Daah ii mov ni uhalixia wa maisha ya watu katika jamii inayo tuzunguka eeh MOLA wangu nijalie maisha malefu niweze kuwalea wanangu pia ata nikifa wabaki kwenye misingi mizuri 🤲🙏
Mafundisho mazuri sanaa baba yetu muhumba na mwokozi wetu yesu akumbariki wote wenye kutazama sinema hii amina Tanzania yesu alisema jihathari na mwanandam mana aduwe wa mtu ni yule🎉wa 😢 karibu hata zahindi nyumbani mwako biya kuna song ya rumba inaimbaga 😊 duniya hi ina mambo lukumba lukumba mwendo wa ngamiyah chunga mwenziyo atakudaganya kwa yote apendavyo tena yesu akasema _YOHANa10:1_ _ shetani ni mwaribifu tena muhuwaji tena muhogo .😢 thanks for a good❤ movie
Masikini hawa Watoto tunaowaita yatima kumbe wengine ni sisi wanawake tumewasababishia uyatima,wanawake tuwe na mioyo ya huruma jamani,masikini jiji limekuharibu kiasi hicho kama kweli vile 😭🙏
Hongera sana kwa mafundis ho haya yamenibarika sana hadi kunitowa machozi , kiukweli hiindiyo dunia tunayo ishi , ila tunganganie kumuomb a Mwenyezi Mungu aliye msinji Wandoa aziimarishe na kutufundisha upendo na ustahili katika safari ya maisha hapa duniani . Mungu akubariki
Natembeyah mimi ni marehemu !!!! Maisha ya mwanandamu ni kama mauuwa mimi na nyumba yangu ni tamwambundu bwana . Kwakuwa wewe umenikataa mimi namii nitakukataa mimi asemaa bwana wa majeshi good song by Jennife i see nikiwaa kwetu kenya western ingo luhya amina ukweli yesu alisemaa ambandacho mtu ndicho atavunaa
Wanawake tujifuze kufumilia Kwa doa na tuwaja ushauri zawatu wengine mwanamke ujega nyumba yake Kwa mikono miwilii na umbomoha mwenyewe Kwa mikono miwilii Jennifer God bless you 🙏🙏🙏🙏 umenifuza Jambo kumbwa Sana barikiwe Sana
Tamaa ni mbaya na kuna wimbo umeimba etii tamaa mbele mauti nyuma ona sasa tamaa imekuponza umemuua mumeo kisa ana utajiri sasa umefadika nini kumuua mumeo 😢😢😢😢😢😢😢