Тёмный

Kazi ya dollar $250 kila siku masaa 8 kwa siku kwa wiki Dollar $1500 kwa mwezi Dollar $6000 

Dnyota usa
Подписаться 15 тыс.
Просмотров 26 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

19 янв 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 298   
@Summerbtz
@Summerbtz Год назад
Kuna baadhi ya wabongo ambao wapi USA wanatupotosha na kututisha kuwa USA hakuna fursa za kutosha mpaka uwe umesoma sana lakini kaka nakuona upo tofauti sana na wengine Mungu azidi kukubariki sana
@Formula_Tz
@Formula_Tz Год назад
Kweli kbsa wabongo tuna gubu san yaaan huwa wanatutish sana mpaka huwe n mavyet lkn kwa huyo bro nimeKubar hana rohosafi
@mohswlh5087
@mohswlh5087 Год назад
Safi sana mzee baba nimefurah sana Allah akuongoze inakuwa vp kwa mtu anaetaka kuja U.S unaeza nipatia support kwa hii
@celifpower4993
@celifpower4993 Год назад
@@Formula_Tz hakuna kitu uko ww tulia zako bongo
@lydiajohn6865
@lydiajohn6865 Год назад
Kaka naomba e Mali yako. Mungu akutunze sana
@emmanuelmsemo3545
@emmanuelmsemo3545 9 месяцев назад
​@@Formula_Tz.salute man
@deusdeodavid5360
@deusdeodavid5360 Год назад
Bro wewe mtanzania watofaut sn tofauti nawengine wakija huko hawataki wenzao waje huko kujitafutia. Bro God bless you
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 5 месяцев назад
Dula nakukubali Sana ndugu,,Kila la her katika upambanaji wako,,unaonekana unaupendo Sana na huna roho mbaya kabisa na unatamani Kila mtu afanikiwe,,safi kaka nitapambna namimi nataka nije huko inshallah
@nurdinblesh3115
@nurdinblesh3115 Год назад
Nakubali sn bro unatupa madini ambayo wengine wanatuvunja moyo mwenyez mungu akusimamie kwenye arakat zako na uzidi kutupambania na sisi wenye kutamani kusafili🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@ramadhaniomary7083
@ramadhaniomary7083 Год назад
Nashukuru ndugu nimekuelewa
@francinaalex788
@francinaalex788 Год назад
Nip namb yako
@user-zb5be9kc9b
@user-zb5be9kc9b 10 месяцев назад
Hongera sana uko direct saana nooo konakona barikiwa saana
@Rahma94Oman-cn5qo
@Rahma94Oman-cn5qo 2 дня назад
Hongera kaka kwa kupambana ivi ukitaka kuja lazima uwe sh ngap hadi kufika huko
@lytwilliam7050
@lytwilliam7050 Год назад
keep up a good work dula! tupo pamoja!
@mcbclaxccode0059
@mcbclaxccode0059 Год назад
Kaka tuzidi kukuombea uweze kutusaidia na sisis tusiokua na uwezao wakupata pesa ya visa kwa haraka tusaidie kuweza kupata njia rahis ya kutusaidia watuwengi tuna hasira na maisha ila kazi nikupata pesa yakuweza kufika huko mana kibongo bongo nazani unaelewa daha comment imekua kubwa samahani 2ko p1 Kaka mpaka tufike malengo allah akufanyie wepes upate njia bora tufike marengo
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
Okay
@tonytony329
@tonytony329 Год назад
Kaka D✨ wewe ni mtu na nusu aisee kwa maombi yangu Mungu akulinde sana
@farajanyaliswacki9754
@farajanyaliswacki9754 Год назад
Wewe ni mtu wa Mungu ndugu, endelea hivyo Mungu atakuinua zaidi.
@Summerbtz
@Summerbtz Год назад
Thanks very much for the explanation bro God bless you
@kasaba7
@kasaba7 Год назад
Mungu akubariki uzid kufanikiwa broo..tunazid pambana
@davidmachange2056
@davidmachange2056 9 месяцев назад
Appreciate you so much brother, so much to learn from you mkuu, God Almighty blesses you abundantly.
@mskJr1993.
@mskJr1993. Год назад
Keep it up Bro
@ngendakumanajeanmarrie7490
@ngendakumanajeanmarrie7490 Год назад
Powa kaka unaroho nzuri kunengini vitu kama hivyo hawasemi mungu akubariki
@user-ep8bh9kq7b
@user-ep8bh9kq7b 10 месяцев назад
Vip uko umeme aukati kati,?
@edrianarichard6610
@edrianarichard6610 2 месяца назад
Asante sana kwamaelezo nimefurai nikija ntakutafuta❤
@williamelias7328
@williamelias7328 Год назад
Bro ur Good at all,hongera kwa mapambano
@augustineswai5174
@augustineswai5174 Год назад
good job kk we shall be there....
@kbdesgners
@kbdesgners Год назад
Yea yea bro keep push it bro nakubal San see u to the top kak Nakubl San Nam niponjian kak bless up bro
@elidaimaboniphace-im9xt
@elidaimaboniphace-im9xt Год назад
Nimependa Dnyota...toka juzi natazama hizi Video kwa kweli ni Shule kubwa nzuri na adhimu sana.
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
Sawa enjoy
@ndihokubwayoherman2473
@ndihokubwayoherman2473 6 месяцев назад
Watching from Burundi 🇧🇮 boss kazi ni kazi boss
@bennywalase1434
@bennywalase1434 Год назад
Tupo pamoja kaka piga kaz mzee D
@mihamboissa8195
@mihamboissa8195 Год назад
Namependa ushauri wako actually upo tofauti sana na wabongo wengine huwa wanasema maisha ya ulaya in magumu sana bora ubaki bongo kwan ulaya maisha ni tabu bro be blessed.. Unaelimisha
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
Sawa pamoja
@idrisshija6263
@idrisshija6263 Год назад
VIP broo
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
@@alphanabdalha3147 +15167783253 WhatsApp
@alphanabdalha3147
@alphanabdalha3147 Год назад
@@dnyotausa6154 mbona aingii whasp au kina namba zimebak
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
@@alphanabdalha3147 +15167783253 save kwenye whatsapp app
@omamomanhelena9433
@omamomanhelena9433 Год назад
Mungu aku bariki Sana kaka tupe njia na sisi jinsi ya kufika paspot ipo
@innocentpaschal-yk2hg
@innocentpaschal-yk2hg Год назад
Kwa form four feriya inatufaa iyo
@innocentpaschal-yk2hg
@innocentpaschal-yk2hg Год назад
Mmh ni mawazi lkn Je nikipewa bomu bila kujuwa au naruksa ya kukanguwa iyo mizingo
@hassanignoretemba2999
@hassanignoretemba2999 Год назад
Nakubali bro...am on my way soon 🏃🙏
@obedshadrack896
@obedshadrack896 Год назад
Kabisa mwana kwetu, tunashukuru bro,
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
Sawa
@duncanlochukudi8111
@duncanlochukudi8111 Год назад
Asante sana kaka ,mimi ni mkenya nina visa ya miaka mitano ya kutalii, napanga jinsi vile nitakuja.
@jackmalipo4774
@jackmalipo4774 Год назад
Kazi kazi
@kassimkhalid1185
@kassimkhalid1185 Год назад
KAKA NIMEISHI MAREKANI USIFANANISHE NA MAISHA YA CANADA HAPA CANADA MAISHA MAZURI SANA SEREKALI YA CANADA INAWATHAMINI SANA RAIYA WAO..CANADA CANADA MATIBABU BURE DAWA BURE...MAREKANI HAMNA CHA BURE . CANADA KAZI KIBAO KULIKO MAREKANI.
@hanswan1
@hanswan1 2 месяца назад
Na mimi nimeishi kote Canada wanalipaje kwa kazi???
@marcelpaulbiste5268
@marcelpaulbiste5268 Год назад
Mungu akulinde brother
@amadiyamadiy475
@amadiyamadiy475 Год назад
Thx kk kwailo na vp kuusu sisi huk tuliop burundi fursa kam hiy twaweza kuipat maan napaitaj san kk
@peterdominic8527
@peterdominic8527 Год назад
Safi sana kaka Kwa unachokifanya
@BakariFarijala-bd3jc
@BakariFarijala-bd3jc Год назад
dah umeni ni inspire sana mzee Dullah natamani sana fika huko mzee
@zakenbrothers
@zakenbrothers 6 месяцев назад
Unaweza ukapata visa ukiapply
@harriethkalindili7980
@harriethkalindili7980 Год назад
Hongera
@user-mp8rd5gm9o
@user-mp8rd5gm9o 11 месяцев назад
Hakika kaka nakukubali sana one nitakuona najipanga tu
@ibrackibrahim6909
@ibrackibrahim6909 Год назад
I appreciate brother
@nurupaje9041
@nurupaje9041 Год назад
Nakupenda Sana ❤❤
@barakaemmanuel8871
@barakaemmanuel8871 7 месяцев назад
Dullah Mimi ni mengi sana najifunza kutoka kwako. Ila naamini soon tutaona live ❤big up mwamba
@samsont.albini5998
@samsont.albini5998 Год назад
Nice bro stay blessed
@omarmohd4683
@omarmohd4683 Год назад
Mungu akubariki broo
@husseinhashimu1590
@husseinhashimu1590 Год назад
Big up
@patrickfumbo9372
@patrickfumbo9372 9 месяцев назад
Inspired 🎉
@ndihokubwayoherman2473
@ndihokubwayoherman2473 6 месяцев назад
Big up boss
@user-vk6qx3px8w
@user-vk6qx3px8w 7 месяцев назад
Nakubali kaka
@delphinnkoma5757
@delphinnkoma5757 Год назад
Asante sana bro
@zakariauzia2293
@zakariauzia2293 Год назад
Asant sanaa mwanetu daa
@user-lp3kw2vn8f
@user-lp3kw2vn8f 9 дней назад
dula ninapo angalia video zako kweli zinanitia moyo na me naimani nitapambana nitafika
@kilutu
@kilutu Год назад
Nakubli broo
@frankub8107
@frankub8107 Год назад
Safi sana kaka
@eliakitungo8642
@eliakitungo8642 Год назад
Natamani tuongee brother! Sijui muda gani unaweza kunipendelea nikapata mawili matatu kutoka kwako.
@abcccc2665
@abcccc2665 Год назад
Naomba namba kaka
@allyfatma7359
@allyfatma7359 Год назад
My self....I appreciate so much...pamoja Sana
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
Asante
@maalimmossramaofficial8062
@maalimmossramaofficial8062 Год назад
Oyo niaje mwamba mimi nina mwanamke yupo uko tayari utanisaiduaje
@yusufumwakyambiki8062
@yusufumwakyambiki8062 Год назад
Nakubari bloo
@user-fn5zt6tm1h
@user-fn5zt6tm1h 4 месяца назад
Safi mkuu
@IsmailSabu-lb9tq
@IsmailSabu-lb9tq Год назад
Naipenda iyo
@morogoromedia
@morogoromedia Год назад
Sanaaa
@saidizuber8831
@saidizuber8831 Год назад
pambana kaka natamani sana nami nije Ku pambana ttzo pesa ndio Najitahidi kujichanga
@zakenbrothers
@zakenbrothers 6 месяцев назад
Unaweza ukafanikisha hilo Ila ukiwa unaendelea kutafuta hela jaribu kuapply na visa
@aliyahmedahmed590
@aliyahmedahmed590 Год назад
Wewe unajisifu unaingiza dollar 250 kwa siku halafu unataka watu wakuchangie ....wacha Utapeli watu wapo wanaishi Pia na maisha wanayajua vizuri...
@leksonsanza5184
@leksonsanza5184 Год назад
Nipatie njia nzuri yakuja USA
@zakenbrothers
@zakenbrothers 6 месяцев назад
Unaweza kutafuta visa wanayotoa kila mwaka kwa mtu yeyote
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 месяца назад
​@@zakenbrotherswee hio utakesha Kam unapesa wpo watu
@siasia5469
@siasia5469 Год назад
💪Nimekukubali D.Star❤️👌 "Kazi Kazi"
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
Kazi kazi
@clevermushi7692
@clevermushi7692 Год назад
@@dnyotausa6154 mkuu..namba zako muhimu sana kwetu
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
@@clevermushi7692 +15167783253 WhatsApp
@clevermushi7692
@clevermushi7692 Год назад
@@dnyotausa6154 👍
@jonathansolomon456
@jonathansolomon456 Год назад
​@@dnyotausa6154twakufurahia sana kk
@jacksonwaTanzania
@jacksonwaTanzania Год назад
kweri broo dinyota i hope i one day nifike huko mkuu nin passport tayri
@hamisianafi-hc5gd
@hamisianafi-hc5gd Год назад
Broo napenda unachokifanya nataman kua kamaww nataman kufikahapo ilauwezonimdogo nikotayar htamshahara wamwezi uwewako broo
@erigoals3323
@erigoals3323 Год назад
mkuu upo vzur....tushikane mkono binafsi najiweza kwa nauli na hela ya kula wiki mbili tatu huku nikipambania mchongo...mahitaji maongez zaid toka kwako
@zakenbrothers
@zakenbrothers 6 месяцев назад
Apply visa unaweza pata chance uende pia hata na familia yako
@danstanmgaya1251
@danstanmgaya1251 Год назад
Ngoja nitafute pesa broo then tujue namna ya kufanya bongo miyeyusho aisee kizungu nitajulia huko huko nikifika
@edrianarichard6610
@edrianarichard6610 2 месяца назад
Je kama ujui kuendesha bisicle😂
@user-vx7cg8vt9o
@user-vx7cg8vt9o 9 месяцев назад
Kaka dula tuko pamoja mm nipo Dubai nazichanga nije huko naitwa Denis abias
@user-vx7cg8vt9o
@user-vx7cg8vt9o 9 месяцев назад
Nakupa tano mkuu
@user-xb7hq6cb2r
@user-xb7hq6cb2r 11 месяцев назад
Kiongozi salute
@onesmoaugustino2765
@onesmoaugustino2765 Год назад
Kabisa mkali one day yes mky
@ramadhaniamora7493
@ramadhaniamora7493 Год назад
tuko pamoja
@kitalambobabloja8742
@kitalambobabloja8742 Год назад
Wa mwewe da!!!one day
@allybulushi624
@allybulushi624 Год назад
Tutakutowa dullah
@NicasAsyakisye
@NicasAsyakisye 3 месяца назад
Nishanunua baiskeli yangu napiga zoezi, huku natafuta 9mill.
@wazirjuma7149
@wazirjuma7149 Год назад
Ndungu kibongi tunasena mpaka huku ni shilingi ngapi
@danvincentotieno1
@danvincentotieno1 Год назад
Nionyeshe njia
@khaliduhadi2336
@khaliduhadi2336 Год назад
Pamoja sana mnyama tuko pamoja tupe link yako tuongee nitakusapoti sana
@muhamedsaid9545
@muhamedsaid9545 Год назад
Hi tupo pamoja
@ramadhaniomary7083
@ramadhaniomary7083 Год назад
Daa hongera kwa mapambano na kutuelewesha safi sana
@user-yf7fq7gg7q
@user-yf7fq7gg7q 8 месяцев назад
Hi rafiki
@jomwenomkal
@jomwenomkal Год назад
Mwamba wewe ni hatari saaaanaaaa nashukuru saaaanaaaa mkuu kutufungua
@malmavoice8989
@malmavoice8989 Год назад
Bro imechukua muda gani kufikia level zako hizo?
@allybulushi624
@allybulushi624 Год назад
Ishaala Muungu atakulipa Mm hata ningiya tu lazima ni kutowe cpo kama wengine mm
@enelykamela4524
@enelykamela4524 Год назад
I'm in my way to come soon I will be in USA
@abdullahmhina2207
@abdullahmhina2207 6 месяцев назад
M.mungu akubariki sn ktk kz zako na tunakushukuru kwa kutufungua km vp tupe number yako
@CheerfulJackalope-uu9ls
@CheerfulJackalope-uu9ls 2 месяца назад
Nataman kufanya kaz hapo mkuu nionyeshe njia boss
@sethadam614
@sethadam614 11 месяцев назад
Tupe connection mkuu
@irtshisekedikhamis5648
@irtshisekedikhamis5648 Год назад
Thx
@user-gm2yn7ib1t
@user-gm2yn7ib1t 10 месяцев назад
Sisi tupo tayari kuja ila hio milioni9 ya viza bongo ni tatizo la ukoo mzima😂😂
@user-zw6er4zk4w
@user-zw6er4zk4w Год назад
Namm nataka kazi
@JeniferJunior-qi3le
@JeniferJunior-qi3le 6 месяцев назад
Hello am jenifer,jaman nisaidie na mm nipate kaz ata ya kuchuma maepo
@zakenbrothers
@zakenbrothers 6 месяцев назад
Apply visa upate chances utafanya kaz yoyote utakayo
@ndihokubwayoherman2473
@ndihokubwayoherman2473 6 месяцев назад
Mapumuziko nayo nimuhimu boss
@clevermushi7692
@clevermushi7692 Год назад
Duhh..nikipata nafac me fasta nakuja kutafuta ela boss
@onexmomvungi7892
@onexmomvungi7892 11 месяцев назад
Brow mm ni BARISTA naweza pata kazi huko
@zakenbrothers
@zakenbrothers 6 месяцев назад
Apply visa utafanya kaz yoyote ukipata
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 Месяц назад
Kazi ya delivery bro inaezachange visit visa to work permit au kunaendaje ebu nipe idea kidogo
@matsonbitabo6930
@matsonbitabo6930 Год назад
Hello,,kwa kweli nimekukubari na una tu inspire sana,,,nataka bint yangu akimaliza form six apate chuo uko sjuhi tunafanyaje bro?
@samwelipaul9014
@samwelipaul9014 Год назад
Nicheki!
@aminadomisiano122
@aminadomisiano122 Год назад
Na je ni kazi gani iyo ety
@eliakitungo8642
@eliakitungo8642 Год назад
D STAR HONGERA KWA KAZI NZURI YA KUTUFAHAMISHA MAMBO MAZURI. BINAFSI UMENIPA NGUVU YA KUJITUMA ZAIDI. NAJUTA KUCHELEWA KUANZA KUKUFUATILIA. NAOMBA MAWASILIANO KAKA NATAMANI SANA KUPENYA NITIMBE USA KIONGOZI.
@michaelipius2660
@michaelipius2660 Год назад
🙏🙏🙏🙏
@princegray9164
@princegray9164 Год назад
Kaka tunashukuru Sanaa tunaomba pia unawe una tuambia na matumizi ya huko yalivyo kwa kila siku mfano kula gharama za kupanga na mengineyo
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
Sawa
@yahayamuya9138
@yahayamuya9138 Год назад
​@@dnyotausa6154 Brother nisaidie jinc yakupata visa
@zengomwiru6315
@zengomwiru6315 Год назад
M 6 za viza ni mtaji kwa watanzania lakini pia ni ngumu SANA kuipata.
@suleimanhassan1413
@suleimanhassan1413 Год назад
@Dnyota usa hiyo kazi unayoifanya nikazi gani?
@johnsilomba902
@johnsilomba902 Год назад
Hiyo Bike Inatumia Umeme ?
Далее
Nyumba za kupanga marekani mjini NewYork
17:51
Просмотров 3 тыс.
Zlatan embarrasses Speed 😂 #ishowspeed
00:32
Просмотров 9 млн
Maisha ya Ughaibuni
14:23
Просмотров 2,8 тыс.
Tengeneza PESA kwa kusikiliza muziki tu // #MAUJANJA
4:45
Njia rahisi ya kuingia marekani
2:35
Просмотров 18 тыс.
Jinsi ya kupata mzungu marekani
44:20
Просмотров 30 тыс.