Shukran sana kwa maelekezo ya udhuu kingine nimeona umepaka maji kichwa x1 je yafaa au sijaangalia vizuri? Pia sijasikia sauti yaani kila kipengepe kwani hakunaga matamshi furani au Dua?
Asalaam aleylum warhamatullah wabarakatuh 1. Hukmi ya kichwa ni kupakwa maj mara moja tu ukizdsha co mbaya 2. Na kuhusu dua zpo ila co wajibu muhim ni kufuatanisha viungo kwa mpangilio
Hapana ni lazima viungo vyote vya udhu vishike maji kwahyo utalazimika kupandisha nguo ili ufikishe maji kwenye viungo vyote Lakini ikiwa mtu amefunga bandej kutokana na kuumia au kuna barid kal atatia udhu mara moja alaf mara ztazofuata kama atatakiwa kutia basi anaweza kupaka maj juu ya soks kisha kuendlea na ibada zake
@@asmahchongoe1117 samahani nilikua sijakuelewa oama unasemea matamshi ya kila kiungo hayo sio wajibu Yaani hatana haja ya mtu kutamka Samahan mwanzo sikuelewa vizur