Тёмный
No video :(

JOEL LWAGA - ALIVYOKUTANA NA DIAMOND,WALICHOONGEA/ANARINGA?/UNYENYEKEVU NA UJINGA/KIPAJI KINILISHE 

Chumvi Ya Dunia
Подписаться 19 тыс.
Просмотров 20 тыс.
50% 1

Moja kati ya mahojiano matata kabisa ni haya,tumefanya na #JoelLwaga mtu mwenye mavoko yake .Joel amefunguka mengi kuhusu maisha nje na ndani ya huduma,ameweka wazi kuhusu shtuma nyingi zinazomkabili..hakika si ya kukosa.
The Sound of Gospel is a radio and Online Program brought by SirMbezi, Mfinanga In Association with Bethel Radio going live every Tuesday at 2PM On bethel Radio and later on In this You tube Channel.
Executive Producers - SirMbezi & Ignas Yonah (Bethel Radio)
Presenter - Gadielson Charles Mfinanga
Cameras - Edward Fanuel, SirMbezi
Studio Set Up - Ignas Yona/Bethel Radio
Photography - SirMbezi
Editing - Sirmbezi,

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 37   
@jamsonjames3618
@jamsonjames3618 3 года назад
Mfinanga unaelekea mbali sana, your doing what many church youth are missing...just mark my point,."unaelekea mbali sana"
@yetromtambulo3452
@yetromtambulo3452 3 месяца назад
Well done bro Joel lwaga. Be blessed much. One day tutakutana tuu katika huduma
@giant_701
@giant_701 4 месяца назад
Kaka joel nakukubali sana
@lwimboderick7479
@lwimboderick7479 3 года назад
Nimekuelewa sana hapa Mtumishi wa Bwana. Am blessed.
@lucymuthoni1885
@lucymuthoni1885 Год назад
I love this show from Kenya 🇰🇪 it’s really inspirational and a blessing the people we admire we get to hear their story... That person that keeps on passing in front of the camera is really unprofessional 😢
@orverfredy2694
@orverfredy2694 3 года назад
“Watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa” muongozo wetu ni biblia tuache kumtukanisha Mungu. Yaani inafikia hatua mtu ukiwa mlokole unaonekana umepotea kimaisha... Vijana tulio amua kuokoka acha tuishangaze dunia. Akili kichwani, Yesu moyoni, pesa mfukoni....ubarikiwe mtumishi Joel, nimekuelewa sana. Hakuna unafiki hapa
@joshuabm
@joshuabm 3 года назад
Minister Joel, that is really great and right on a point
@govinsonlugano9226
@govinsonlugano9226 2 года назад
Unapohudumu nakulenga pesa, utajipata unatumikia pesa Ukamuacha Mungu.Biblia inasema huwezi tumikia mabwana wawili! Kile najua,Mtumishi anaweza mtumikia Mungu na maisha ikaonekana duni nikwasababu alimtumikia Mungu kwauaminifu.hakutanguliza tamaa.Mungu nimwaminifu ana wakati wakubariki mtu kifeza.ndiomana Yesu akasema tafuteni kwanza ufalme wa Mungu na mengine ayo yote mtazidishiwa.yaani wewe kanisa likikuita ukabariki watu,utaomba wakutimizie kiwango cha pesa?iyo nayo sipoa.
@gaspamgasa2366
@gaspamgasa2366 3 года назад
joel lwaga aliwahi kunijibu Dm nilijisikia vizuri
@oscarpelesi18
@oscarpelesi18 2 года назад
Joel saluti sana....nimekutana na wewe kwenye maneno yako...sound mind indeed ...
@adellajohnbokato8453
@adellajohnbokato8453 3 года назад
Ni kweli Kuna kitu kikubwa nimejifunza Leo kupitia ndugu Joel... By the way big up mtumishi mfinanga...
@lucymuthoni1885
@lucymuthoni1885 Год назад
I love Your firmness
@eneajoseph2010
@eneajoseph2010 3 года назад
nakukubar. Joel mungu akubarik
@womanoffaith2001
@womanoffaith2001 3 года назад
Congrats sir Mbezi
@andrewkihwelo1482
@andrewkihwelo1482 3 года назад
Mfinanga mimi ni mwimbaji.na kiukweli yoote aliyo yaongea joe ni sawa. Kabisaa. Nyongeza ya aliyo yaongea ni fanya ufanyalo huwezi kumpendeza kila mwanadamu.so ukitaka kufika mbali. Hebu angalia upande wako.maana ulicho itiwa wewe na MUNGU sicho walicho itiwa wao.kila mmoja alime mlaba wake na badaye tukutane kwenye mafanikio
@josephstephen1079
@josephstephen1079 2 года назад
Hivi kukutana na Diamond Plutnumz ni neema tena msanii wa nyimbo za kidunia?
@gaspamgasa2366
@gaspamgasa2366 3 года назад
asante kaka joel asee kumbe mi nilikua mtumwa wa kujishusha kwakua mjinga
@fadhiliaugustino7704
@fadhiliaugustino7704 3 года назад
God bless you Joel nimejifunza
@matimfuko641
@matimfuko641 3 года назад
Huyo jamaa Yuko vizuri Sana Mungu azidi kumbariki
@geofreychacha489
@geofreychacha489 3 года назад
Asante kk Joel lwaga umenifungua macho na masikio
@joymdemeka4036
@joymdemeka4036 3 года назад
Joel Lwaga is very smart.
@magdalenaobet8502
@magdalenaobet8502 3 года назад
Napenda uimbaji wako ubarikiwe Joel. Pia anza mazoezi upungue mwili hapo hujaoa ukioa si utapasuka wifi akifanya yake jikon punguza mwili bwana
@philemonpaulo1790
@philemonpaulo1790 3 года назад
Huna habari kuwa alioa mwakajana au humfuatilii?
@magdalenaobet8502
@magdalenaobet8502 3 года назад
@@philemonpaulo1790 Nina hbr post hii ni kabla hajaoa nashangaa inasoma miezi 8 tangu ipostiwe mh naona ilikuwa hewa
@stephenmungure7072
@stephenmungure7072 2 года назад
What a blessed interview
@neemajames4083
@neemajames4083 3 года назад
Mtumishi Joel kaongea neno la faida
@lumulimwakanjuki
@lumulimwakanjuki 2 года назад
J uko sahihi bro
@balozibalozi5257
@balozibalozi5257 3 года назад
Nimebalikiwa sana 🙏
@babundoto5425
@babundoto5425 2 года назад
Nzuri inajengo
@joymdemeka4036
@joymdemeka4036 3 года назад
Nimeipenda sana hii interview
@octavianfranc1384
@octavianfranc1384 3 года назад
Apo sawa joel
@chedystanley
@chedystanley Год назад
Brother na appreciate sana Kazi yako umenifanya nifunguke pia mm pia ni muimbaji tafadhali sikiliza nyimbo zangu kwa channel yangu hii hii Mungu akubariki
@patricksamwel6307
@patricksamwel6307 2 года назад
Bro Joel huo ndio ukweli, tatizo la Watu flani flani wanataka tuishi kwa nidhamu za uwoga wakiamini ndio unyenyekevu no hayo ni makosa ndio maana tunapa changamoto nyingi za ovyo. Daah! aisee Mungu akubariki mwenye akili ataelewa ulicho shauli.
@miltonmugisha1805
@miltonmugisha1805 3 года назад
Huo mfano wa Biblia umenifungua akili sana
@miltonmugisha1805
@miltonmugisha1805 3 года назад
Mkuu napanga kukupigia tangu juzi, kesho haipiti
@amamlen3731
@amamlen3731 3 года назад
Ayo maneno ukiyapima rohoni mmmh nihekima ya yuda..
Далее
GOSPEL TABLE WITH JOEL LWAGA (PART A)
20:01
Просмотров 3,1 тыс.
HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013
13:38
Просмотров 283 тыс.
TEMPORARY Stem Review
21:16
Просмотров 3,1 тыс.