Тёмный

Lala Amka Muda Huu Wa Usiku Kuna Siri Nzito Chukua Udhu Alafu Fanya Hivi - Sh Othman Maico 

QIBLATEIN ONLINE
Подписаться 41 тыс.
Просмотров 41 тыс.
50% 1

#QiblateinOnline
Follow Us On:
INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
FACEBOOK; profile.php?...
RU-vid; / @qiblatainonline

Опубликовано:

 

26 апр 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 91   
@joanthabeet8005
@joanthabeet8005 Месяц назад
Asalaaam aleykum, Allhamudillilah mm ni shuhuda kupitia kufanya dhakari na kufanya ibada wallah nilikuwa na ugumu wa maisha na madeni ambayo nilikuwa sijui nalipa je illa Allah amenipa pesa sikutegemea nilipata milioni 11 ofisini nikaweza kulipa madeni ndugu zangu waislam tufanye ibada Allah ana jibu, sheikh Othmani Allah akubariki kupitia kusikiliza nimejifunza na nikafanya nanimefanikiwa, na nina miaka miwili toka nimeingia kwenye uislam toka nilivyoslim nafurahia uislam
@MWANAKOMBONGANGAKARISA
@MWANAKOMBONGANGAKARISA Месяц назад
❤❤❤❤❤❤❤❤ Masha'Allah Baraka'Allah Khair
@user-gn9rh7sw7r
@user-gn9rh7sw7r Месяц назад
Maashallah Maashallah Maashallah hayo unayosema ni kweli ibada ndio kila kitu,Allahsw auzidishie mardufu udumu ktk uislam in shaa Allah
@user-oz6uy3kj3n
@user-oz6uy3kj3n Месяц назад
Mashaa Allah Mashaa Allah, nina mtihani wa madeni makubwa kama huo ila bado wakati wangu wa kufanikiwa haujafika japo nazingatia sn mafundisho ya Sheikh na nafanya vyote anavyoelekeza nasubir majibu kutoka Kwa Allah in shaa Allah
@AdidjaKadjemba
@AdidjaKadjemba 20 дней назад
Haya Mimi piya
@kasatbintalib9127
@kasatbintalib9127 11 дней назад
Mashaallah
@AgahozoAsmah
@AgahozoAsmah 7 часов назад
Allah akuzidishiye. Elimu
@tuwemzee8168
@tuwemzee8168 20 дней назад
Assalam walaykum..Ahsante sana shekh wangu pedwa..Kuna ile uradi wa kurudisha mume ambae ilikua amekimbia wallahi kama nakuona vile maajabu yake ni siku 3 tu ...Allah akuzidishie uzima na afya njema ila pia uupate mwisho mwema❤nakupenda kwa ajili ya ALLAH. ❤
@user-jb9ew2id6r
@user-jb9ew2id6r Месяц назад
Allaha atufanyie wepes inshallah
@JinaJuma-gy1us
@JinaJuma-gy1us 2 месяца назад
Sheikh niko mbali lkn nafurahika na siwezi siku kupita Bila kusikiliza mawaidha yako jazakka Allah kheri
@mwanaidhassan6170
@mwanaidhassan6170 2 месяца назад
Assalam Alleykum Shukran sana Shekh wangu Leo nimempata faida kubwa sana japo Mimi huwa nakufuatilia sana na natumia Dua nyingi unazo tufundisha ila Leo umetoka fursayakuja kuhudhuria kwenye Dua kwangu Mimi ni Fursa naitaji niudhurie Dua hii naomba ratiba Yako siku na saa nipate kuhudhuria Inshallah natumia utanijibu
@ummysaabersaeedy8152
@ummysaabersaeedy8152 Месяц назад
Hua naenda mara nyingi hafanya jumapili na jumatano
@maryamadam5622
@maryamadam5622 2 месяца назад
Mmungu akubarik sheikh wetu. Tumo Kujtahidi
@AISHAUWAMAHORO-jo6gv
@AISHAUWAMAHORO-jo6gv Месяц назад
Allah akupe kilalaheri sheikh wetu❤
@ZamdaAthuman
@ZamdaAthuman Месяц назад
Allah s.w akulipeni kila la kheir sheikh Othuman,ila wengine bado lugha inaleta utata
@Al-Hajj-er3fk
@Al-Hajj-er3fk 2 месяца назад
Allah (s.w) akuhifadhi pamoja na ummah wote wa kiislam inshaallah
@rashadkamugisha1070
@rashadkamugisha1070 2 месяца назад
Amiin
@Hiranur_1475
@Hiranur_1475 2 месяца назад
Lailaha ilallah wahdahuu la sharika lahu lahulmulk walahul hamd yuhyii wayumitu wahuwa hayu la yumitu biyadihil khayra wahuwa aa’la kulishayin kadiir
@JinaJuma-gy1us
@JinaJuma-gy1us 2 месяца назад
Mashaallah jazakka Allah kheri
@RakhmanHassan-ei3kn
@RakhmanHassan-ei3kn 2 месяца назад
Shukran sheikh Allah akulipe kila lakheri
@user-eq9yi7pz4i
@user-eq9yi7pz4i 2 месяца назад
Shukran jazzakallahul kheir Shekhe wetu,Allah akujaze kila la kher In Sha Allah 🤲
@shabanshaban8102
@shabanshaban8102 2 месяца назад
shukran sana sheikh Jazakallah khayra!
@MimahYaseen
@MimahYaseen 14 дней назад
Allah akubarik shekh wangu akupe maish marefu na akutimizie kila hitaj la moyo wako kwa kutupa elimu
@user-oz6uy3kj3n
@user-oz6uy3kj3n Месяц назад
Allohumma innaka 'afuwwun kariim tuhibbul 'afwa fa'fu 'annaa yaa kariim.
@user-mf7mt9zq6c
@user-mf7mt9zq6c 2 месяца назад
Jazaka Allah kher sheikh wetu 😊
@ZuhuraAbass
@ZuhuraAbass 2 месяца назад
Allah akubariki shekh
@leylersirlim4402
@leylersirlim4402 2 месяца назад
Shukran sana Jazaka llahu kheyr. Mombasa unakuja lini
@FatumaAdam-xo7ye
@FatumaAdam-xo7ye 2 месяца назад
Allah akibarh
@ummysaabersaeedy8152
@ummysaabersaeedy8152 Месяц назад
Nakukubali sana shekh othman nilikuja kwako nipo hoi dhufu l hali nikakesha na wewe nikajifunza namna ya swala za usiku ..Allah akulipe kheri Wewe pamoja nasi
@HAJJATHALIMASULYMAN
@HAJJATHALIMASULYMAN Месяц назад
Alhamdulillah yaan shekhe nimejifunza mambo mengi sana Jazzakallahu khaira Allaah akupe umri mrefu afya tele utujuze mengi
@zeyanaseif5730
@zeyanaseif5730 Месяц назад
Inshallah Allah atatufanyia wepes ktk kila gumu tunalopitia🙏
@user-yi3vo6ig2q
@user-yi3vo6ig2q 29 дней назад
Maashaallah Allah Akufanyie wepec niombee na Mimi shehe wangu
@mwanaishakama3381
@mwanaishakama3381 2 месяца назад
Shekh wangu mm kwa mdomo wangu mzito nikifanikiwa kuzimaliza zote ulizo sema labda nikeshe😢
@JumaAsraj
@JumaAsraj Месяц назад
Masha Allah ❤❤❤
@user-cz1pb6zn3h
@user-cz1pb6zn3h 2 месяца назад
Tunashkr Sheikh
@user-xr5lf6pe1n
@user-xr5lf6pe1n 2 месяца назад
Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes Allah akubarik shekh maneno matam
@neemahalima5440
@neemahalima5440 2 месяца назад
Mashalla
@Muhammad-jy1vx
@Muhammad-jy1vx 2 месяца назад
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
@AdidjaKadjemba
@AdidjaKadjemba 20 дней назад
Allah akupe urmi mrefu .uzidi kuelimisha watu .mana anayetumiya ushauri wako kama utwambiyayo .na imani anafanikisha
@hanafibalozi5308
@hanafibalozi5308 Месяц назад
Takbiii..r
@user-rt6gt7gu3p
@user-rt6gt7gu3p Месяц назад
Allah atujalie wepesi inshaa Allah
@YusuphuMsangi-jo9pe
@YusuphuMsangi-jo9pe 2 месяца назад
Maashaallwah Allwaakuzidishie
@maryamabdallah7284
@maryamabdallah7284 2 месяца назад
Shukran sheikh wetu Allah akulipe kwa malipo yake
@EstellaNshimirimana-gw7wv
@EstellaNshimirimana-gw7wv 2 месяца назад
Shukran
@halimandune7317
@halimandune7317 2 месяца назад
Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh. Sheikh niombee hta mm nko Hoi taabani.Kusema kweli.Madeni maisha mangumu.
@hamidahnassoro-12
@hamidahnassoro-12 2 месяца назад
Mungu atakutilia wepesi kila kwenye uzito ..ishaallh yatakwish
@RehemaHassan-rz8nh
@RehemaHassan-rz8nh 2 месяца назад
Allah akuhifadh na kila lenye sharri kwako
@user-ys7kt7gd7j
@user-ys7kt7gd7j 2 месяца назад
Assalam alaikum ww shekhe tuna omba dua samahani nisaindie
@MaimunaDimwe
@MaimunaDimwe 29 дней назад
Asalam aleykum, shukran shekhe wang , naomba dua nina mitihan shekhe
@amina12aminamuhudin25
@amina12aminamuhudin25 19 дней назад
It's very true what he said is very true😊😊😊
@halimasaid5121
@halimasaid5121 2 месяца назад
🙏🙏🙏
@MwanapiliAthumani-zp1bs
@MwanapiliAthumani-zp1bs Месяц назад
Asalam lakm sheikwetu naomba iniombee dua na matatizo na hapa nilipo ninamtihani sana naomba dua zako insha Allah
@aminakassim831
@aminakassim831 2 месяца назад
Basi mi huwa na anza kuswali salat haja kwanza alaf ndo naanza adhkar kumbe nakosea!ntabadilisha inshallah
@ayshazambia6509
@ayshazambia6509 2 месяца назад
Mi mwenyewe nilikua nasli kama ww inshaallah nitabadilisha inshaallah
@angle3600
@angle3600 2 месяца назад
Nakubaliana nawe kakangu alikufa wakati wa kiangazi ila la kushangaza wakati jeneza latolewa ndani ya nyumba kulinyesha mvua kiasi yani ardhi ikawa baridi kiasi, watu walishangaa sana,ila yeye pia alikua mcha Mungu mashallah Mungu amueke pema palipo wema
@SakinaSakinat-qd9rs
@SakinaSakinat-qd9rs 2 месяца назад
​@@angle3600 Amiin
@hassanisindi474
@hassanisindi474 2 месяца назад
Salat nnaria bado sijaijua
@Zouzumachini
@Zouzumachini 19 дней назад
Assalam alaykum ww, namushukuru muweza na kutupa sheikh anaetupenda kama wewe
@mwanamussa9650
@mwanamussa9650 Месяц назад
Shekh dua hiz unaweza kusoma ktk miez yoyote maana mm ndio kwanza nimekusikiliza leo shekh wangu
@ummysaabersaeedy8152
@ummysaabersaeedy8152 Месяц назад
Ndio unaweza
@user-gn9rh7sw7r
@user-gn9rh7sw7r 19 дней назад
Hujachelewa anza ndugu yangu
@user-be4bq7fc1t
@user-be4bq7fc1t 2 месяца назад
Aslm alkm plz nisaidie kuandika hii dua
@CadetMBUSA
@CadetMBUSA 15 дней назад
Assalamu alykumu naminimuisilamu kutoka congo namina ombaileduwa
@user-or9im6hr8l
@user-or9im6hr8l Месяц назад
Asalam alaykum shekhe niombe dua nifungue akili yangu na mambo yangu yawemepes
@user-bv1vn2lk7q
@user-bv1vn2lk7q 2 месяца назад
Asalawalaykum shukran❤❤
@user-oz6uy3kj3n
@user-oz6uy3kj3n Месяц назад
Msaada wa hiyo sura ya mwisho mwisho ya Afia inaitwaje
@ZuhuraAbass
@ZuhuraAbass 2 месяца назад
Hata kama umesengenya
@halimandune7317
@halimandune7317 2 месяца назад
Sheikh hii nyumba nko inanifanya kwa kweli nipata ugumu a kufanya ibada.
@carolinelucky9199
@carolinelucky9199 8 дней назад
Kwa kiswahili shee pls ❤❤❤
@YusuphuMsangi-jo9pe
@YusuphuMsangi-jo9pe 2 месяца назад
Nikweli Mimi Huwa napenda sana kusoma Ayaatulkudsi hata nikiota ndoto mbaya najikuta naisoma usingizini
@aminakassim831
@aminakassim831 2 месяца назад
Salaam,shekh unaweza kuwafanyia watoto wako hata kama wakubwa wapo shule ya msingi?au wewe mwenyewe ukajifanyia?
@TATUCCM
@TATUCCM 10 дней назад
Asalaam aleykum shekhe, pia mimi ninatatizo kila ninalofanya sifanikiwi kabisa pia ninamadeni sana na sijui nitayalipaje, hivyo shekhe wangu naomba unifanyie dua wewe mwenyewe ili niondokane na hii adha ya madeni pia nifanikiwe kila nilifanyalo. ASANTE
@Amissaamiri
@Amissaamiri Месяц назад
Asalaaam aleykum cheh unawez ukayitumia kwatatiz la madeni
@LovelyCrocodile-og7uv
@LovelyCrocodile-og7uv 2 месяца назад
Ivi Burundi hicho kitab kipo
@Zouzumachini
@Zouzumachini 19 дней назад
Sheikh wangu napenda niwe rafiki wa Alaa nifanye nini?
@user-or9im6hr8l
@user-or9im6hr8l Месяц назад
Salma shaban abubakar naomba uniombee shekhe nifunguke akili nikumbuke Quruan niweze kuyafanya mema
@user-sk7ir2nv1z
@user-sk7ir2nv1z 19 дней назад
Shekh auna vitabu
@user-ob2hk3jx7i
@user-ob2hk3jx7i 2 месяца назад
Mimi ninashida kubwa.kuna mda nasoma koroan nikasikia kizunguzungu kichwani,siku ingine nikaisoma nisisikiye shida ile.sasa nifanye nini sheikh ?
@mwalimuathumani722
@mwalimuathumani722 2 месяца назад
Assalaamu waalaykum, Sasa kama hiko kitabu cha WASILATU SHAFII hauna na pia hiyo Swalati Mnnalia hauijuwi nikifanya bila hizo Hili DUA litakuwa LIMESHIBA, Majibu Tafadhali.
@user-oz6uy3kj3n
@user-oz6uy3kj3n Месяц назад
Wasilatu Shafii ipo hapa hapa You tube
@halimandune7317
@halimandune7317 2 месяца назад
Utanisaidiaje ?.
@FatumaZuberi-eb2sj
@FatumaZuberi-eb2sj 26 дней назад
Sheikh.natamani.izo.dua.lakini.ni.garama..gani.napenda..sana.mimi.naitwa.Fatuma.zuberi.kutoka.songea
@RamaTota-j6e
@RamaTota-j6e 4 дня назад
Laila ila hata asbuna ka ikuntu dhwalmin
@Bakia-tj2of
@Bakia-tj2of 2 месяца назад
Shekhe muubin ndo nn mbona mm c iijui hiyo mubinn nianze kujiombea na mm
@mjaweathman6519
@mjaweathman6519 2 месяца назад
Mubin iko kwenye suratul yasin
@user-gn9rh7sw7r
@user-gn9rh7sw7r 2 месяца назад
Mubiin iko ktk surat yasin unapoendelea kusoma yaasin utazikuta ziko 7
@user-xr5lf6pe1n
@user-xr5lf6pe1n 2 месяца назад
Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes Allah akubarik shekh maneno matam
@saeedsaeed7381
@saeedsaeed7381 2 месяца назад
🙏🙏🙏
@YusuphuMsangi-jo9pe
@YusuphuMsangi-jo9pe 2 месяца назад
Alhamdulilahi basi Mimi napenda snakusoma Ayaatulkudsi
@YusuphuMsangi-jo9pe
@YusuphuMsangi-jo9pe 2 месяца назад
Hatakama nipo usingizini naota ndoto mbaya basi inakuja Atomatkal kichwani
Далее
Редакция. News: 124-я неделя
52:01
Просмотров 1,8 млн
FAIDA ZA KUFANYA DHIKRI MARA KWA MARA
27:25
Просмотров 3,8 тыс.
FANYA IBADA HUU UTANIPA MAJIBU: SHEIKH OTHMAN MICHAEL
46:18
Редакция. News: 124-я неделя
52:01
Просмотров 1,8 млн