Kuna baadhi ya wabongo ambao wapi USA wanatupotosha na kututisha kuwa USA hakuna fursa za kutosha mpaka uwe umesoma sana lakini kaka nakuona upo tofauti sana na wengine Mungu azidi kukubariki sana
Dula nakukubali Sana ndugu,,Kila la her katika upambanaji wako,,unaonekana unaupendo Sana na huna roho mbaya kabisa na unatamani Kila mtu afanikiwe,,safi kaka nitapambna namimi nataka nije huko inshallah
Nakubali sn bro unatupa madini ambayo wengine wanatuvunja moyo mwenyez mungu akusimamie kwenye arakat zako na uzidi kutupambania na sisi wenye kutamani kusafili🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Kaka tuzidi kukuombea uweze kutusaidia na sisis tusiokua na uwezao wakupata pesa ya visa kwa haraka tusaidie kuweza kupata njia rahis ya kutusaidia watuwengi tuna hasira na maisha ila kazi nikupata pesa yakuweza kufika huko mana kibongo bongo nazani unaelewa daha comment imekua kubwa samahani 2ko p1 Kaka mpaka tufike malengo allah akufanyie wepes upate njia bora tufike marengo
Namependa ushauri wako actually upo tofauti sana na wabongo wengine huwa wanasema maisha ya ulaya in magumu sana bora ubaki bongo kwan ulaya maisha ni tabu bro be blessed.. Unaelimisha
KAKA NIMEISHI MAREKANI USIFANANISHE NA MAISHA YA CANADA HAPA CANADA MAISHA MAZURI SANA SEREKALI YA CANADA INAWATHAMINI SANA RAIYA WAO..CANADA CANADA MATIBABU BURE DAWA BURE...MAREKANI HAMNA CHA BURE . CANADA KAZI KIBAO KULIKO MAREKANI.
mkuu upo vzur....tushikane mkono binafsi najiweza kwa nauli na hela ya kula wiki mbili tatu huku nikipambania mchongo...mahitaji maongez zaid toka kwako
D STAR HONGERA KWA KAZI NZURI YA KUTUFAHAMISHA MAMBO MAZURI. BINAFSI UMENIPA NGUVU YA KUJITUMA ZAIDI. NAJUTA KUCHELEWA KUANZA KUKUFUATILIA. NAOMBA MAWASILIANO KAKA NATAMANI SANA KUPENYA NITIMBE USA KIONGOZI.