we nimuoga2 kunam2 anaitwa Jack wa usa uyo ninoma sana niatali nanusu kwanza anajiamin nakila Jambo we ujiamina ila unaweza ongeza2 kujiamin mzee nilicho jifunza mm wazungu kuwa tongoza lais kuliko sis tunavyo fikil Mana wao hawana Mambo meng kama ana m2 atakwambia nakama hana atakwambia
Huku Bongo ni shida ukitongoza na ukiomba namba utapewa ila ss ukianza kuchati na huyo Dem aliekupa namba hata kabla hamjazoeana ni mizinga.Madem wa Bongo mjirekebishe acheni njaaa mpk mnakimbiwa.
Bro dakika 44 nothing! Jifunze kitu unatakiwa uwe unajua Sana ndo ujisikie Sasa ww maneno mengi angalia wezako kila mtu anakuambia jack wa USA Sasa ww piga ionekane sio maneno video low quality umezingua huwezi mfundisha mtu kama na ww ujii dakika 44 hata kusema hi