujui uchungu wa mke.
@nemesshayo9370
@nemesshayo9370 3 года назад
Umekatwa sikio na bado unadai maziwaa hahahhaa brother haupo serious
@billocesamwel2637
@billocesamwel2637 3 года назад
Hahahaahaaaa nimecheka wiki nzima
@happinessm1919
@happinessm1919 3 года назад
Hahahahahahaha na simu akakumbuk kwamba kachukuliwa woiii
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 4 месяца назад
Wachaga Bana hajaa
@eviepretty2646
@eviepretty2646 3 года назад
Mmh pole bro lakin mngeend sehem ya wazi bana jamaaa alikuw analinda utamu wake 👌
@nasrahassanabioll6559
@nasrahassanabioll6559 3 года назад
Kweli kabisa
@inclyrics4384
@inclyrics4384 3 года назад
Ukisoma comment humu, huruma inakata kabissa
@agathafulgence2047
@agathafulgence2047 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@shanawilliam1050
@shanawilliam1050 3 года назад
😀😀😀😀
@juvenalyzacharia5059
@juvenalyzacharia5059 3 года назад
Hata mm mwanzon niliona huruma lakn nimesoma sms ikaisha kabisa
@kpetres2872
@kpetres2872 3 года назад
🤣🤣🤣😆😆
@songweairport7602
@songweairport7602 3 года назад
HAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA BANGI SIO NZURI
@sniperinktattoo1407
@sniperinktattoo1407 3 года назад
wote ni wazinzi tu hao
@gilongachristian1740
@gilongachristian1740 3 года назад
Haaaaahhh
@beera.g5302
@beera.g5302 3 года назад
Umeonaee🤣🤣
@nasrahassanabioll6559
@nasrahassanabioll6559 3 года назад
Na sawa sawa alivyokatwa masikio yaani mda huo baada kukaa na mkewe tena ni mjamzito akimliwaza kaenda kufanya uzinzi na mke wa mtu jamaa hatosheki looh hapewi pole mwenye kilanga
@happinesschengulla442
@happinesschengulla442 3 года назад
Happy jamn ona yaliyomkuta mwenzako
@marybaranga7218
@marybaranga7218 3 года назад
Pole sana brother wake za watu wacheni kulemesha watu name hata haujampea bala hii
@marcoisaack9811
@marcoisaack9811 3 года назад
Jaman jamani nakumbuka nikiwa na miaka 9 yaan cjabalee niliona jamaa mmoja anapigwa kisa mke wa mtu nikasema nikiwa mkubwa ctaki mke wa mtu hadi kufa kwangu.wewe ni mwana kulifindi ni mwanakuligeti
@mjelwajackson2346
@mjelwajackson2346 3 года назад
Hata mimi boy nilishawai kuona mtu anapigwa kisa fumaniz ,nakumbuka nilimwambia mama sitokuja kutembea na mke wa mtu
@zainabuathumani2703
@zainabuathumani2703 3 года назад
Pola
@rosetembe3785
@rosetembe3785 3 года назад
Acha kabisa mwana
@user-kf6wy8gs1s
@user-kf6wy8gs1s 4 месяца назад
Kwa maelezo ya mwanamke hakusema huyo ni mumewe bali ni baba watoto msiseme mume huyo ni mzinifu tu
@user-kf6wy8gs1s
@user-kf6wy8gs1s 4 месяца назад
Wote wawili ni wazinifu watupu hakuna mume hapo vip mnasema mume kwenye ndoa mlikuwepo?
@maryamkenya1306
@maryamkenya1306 3 года назад
🤣🤣🤣 Huyu msichana amemuuza jameni 😂😂😂😂😂
@hadijaangura6572
@hadijaangura6572 3 года назад
Nikweli walipa gana nahuyo jama wake
@magdalena7223
@magdalena7223 3 года назад
Ayo wee kiboko hd kijijn jmn kazi nzuri 0
@eliudtibanimunguwidsoni4290
@eliudtibanimunguwidsoni4290 2 года назад
Pole Sana. Kaka
@abdirazaaqhussein3318
@abdirazaaqhussein3318 3 года назад
Funzo kwa wengine acheni kula mizigo ya watu sema kweli usiongopee umma
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 года назад
Allah amsaidie🤔
@andrewmsofe6667
@andrewmsofe6667 3 года назад
Ifike mahali ujielewe akili hauna mbona unatudanganya wakati binti amefunguka kuwa unakula mzigo pumbavuuuuuuu
@nasserianmichael2161
@nasserianmichael2161 3 года назад
Yaani mdogo wangu mwishoni huyo kaka atakuuwa wewe kashazoea kuona damu za watu, lakini jamani mke wa mtu na mume wa mtu jamani kwa nini kufanya hivyo?
@peterdaniels8406
@peterdaniels8406 3 года назад
dogo sere
@geofreymsigala5217
@geofreymsigala5217 3 года назад
Bora ulikatwa masikio Mimi ningekutoa uhai
@DonasianMgina
@DonasianMgina 4 месяца назад
Polen sana kaka mungu atakusaidia sana
@philemonjohn9671
@philemonjohn9671 3 года назад
Hongera sana mwamba
@davidkumulaga9419
@davidkumulaga9419 3 года назад
Mkuu..wew Ungemwita kwako ,,na ilo jambo ilitakiwa umshirikishe mkeo,,kwenye minnyaa,,afu mnaombana namba za simu za nin
@zainabuhamadi1363
@zainabuhamadi1363 3 года назад
hahaha muongo uyo
@johnsonmsukuma6740
@johnsonmsukuma6740 3 года назад
Mambo ya ajabu unataka kumsaidia mtu hadi mkajifiche kichakani??aisee hata kama ni mm nikikukuta vifichoni ukiwa na mke wangu lazima nikuachie alama ya kudumu
@calvinherman4258
@calvinherman4258 3 года назад
Pole sana mkuu by shabani wakanai
Далее
Копия iPhone с WildBerries
01:00
Просмотров 614 тыс.
Ranking The Most Painful Crashes
00:19
Просмотров 2 млн