Asante sana Hayati Magufuli kwa maono yako na asante Mh Rais kwa kuendeleza. Hakika watanzania mapungufu hayakosekani ila tujivunie serikali yetu. Watu wa kigoma wanasubiri wa hamu
@@festokemibala5832ulikwepo??nyny ndio wanafik hupendi ndugu wanaoonekana kwa macho et unampenda MUNGU zaidi acha unafiki razaro umesoma JPM umemuona kwa macho yako 😢 pongeza hata hiyo injili bila miundo mbinu mizuri utahubilia wapi ?
Mitano kwa nani? Tunataka rais mwingine hatutaki kuongozwa na mtu asiyejua njaa hii nchi imewahi kuwa na marais wawili tu Magufuli na Nyerere kwahyo 2025 tunataka mtu kama Magufuli acha tulale njaa pweterea pwete tunataka maendeleo sio kula, kula tutakula hata mihogo na maji lakini iwe kubwa kama jina lake lilivyo kubwa Duniani
JPM hakuwa mwanasiasa alikuwa kiongozi kweli kweli leo hayupo lkn sio siri iniater wa treni ya umeme ni yeye na wako wengi kweli leo wanasifu treni ya umeme lkn mwanzo walimpinga kweli JPM...Sisi vijana wa Tanzania tunasema WE ARE TEAM JPM FOREVER✊️.
Kwa mda wa masaa manne from dom to dar 444k hapo ilikuwa inatembea kwa speed ya 111km/hr ikitembea full speed ya 160 km/hr itatumia masaa mawili tu Dar tu Dom..... Very impressive #Tanzania yangu maendeleo yetu
Magufuli ni mwanaume wa wanaume, sio huyo mlabata wenu c hata sisi tumeoa tunaona vile mama asivyokuwa na sauti kwenye jamii nyingi watu na akili zao timamu wanampa nchi mtoto wa kishua asiyejua njaa kama sio Magufuli sijui tungekuwa wapi
Hongera Sana. We wish We Take TRC as Serious Business Asset and Build Better Future for Tanzanian and Tanzania.We Should Be Careful About How We will Manage this Great Railways Huduma for Raia Without Nepotism and Embezzlement of Funds Etc. Journey Has Just Begun. Ahsante.
@@queenesther2639 it's goood to say truth we are ahead of them but upande wa seat wametushinda kitizetu mbofu sana zinaangaliana, zao economy class ziko poa
mama yetu SSH pongezi nyingi kwako na watenda kazi wenzako. sitataja waliotangulia kwa sababu wewe ndie rais wangu kwa sasa. na unatosha kabisa mama. kabisa
Hila watanzania wasipokuwa wastaarabu hizo treni zitakuwa kama mavi uchafu, abiria wengine wataanza kuwashika matako wahudumu Na kuongea nao kwa lugha chafu , muhimu kuwe na police Na jela arrest kwenye train kwa abiria asiye mstaarabu Na wasiuze pombe kwenye train
Yani yangekuwa yanawezekana jpm angeluhusiwa tunamungu achungilietu kaziyake aliyo isimamia mana asingekuwa yeye tusingekuwa na leli hii mungu ilaze pemaloho ya kiongozieazo shupavu aliejitoa muhanga amen
Hizi behewa zinanunuliwa used Korea zinakarqbatiwa sisi watanzania kwakuwa hatujawahi kuona kitu kama hiki tunajiona tumapaaaaata..! Hapo Amna kitu tumepigwa alafu hii ni teknolojia ya zamani sana kwa wenzetu wengi tu hamjui mnachelekelea kama mataahira
Hata mabasi ya mwendo kasi yalianzaga kistaarabu Hivi sote tuliona baada ya muda mfupi baadaye utaanza kusikia hii treni haifanyi Kazi mara safari zitaanza kuahirishwa bila sababu taambia linafanyiwa matengenezo yangu macho c tupo wabongo hawana maana yoyote
Management ndio tatizo.Project zote huanza ki smart ila baada ya mwaka ni vichekesho, seats na carpet zitachanika kwenye mabehewa ac zitakufa mtawekewa mafeni😂 na lugha chafu za wahudumu kwa abiria...Hii ndio Tanzania tuupe muda nafasi.
Yupo sahihi, Kukiwepo jinsia ke na me ni nzuri zaidi. Kuna dhalula anaweza kuipata mwanaume akiwa safarini akaona aibu kumwambia mwanamke. Wakiwepo wote hata wachache tu ni nzuri zaidi
Wahudumu kwa nini wasivae SURUALI REFU AU SKETI REFU..... Maadili muhimu..... HUO SI UTANZANIA Kadogosa.... HAPO WAKIINAMA si CHUPI INAIONA... TUSIWEKE UMAGHARIBI MBELE... Hatimae watoto wetu watakuwa wanaikimbia Ajira waonapenda kujistiri....😢😢 #TANZANIA 🇹🇿