Asalaaam aleykum, Allhamudillilah mm ni shuhuda kupitia kufanya dhakari na kufanya ibada wallah nilikuwa na ugumu wa maisha na madeni ambayo nilikuwa sijui nalipa je illa Allah amenipa pesa sikutegemea nilipata milioni 11 ofisini nikaweza kulipa madeni ndugu zangu waislam tufanye ibada Allah ana jibu, sheikh Othmani Allah akubariki kupitia kusikiliza nimejifunza na nikafanya nanimefanikiwa, na nina miaka miwili toka nimeingia kwenye uislam toka nilivyoslim nafurahia uislam
Mashaa Allah Mashaa Allah, nina mtihani wa madeni makubwa kama huo ila bado wakati wangu wa kufanikiwa haujafika japo nazingatia sn mafundisho ya Sheikh na nafanya vyote anavyoelekeza nasubir majibu kutoka Kwa Allah in shaa Allah
Assalam walaykum..Ahsante sana shekh wangu pedwa..Kuna ile uradi wa kurudisha mume ambae ilikua amekimbia wallahi kama nakuona vile maajabu yake ni siku 3 tu ...Allah akuzidishie uzima na afya njema ila pia uupate mwisho mwema❤nakupenda kwa ajili ya ALLAH. ❤
Assalam Alleykum Shukran sana Shekh wangu Leo nimempata faida kubwa sana japo Mimi huwa nakufuatilia sana na natumia Dua nyingi unazo tufundisha ila Leo umetoka fursayakuja kuhudhuria kwenye Dua kwangu Mimi ni Fursa naitaji niudhurie Dua hii naomba ratiba Yako siku na saa nipate kuhudhuria Inshallah natumia utanijibu
Nakukubali sana shekh othman nilikuja kwako nipo hoi dhufu l hali nikakesha na wewe nikajifunza namna ya swala za usiku ..Allah akulipe kheri Wewe pamoja nasi
Nakubaliana nawe kakangu alikufa wakati wa kiangazi ila la kushangaza wakati jeneza latolewa ndani ya nyumba kulinyesha mvua kiasi yani ardhi ikawa baridi kiasi, watu walishangaa sana,ila yeye pia alikua mcha Mungu mashallah Mungu amueke pema palipo wema
Asalaam aleykum shekhe, pia mimi ninatatizo kila ninalofanya sifanikiwi kabisa pia ninamadeni sana na sijui nitayalipaje, hivyo shekhe wangu naomba unifanyie dua wewe mwenyewe ili niondokane na hii adha ya madeni pia nifanikiwe kila nilifanyalo. ASANTE
Assalaamu waalaykum, Sasa kama hiko kitabu cha WASILATU SHAFII hauna na pia hiyo Swalati Mnnalia hauijuwi nikifanya bila hizo Hili DUA litakuwa LIMESHIBA, Majibu Tafadhali.