Alaaa kumbe mkuki kwa nguluwe kwa mwanadamu ni woi woi nafaaaa 😂😂😂 hapa ni mwendo wa mzee baba tu kwa kwenda mbele mbona nyie serikarini mmeambizana ni mwendo wa kumsifia mama 😂😂😂 sasa mbona mnapaniki kwa mtu mmoja tu tena kwa huyu jamaa wa TV YA TAIFA 😊😊😊
@@shinipapaya846mama makinda alisema ma member wa ccm walishatunga sheria Ya kupinga serikali isihamie dodoma jinsi ccm walivyokuwa hawampendi jpm, jpm alikuwa ana Akili kubwa kuliko marais wengine waliopita labda jk Nyerere tuu